Tanzania hakuna upinzani wa kweli Ila kunawasakatonge tu huna jipya nenda tu
@dismasmtui729Ай бұрын
If you can't fight them join them!
@halimamasai2234Ай бұрын
Siamini macho yangu leo lakini Karibu sana nyumbani Msigwa ❤❤❤❤
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Halima hiyo ndiyo Ccm Mpe cheo huyo wsimbuke haswaaa Wanawake jeshi kubwa
@halimamasai2234Ай бұрын
@@margarethpolepole7438 CCM wajanja sasa hivi utasikia 🤣🤣
@elishakayagwa9371Ай бұрын
Shida ya chadema ya sasa na mwenyekiti wake ni ya kijinga sana
@sharafisaidi7999Ай бұрын
Umechelewa kaka ungekuja wakati wa jpm ungekula mema ya nchi
@selemanichambo2944Ай бұрын
Kwani tatizo Ka Samia ninini?
@franciskulwa2322Ай бұрын
Kweli wakati wa magufuli alichezea🎉shiling chooni
@mbulachujoseph2596Ай бұрын
Hongera kaka kwa maamuzi yako
@MrigoJohn-ps8dkАй бұрын
Nakupongeza sana Mch Msigwa, hauwezi kukaa chama ambacho mtu mmoja ana hatimilki yake
@iddyissa8110Ай бұрын
Amna Cha mchungaji tapeli tu Toka lini siasa na uchungaji mwizi tu uyo
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Raha sanaaaa Msigwa karibu Ccm mpeni cheo huyo waumbuke zaidi wasaka Tonge wakome waishie ruzuku
@domymerinyo8165Ай бұрын
Hiyo ni njaa imekupeleka wala sio wito,ila kama Mungu aishivyo jinsi tunateseka na maisha haya na nyie mnakula mema na kujinufaisha mtafika mwisho mapema.
@lameckkamuga4913Ай бұрын
Sasa watanzania tutaponea wapi jaman kama upinzan ndio huu aisee
@filbertdamiani101Ай бұрын
Ni uzalendo hakuna, wanataka vyeo tu mbona wasihamie act wazalendo, njaa tu.
@magnusnkomola5950Ай бұрын
Msigwaaaaa mungu anakuonaaaa,Kumbe msigwa wati walikujuaaaa ni msaliti. Huna jipyaaaaaaa umeamuaaaa kuyameza matapishiiiiiiii ,hongera ngoja nikuleteeeee na ulanzi ushushie haya matapishiiiiii.
@adoniemanuel908Ай бұрын
Imbeno mlete mlete msigwa tumechoka hata sisi tunakaribia kuja kula pilau bungeni
@user-ie2sr4fi4kАй бұрын
Karbu 👍👍👍👍
@nurdinmfamau3493Ай бұрын
Nenda Kwa Wenzako Huko Hapa Wenyewe Tumetulia. Kama Unaupungufu Wanauli Yakwenda Nchi Jirani Sema. Kwani Kupika Pilau Kiasi Gani mpaka Mkagombanie Chakula Cha Wanaume.
@halimamasai2234Ай бұрын
@@adoniemanuel908 karibuni jamani CCM cha cha watanzania wote wala msijali
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
😂
@nelsonnyamleАй бұрын
Nitamwamini mungu tu mpaka kufa binadamu hapana.Huyu msigwa leo anaungana na aliowaita wadharimu hivi kweli taifa hili linaenda wapi?
@ThomasMselle-rw5ejАй бұрын
Ninasikitika kwa jinsi alivyomsema na kumsigina vibaya mh JPM na wale waliokimbilia CCM. siasa sawa mchezo mchafu ila kwa mchungaji huyu ni nomaa kupita maelezo.
@omarybakunda2554Ай бұрын
Karibu sana CCM ndugu msigwa.
