Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 234
@anathjuma68137 ай бұрын
Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah
@ethanevans29718 ай бұрын
Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....
@nakundwamkubwe78238 ай бұрын
Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..
@user-vj6qs8sv8i8 ай бұрын
Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane Nakupenda kwa ajili.ya Allah
@arafakiloli7498 ай бұрын
ALLAH akujaze kheri zaidi
@azizaaziza79968 ай бұрын
Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama
@JanethMadios-oe5ue8 ай бұрын
Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko
@AminaAhmed9998 ай бұрын
maa shaa Allah nyumba safii
@faridapandu75798 ай бұрын
❤❤❤ usafi muhim kweli mama
@magrethmagonza1868 ай бұрын
Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤
@SelemanMuhamed-ir5zl8 ай бұрын
Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤
@cdeleo93368 ай бұрын
Mama msafi sana 👌🏽👌🏽
@africa74798 ай бұрын
mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi
@tanzcanmediatv44738 ай бұрын
Ipi nyingin
@africa74798 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.
@sinyooo65838 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473kichwa waz
@awatifsaleh74507 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473afunike nywele
@Fear_Allah3948 ай бұрын
Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana
@aminaomary55676 ай бұрын
Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍
@fatmabby00178 ай бұрын
Mashaallah ❤
@user-ki4sg8yz9j8 ай бұрын
Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani
@fatmakhanii16768 ай бұрын
Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena
@annievibes87947 ай бұрын
Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂
@user-vv5nx7rw5g7 ай бұрын
Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr
@Lexerjoh8 ай бұрын
huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah
@nadyasalim79567 ай бұрын
mashallah ❤
@user-up2kg1wm9p7 ай бұрын
Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa
@abdulsimbarakiye41457 ай бұрын
Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you
@rahmasuleiman93348 ай бұрын
Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤
@nadyasalim79568 ай бұрын
kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha
@aishaamwalimu28878 ай бұрын
Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏
@utaani17 ай бұрын
Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600
@user-vv1te9fu8q8 ай бұрын
Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe
@user-wk1ix1gm1p8 ай бұрын
Mashaallah , msafi sana
@aminaomary55676 ай бұрын
Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤
@fatimamohammed23328 ай бұрын
maashallah tabaraka Allah mama msafi sana
@user-ox2uw9ds5o14 күн бұрын
Mama mzuri na ajipenda mashallah
@AsmaSalim-rx4fb8 ай бұрын
Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang
@user-uj1bt7gq6n8 ай бұрын
Wa kwanza au wa mwanza 😀
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
@@user-uj1bt7gq6n😂😂😂😂
@nadyasalim79568 ай бұрын
nimekupa habibi ❤
@SuleimanKhdija8 ай бұрын
@@user-uj1bt7gq6n wa mwaka😁
@glorianikiza39408 ай бұрын
Kwake pa safi kabisa
@MwanaishaShattry8 ай бұрын
Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini
@zezenuvel76128 ай бұрын
Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤
@khadija57618 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤❤
@user-kb3yg5jl1g8 ай бұрын
Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel
@HalemaHhhh5 ай бұрын
Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe
@user-ki4sg8yz9j8 ай бұрын
Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤
@ninaken71095 ай бұрын
Beautiful house tour...
