Kutoka kwenye utajiri mpaka kuwa mchawi,, Mungu naomba unilinde
@carolkazi42116 ай бұрын
Ila shetani mbaya sana, huyu mwamba alienda kwa mganga kutafuta utajiri, ame maliza familia yake yote na sasa ana tumikishwa kuzimu hata Habari za mali tu hana ana ishi msituni! This is sad ndio tuji funze kutokana na wenzetu wanayo yapitia
@ndigwako6 ай бұрын
Kweli kabisa
@vincentlutome2886 ай бұрын
AMEN GLORY TO GOD
@rerisamba6 ай бұрын
Namuelewe Yesu aliposema kesheni mukiomba
@ellenatilio56665 ай бұрын
Kabisa
@damarisnjerichege1006 ай бұрын
Love from kenya 🇰🇪
@shijandobehe49536 ай бұрын
Daaaah hakika tunawapata vizur Sana kaka davista tupo pamoja Sana
@joymkenya23596 ай бұрын
😂 Kenya namba 4🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kavirasyntyche20556 ай бұрын
Davistar mata love from congo drc❤
@honestema6 ай бұрын
Bampa tu bampa ahsante davistar
@wilbroadndunguru68255 ай бұрын
Huwa nawaaimbia watu , ukitaka kuzijua nguvu ya yesu waulize watu waliowahi kuwa wachawi.. hii nguvu ya yesu sio ya kawaida
@salomedarema3045 ай бұрын
Shetani mbaya jmn! Yaani kutoka kutafuta mali hadi kuwa mchawi bila pesa wala familia tena😢😢
@maureenmwende35152 ай бұрын
Inauma sana
@husseinmassawa71866 ай бұрын
Kah kweli tunatakiwa tusali saaana aisee, mpaka kwa mwanamalundi😅😅
@joycesycherlwy38356 ай бұрын
Number 1
@kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын
STORY YAKE MZURI SANA KUWAFUNDISHA VIJANA WASIWE NA TAMAA YA PESA ZA URAISI 😂😂😂
@user-tl5ze8ui6p6 ай бұрын
Namba moyaaaaaaaaaaa!!!!!
@ThomasEmmanuel-lm3uh6 ай бұрын
Ety "Tukawa tunamtamani"😀😀😀😀
@florencerose8596 ай бұрын
Ombrni kila wakati hawa ndio adui
@King_Of_Everything6 ай бұрын
👊✌👍.
@masindemagee96036 ай бұрын
Matajili wengi huwa ni wachawi tena waafrika ni balaa
@bakari-si1pw6 ай бұрын
Yani kuna mambo unaweza ukaambia usiamini kabisa eti moto unatembea na watu wakiwemo
@gosbertmuta54216 ай бұрын
😢😢😢😢😢Tanzanian
@sebastianthadeus52706 ай бұрын
Shetani kweli Hana isani familia Yako yote umemaliza tena unaacha pesa zote unaenda kuishi porini!!
@fathiyahmuzney73676 ай бұрын
Bonge la story
@user-ve8ix8cs8c6 ай бұрын
Kabla ya kudownload story huwa natafuta kwanza comment kama yako
@fathiyahmuzney73676 ай бұрын
@@user-ve8ix8cs8c 🤣🤣
@revosalum82036 ай бұрын
Huyu muhongo
@nelsonpatricioestanislaus71446 ай бұрын
Wewe mchawi
@user-og9jt3mg4c6 ай бұрын
Tulia azifunue sili zenu. Shetani anawadanganya, wacha tuzijue sili zenu na huyo baba yenu
@anthonykamkolwe57665 ай бұрын
Kuandika tu haujui....
@gabrielisdory96865 ай бұрын
Huyu mukwel bana😂
@revosalum82036 ай бұрын
Magiri yake na makarasha halimwachia nani nanyumba