Bora baba yangu wiki mbili kabla ajafariki alinionya tu nisidai mali zake indapo atakufa...imenisaidia😥😥😥😥😥😥😥😥zote zimepotea potea
@twarbnasoro15944 жыл бұрын
Allah atuongoze katika njia ya kheri
@mwananassor14154 жыл бұрын
Amiin
@kalssambaboo97054 жыл бұрын
Ameen
@assilaibra45634 жыл бұрын
Aaamiiiin,
@adijarashidi14264 жыл бұрын
AAmin yaarab
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
Amin
@janealfa19794 жыл бұрын
Nakukubali sana...MTU makini
@shristinangitu26073 жыл бұрын
Wa mtwara mwenzangu
@kanyangezafaraniddi65184 жыл бұрын
Kazi nzur Davista nakufata saan from🇨🇦🇨🇦
@hebronsdaughter16614 жыл бұрын
Mmh dunia dunia Mungu tuongoze duniani tushukuru na utupacho
@teklamosha73823 жыл бұрын
Duuuh so pain Mungu atusaidie jmn
@maryamabdullah91694 жыл бұрын
Pole sana Yote Ni maisha hayo Allah ndio Hakim wa haki Allah ndio mlipaji ss hatuwezi hukumu
@elisanjichanyange54854 жыл бұрын
Kupoteza mama nichangamoto sana, yarab tustir tusiwe na mioyo ya kutokuridhika
@georgebugangazpoa49752 жыл бұрын
Mpokee Yesu Kristo
@basiltobiasi60473 жыл бұрын
Mungu aibariki kazi ya mikono yako brother davista matta Mr fact endelea kutuletea vigongo vya ukweli
@aishasaid67494 жыл бұрын
Safi sana aiseee tunafarijika sana ss ambao tupo nje ya tz
@kiehbhzh70444 жыл бұрын
duh mtihani huu mari hizi bola tuenderee kuosha vyoo vya warabu uku omn
@nundabe4 жыл бұрын
Leo nimekua wa 1 🇧🇮. 😂😂😂
@husseinchea55244 жыл бұрын
Nakukubali Davister ile kishenzi...natazama nikiwa pwani (Mombasa, Kenya 🇰🇪).
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Mhh uchawi shkamoo.
@ahshbsbx29914 жыл бұрын
Nakupenda kaka endelea kutuimisha
@wantangosaimon52954 жыл бұрын
Duh watu wa ntwara mnatupa burudani hadi raha ila poreni xana mzee baba kusaidia nje yaweza kuwa ni masharti ya mganga
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Mimi napigana apa kwa ajili ya watoto wangu alafu aho aho waje waniue kwa mali nzngu mwenyewe maangaiko nayo angaika mimi peke yngu alafu mwanangu aje aniuue 😂😂😂😂😂😂😂😂😂kwakweli inauma aiseee
@sarahyvonne45803 жыл бұрын
Uwe na mali usisaidie watoto wako,hio mali inamaana gani,watoto ndo wanafanya nitafute mali,bila wao ata mm nitakaa tu,nitafute cha tumbo,nikingojea kufa,sema mali zasikuizi nihatari sana,unaenda kwa mganga unapewa masharti,ati usisaidie watoto,heri ikae
@aminaismail42214 жыл бұрын
Dunia ina mambo poleni kwa mitihani muregele mungu na mtubie
@hamidaalhabsi85684 жыл бұрын
JAMANI nimezaliwa africa nimesoma africa katika maisha nilio ishi NA wazazi wangu africa sijasikia haya yote leo ninayo yasikia kwani kumekuwa nini leo hii jamani africa mungu atusitiri yaarabi nahaya yanaotokea duniani💔💔💔💔💔💔
@jamilaally31724 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
@griezmannmhalaka43384 жыл бұрын
Ndio sawa ya tamaa
@dullermzungu30604 жыл бұрын
Duller Mzungu hapa
@najimyahya79014 жыл бұрын
Leo nimekuwa wa kwanzaa kbisaa kungaliaa watching from 🇨🇦🇨🇦
@josephmuchiri31804 жыл бұрын
Pamoja sana kaka,tuelimishe tu
@naythardarling11154 жыл бұрын
Mmh!! Mmenifumbua macho yaan niko na mawazo kwl kwel manake maisha yenu ayatofautian na yetu ila poleni sana ilibid mtoke mkae. Nae mbali sna ilimpatr nafuu kiduchu
@zeboytv70434 жыл бұрын
Bwana Achumani😂😂😂😂😂 Tumemmic
@linahmwende83974 жыл бұрын
Ntumeee ntoto njuli maliamu😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zeboytv70434 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Ntoto namlove menyewee
@susanejd77754 жыл бұрын
Yule chio achumani yule mfaume achumani ni rafiki yake😀😀
@hijjaferrari82433 жыл бұрын
Huyu mluguru anaonekana tu
@rizickalexander76344 жыл бұрын
wa kwanza like za kutosha
@user-me3ee4fu8w4 жыл бұрын
Doh hii nayo ni kali sana
@roseuwambe80894 жыл бұрын
😂😂😂😂nacheka kama mazuri kafichwa kataja majina yote ya familia nzima🤣🤣🤣🤣🤣
@hisanmwakijungu103 жыл бұрын
Hahahahaha
@mosesjohnswilla99262 ай бұрын
