NYUMBANI KWA KUNGWI/KUNA DUKA LA UREMBO NDANI/ANAFAGIA SAA NANE USIKU

  Рет қаралды 119,495

ZamaradiTV

ZamaradiTV

8 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 234
@anathjuma6813
@anathjuma6813 7 ай бұрын
Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah
@ethanevans2971
@ethanevans2971 8 ай бұрын
Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 8 ай бұрын
Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..
@user-vj6qs8sv8i
@user-vj6qs8sv8i 8 ай бұрын
Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane Nakupenda kwa ajili.ya Allah
@arafakiloli749
@arafakiloli749 8 ай бұрын
ALLAH akujaze kheri zaidi
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 8 ай бұрын
Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama
@JanethMadios-oe5ue
@JanethMadios-oe5ue 8 ай бұрын
Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko
@AminaAhmed999
@AminaAhmed999 8 ай бұрын
maa shaa Allah nyumba safii
@faridapandu7579
@faridapandu7579 8 ай бұрын
❤❤❤ usafi muhim kweli mama
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 8 ай бұрын
Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤
@SelemanMuhamed-ir5zl
@SelemanMuhamed-ir5zl 8 ай бұрын
Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤
@cdeleo9336
@cdeleo9336 8 ай бұрын
Mama msafi sana 👌🏽👌🏽
@africa7479
@africa7479 8 ай бұрын
mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 8 ай бұрын
Ipi nyingin
@africa7479
@africa7479 8 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.
@sinyooo6583
@sinyooo6583 8 ай бұрын
​@@tanzcanmediatv4473kichwa waz
@awatifsaleh7450
@awatifsaleh7450 7 ай бұрын
​@@tanzcanmediatv4473afunike nywele
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 8 ай бұрын
Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 ай бұрын
Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍
@fatmabby0017
@fatmabby0017 8 ай бұрын
Mashaallah ❤
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 8 ай бұрын
Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 8 ай бұрын
Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena
@annievibes8794
@annievibes8794 7 ай бұрын
Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂
@user-vv5nx7rw5g
@user-vv5nx7rw5g 7 ай бұрын
Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr
@Lexerjoh
@Lexerjoh 8 ай бұрын
huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 7 ай бұрын
mashallah ❤
@user-up2kg1wm9p
@user-up2kg1wm9p 7 ай бұрын
Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 7 ай бұрын
Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 8 ай бұрын
Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 8 ай бұрын
kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 8 ай бұрын
Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏
@utaani1
@utaani1 7 ай бұрын
Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 8 ай бұрын
Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 8 ай бұрын
Mashaallah , msafi sana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 6 ай бұрын
Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤
@fatimamohammed2332
@fatimamohammed2332 8 ай бұрын
maashallah tabaraka Allah mama msafi sana
@user-ox2uw9ds5o
@user-ox2uw9ds5o 14 күн бұрын
Mama mzuri na ajipenda mashallah
@AsmaSalim-rx4fb
@AsmaSalim-rx4fb 8 ай бұрын
Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang
@user-uj1bt7gq6n
@user-uj1bt7gq6n 8 ай бұрын
Wa kwanza au wa mwanza 😀
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 ай бұрын
​@@user-uj1bt7gq6n😂😂😂😂
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 8 ай бұрын
nimekupa habibi ❤
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 8 ай бұрын
@@user-uj1bt7gq6n wa mwaka😁
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 8 ай бұрын
Kwake pa safi kabisa
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 8 ай бұрын
Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini
@zezenuvel7612
@zezenuvel7612 8 ай бұрын
Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤
@khadija5761
@khadija5761 8 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤❤
@user-kb3yg5jl1g
@user-kb3yg5jl1g 8 ай бұрын
Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel
@HalemaHhhh
@HalemaHhhh 5 ай бұрын
Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 8 ай бұрын
Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤
@ninaken7109
@ninaken7109 5 ай бұрын
Beautiful house tour...
@islam.with_juneyd
@islam.with_juneyd 7 ай бұрын
Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi
@user-rj1gc5xk8k
@user-rj1gc5xk8k 8 ай бұрын
Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko
@rukiaathumanathuman7875
@rukiaathumanathuman7875 7 ай бұрын
Masha Allah nice
@lilianmkumbi6770
@lilianmkumbi6770 17 күн бұрын
MaashaAllah
@nuruyusuph5562
@nuruyusuph5562 8 ай бұрын
Mashallah msafi
@nasraabdul6878
@nasraabdul6878 7 ай бұрын
Napenda anavyoongea Uyu mama❤
@SharifaOm
@SharifaOm 8 ай бұрын
Mm nampenda sana huyu mama
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 ай бұрын
Okay 🎉
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 7 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sidikassim6759
@sidikassim6759 8 ай бұрын
Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 8 ай бұрын
Mashallah Mama kwako kuzuri nakupenda sana ❤
@faidhacute
@faidhacute 8 ай бұрын
Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire
@zuwenakabwe1017
@zuwenakabwe1017 8 ай бұрын
Tuko pamoja
@maryrich
@maryrich 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@najathtemo3908
@najathtemo3908 8 ай бұрын
Hatokubali yule mashauzi mengi😂😂😂😂
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 6 ай бұрын
Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w Ай бұрын
Mashahallah mama etu mpendwa ❤❤❤❤
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 8 ай бұрын
Nampendaga uyu mama yanii na ni msafii
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 8 ай бұрын
msafii na mrembo hana tabu mashallah