@reonandmpangalushu3434Ай бұрын
Huyu mtu unamsumbua uchu wa madaraka,
@mosessamwel1179Ай бұрын
Huyu ni mwizi na mnyang'anyi
@ChachaChacha-ne6yfАй бұрын
Wapizani wa tanzania nijaa tupu hatuna upizani Tanzania
@bonifacelutumo1196Ай бұрын
Ndo maana simwamin mtu
@benswai8099Ай бұрын
Huyu ni siku nyingi alikuwa anatafuta sababu ya kwenda ccm. Hana tofauti na kina mdee. Wote wenye fikra kama zake waende huko. Ila wapinzani wa kweli wapo
@isayakihongile4921Ай бұрын
Nimeingoja Sana hii comment nimefurahi kuiona nami ndivyo ninavyojua ila Bora kahama alishatusarti muda mrefu
@mohamedmussa3174Ай бұрын
Ogopa sana siasa na wanasiasa
@trendings1293Ай бұрын
Kweli siasa ni noma
@dismasmtui729Ай бұрын
Huyu toka mwanzo alionekana ni mtu asiye na msimamo!
@kyaro5945Ай бұрын
😂
@emmanuelademba7919Ай бұрын
Kwa STYLES hii kuing`oa CCM itachukua miaka 7000000,kazi ipo!!
@frankngoloka5416Ай бұрын
Ccm kung'oka itachukuwa muda sana
@MusaJuma-jr7wbАй бұрын
Kweli siasa hatari alisema madebe lidai mwanasiasa akikuambia saivi sasita usiamini angalia saa kweli mana ni shida
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Kweli
@isackkivuyo1980Ай бұрын
Wazeee hii nomaaa
@MaridadiRashidilikwesoLikwesoАй бұрын
njaa zinatutesa Sana hakuna mwanasiasa wa kweli
@hajistshariast6335Ай бұрын
Ndio maana nasemaga Tz hakuna vyama vya upinzani
@AnnoyedDove-oo3kkАй бұрын
Mchungaji eti😂😂😂
@user-un4qp3zb6yАй бұрын
Mbona kinana kakupokea Kwa mkono wa kushoto?
@zephaniazacharia519Ай бұрын
Mhuuu
@gerachtangatya2835Ай бұрын
Kwahy hataki katiba mpya tena
@melanialeonard4031Ай бұрын
Tunajua kama maisha ni magumu tanzania kwahiyo kajiongeza😂😂 njaa haivumiliki
@rhassanmkomwaАй бұрын
mbona kamkuta mheshimiwa ndani je itifaki imezingatiwa
@mnyongeiddi2454Ай бұрын
Harafu atoke MTU akauminishe na mwana siasa😃😃😃
@salamsabdullah-st9ptАй бұрын
Wow 🎉🎉🎉🎉🎉
@shabanramadhan7632Ай бұрын
Lakini mbona wanapeana mkono wa kushoto Sasa msigwa ndo mashoto au Kuna namna
@vanessastafford6426Ай бұрын
Mungu wangu, Chadema mmeboronga wapi
@AiserAli-mq6szАй бұрын
Sio msigwa pekee yake hata lema hana siku nyingi atakua ndani ya ccm watu wamechoka mwenyekiti wa maisha wa chadema
Jamuhuri ya mungano wa Tanzania kazi inaendelea mtamuelewa tu Mama 💯
@user-mt3jc6no5wАй бұрын
Tuko na mama Bega kwa bega
@saidmusheheАй бұрын
CCM wapeta mtu kweli....Sugu anaingia kwenye history ya kusababisha mwanasiasa mkongwe na machachari Mchungaji kwenda Ccm
@ezekielmabwai482Ай бұрын
Msigwa yupi Duh
@alphoncewilliam4325Ай бұрын
Safi sana
@user-zj3ov6ht8nАй бұрын
Neno mchungaji ondoeni kwamaana wakiristo hatuko hivo wanaabisha ukristo
@khadijaabdala6876Ай бұрын
Khaaaaaa😢😢
@imanmwashitete5243Ай бұрын
Kumekucha aisee hapo😂😂😂
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
😂😂😂 nchi yangu
@EliaMarcoАй бұрын
Msigwa anadhani Kuna mwananchi wakudangaNya tena
@CretusMwalongoАй бұрын
Acheni ushobo,CHADEMA TUTASIMAMA,NA KWA ELIMU PAMOJA NAFALSAFA ALIYO KUWA AKITULISHA WANACHAMA ENZI AKIWA CHADEMA,IMETUPA NGUVU NA UHAKIKA WA SAFARI TULIO NAYO
@user-kq4yx3lg6fАй бұрын
ni nzuri bora aje tulekebisha uku ccm maana uko chadema wameisha poteana.