@islam.with_juneyd7 ай бұрын
Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi
@user-rj1gc5xk8k8 ай бұрын
Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko
@rukiaathumanathuman78757 ай бұрын
Masha Allah nice
@lilianmkumbi677017 күн бұрын
MaashaAllah
@nuruyusuph55628 ай бұрын
Mashallah msafi
@nasraabdul68787 ай бұрын
Napenda anavyoongea Uyu mama❤
@SharifaOm8 ай бұрын
Mm nampenda sana huyu mama
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
Okay 🎉
@kamikazisalma52097 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sidikassim67598 ай бұрын
Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana
@nadyasalim79568 ай бұрын
Mashallah Mama kwako kuzuri nakupenda sana ❤
@faidhacute8 ай бұрын
Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire
@zuwenakabwe10178 ай бұрын
Tuko pamoja
@maryrich8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@najathtemo39088 ай бұрын
Hatokubali yule mashauzi mengi😂😂😂😂
@user-gj2mm3ko8m6 ай бұрын
Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10
Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅
@user-pq5my4ih2v8 ай бұрын
Super mama
@nasramduli50978 ай бұрын
Love u mama
@meowzna8 ай бұрын
Super MaMa😍 Masha'Allah🙏
@SululuZungu-kx8ws7 ай бұрын
Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu
@lulushawaka62008 ай бұрын
Mashallah
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka
@mariamdullazy81668 ай бұрын
Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
@@mariamdullazy8166 Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu
@ukhtyrayyan78848 ай бұрын
Hats mie napenda nando nipo hivo😅
@mariammnongo21498 ай бұрын
Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
@@mariammnongo2149 Hahahaaaa ndo kila siku? Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi
@officialbntrasool52238 ай бұрын
Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌
@Ismail-kp7dxАй бұрын
Mama hongera
@OnlyRuky8 ай бұрын
Mashaalah ❤
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo
@HeriethHaule-ct9gx6 ай бұрын
Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo
@nicolenabintu25098 ай бұрын
Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷
@Lexerjoh8 ай бұрын
yan ww kama mimi
@JescaMuyabi-ix8ly8 ай бұрын
Hongera
@minafadhil38378 ай бұрын
Mamaa msafi huyu
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim
@sarahgaula22208 ай бұрын
Kajitahidi Sana
@fatmakhanii16768 ай бұрын
Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham
@jamilamnetya62288 ай бұрын
Nampenda sanaa uyu mama
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
❤❤❤
@user-kp6lz7zs1wАй бұрын
Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂
@esterjames74077 ай бұрын
Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤
@user-rj1gc5xk8k8 ай бұрын
Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr
@sikudhanimohammad76927 ай бұрын
Ametuonesha ili tujifunze.
@zulfayusra87478 ай бұрын
Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site
@w40587 ай бұрын
User uko right kabisa
@agathachughu8 ай бұрын
Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮
@yusufuyasin23478 ай бұрын
Mi namtaka Allyyy😂😂
@rouhysaleh64218 ай бұрын
Sio aly ni alwiy
@naturelle10978 ай бұрын
Maua mazurii
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake
@marthahozza29647 ай бұрын
😀😀 mh jmni binadamu
@TaarabChannel8 ай бұрын
Mpitie na kwangu jamani
@fauzhaji71497 ай бұрын
It's 9.99 not 66..
@antiyasanitiago32218 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@sinyooo65838 ай бұрын
Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi
@skymoontravel71406 ай бұрын
Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅
@sinyooo65836 ай бұрын
😂Apana bn
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC
@w40587 ай бұрын
Mwanamke hufai kumsinga wanaume
@mombasa00767 ай бұрын
Ni upotezaji wa mda tu
@user-gm1vt3bt1h7 ай бұрын
Haya namm naomba link
@rukaya-jg7hj8 ай бұрын
😂😂😂saleh
@user-kp6lz7zs1wАй бұрын
Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue
@Boaz227 ай бұрын
Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Na mtangazaji nampendaga
@faudhiasalum72798 ай бұрын
👌🏽👌🏽
@jikonikwamamaSwaumu8 ай бұрын
Kungwi namuelewa
@subrynerysegerow13238 ай бұрын
Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗
@maisalashea75328 ай бұрын
Hahahw😅😅
@munaashyahya10598 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sarahsamson267 ай бұрын
Hahahahaa
@MissRafikieliАй бұрын
Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.
@user-yi3yh9or4h5 ай бұрын
Upo daa jmn huku zenj nakuhitaji
@user-yi3yh9or4h5 ай бұрын
Mii mbint wa zenj
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Anauza bei rahis hadi raha
@zuwena1zuwena1148 ай бұрын
❤❤❤❤
@edyboyChamilion10 күн бұрын
KUNGWI SALAMU ZIMFIKIE NDOA YAKE IMEMSHINDA KAACHIKA NDIO KWANZAA ANA MIEZI 6 KWENYE NDOA HALAFU NI MM MM MAMA ETY YEYE MWENYEWE ANATAKA KUFUNDWA MPOO😂😂😂