Ni mafundisho ya kila juma kutoka katika kanisa kuu la Bukoba , Mafundisho haya yanatolewa na Padre Dkt Faustine Kamugisha Paroko wa Parokia ya Minziro jimbo katoliki la Bukoba. / @fr.josephat-sharinggo...
Пікірлер: 140
@josephinebiringanine71132 жыл бұрын
Haki unapoliya na kusali Mungu anajibu maombi...Umenibariki saana Padri wangu. Mungu akuweke Baba 🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@charlesmarege45502 жыл бұрын
Naomba kuunganishwa kwenye group...Tumsifu yesu kristo
@dominicblass431921 күн бұрын
Tyk, mtumishi Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako
@beatuswamara23514 күн бұрын
Nashukuru kwa neno hakika nimepata mambo mengi leo.
@OdiliaAliganyila
Ahsante fr kanyanyazi Kwa mahubiri mwema na mazuri Mungu akubariki
@HellenMally
Asante baba mung akubark
@dominicblass4319
Tyk father Dkt k, takutakia utume mwema.
@ghatimakonge93832 жыл бұрын
Nimekuelewa Baba nitajitahidi kwa machozi yangu nitamlilia Mungu wangu ❤️🙏 ili vifungo vyote nilivyofungwa vinitoke
@HilariaJoseph12 сағат бұрын
ASANTE KWA MAFUNDISHO MAZURI
@Erick-eu7ir
Kwakwel baba maneno yako tunayaishi
@user-sk5gu5oh7o
Amina mtumishi
@CatherineLema-o6d21 күн бұрын
Amen
@lameckcolling-dr5pw Жыл бұрын
Amina
@eliminatarichard64572 жыл бұрын
Barikiwa Sana father kamugisha Mungu akulinde Katika utume wako nabarikiwa Sana na mafundisho yako.
@alphoncinaramadhani5410
Amina 🙏🏽🙏🏽 unafundisha hali ambayo napitia asante yesu kristu kwa ukuuu wako
@noramotron9650
Father Kamugisha, Mungu azidi kukusimamia, tunabarikiwa sana na mafundisho yako.
@jabatakitwala9369 Жыл бұрын
Ahsante sana!Padre kamugisha
@dailytz2 жыл бұрын
Ahsante sana Fr.Kamugisha, hakika wewe ni chombo kilichobora katika uinjilishaji....