@user-em7dw3li4dАй бұрын
Mchungaji mhuni walivyo piga chini na sugu amechuka kamba
Lkn huku kuimbishwa mapambio Nako amekubali dah! Nchi ngumu hii
@meshmeshak1095Ай бұрын
HAKUNA KITU KIBAYA KAMA NJAAA 😅😅😅
@pastadandan3569Ай бұрын
Kwanini viongozi wajuu wote wamemsalimia kwa mkono wa kushoto?
@user-em7dw3li4dАй бұрын
Huyo mhuni nawambieni
@user-rs4vz2vt9zАй бұрын
Makapi hayo kachokwa chadema kashindwa kwa aibu,angehama akiwa na cheo tungeshituka,kakosa cheo kahama mpeni kazi sasa.
@user-oy5dz5xl8sАй бұрын
Kumbe lisu alikua kilichokua kinaendelea iringa
@williammbuzimai5744Ай бұрын
Msigwa mbona anaaibu!!
@mochembaАй бұрын
Karibu Comrade Msigwa chama cha mapinduzi . Ccm Oyeee 👍
@dennisungonella205Ай бұрын
Vipi katiba mpya tayari?😂
@monicamwita7865Ай бұрын
Watu wa goli la mkono oyee!
@EmmanuelGabriel-zm6nvАй бұрын
😂😂 kweli siasa mchezo mchafu
@samoskiyalo6095Ай бұрын
Kitenda wii tegaaa mawasiliano yamekatika ni ni kinaesthetic delea? Kitendawiliii hoyeeee
@kostajoseph5811Ай бұрын
CCM OYEEEE
@nelsonnyamleАй бұрын
Siku chache tu mtasalitiana tena.Wakati yeye anashinda walioshindwa hawakulalamika yeye imekuwaje?je akikosa ubunge akiwa ccm atafanyaje tena
@astrinomgesi-np5xvАй бұрын
Safiii
@OS-pf6opАй бұрын
Tumboyosis!
@blockchain1203Ай бұрын
Yaaani Anakosa Hadi Pozii
@pditanzania7764Ай бұрын
Politics😂
@HamzaGaudenceАй бұрын
Ni baada ya kugombn mbowe😂😂
@audaxbizimana8084Ай бұрын
Umefanya la maana mwache mbowe na sakosi yake😅😅😅😅😅
@methewbuzuruga-eg8ozАй бұрын
Kuna wabunge kumi wa ccm watahamis chadema kwa sababu ya kukatwa majina yao
@salcle9702Ай бұрын
Wapigaji wamenona kama nguruwe !!!!
@BabusiJoseph-sv6ozАй бұрын
njaa tuu inamdawake
@drdd774Ай бұрын
Yaani msigwa anaanza kuvaa kijanii??
@subralugege7019Ай бұрын
😂😂😂😂💃
@EdwardMbwamboАй бұрын
Njaaa itakuuwa
@isackkivuyo1980Ай бұрын
Mhhhhhh
@habibumbawala1173Ай бұрын
Usajili mpya
@victorcephas3618Ай бұрын
Karudi nyumbani siyo mbaya mkataa kwao mtumwa
@JosephMagige-lf9nsАй бұрын
Uchafu. Umetoka kwenye maziwa
@edisonmjema2620Ай бұрын
Mbon salam namkon wa kushoto😢
@AnnoyedFlowerPot-mr2psАй бұрын
Mbowe angalia matokeo ya uongozi wako nawe rudi
@gesusgegangphray7689Ай бұрын
Cyo ajabu uyu msigwa ni njaa..alimkataa Yesu na uchungaji na kufwata siasa kwajli ya njaaa..na ukweli CCM inajaa matapishi ..watu kama hawa wasaliti njaa nyingi ya matumbo..mm nasema vyama vyote vya siasa vifutwe..CCM iitwe chama Cha mtanzania...hakuna siasa nchi hii wala siasa...wananchi tuamke na kuungana Ili viongozi wajuwe wajibu wawo na kazi