No video

PETER MSIGWA AHAMIA CCM, RAIS SAMIA AMUIMBIA WIMBO "Mlete Msigwa Mlete Msigwa"

  Рет қаралды 43,782

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Ай бұрын

Пікірлер: 181
@josephmturi6936
@josephmturi6936 Ай бұрын
Aliekwambia Tanzania kuna upinzani nani??
@samwelizetii4479
@samwelizetii4479 Ай бұрын
Tanzania hakuna upinzani wa kweli Ila kunawasakatonge tu huna jipya nenda tu
@dismasmtui729
@dismasmtui729 Ай бұрын
If you can't fight them join them!
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
Siamini macho yangu leo lakini Karibu sana nyumbani Msigwa ❤❤❤❤
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Halima hiyo ndiyo Ccm Mpe cheo huyo wsimbuke haswaaa Wanawake jeshi kubwa
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
@@margarethpolepole7438 CCM wajanja sasa hivi utasikia 🤣🤣
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 Ай бұрын
Shida ya chadema ya sasa na mwenyekiti wake ni ya kijinga sana
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 Ай бұрын
Umechelewa kaka ungekuja wakati wa jpm ungekula mema ya nchi
@selemanichambo2944
@selemanichambo2944 Ай бұрын
Kwani tatizo Ka Samia ninini?
@franciskulwa2322
@franciskulwa2322 Ай бұрын
Kweli wakati wa magufuli alichezea🎉shiling chooni
@mbulachujoseph2596
@mbulachujoseph2596 Ай бұрын
Hongera kaka kwa maamuzi yako
@MrigoJohn-ps8dk
@MrigoJohn-ps8dk Ай бұрын
Nakupongeza sana Mch Msigwa, hauwezi kukaa chama ambacho mtu mmoja ana hatimilki yake
@iddyissa8110
@iddyissa8110 Ай бұрын
Amna Cha mchungaji tapeli tu Toka lini siasa na uchungaji mwizi tu uyo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Raha sanaaaa Msigwa karibu Ccm mpeni cheo huyo waumbuke zaidi wasaka Tonge wakome waishie ruzuku
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 Ай бұрын
Hiyo ni njaa imekupeleka wala sio wito,ila kama Mungu aishivyo jinsi tunateseka na maisha haya na nyie mnakula mema na kujinufaisha mtafika mwisho mapema.
@lameckkamuga4913
@lameckkamuga4913 Ай бұрын
Sasa watanzania tutaponea wapi jaman kama upinzan ndio huu aisee
@filbertdamiani101
@filbertdamiani101 Ай бұрын
Ni uzalendo hakuna, wanataka vyeo tu mbona wasihamie act wazalendo, njaa tu.
@magnusnkomola5950
@magnusnkomola5950 Ай бұрын
Msigwaaaaa mungu anakuonaaaa,Kumbe msigwa wati walikujuaaaa ni msaliti. Huna jipyaaaaaaa umeamuaaaa kuyameza matapishiiiiiiii ,hongera ngoja nikuleteeeee na ulanzi ushushie haya matapishiiiiii.
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 Ай бұрын
Imbeno mlete mlete msigwa tumechoka hata sisi tunakaribia kuja kula pilau bungeni
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k Ай бұрын
Karbu 👍👍👍👍
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 Ай бұрын
Nenda Kwa Wenzako Huko Hapa Wenyewe Tumetulia. Kama Unaupungufu Wanauli Yakwenda Nchi Jirani Sema. Kwani Kupika Pilau Kiasi Gani mpaka Mkagombanie Chakula Cha Wanaume.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
@@adoniemanuel908 karibuni jamani CCM cha cha watanzania wote wala msijali
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Ай бұрын
😂
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Ай бұрын
Nitamwamini mungu tu mpaka kufa binadamu hapana.Huyu msigwa leo anaungana na aliowaita wadharimu hivi kweli taifa hili linaenda wapi?