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ndio ajajipenda kama shangazi zangu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ndio ajajipenda kama shangazi zangu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Kumbe mpemba nikajuwa warabu mwanzo nilitaka sema warabu wasafi
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 8 ай бұрын
@@VickKulekana-si1ib muarabu wa kipemba
@elenlazaro3192
@elenlazaro3192 7 ай бұрын
Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅
@user-pq5my4ih2v
@user-pq5my4ih2v 8 ай бұрын
Super mama
@nasramduli5097
@nasramduli5097 8 ай бұрын
Love u mama
@meowzna
@meowzna 8 ай бұрын
Super MaMa😍 Masha'Allah🙏
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 7 ай бұрын
Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu
@lulushawaka6200
@lulushawaka6200 8 ай бұрын
Mashallah
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 8 ай бұрын
Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
@@mariamdullazy8166 Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 8 ай бұрын
Hats mie napenda nando nipo hivo😅
@mariammnongo2149
@mariammnongo2149 8 ай бұрын
Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
@@mariammnongo2149 Hahahaaaa ndo kila siku? Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 8 ай бұрын
Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 ай бұрын
Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌
@Ismail-kp7dx
@Ismail-kp7dx Ай бұрын
Mama hongera
@OnlyRuky
@OnlyRuky 8 ай бұрын
Mashaalah ❤
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo
@HeriethHaule-ct9gx
@HeriethHaule-ct9gx 6 ай бұрын
Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 8 ай бұрын
Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷
@Lexerjoh
@Lexerjoh 8 ай бұрын
yan ww kama mimi
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly 8 ай бұрын
Hongera
@minafadhil3837
@minafadhil3837 8 ай бұрын
Mamaa msafi huyu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 8 ай бұрын
Kajitahidi Sana
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 8 ай бұрын
Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham
@jamilamnetya6228
@jamilamnetya6228 8 ай бұрын
Nampenda sanaa uyu mama
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 ай бұрын
❤❤❤
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w Ай бұрын
Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂
@esterjames7407
@esterjames7407 7 ай бұрын
Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤
@user-rj1gc5xk8k
@user-rj1gc5xk8k 8 ай бұрын
Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 7 ай бұрын
Ametuonesha ili tujifunze.
@zulfayusra8747
@zulfayusra8747 8 ай бұрын
Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site
@w4058
@w4058 7 ай бұрын
User uko right kabisa
@agathachughu
@agathachughu 8 ай бұрын
Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮
@yusufuyasin2347
@yusufuyasin2347 8 ай бұрын
Mi namtaka Allyyy😂😂
@rouhysaleh6421
@rouhysaleh6421 8 ай бұрын
Sio aly ni alwiy
@naturelle1097
@naturelle1097 8 ай бұрын
Maua mazurii
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake
@marthahozza2964
@marthahozza2964 7 ай бұрын
😀😀 mh jmni binadamu
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Mpitie na kwangu jamani
@fauzhaji7149
@fauzhaji7149 7 ай бұрын
It's 9.99 not 66..
@antiyasanitiago3221
@antiyasanitiago3221 8 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@sinyooo6583
@sinyooo6583 8 ай бұрын
Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi
@skymoontravel7140
@skymoontravel7140 6 ай бұрын
Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅
@sinyooo6583
@sinyooo6583 6 ай бұрын
😂Apana bn
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC
@w4058
@w4058 7 ай бұрын
Mwanamke hufai kumsinga wanaume
@mombasa0076
@mombasa0076 7 ай бұрын
Ni upotezaji wa mda tu
@user-gm1vt3bt1h
@user-gm1vt3bt1h 7 ай бұрын
Haya namm naomba link
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 8 ай бұрын
😂😂😂saleh
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w Ай бұрын
Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue
@Boaz22
@Boaz22 7 ай бұрын
Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Na mtangazaji nampendaga
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 8 ай бұрын
👌🏽👌🏽
@jikonikwamamaSwaumu
@jikonikwamamaSwaumu 8 ай бұрын
Kungwi namuelewa
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 8 ай бұрын
Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗
@maisalashea7532
@maisalashea7532 8 ай бұрын
Hahahw😅😅
@munaashyahya1059
@munaashyahya1059 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sarahsamson26
@sarahsamson26 7 ай бұрын
Hahahahaa
@MissRafikieli
@MissRafikieli Ай бұрын
Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.
@user-yi3yh9or4h
@user-yi3yh9or4h 5 ай бұрын
Upo daa jmn huku zenj nakuhitaji
@user-yi3yh9or4h
@user-yi3yh9or4h 5 ай бұрын
Mii mbint wa zenj
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Anauza bei rahis hadi raha
@zuwena1zuwena114
@zuwena1zuwena114 8 ай бұрын
❤❤❤❤
@edyboyChamilion
@edyboyChamilion 10 күн бұрын
KUNGWI SALAMU ZIMFIKIE NDOA YAKE IMEMSHINDA KAACHIKA NDIO KWANZAA ANA MIEZI 6 KWENYE NDOA HALAFU NI MM MM MAMA ETY YEYE MWENYEWE ANATAKA KUFUNDWA MPOO😂😂😂
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ilala kwetu uko
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 37 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
Mboto awatoa machozi waalikwa
8:06
Azam TV
Рет қаралды 182 М.
il caldo fa brutti scherzi #dog #fight #punch
0:18
Cronache della Campania
Рет қаралды 23 МЛН
il caldo fa brutti scherzi #dog #fight #punch
0:18
Cronache della Campania
Рет қаралды 23 МЛН
小丑与白天使遇见丧尸?#short #angel #clown
0:32
Super Beauty team
Рет қаралды 25 МЛН
Мне приснился очень страшный сон
0:38
MAGIC DRINK TRICK TUTORIAL 😱😳
0:20
Milaad K
Рет қаралды 72 МЛН
family is everything 🥺❤️ #shorts
0:16
Pop it GO
Рет қаралды 14 МЛН