Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 34
@nassoromwasandube37272 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amina
@aldeamasuki61962 жыл бұрын
Daa tunakukumbuka sana
@nestor3842 жыл бұрын
Rais bora kuwahi kutokea ktk umri wetu
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
JPM mwamba mzalendo namba Moja Tanzania tutabaki kukumis sana mzee wetu
@nelithamimwani45162 жыл бұрын
Tutamkumbuka daima shujaaa wetu
@neemarenaida66672 жыл бұрын
Kumbe siku wewe ukifa roho yako haitakua tofauti zilipo roho za wanyama , pole sana
@lukapastory2 жыл бұрын
Baada ya kifo ni hukumu,. Aliyewadanganya yupo toharani ni nani Hayo ni mafundsho ya kidunia Soma Ebrania 9:27
@gracejonh40222 жыл бұрын
Uliendako
@gracejonh40222 жыл бұрын
Pumzika baba bado tunakupenda jamani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@athumaniomari28332 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu nazidi kukuomba mraze maali pema
@ibel4lf2 жыл бұрын
Pembeni ya Jesca Magufuli chezea yy
@munaahmed84992 жыл бұрын
Nashindwa kumsahau huyu baba jmn mm sijui nitawezaje mm
@tabuboone9342 жыл бұрын
Mie ndo kbs nalia upya kbs. JPM hata I toka rohoni bado naona ni pogo kubwa kwa kuondokewa nay!! 😭😭🙏🏽
@munaahmed84992 жыл бұрын
@@tabuboone934 walah kwa watu wenye akili timamu lazima tuumie mno yaan nikiona clip au picha zake tu nahis atasimama tena atoe hotuba na masihara masihara yake yale furaha kam nn walah tumeondokewa jmn na mtu amabe twamuhitaji mno mno ila tuombeni mungu tutapata tena kam yeye kwenye 2030 ila kwa mama mhhhhh sion kitu nisiwe mnafik sijui wenzangu ila mm sion kitu maan bei ya juu kila kitu wizi kila kina mauaji kila uchao yana mambo haya yalitulia mno. Na alitukumbusha mno kila kitu tuanze na mungu lkn sasa hakuna mungu wala nn eti kazi iendelee kwa lipi sasa yaan mie achen Magufuli mungu ampee mwanga wa milele kwakweli
@edsonjeremiah59052 жыл бұрын
Raisi Bora kuwahi kutokea Tanzania kiukweli siwezi piga kura Tena mpaka nchi itakapopata raisi Kama uyo tena.r.i.p jpm
@silviaantony6772 жыл бұрын
Wewe mwenzangu nilimpenda sana huyu rais sitapiga kula tena nilianzia kwake kupiga kula nanimeishia kwake sitapiga tena kula
@stephensinka56162 жыл бұрын
Mungu ampe raha ya milele
@neemarenaida66672 жыл бұрын
Hata Mimi tangu nizaliwe nilianzia kwake kupiga kura awamu ya pili sitamsahau kamwe sala yangu kwa Mungu amjalie pumziko la milele
@rmaryp62692 жыл бұрын
Mnadanganywa, Mungu hasikilizi maombi ya yeyote anaye mwombea marehemu! Kwenda Paradise ni bidii yako ya kuishi maisha matakatifu ukiwa Duniani. Ukifa ni hukumu.