Ukht Fatma Mdidi akizungumza jana katika event ya Ladies in Islam ilofanyika aktika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center
Пікірлер: 43
@zainabolenga28295 ай бұрын
Hongera bibi fatma mdidi kwa ubora wako Allah akulipe pepo na akufanyie mwisho mwemah
@zuu5154 ай бұрын
I hope you all see the noor and beauty of ukhti fatima...no makeup noor on her face ❤ mashaallah tabarakaAllah ... lesson learned...mtwii Allah atakunawirisha na noor yake.
@DelightfulPenguin-wk4kv5 ай бұрын
Jazakah Allah kharain Mola akuajalie kheri na mwisho mwema ameen na pia akuajalie afya na akuajalie zaidi uwemwenye kukataza wanawake wenzio wa kiislam
@mozaally76434 ай бұрын
Hongera ukhti Fatma mara nyengne hao wanawake wenzio watolee mawaidha maana wa full mekup utasema waholini
@sadikiissa77565 ай бұрын
Hongeren sana. Allah awazidishie ktk kukumbushana ili kuwanusuru wanawake wa kiislam kwa kuwa wengi wao wameacha dini ya Allah na kuiga mila za Wazungu.
@mifunga34145 ай бұрын
Pongezi ikufikie dada faftima kwako hadi kwa Allah Subhanah wantawalh❤
@maxmiliankoga27114 ай бұрын
Mash allah m mungu akuzidishie
@fabssaleh72735 ай бұрын
BARAKALLAHU FIIKI WA JAZAKALLAHU KHAIRAN UKHTI.
@user-nn6fy6bh7p4 ай бұрын
Barakallahu fiiki wajazakallahu khairan
@mbarukshaban80983 ай бұрын
Mashaallah
@nazraseiban10825 ай бұрын
Ukhty uko faswaha sana...MashaAllah❤
@mozaally76434 ай бұрын
Wengne wamejitia makope jmni hapo Kuna muhadhara ndio wanaonesha nn Innalillah WA inna ilaihi raajiun Allah atuongoe na vizaz vyetu
@mams18925 ай бұрын
Jazzakallahu khairan
@MaryamZugo4 ай бұрын
MashaAllah nakupenda sanaaa
@zuu5154 ай бұрын
Ameeen yarab
@a.8565 ай бұрын
Jazakallah khayran
@myunaniniahmad64635 ай бұрын
Leo hii imekua kinyume, wanawake ndo wanao ziudumia familia pamoja na kumuudumia mume.
@ramadhanaldawiyya86594 ай бұрын
Masha ALLAH
@fardoshnassor78475 ай бұрын
Mashaallah Allahu ❤
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Kuna wanawake full make up kama wapo harusini tuchague na maeneo ya kujipodoa wadada huu ni msiba
@YasmeenKhalifa-zq1zk5 ай бұрын
Ujumbe mzur sana dada yangu mashaallah Allah akuweke inshaallah
@user-sv6zy3hc8o5 ай бұрын
Lakini hapo hakuna wanaume halafu mjue wanawake tunapenda kupendeza
@AdmiringCorgi-rg5tj5 ай бұрын
Chukuweni Sunna hapo enyi Wanawake ambao hamujaolewa kwa wafaya kazi wenu pale wanapofanya vizuri.
@kulthum83355 ай бұрын
Mashallah
@atambitotzmagari71005 ай бұрын
Asalamu Alaykm warahmatullah wabarakatu,dada nnashida na wewe naomba namba yako
@crspasmahongepeter51785 ай бұрын
Hi
@reformerthrone9725 ай бұрын
Shughuli kama hii ya wanawake tu kwa hio wahusika wote na wataarishaji wote watakiwa wawe wanawake... Kama mpiga picha.. Lakini Leo kama hapo anakuwa mwanamume ndio mpiga picha hii inakuwa haikubaliki wala haiingii akilini
@AdmiringCorgi-rg5tj5 ай бұрын
Kasri
@saidsuleiman19125 ай бұрын
Mbona wengi wenu hapo mko uchi kwa mujibu wa maamrisho ya dini? Licha ya kuwa unaelezea maneno mazuri ya bibi Khadija
@alhabibismail30315 ай бұрын
......makosa ni ya cameraman kuwachkua wakiwa hvyo kisha kuonesha io part,,mana hapo ni wanawake watupu...kosa la pili niww kuangalia ilitakiwa uangalie chni..ALLAH ATUSAMEHE
@khamismuhammad5 ай бұрын
Mche Allah wewe! Ivi alokwambia wakiwa wanawake watupu wanaruhusiwa kukaa uchi nani? Mche Allah kutokan na maneno yako ayo! Kwani uko walikotoka mpaka kufika apo pia kuna wanawake watupu sio?!! Na hata km cameraman hakuchukuwa watu wakaona je unasemaje kuhusu Allah pia gawaoni au mche Allah
@alhabibismail30315 ай бұрын
@@khamismuhammad jazaka llah khayr kwa nasaa yako nzuri..
Alafu kisheria uchi wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja
@FaridSaid-wm6yh3 ай бұрын
قل الحق من ربك .......... وقل الحق وإن كان مر Kuna maswali mengi yanahitaji uyajibu, Je MUHAMMAD IBNI WAHAAB ni kweli kama inavyo zushwa ati alitumwa na waingereza au mayahudi au makafiri kupotosha uislamu? Sasa wapi alipotosha? Nitajie aya ndani ya Qur'an au Sunna (Hadithi) walau moja alipotosha kwa ushahidi thabiti ? Acheni Fitna za Hadaa kwa Umma .