@ThomasMselle-rw5ej
@ThomasMselle-rw5ej Ай бұрын
Ninasikitika kwa jinsi alivyomsema na kumsigina vibaya mh JPM na wale waliokimbilia CCM. siasa sawa mchezo mchafu ila kwa mchungaji huyu ni nomaa kupita maelezo.
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Karibu sana CCM ndugu msigwa.
@reonandmpangalushu3434
@reonandmpangalushu3434 Ай бұрын
Huyu mtu unamsumbua uchu wa madaraka,
@mosessamwel1179
@mosessamwel1179 Ай бұрын
Huyu ni mwizi na mnyang'anyi
@ChachaChacha-ne6yf
@ChachaChacha-ne6yf Ай бұрын
Wapizani wa tanzania nijaa tupu hatuna upizani Tanzania
@bonifacelutumo1196
@bonifacelutumo1196 Ай бұрын
Ndo maana simwamin mtu
@benswai8099
@benswai8099 Ай бұрын
Huyu ni siku nyingi alikuwa anatafuta sababu ya kwenda ccm. Hana tofauti na kina mdee. Wote wenye fikra kama zake waende huko. Ila wapinzani wa kweli wapo
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 Ай бұрын
Nimeingoja Sana hii comment nimefurahi kuiona nami ndivyo ninavyojua ila Bora kahama alishatusarti muda mrefu
@mohamedmussa3174
@mohamedmussa3174 Ай бұрын
Ogopa sana siasa na wanasiasa
@trendings1293
@trendings1293 Ай бұрын
Kweli siasa ni noma
@dismasmtui729
@dismasmtui729 Ай бұрын
Huyu toka mwanzo alionekana ni mtu asiye na msimamo!
@kyaro5945
@kyaro5945 Ай бұрын
😂
@emmanuelademba7919
@emmanuelademba7919 Ай бұрын
Kwa STYLES hii kuing`oa CCM itachukua miaka 7000000,kazi ipo!!
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Ай бұрын
Ccm kung'oka itachukuwa muda sana
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb Ай бұрын
Kweli siasa hatari alisema madebe lidai mwanasiasa akikuambia saivi sasita usiamini angalia saa kweli mana ni shida
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 Ай бұрын
Kweli
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 Ай бұрын
Wazeee hii nomaaa
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso Ай бұрын
njaa zinatutesa Sana hakuna mwanasiasa wa kweli
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 Ай бұрын
Ndio maana nasemaga Tz hakuna vyama vya upinzani
@AnnoyedDove-oo3kk
@AnnoyedDove-oo3kk Ай бұрын
Mchungaji eti😂😂😂
@user-un4qp3zb6y
@user-un4qp3zb6y Ай бұрын
Mbona kinana kakupokea Kwa mkono wa kushoto?
@zephaniazacharia519
@zephaniazacharia519 Ай бұрын
Mhuuu
@gerachtangatya2835
@gerachtangatya2835 Ай бұрын
Kwahy hataki katiba mpya tena
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Tunajua kama maisha ni magumu tanzania kwahiyo kajiongeza😂😂 njaa haivumiliki
@rhassanmkomwa
@rhassanmkomwa Ай бұрын
mbona kamkuta mheshimiwa ndani je itifaki imezingatiwa
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Ай бұрын
Harafu atoke MTU akauminishe na mwana siasa😃😃😃
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt Ай бұрын
Wow 🎉🎉🎉🎉🎉
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 Ай бұрын
Lakini mbona wanapeana mkono wa kushoto Sasa msigwa ndo mashoto au Kuna namna
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 Ай бұрын
Mungu wangu, Chadema mmeboronga wapi
@AiserAli-mq6sz
@AiserAli-mq6sz Ай бұрын
Sio msigwa pekee yake hata lema hana siku nyingi atakua ndani ya ccm watu wamechoka mwenyekiti wa maisha wa chadema
@hansthaniar4747
@hansthaniar4747 Ай бұрын
Njaa mbaya sana.