Kataja majina yake, majina ya ndugu zake, Jina la baba yake, jina la Kijiji anachoishi, jina la mganga....😂😂😂
@hamisifereji27694 жыл бұрын
Daaaaa mtihani sana
@asingakanimwanapotoyakala80534 жыл бұрын
Watching from south Africa/ CAPE TOWN
@salumbunga2404 жыл бұрын
Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊
@emmanuelyraphaely33434 жыл бұрын
Leo nimekua wa 5 like zenu ndugu zangu watching from 🇦🇺🇦🇺
@gredandenza32884 жыл бұрын
Du ila mtwara wachawi sana
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Pole kakangu kumpoteza mama huwa nijambo ngumu heri uwache namchumba kuliko mama😭😭😭😭😭 nakusaidia Kulia mana mm nipo hapo kuwapoteza wazazi wote wawili Nasidhani kama huyo mzee alikuwa niakili yake kwaza anabibi wakambo halafu inawezekana aliambiwaa namganga awe mgumu katika family yake aangalie tuu watu wainje kibaya zaidi hajawai kuwashirikisha kuwaambia hixi Mali sio halali ama yy ndoalimua bi mdachi iliafaidii utajiriii😭😭😭😭
@OmanOman-ik9sp4 жыл бұрын
Pole sana
@kalssambaboo97054 жыл бұрын
Tobhaa wallah kunawatu wanashinda you tube dooh😂😂😂
@ibrahimaziz71582 жыл бұрын
Hawa ndio watoto wa mwendokasi wenyew sasa
@sharifahamisi98124 жыл бұрын
Mzee nani uyo jaman
@jotafungo46223 жыл бұрын
Aiya weeh!
@Anza_tz4 жыл бұрын
dooooooooooooooooooooooooooooooooooo hii ni hatareeeeeee
@mariamukingazi36684 жыл бұрын
Asee dv unatembea
@mwamurekadenge21613 жыл бұрын
Perfect 👌💯 story
@athumanmakale82214 жыл бұрын
Tamaa mbele Mauti nyuma. Methali hii watu wengi hawaishi nayo. Ndio maana tunaona visaa kadhaa wa kadha vya kutafuta utajili..
@swaumujuma63334 жыл бұрын
Doo msiba mzito walah yah allah waja wako wamepotea 🙏🙏
@ochuMay05 Жыл бұрын
Pamoja sana Kaka.. Kaka Kuna Ile stori ya Safari ya ulaya ilivyogeuka kuwa kuzimu tunakuomba utuletee yule jamaa atusimulie mkasa wake..Please.
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
sawa
@thureiyahrawah59923 жыл бұрын
Mlikuwa wakubwa mngetafuta Mali zenu lkn
@fatmahemed21892 жыл бұрын
Subuhana Allha
@teresanjeri48234 жыл бұрын
Watching from Kenya , Nairobi
@likeothers24984 жыл бұрын
From Mombasa Kenya
@goodgood93704 жыл бұрын
@@likeothers2498 from Sweden
@baokimani7604 жыл бұрын
Noma kweli am from Kenya kitale town
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
Anaongea kama Bwakila hehe
@kalssambaboo97054 жыл бұрын
Dooh mtihan huu naona
@popod1774 жыл бұрын
Watching from Kenya ,..mombasa😎
@likeothers24984 жыл бұрын
Pamoja
@husseinchea55244 жыл бұрын
Kumbe tupo wengi 😊
@azizasayi974 жыл бұрын
Dah jamn Pole kaka Dv endelea kutuelimisha
@salmasalma82034 жыл бұрын
Hongr kk upo makin na kz yk ubrkiw
@hawaynatimam9823 жыл бұрын
Nikamuue babaangu sababu tuu hanipi mahitaji, kwann nisitafute zang
@mwananassor14154 жыл бұрын
🤓 kaka VP tena!!!! "Au ndo Yale ya mchimba kisimaa kaingia mwenyewe"au sjaelewa story
@ameenaameena57274 жыл бұрын
Duniya si mama ni shuke
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Nmewahi Leo 🤗
@winfridakaaya27584 жыл бұрын
Ubarikiwe dm
@wantangosaimon52954 жыл бұрын
Sio rahisi baba afanye hivyo yawezakuwa ni mashart ya mganga uxomeshe majilani af Mtoto wako umuache aaah sio rahic
@mwesigwaannte67514 жыл бұрын
🤔 but Thanks Davistar
@goodgood93704 жыл бұрын
7
@victoriastephano40753 жыл бұрын
itakuw alipewa masharti ya kutokuwasaidia
@beatricekweka66834 жыл бұрын
Ooh
@sekelamwambomanabiiwakwwli85594 жыл бұрын
Nimewai sana wa NNE leo
@sekelamwambomanabiiwakwwli85594 жыл бұрын
Wa NNE leo
@somoeawadh77744 жыл бұрын
🤔🤔🤔
@dotosalim50904 жыл бұрын
Mababa kama awo sio amri yao nishindikizo la mama wakambo mm nimepiti mapito ayo
@shakiraabbas75384 жыл бұрын
Duuuu mali hizi
@user-nu3ud7ws9bАй бұрын
😢😢😢😢😢😢mtihani ivo
@abbyadams86914 жыл бұрын
Life is full of mysteries
@zuleyvendor65774 жыл бұрын
Wamakonde oyeeeeee
@rosecruiz43484 жыл бұрын
Watoto muachie tamaa
@margaretnjeri76954 жыл бұрын
Tuko rada from Kenya , Nairobi.
