Mungu nimwema umerudi kwenye ufalume wangu sasa mutumikie munguakulinde malaikawakaweke kituo chaulinzi ndani yako
@user-cj9pe5ts6c4 ай бұрын
Watching from Kenya 🇰🇪dada shukuru mungu uko hai atazidi kukutetea
@RoseMalle-bi2ks2 ай бұрын
Hongera,umerudi kwenye kundi la Mungu,ulipotea ,Mungu ni mwema kila wakati
@foundationforcommunityhope73275 ай бұрын
Asantee Sana Bwana Yesu Kristo Kwa kumwokoa huyu Dada Yoh.3:16
@nasmiriti31415 ай бұрын
Kwa yesu kuna Raha kuna njia... hallaluyia sifu yesu ...hiyo ni wimbo
@gladysmueni25345 ай бұрын
Utajiri thabiti ni kwa Yesu.Njoo Dada,Karibu kwa Yesu,kwa Yesu Kuna Raha,Kwa Yesu Kuna Amani.Mama Yesu anakupenda.Mrudie Mungu muumba wako Mama
@CohlinzCohlinzkogei5 ай бұрын
Amen
@irenekaluse32134 ай бұрын
Amen
@mariahyera37375 ай бұрын
Njoo kwa Yesu Dadangu, Bwana atakufanya upya.
@Satier475 ай бұрын
🇿🇦 HONGERA SANA DADA YANGU 🤝 🧡 🌹🥭🍑🌻 WELCOME TO JESUS 👏
@user-wf5ms2le3u5 ай бұрын
Pole sana dada mwamimi mungu yataisha
@kerubojzion22736 ай бұрын
Hongera kwa Yesu utapona kabisaaaaaaa
@AngéliqueTuyisenge-c3z4 күн бұрын
Pole sana Dada kwa Yesuu kuna laha
@kerubojzion22736 ай бұрын
Dada njoo kwa Yesu
@user-dm2wb2dm1e5 ай бұрын
Mungu akupokeye
@patricknasikilizanikiwanam41083 ай бұрын
Mwanzo niliposikia kuhusu ichi chama nilitamani Sana kujiunga lkn nashukuru mungu alinitetea nakuninusuru kwa laana hii kwa hivi nisingeweza kabisa asante mungu
@user-od6dy8qo7m2 ай бұрын
Hahaha.chama
@FatmaHamisi-p4eАй бұрын
Mungu ndio kila kitu kwan hata yesu alikuwa anamuomba mungu mwabudu mungu atakusamee
@NanaashNduwimana3 ай бұрын
Katika waandishi wenye awajui kuuliza ma swal wa kwanza ni wey.yan ma swal Kama yote ujamuuliza unarudisha Yale yalee.abari ya mtoto imeishia wapiiii.umekazana kumuulizia rafiki yake.apo umuuliz byeny binamuhus🤨😏
@HalenBahati6 ай бұрын
Amina Amina dadayetu Mungu azidi kukupigania
@SeanBaraka-zv8dk2 ай бұрын
Amina
@user-ep9by3ui1v2 ай бұрын
Alléluia 👋bwana yesu asifiwe
@VioletNamz-tq4tg5 ай бұрын
Mungu ni mwema Sana, Mshukuru Yesu kwa kukuokowa.mali zote zinabaki apa duniani Wala azina faida yote dada yangu.
@AishaAbdullah-qj1lt5 ай бұрын
Mbona part one alisema kaenda Nigeria 🇳🇬 kwa kuchukuliwa kimazingara galati part two anasema kaenda kwa ndege
@lucymwanakatwe1645 ай бұрын
Pole bibie njoo kwa Yesu Kuna Raha ya kweli we meamini tu
@jacintamutua4222 ай бұрын
Mungu ni mkuu na anamapenzi ya kweli anasamehe na kukupa nafasi tena
@arjunmutotowadzaleka4 ай бұрын
Pole sana mama asan❤❤❤❤❤❤❤ mungu ata kujaliya kwajina la yes
@user-et2xl1gy2c4 ай бұрын
Daaa dadaang pole sane lskn usikate tamaa mungu anakunda njoo kwa yesu ili iwe funzo at kwa wengne
@reginaruta32495 ай бұрын
Okay mpe Yesu maisha Yako atakulinda dasa
@mtakatifubony55254 ай бұрын
Mama Hassan nimefurahiii kukuona tena Mungu Akutunze dadaaangu
@MaksMedia14 ай бұрын
Endelea kufatilia
@user-gz7ds4mb6x3 ай бұрын
Jamani mama hasani duuu ulikuja ukawa masikini
@madamboss63232 ай бұрын
Unamjua
@jamesthoya82616 ай бұрын
Dada nkuomba san njooo kwa yesu utakua saw
@jacobnyirenda56965 ай бұрын
Mungu yupo wawe dada.
@GildahMuhonjah4 ай бұрын
Mungu ni wahuruma dadangu usilie atakusaidia
@kuschprince3216Ай бұрын
Mtangazaji, huyu ma. hassan anazungumza wazi wazi, hatuelewi unamkatizia na kumregesha nyuma, mwacha maswali mengi unapoteza airtme!!
@nyasolina53643 ай бұрын
hii story ni nzuri。 muadisiaji yuko vizuri。 ila mtangazaji 。unazingua。umenitoa kwenye reli kama ulivyomtoa muadisiaji
@zainabufeka874 ай бұрын
Hii story niyauongo kabisa weeee
@Tino-outfit232 ай бұрын
Tuambie wew ya ukwel ni ipi
@haryanyawu6402 ай бұрын
Pole sana Mungu akuinue
@SophiaMalindi2 ай бұрын
Jaman wanadamu tulizike alivyotupa mungu tamaa mbaya
@user-tm9go3ks2q4 ай бұрын
Mdogo wangu yesu ana mashariti karibu xana
@ukhtyrayyan78842 ай бұрын
Mnaudhi nahuyo yesu wenu nanyie
@christermlewa84712 ай бұрын
Asante Acha tukuudhi na Yesu wetu Kwa sababu tunampenda,we pita kushoto,kama tunakukera,Yesu ni mwanzo na mwisho wa mambo yote❤❤❤
@user-xn4yh4rq6s3 ай бұрын
Waaaaah mashariti mangumu Sana Kwanza Mimi naogopa snake😢😢
@shanizuberi79844 ай бұрын
Mbona unaonekana mdogo miaka ya karne gani ulikua tajiri jamani kama sio interview katengeneza huyu mtangazaji ili ajulikane maana ndo zenu mnalipa watu hela waje shuhudia uongo
@jamesisatujobe47403 ай бұрын
Story ya kutunga, eti alikaa na joka miaka 30 ukimuangalia huyo dada hata miaka 50 hana.
@Fxpm2802 ай бұрын
Sasa we jamaa unauliza kwa nini linatoa machoz ya damu. Aisee kajifunze kwa davistar mata
@user-jl1db6lc1w5 ай бұрын
Pole sana, aise nenda kwenye makanisa ya walokole wakuombee ,ili uwe na amani ya kweli.
@ramlajuma53172 ай бұрын
LAAILAHA ILLA LLAHU WAHADAHU LAA SHARIIKA LAHU LAHU LMULKU WALAHU L HAMDU YUHYII WAYUMIITU WA HUWA ALAA KULLI SHAYIN QADIIR
@AishaAbdallah-hp7ue2 ай бұрын
Subuhan Allah atupe mwisho mwema
@DeusDaniel-j7c11 күн бұрын
Mungu ndo muweza wa yote
@princematumbo3 ай бұрын
Hizi ni hadith tu za kujifurahisha.Eti amekaa na nyoka zaidi ya miaka 30😂😂 Hizi hadith za jaba 😂😂😂
@arafatali27962 ай бұрын
waongo eti
@SalmaJawewa2 ай бұрын
pole kipenz mung ni mwema
@user-dl1ke5ly2z5 ай бұрын
pole sana dada
@mariamwalla99073 ай бұрын
.. Yesu pekee atosha,!
@Jabaman207-ue6sk3 ай бұрын
Yesu hawezi muhokoa. Ni mwenyezi mungu pekee.Aliye umba Kila kitu
@NaomiAlai3 ай бұрын
Wokovu unatoka kwa Yesu aliyetufia msalabani
@ukhtyrayyan78842 ай бұрын
@@NaomiAlai nanyie nanuie yesu kwani ninani kwenu yani munamuamoni yesu kuliko mungu nyingi wakristo gani wamiakaa hii
@user-jv1ch4tr8q2 ай бұрын
😂😂😂Sijaona watu wa jinga duniani km wa cristo
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Pole sana dada
@MwanaidiKejo2 ай бұрын
Hamkujipanga ww ungesaidia wazazi wa rafiki yako na ndugu zake na yy angesaidia wazazi wako na ndugu zako
@khalidchengula15162 ай бұрын
Ivi ni kweli au ekti kama siamini hiv
@ericdoctor69333 ай бұрын
Watu fanyeni utafiti mbona mnalala naona mnaandika yesu yesu kwasana kwani hamjuwi kama jina yesu ni firmason na maanisha Jesus:Mama yake ilo jina hengelikubali mtoto wake aitwe ivo wakati yupo uhai
@fathimamct2326 ай бұрын
Muongo huyu Hawa ndio wanaotaka kuaminisha watu ushirikina
@naomilukani22792 ай бұрын
Huyu mama anafanana na mke wa bilionea Msuya
@CarenExavery2 ай бұрын
Mh fuvu langu halikmati au nn kasema kaish na nyoka miaka 30 lkn ni muda mchache kutoka fremason ko uliingia frimason ukiwa na miaka mingap mmenivutuga
@jimmymnuano71656 ай бұрын
Hebu tufahamishe lugha gani ulikuwa ukiongea nawo je Kihausa au Kingereza ? Hebu fanya kipindi kingine uongee lugha ulivyo ongea nao
@user-eg8kt6ke3u4 ай бұрын
Pole sana mama yangu umefanya busala kulindia njia sahihi
@saidkhamis53182 ай бұрын
Maswali 1-Nyumba ziliondokaje,Mtoto wako ilikuaje, Je kama ulienda Ngende hawana mahusiono na Freemason ilikuaje uende Nigeria, Pia Kariakoo ulifanya biashara miaka gani Mafunzo ni menti lakini kwenye hili Drama ni nyingi
@mirriumkiamba34553 ай бұрын
Yesu ni Mambo yote 🎉
@hassanbakari45256 ай бұрын
NILIKUWA NAISUBIRI KWA HAMU,,,SITAKI KUJUA KAMA KWELI AU YA KUTUNGA,,,,ILA ANAJUA KUHADITHIA.
@ClementinaHabineza5 ай бұрын
😂😂😂 nami staki kujua chamuhimu nskie tu
@RachelPaul-gb3po3 ай бұрын
Pole
@user-cs3wu6nw1b4 ай бұрын
Jamn natamani kujua hizo pesa na Mali zinayeyuka au inakuwaje😅😅
@ericdoctor69333 ай бұрын
KWa nini hauja mu uliza kama duka lake lazamani ao fasi akikuwa anakaa akipita anapakumbuka
@haryanyawu6402 ай бұрын
Pole sana
@wemasangasanga7575 ай бұрын
Pole dada hela zipo kwa yesu
@LilianNyakato-hp6wx4 ай бұрын
Acha Nile mlenda na tembele utajiri washida staki😢😢😢
@VictorineAchieng6 ай бұрын
Na Yule samwel anavosema ETI yeye alibaki Na gr Na nyumba yeye ilikuaje akunyanganywa😊
@BellaNathalie-xt5gmАй бұрын
Yesu ndo mukubwa mari ya shetani niyashetani tu
@mjairinyasatu96982 ай бұрын
Mtangazaji kumanyoko unaongea.sana Yan Hadi unabore
@ChristinaMlama2 ай бұрын
Njooo kwa yesu kumenoga mama kunarahasanaa
@swedmsosa8642 ай бұрын
Kumbukeni kila kitu kina gharama kila Chenye sura kina kisogo
@mimarsalehe93155 ай бұрын
Muongo kila siku anafanya interview za uongo. Mara yeye ni mchawi saa hii amejua na kusema yeye Freemason. Utapeli huo.
@AishaAbdullah-qj1lt5 ай бұрын
Na ukisikiliza hapo anasema alikaa na Hilo karibu ya miaka 30 😂😂😂😂 while anatudanganya 😂😂😂😜 huko joka lilikuwa linalia 😜😜😜 na baadae anasema lilikuwa linalia kumuonea huruma 🤪🤪🤪🤪🤪
@rehemamgata2244 ай бұрын
Kuangalia muvi ya bigboss😂😂
@AnnAumaOuma3 ай бұрын
Nauombe usamewe na mungu, nauta kuwa sawa
@TheodosiaSangka2 ай бұрын
Mrudie tu Mungu wako milki yote ya ulimwengu anayo Yeye na hatoi kwa masharti
@tasokwamichael24336 ай бұрын
Je?ni Historia ya Kweli kuna Hela za hivyo Au 💰💰
@user-io7ql4ny2x6 ай бұрын
Mtangazaji mm.hasani tushamuona sasa twamtaka mama salama tulete
@judithtitomalyeta40003 ай бұрын
Njoo Kwa yesu hutakufa na mwanao ataishi wachawi Awana nguvu
@veronicankhwazi79544 ай бұрын
Aliishi na joka miaka 30 duuh
@rehemamgata2244 ай бұрын
Hapo nimeshangaa na mimi😂 nimemchek maana hata miaka 50 hana
@DofaMweya-lu9zm2 ай бұрын
pole sana dada 😢😢
@SimionJohn-jg6if3 ай бұрын
Umekaa na joka miaka 30, hapo umetupiga
@ericdoctor69333 ай бұрын
Maswali magumu hauja muuliza ilitujuwe kweli kabisa ao
@Shakilaabdulkarim3 ай бұрын
Vumilia na kile kidogo unachopata manake hakuna yeyote anayejuwa kesho yake huenda ukakumbukwa siku moja na maulana
@alfredbomani80476 ай бұрын
Naona huyo msimamizi kipindi kivuruge anapotezA 😢 mtiririko. Kapigwe msasa tiki tv. Maqna vya msingi kqma ya ntoto huulizi mweeee. Unarufia radiation ky I ngeza dkka!😮
@minaelnathanael18466 ай бұрын
Hi huyu mama ogaa sio alipata utajiri wa kiganga tu. Kisieleweka kwangu ni mawasiliano. Lugha gani walikuwa wakiitumia kwa mawasiliano?
@MaksMedia16 ай бұрын
Ok sawa utapata jibu part3 best
@ushyentoabdulnunu80444 ай бұрын
Tupeni majibu pls mtoto alirudi ama....na apo alipo sai n cwake ama vip @@MaksMedia1
@AnthonyVitalis-iy5su5 ай бұрын
Du!! Pesa hiii
@reginaruta32495 ай бұрын
Unasema freemason hakuna shida. Kukaana joka ndani hiyo ni raha kweli dada?
@user-ek2ij7ur7b5 ай бұрын
Nipe konekisheni mm nijiunge mm naitafutaga sana fremasoni
@ismailgumbo2896 ай бұрын
Mnabisha nini ? Em nenden mwachukue utajili huo muone ? Anachoongea nikweli hakaongopa hat moja ,namengine ajaongea apo
@user-xz2yu4hv4w5 ай бұрын
😂
@MohonoMwita5 ай бұрын
Mbona hajibu maswali ya watu
@abuum37602 ай бұрын
dahh hahahahahaha, ukiwa na stress we ingia you tube tu
@paidenasra45482 ай бұрын
Nampataje uyo babu?
@diascookout82706 ай бұрын
pesa pesa iyoo Chamtimakuni yaku Mshirikisha Mwenye Zmungu ndio iyoo na Tamaa ya Dunia
@modestekapastar45516 ай бұрын
Qui ne risque rien n'a rien !
@mwajumasimbaMwajumasimba3 ай бұрын
Tuwache tamaa na maisha wanayoishi wengine
@user-xd4sh8pb9l2 ай бұрын
Umetuteka vizuri hapa kwa miaka 30 nimegundu story ya uongo.
@user-wi8og3sv4j2 ай бұрын
Mh nyingi ndowenyewe
@Nasrakalolo-yh7hr2 ай бұрын
Bisheni msibishe haya mambo yapo jamani
@TreasureMagumba2 ай бұрын
Uyu mtangazaji ni hewa yani anaenda mbele anarudi nyuma
@mayanmlingwa42505 ай бұрын
Hilo dada liongo liongo kutafuta views tu
@ayurekituz7364 ай бұрын
Ukiamuwa kufanya kitu basi wacha unafiki ww koma tuu au kata kuanzia awali
@ZainaKisengo4 ай бұрын
Duuh! Bora niwe Lofa lakini si Mali za ajabu
@tomasjilundumo8655 ай бұрын
Unalia nn siuludi huko filimason
@mathastinner-hw3ps5 ай бұрын
The Lord Jesus Christ came into this wicked world to save all people from the Snares of Satan the devil who is deceiving the whole world. Please come to the Prince of peace, who give water of life free.