@rizikimwambusi4041
@rizikimwambusi4041 Ай бұрын
Tenaa tenaaa .oyaaa oyaaaa oyaaaa kweli kweli kweli kweli
@EdwardMbwambo
@EdwardMbwambo Ай бұрын
Njaaa itakuuwa 0:52
@user-cz5sd6ys8i
@user-cz5sd6ys8i Ай бұрын
Apo alipo mbona kama vile ana aibu
@manasecharles894
@manasecharles894 Ай бұрын
Maamuzi sahihi, wakati sahihi🤝🤝🤝🤝
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 Ай бұрын
Jamuhuri ya mungano wa Tanzania kazi inaendelea mtamuelewa tu Mama 💯
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w Ай бұрын
Tuko na mama Bega kwa bega
@saidmushehe
@saidmushehe Ай бұрын
CCM wapeta mtu kweli....Sugu anaingia kwenye history ya kusababisha mwanasiasa mkongwe na machachari Mchungaji kwenda Ccm
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Ай бұрын
Msigwa yupi Duh
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 Ай бұрын
Safi sana
@user-zj3ov6ht8n
@user-zj3ov6ht8n Ай бұрын
Neno mchungaji ondoeni kwamaana wakiristo hatuko hivo wanaabisha ukristo
@khadijaabdala6876
@khadijaabdala6876 Ай бұрын
Khaaaaaa😢😢
@imanmwashitete5243
@imanmwashitete5243 Ай бұрын
Kumekucha aisee hapo😂😂😂
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Ай бұрын
😂😂😂 nchi yangu
@EliaMarco
@EliaMarco Ай бұрын
Msigwa anadhani Kuna mwananchi wakudangaNya tena
@CretusMwalongo
@CretusMwalongo Ай бұрын
Acheni ushobo,CHADEMA TUTASIMAMA,NA KWA ELIMU PAMOJA NAFALSAFA ALIYO KUWA AKITULISHA WANACHAMA ENZI AKIWA CHADEMA,IMETUPA NGUVU NA UHAKIKA WA SAFARI TULIO NAYO
@user-kq4yx3lg6f
@user-kq4yx3lg6f Ай бұрын
ni nzuri bora aje tulekebisha uku ccm maana uko chadema wameisha poteana.
@user-em7dw3li4d
@user-em7dw3li4d Ай бұрын
Mchungaji mhuni walivyo piga chini na sugu amechuka kamba
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n Ай бұрын
Njaa haina shujaa...
@HappyIlomo-z3h
@HappyIlomo-z3h Ай бұрын
😢
@clementiddi5708
@clementiddi5708 Ай бұрын
Duh
@CretusMwalongo
@CretusMwalongo Ай бұрын
Mmmmhh mnajituma kuimba kweli,mnajisikia kulamba dume et?
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv Ай бұрын
Iringa good sasa
@user-tz2jd6ob1s
@user-tz2jd6ob1s Ай бұрын
Njaa mbayaaa😂😂😂
@gerachtangatya2835
@gerachtangatya2835 Ай бұрын
Lkn huku kuimbishwa mapambio Nako amekubali dah! Nchi ngumu hii
@meshmeshak1095
@meshmeshak1095 Ай бұрын
HAKUNA KITU KIBAYA KAMA NJAAA 😅😅😅
@pastadandan3569
@pastadandan3569 Ай бұрын
Kwanini viongozi wajuu wote wamemsalimia kwa mkono wa kushoto?
@user-em7dw3li4d
@user-em7dw3li4d Ай бұрын
Huyo mhuni nawambieni
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z Ай бұрын
Makapi hayo kachokwa chadema kashindwa kwa aibu,angehama akiwa na cheo tungeshituka,kakosa cheo kahama mpeni kazi sasa.
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s Ай бұрын
Kumbe lisu alikua kilichokua kinaendelea iringa
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Ай бұрын
Msigwa mbona anaaibu!!
@mochemba
@mochemba Ай бұрын
Karibu Comrade Msigwa chama cha mapinduzi . Ccm Oyeee 👍
@dennisungonella205
@dennisungonella205 Ай бұрын
Vipi katiba mpya tayari?😂
@monicamwita7865
@monicamwita7865 Ай бұрын
Watu wa goli la mkono oyee!
@EmmanuelGabriel-zm6nv
@EmmanuelGabriel-zm6nv Ай бұрын
😂😂 kweli siasa mchezo mchafu
@samoskiyalo6095
@samoskiyalo6095 Ай бұрын
Kitenda wii tegaaa mawasiliano yamekatika ni ni kinaesthetic delea? Kitendawiliii hoyeeee
@kostajoseph5811
@kostajoseph5811 Ай бұрын
CCM OYEEEE
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Ай бұрын
Siku chache tu mtasalitiana tena.Wakati yeye anashinda walioshindwa hawakulalamika yeye imekuwaje?je akikosa ubunge akiwa ccm atafanyaje tena
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv Ай бұрын
Safiii
@OS-pf6op
@OS-pf6op Ай бұрын
Tumboyosis!
@blockchain1203
@blockchain1203 Ай бұрын
Yaaani Anakosa Hadi Pozii
@pditanzania7764
@pditanzania7764 Ай бұрын
Politics😂
@HamzaGaudence
@HamzaGaudence Ай бұрын
Ni baada ya kugombn mbowe😂😂
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Ай бұрын
Umefanya la maana mwache mbowe na sakosi yake😅😅😅😅😅
@methewbuzuruga-eg8oz
@methewbuzuruga-eg8oz Ай бұрын
Kuna wabunge kumi wa ccm watahamis chadema kwa sababu ya kukatwa majina yao
@salcle9702
@salcle9702 Ай бұрын
Wapigaji wamenona kama nguruwe !!!!
@BabusiJoseph-sv6oz
@BabusiJoseph-sv6oz Ай бұрын
njaa tuu inamdawake
@drdd774
@drdd774 Ай бұрын
Yaani msigwa anaanza kuvaa kijanii??
@subralugege7019
@subralugege7019 Ай бұрын
😂😂😂😂💃
@EdwardMbwambo
@EdwardMbwambo Ай бұрын
Njaaa itakuuwa
@isackkivuyo1980
@isackkivuyo1980 Ай бұрын
Mhhhhhh
@habibumbawala1173
@habibumbawala1173 Ай бұрын
Usajili mpya
@victorcephas3618
@victorcephas3618 Ай бұрын
Karudi nyumbani siyo mbaya mkataa kwao mtumwa
@JosephMagige-lf9ns
@JosephMagige-lf9ns Ай бұрын
Uchafu. Umetoka kwenye maziwa
@edisonmjema2620
@edisonmjema2620 Ай бұрын
Mbon salam namkon wa kushoto😢
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps Ай бұрын
Mbowe angalia matokeo ya uongozi wako nawe rudi
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 Ай бұрын
Cyo ajabu uyu msigwa ni njaa..alimkataa Yesu na uchungaji na kufwata siasa kwajli ya njaaa..na ukweli CCM inajaa matapishi ..watu kama hawa wasaliti njaa nyingi ya matumbo..mm nasema vyama vyote vya siasa vifutwe..CCM iitwe chama Cha mtanzania...hakuna siasa nchi hii wala siasa...wananchi tuamke na kuungana Ili viongozi wajuwe wajibu wawo na kazi
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 Ай бұрын
Duh! Njaa kitu kinginee
@bakarykijazi293
@bakarykijazi293 Ай бұрын
Mbona hivi
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
Mbona hajavaa kijani. Mmemlazimisha. Kumbe mnawamezea mate
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Ай бұрын
Angelazimishwa aisingeenda kwa hiari yake.. Msigwa sio mtu wa kuendeshwa( nadhani unamjua vizuri)).. Kaaamua kuenda mwenyewe.
@user-hh5ew8wb7d
@user-hh5ew8wb7d Ай бұрын
Tz hamna siasa
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 58 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 3,9 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 31 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 84 МЛН
Wall Street Week 08/02/2024
48:01
Bloomberg Television
Рет қаралды 31 М.
Bloomberg Surveillance 08/02/2024
2:29:47
Bloomberg Television
Рет қаралды 39 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 58 МЛН