Рет қаралды 20,433
Ni mafundisho ya kila juma kutoka katika kanisa kuu la Bukoba , Mafundisho haya yanatolewa na Padre Dkt Faustine Kamugisha Paroko wa Parokia ya Minziro jimbo katoliki la Bukoba. Mada ya juma hili mada ilikuwa ni Shauri Yake Shauri Yako.