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Ndo mana baba angu aliuza kila kitu kabaki yy tuu kwa sasa Sisi ndo tunamsaidia aliona aya maana family zetu izi za kimasikini zinatabu sana aiseee 😥😥😥😥😥Yesu tuhurumie
@ashasiri27204 жыл бұрын
❤️❤️🙏
@hellenmanzi47404 жыл бұрын
Hehehe ya leo tamu
@karimkalama66293 жыл бұрын
maisha yenyewe mafupi lkn watu tunayaangaikia
@kashuradiocles10684 жыл бұрын
Duuuuh kweli dunia ina mambo mengi, watoto kumuua mzaz wao
@nurafedrick3784 жыл бұрын
Masikini yani mliendaa kumrogaa mxee sasa imewageukia nikama babayenu mganga wake alikuwa hatari Hivi kwann watu wanapendelea mali zaurithi sana?? Soma kishida malixa tafuta zakwako zaurithi hata siku moja siezi tamani mana ningezitaani kama mama ako hai lkn mama kaondoka hujui pia yy sababu akaolewaa heri upambane nahali yako tuuu kwaza urithi namamakambo wapi nawapi🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️ nimtu kujakuuliwaa kabilaa siku zako za Mungu kufika
@bensonlameck63484 жыл бұрын
Tishaa
@OmarAli-dn8cn3 жыл бұрын
P
@mamawardha29244 жыл бұрын
Msinge muua mngeziiba tu hizo hela
@alifadhili60564 жыл бұрын
Mtu wa 1k ...saf dav makini kbsa duh kuua mtu s jmbo rahsi aisei duhh
@nurdintembo74804 жыл бұрын
Leo nami nimewai wakumi leo
@merinarobin18944 жыл бұрын
Dunia kama duni ndivyo ilivyo
@marychacha70844 жыл бұрын
Mbona Tena kavimba blaza.au mlichukua nyayo zake!? Du Mungu atusaidie binadamu kwa kweli
@sharifahamisi98124 жыл бұрын
Aisee upo kwetu leo kaka newala sehemu gani apo shirki mbaya jaman
@awadhirajabu26064 жыл бұрын
Sasa Uyo Mzee Alistaili Azabu Lakini Sio Kifo Mngefanya Jambo We Mali Zipo CC Wanao Tubaki Zilo Kumbe Apo Mama Wa Kambo Tatizo Kubwa Sana Duniani Na Baba Wa Kambo
@jangombeboys45364 жыл бұрын
MALI 2
@winniedorah7784 жыл бұрын
ATI nimiguu wanatoka minyoo hii kali
@pennykiruka93144 жыл бұрын
Watching from SOUTH AFRICA joburg
@abassmchonjo66354 жыл бұрын
Kuuanikitukigumu.wengine.wanachkulia.kawaidatu
@lucyshirima78624 жыл бұрын
Mtwara mnaniniiiiiiiiiiii
@beautywithnay59744 жыл бұрын
Mimi uwaga nashindwa kuelewa kwakwe li kuhusu story zako uwa nazipenda sasa shida inakuja ivi kwanini ao watu wanaouwa wanakuja kusema apa kwanini awakamaatwi jmn mtu anaongea kabisa kuwa aliuwa kwanini selikali ya Tanzania aikutafuti ili wawakamate wao watu waliuwa watu wakatumikie kifungo vyao jmn
@salumumadukwa55164 жыл бұрын
Unajuwaje kama hawakamatwi
@voodothurday3 жыл бұрын
Kumbuka kuwa serikali haiamini uchawi
@mwatimeabdallah79454 жыл бұрын
Leo nimekuwa wa 20 oyoooooo
@shebaminde76564 жыл бұрын
Jaman usiposimama vizur kwa Mungu dunia itakupeleka puta mpk ushindwe pa kuchomokea
@pendomwahalende48694 жыл бұрын
Mmakonde mwingine ndani ya nyumba kelele ya kwanza kwa mmakonde wakee🔥🔥🔥