Рет қаралды 78,138
Ni mafundisho ya Juma la tatu la Kwaresima mada ikiwa KUSEMWA NI MTIHANI , ni sehemu pili ya mafundisho haya . Mafundisho haya yametolewa na Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Padre Dkt Faustine Kamugisha katika Kanisa kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Bukoba. Mafundisho haya hutolewa kila Ijumaa baada ya njia ya msalaba.Mada ikiwa ni Kusemwa ni mtihani, Usijali ni wangapi wanakusema endelea kufanya jambo zuri katika jamii.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja