ZABRON,MUZA CHEZA NA HII STORY ZIKO JUU.KWANZA ZABRON MWITA WACHA TU.WAPI LIKES ZA DAVISTAR
@matanobaya76603 жыл бұрын
Hii story imenifunza mengi sana:. 1.usimdharau mtu usiemjua au kumdhulumu. 2.shetani sio rafiki hata umfanyie vitu vizuri kiasi gani. 3.kwa shetani hakuna msamaha.......
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Hakuna ushkaji kwa shetani
@thegreat.98693 жыл бұрын
Umenena vyema!!
@heritier51193 жыл бұрын
Ongezea hela ya shetani haiendi bure ni lzm tu akutoe kafara
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
4. Kwa shetani hutakiwi kushindwa
@joycesycherlwy38353 жыл бұрын
Yaani mimi nayo nayo acha were likes zangu za wa Kwanza..... Kenya
@credo78373 жыл бұрын
Duuh
@stephenkariuki89743 жыл бұрын
Joyce unatuabisha sisi kama wakenya eti nayo nayo nkt!
@stephenkariuki89743 жыл бұрын
@@edwindavid7037 achana na huyu kaka sidhani ni mkenya labda msomalia😂
@yoldayim44923 жыл бұрын
@@edwindavid7037 hahahahaha alafu wanasema chao
@videozaaj10693 жыл бұрын
Kwenye hii story kuna mengi ya kujifunza wajameni.. 1.Dharau hazifai 2.Heshimu kila mtu wether unamjua au humfahamu. 3.Maisha yetu ni mafupi sana tunapaswa kujiandaa muda wowote. 4.TUJIKABIDHI KWA YESU NA HUO NDO USALAMA WETU.
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
5. Kwa Yesu hutakiwi kuwa legelege
@jacklineakoth10163 жыл бұрын
Kuuwa ni mbaya lkn hapo kwa kina scolasticker na rafiki yake na uyo jamaa hainiumi sana ata mimi nimedhulumiwa mara kadha hadi natamani kufanyia watu vibaya, nashukuru babangu ananiambia niachane nao bora nina mikono nitapata tu zingine Asante baba yangu
@rajabhussein77943 жыл бұрын
Pole Sana
@heritier51193 жыл бұрын
Maisha haya ni ya kupita
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Usimkoseee Mungu
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Huyo mama mkwe hakuwa kinganganixi wewe ndoulimuekea dawaa akupendee
@egospeltz94863 жыл бұрын
😭😭😂
@nasibubalonzizubusa34493 жыл бұрын
Amin usiami kifo ni Siri ya marehemu na mungu wake
@aishaally88113 жыл бұрын
Wakwanza jamni like zang sema davistar anatubania sana
@vicentsandess11153 жыл бұрын
Hay wataka nn tena kama like nimkupa😂😂😂😂
@aishaally88113 жыл бұрын
@@vicentsandess1115 🤣🤣🤣🤣 asanteeee nimefurahi
@credo78373 жыл бұрын
Hongera davista labda alikuw kwa wife
@aishaally88113 жыл бұрын
@@credo7837 wife 😇😇
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@aishabeka55623 жыл бұрын
Oyooooooooo💃💃tunaendelea na mzee wa bakora za kimkakati
@matanobaya76603 жыл бұрын
Unapenda sana bakora
@aishabeka55623 жыл бұрын
@@matanobaya7660 🤣🤣🙈bakora muhimu hasa ukimpata wa kukuchapa vzr😋
@nabosedward48362 жыл бұрын
@@aishabeka5562 njoo mimi nikupe bakora za kimkakati😂😂😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
Huyu jamaa kachapa bakora sana. Sijuwi hiyo bakora kama bado anayo
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@ikabako2454 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kabisa yani
@momyusuf77313 жыл бұрын
Allah atunusuru kwenye mitihani kama hii yarabb yarabb
@Laila-lz4ij3 жыл бұрын
Ameen❤️
@suleimaniyasri21663 жыл бұрын
Xm huyu jamaaa alikuwa nusu xhetanii...half anaroho mbaya kinomaaa...
@ivaniavianarodrigo72013 жыл бұрын
yani mr fact umeongea neno muhimu sana, kuna watu wanapenda kuzulumu mali za watu, ndo unamzurumu mtu kama huyu, ndo balaa unajiua maksudi.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@athumanmakale82213 жыл бұрын
Waoh! Nashukuru Davista umekata Kiu Yangu nimesubiria kwa muda Sana. Karibu Komando Lwanda Magere.
@mkukistore28163 жыл бұрын
Bosss dev leo holliday tunaomba offer tuongezee vipande vingine🔥🔥
@nurafedrick3783 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Jamani kweli hampti hata huku jamani😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@IANA20303 жыл бұрын
Bakora za kimkakatiiiiiii😂
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Nafsi ya huyu kijana ilichukuliiwa kuzimu. Kwa hiyo ndio maana alikuwa anatumikishwa na mapepo ndio maana alikuwa na hasira za kudhuru watu. Kwa hiyo ni nafsi ya kuzimu ikuwa ndani yake. Mungu wa mbingu na nchi aponye watoto wetu.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Amiin
@mabulamasunga73783 жыл бұрын
Kweli ilisemwa usimchokoze MTU usiyemjua.
@jamilaally31723 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
@jossyayielo75763 жыл бұрын
Nafuatilia vibaya mno🇰🇪
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@josephmaganga19313 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@tracyirene89173 жыл бұрын
Duhh!! Hatari huyu 🔥🔥 Kawaida Nilimtembezea Bakora kaishiwa na Pozi 🤔🤔🤣 !!!
@karrolleschon39863 жыл бұрын
Mr facts Usituweke sana bana
@denizamahongo85573 жыл бұрын
Ni mauaji na Bakora zinatembezwa tu ana kweli hapa kazi hipo.
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Jaman twaendelea kujifunza davista ahsante sana
@khadijaomari93443 жыл бұрын
naogopa mpaka kutoa comment asije kunipa bakora za kimkakati mbele na nyuma mwishowe kuaga dunia 😄😀😀😀
@awadhially37533 жыл бұрын
Osihofu amesha acha ila kuwa na heshima na watu khadija
@philipoluzege32003 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@khadijaomari93443 жыл бұрын
@@awadhially3753 weacha tu yani nimejifunza vingi rafiki
@khadijaomari93443 жыл бұрын
@@philipoluzege3200 😀😀😀😀😀
@abelmartne61693 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mosesjohnswilla99263 жыл бұрын
Ukweli hii dawa ya kuwakomoa watu Mimi naipata san
@johnassilvester16003 жыл бұрын
Hii story nzuri sana
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Nilikua na hamu nayo hii story....Asante Davistar mungu akibariki 🙏
@vicentsandess11153 жыл бұрын
Ata atustuan kwl???😢😢
@shizaarfred40593 жыл бұрын
Ulikuwa na muhaho 😂😂
@somoeawadh77743 жыл бұрын
@@shizaarfred4059 sana 😂
@somoeawadh77743 жыл бұрын
@@vicentsandess1115 jamani pole my 😔
@vicentsandess11153 жыл бұрын
@@somoeawadh7774 nimepoa ❤
@credo78373 жыл бұрын
Leo kachelew kwel mr everything wale wakuchungulia walikoma
@tracyirene89173 жыл бұрын
🤣🤔🤔🤔🤔🤣🤣
@credo78373 жыл бұрын
@@tracyirene8917 🤣🤣🤣🤣🤣
@angeciellamugisha38113 жыл бұрын
Jamani mko fasta mi wakwanza Kuona post ila wamwisho kutizama🤣🤣🤣🤣
@mwitawakimara36493 жыл бұрын
Haaaaaa mke wa mwenzio unasema wako
@benadethafrancis52233 жыл бұрын
Umeona Kaka eeeh
@pilimusa77703 жыл бұрын
Tena wote anaita wake zake hata hayaoa
@halimarashid2323 жыл бұрын
Stories na nzuri ila mtangazaji unaharibu mtiririko was stories unapoeleza mambo mengine haya ungefanya majumuisho kipande cha mwisho
@nurusky3 жыл бұрын
Umeona eeeh
@annasilayo14053 жыл бұрын
Mwendelezo vp
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
Afadhal kidgo leo nimewahi
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera💃💃💃💃
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
@@pilimusa7770 😋😋😋😋😁😁😁😁
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
@@pilimusa7770 karibu mama
@voodothurday3 жыл бұрын
Kuna mijitu inataka kuchapwa bakora za mikakati wenyewe
@ashelizakaria63063 жыл бұрын
haya maisha bana zalau zakuwaona watu unaaza kuwazalau wakti huna ukoo nao
@salumulesso63553 жыл бұрын
"Bakora za kimkakati" nimeipenda sana hii Davistar
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
Mr Chibalonza nae kwa kusifia hajambo,,,,,,,
@allyiddakizimana71033 жыл бұрын
Jamaa amekula bakola za kimkakati😂😂😂
@dotosalim50903 жыл бұрын
Nyie unakula chips amna bakora
@simonjohn72763 жыл бұрын
Punguza maelezo dvsta bandle ni expensive inabidi ni Skip maelezo
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
Ila wee mkaka toka umeanza jamani kutoa mapito yako jomon shati hilo hili inamana zote uliziandaa kwa siku moja yule mtt ulomtoa dam nae alikuchokoza siwalikukosea wale wadada mtt alikua nakosa gani
@godlovem71393 жыл бұрын
Mseme akupige dudu shuri yako
@khadijaomari93443 жыл бұрын
@@godlovem7139 😀😀😀😀 mm naogopa mpaka kotoa comment za jinga
@aishasaid67493 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 hahahaha utapa bakora za kimkakati 🤣🤣🤣
@sagaboymsouth3 жыл бұрын
Umesahau kama hata kipindi anafanya kafara alikuwa na nguo zake maalumu za kazi so is the same case 😂
Davistar leta mapema muendelezo maana tumeshatoka kahama tayari.
@geoffreygichanga85863 жыл бұрын
Leo number 1
@costavalenci76993 жыл бұрын
No one today 💪💪💪
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja Sana Ka Ka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo Jana na leo
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 nakupenda pia mwa mwaaaaa
@Pedeshee0111 ай бұрын
Niipate dawa ili nikuchape bakora za kimkakati😂😂
@mainapatrick22953 жыл бұрын
Story nice nice
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Nkamchapa Kofi la kishirikina akaamka, jmn Hilo Kofi kwio
@swamweliteobady44963 жыл бұрын
Haaaaa yani akuita mshamba ukupata zambi ulivyo mxhuulikia
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Yani hum kunawatu niwalinzi wa you tube dooh umeacha umemtembezea bakola ukenda kwa yule mkaka umemfanya bado hujachoka tuuh ukamrudia tena yule mwarabu khaa mmmh hatr sana
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
Huhuhu kaw kaw upogo
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
@@kalssambaboo9932 nipo ndg vp corona
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
@@kawtharsaleh9229 unamawazo nacorona mmh wee lizoee tuuh leo lipo juu haswaa nimeona kama elfu 3 na mia na 39 kitu kama hicho
@aishasaid67493 жыл бұрын
Ni kweli hakika Davistar
@lawilawi68003 жыл бұрын
Geuka hata sekunde moja magere😳
@jacklineakoth10163 жыл бұрын
Ata mwanamme mwenzako una kunguta bakora ya kimkakati, nadhani bakora ya kimkakati ni ya wanawake tu
@peterrulagora74033 жыл бұрын
😀😀😀
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Hakuna kitu wanawake huwa wanachukia kama kusikia mwanaume shoga
@pili37503 жыл бұрын
Watu muko fasta kwa kweli khaaa mi nimekaa muda mrefu you tube lkn nakutana na COMMENT 80😀😀😀
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Vifurushwi vimepanda bei Lakini Wamo sjui Pesa wameiba😂😂
@pili37503 жыл бұрын
@@sapnaabdallah1084 itakua wanafanya kazi kwenye hizo campuny za mitandao maana sio poa kabisa yaan 😂😂😂
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Yaan sikuiz napata notification kuchelewa 🥲
@heritier51193 жыл бұрын
Madikteta wote ni watoto wa kichawi. Thus madikteta wote wanatoa kafara watu,
@josephkibona18013 жыл бұрын
Story ya jamaa inafurahisha kuna vonjo vitam km anaviongeza hashish kusikiliza
@allymteba2533 жыл бұрын
No 1
@mbukumagiubukumagu4063 жыл бұрын
Kaka anatembeza bakora duh! hiyo dawa na mie nitayipataje kuna dada fulani ana madharau sana
@stidejustin11563 жыл бұрын
Mabusiano yakaendelea 😂😂😂
@magiemaggie31523 жыл бұрын
Jmn nihatar
@vicentsandess11153 жыл бұрын
Jua kalii san leo🔥
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣pole
@martinmaryogo36763 жыл бұрын
duuuuh huyu jmaa nooma
@is-hakayussuf99813 жыл бұрын
Acha na mim ni comment sio nasoma za wenzangu tu
@imagepower36413 жыл бұрын
mzee wa bakora😅😅😅sitaki dharau 'wapige tu mpaka wanye mavi
@egospeltz94863 жыл бұрын
Kupitia hii story nimeelewa kwa nini neno la Mungu linatwambia tusilipe kisasi. Anasema kisasi ni changu mimi niachieni nitalipa wakina scolastica na best yake walikufa sababu ya kutaka kujilipiza kisasi.
@egospeltz94863 жыл бұрын
@@ikabako2454 we unalolijuwa ni lipi?
@egospeltz94863 жыл бұрын
@@ikabako2454 swali lako ni controversial mimi ni mkristo neno la Mungu ni biblia takatifu, sasa sijuwi wewe neno lako la Mungu ni lipi kulingana na imani yako siwezi kukuongelea.
@user-oh5iu6jx2j4 ай бұрын
Uko sahihi dear
@credo78373 жыл бұрын
Ana mshukuru Mungu kwa huyo mwanamke kufika😲😲
@tracyirene89173 жыл бұрын
🤔 Kabisa!!
@credo78373 жыл бұрын
@@tracyirene8917i seee
@kisurangusa5543 жыл бұрын
Haise unapiga mwanaume mwenzako bakora mpaka anajinyea haise wewe ulikuwa popo bawa, unasema alileta matharau na nyodo, mbele ya mke wako hii ni funzo kwa wale wanao jiona wao ndio wao, aka bakora za mikakati,
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Ase dhuluma mbaya nyie msfanye ase hizo bakora kwa mwanaume mwenzio sjafaham alikua anapata delicious gani
@shamilakalinga4373 жыл бұрын
Msisahu kumtumia kale ka hela davister 😋😋😋
@tatuhongeranurushaus4853 жыл бұрын
Twende kazi na mzee wa bakora 😁😁😁😁😀😀😀😀👌👌👌👌👌
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Xakimikakatii
@tatuhongeranurushaus4853 жыл бұрын
@@nurafedrick378 😀😀😀😀😀haswaaaaaaa
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@tatuhongeranurushaus485 🤣🤣🤣
@samaboy25923 жыл бұрын
Oyooooooo
@mabulamasunga73783 жыл бұрын
Bos Dav nimeahidi kukupa zawadi sijasahau, jamaa pia nitampa zawadi ya kununua vitabu vyake. Lete hiyo movie chapchap tupambane na hawa voda wanaotupa 400mb za 24hrs.
@mariammgombayeka18243 жыл бұрын
Wamebadili sasa hivi ni gb 3.5 kwa 24hrs
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Story nzuri
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
Hujatuambia ulikua unaoga saangapi,kuosha kinyesi
@msalimsali69893 жыл бұрын
Dereva wa magere alienjoy sana
@upendoarondaniel78323 жыл бұрын
ningekuwa na uwezo ningemwadhibu kuna mtu alinidhurumu pesa angu
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Mwadhibu utajikuta adhabu inakupata na wewe
@sagaboymsouth3 жыл бұрын
Mke wangu mwarabu🤝
@pilimusa77703 жыл бұрын
Alafu hajaoa ila anaita wake zake
@sagaboymsouth3 жыл бұрын
He is so funny 🤣
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Pamoja dav ulipo nipo🙏🙏🙏🙏🇹🇿
@lenniefei67103 жыл бұрын
"Nyama za kushika"....Patamu hapo.
@milkahotieno21983 жыл бұрын
Waah nimewaiyi🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@ramadhangona90853 жыл бұрын
Pamoja 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@honestema3 жыл бұрын
Davista kashtuka wanavyoagizaaa hhahahahaha
@umbeaeastafrica79433 жыл бұрын
Hao jamaa walikuwa wanaita msimuliaji wetu shamba boy ni wasukuma.
@nabosedward48362 жыл бұрын
Hata yeye msukuma
@marychacha70843 жыл бұрын
Ukimwi je haupatikani kwa hayo Mambo ya mapenzi ya kishirikina...???
@swamweliteobady44963 жыл бұрын
Yani mm ninapo chekaga nipale unaposema nimemtembezea bakola za kimkakati
@nuruchaula51453 жыл бұрын
Hayo maneno hata mi yananivunja mbavu
@onesmoseif36853 жыл бұрын
Pamoja kaka
@swalecomedian13403 жыл бұрын
Vp huku kumedamsh
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Mzee wa bakora ndani ya nyumba
@KariukiRoysambu3 жыл бұрын
Yani kazi ilikuwa ni kuwaachilia bakora kama adhabu walio kukosea....aise 😄 🤣 😂 😆