PROPHET IPM ALITUPA WASAA WA KUZUNGUMZA NAYE KUHUSU MAHUBIRI YAKE AMBAYO YANAONEKANA KAMA NI YA UGANGA WA KIENYEJI KATIKA MADHABAHU
Пікірлер: 165
@baghabaghaingwengwe175027 күн бұрын
Heshimika na Mungu sio wanadamu wewe ni ibilisi kwenye imani
@vicentgodda335716 күн бұрын
Kwa sababu Watu hawasemi Neno la Mungu kwa kusikiliza Sauti ya Mungu. Hata huyu msomi hajajua Neno la Mungu Sadaka na Kafara zilikoma kwa Sadaka na Kafara aliyoitoa Yesu Msalabani
@tahnsorg385516 күн бұрын
Nabii Mungu akubarik sana sana. Mungu azidi kukutumia sana kutoa mtazamo kwetu
@K-go1qj11 күн бұрын
Akawahubirie Wayahudi sisi Wakristo Damu ya Yesu ndio kafara yenyewe.
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
Basi kama wewe unahubi ya kale basi injili ya Yesu achana nayo hubiri ya kale
@user-dq3op3gs2d10 күн бұрын
Jamani Mungu atusaidie
@kwisa489927 күн бұрын
Tutafika mbinguni tumechoka sana Mwenyezi Mungu ilifumbo alilotupatia ni zito sana
@user-wg2gd2nl6c25 күн бұрын
Mpndwa kikubwa shikiria biblia ndiyo mwisho wamaswali yoteeee
@user-ep1pi5pw3k27 күн бұрын
ASHAWAHI KUMWONA MWISLAMU WA DHATI ANAUZA POMBE? JE BAKRESA ANAUZA SIGARA NA POMBE KATAJIRIKA?
@davidjoshua12918 күн бұрын
Mbona kule ulipo mji mtakatifu wanauza Pombe ? Na bado ni matajiri?
@user-du3pd7gb4c25 күн бұрын
!!Kwa maswali unajuwa kuuliza ubarikiwe sana amejikanyaga sana
@K-go1qj12 күн бұрын
Sio Africa ni Iraq ndipo bustani ya Edeni ilipokuwa
@user-mv6pj6hq3z27 күн бұрын
Narudia tena hujui kaa kimya kwa mungu Kuna zaka na sadaka hakuna kafara kafala ipo kwa shetani achana nahabali za mungu unataka umarufu igiza cheza film imba ila sio abali za MUNGU uta pauka mda somrefu
@saidhamisibora105718 күн бұрын
Hivi ni kafara au kafala twende na haka kamstari "Isaya 56:7; “Nitawaleta hao nao hata mlima wangu mtakatifu, na kuwa furahisha katika nyumba yangu ya sala; makafara yao na dhabihu zao zita kubaliwa juu ya madhabahu zangu; kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote.” zembea kuyajua maisha yakupige.
@ibrahimovicsonda489217 күн бұрын
Vp Range unazo ngapi au unaziona tyu kwa madogo
@K-go1qj12 күн бұрын
@@saidhamisibora1057aliwaambia wayahudi sisi ni Wakristo kafara yetu ni Yesu
@user-eo4is4wk4v4 күн бұрын
mafundisho ya upotoshaji
@user-ep1pi5pw3k27 күн бұрын
Hata wauza POMBE hawamuungi mkono kabisaaa
@mrflyover992827 күн бұрын
Wewe Ni IBILISI TENA SHETANI
@joseaugust280526 күн бұрын
Kuchinja kama mkisto , bi kurudi nyuma kwa manabii wa kale , ni sawa na ukasema kuwa Kristo Yesu akufa , maana kufa kwake na kufufuka ni kafara tosha ya milele , Kafara ya saivi ya Kristo Yesu ni kujifungamanisha naye na kujitoa dhabihu mwili wako , maana yake Kristo aishi ndani yako , na sio tena kuchinja wanyama kama kafara ,
@user-it7ih1it3m18 күн бұрын
Wasabato pia wapo kipindi cha kale kama hao wanaochinja 😂😂😂
@K-go1qj12 күн бұрын
Katoka kwenye uislam bila kuacha uislam
@paschalsafari974712 күн бұрын
Safi sana mchungaji..
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
Kwahio yesu ni muongo aliposema damu yake ndoimeondoa laana zote
@HarunaNicholaus-ed3mq27 күн бұрын
Kristo ni mwisho wa yote kafara ya Kristo ndio mwisho akuna Tena kafara wewe baba Yako ibilisi ndo kazi zake izo
@@user-gi8ny2xt3ykumbe na wew ni mwana wa ibilisi kama uyo nabii wa uwongo, walio tabiriwa,
@facebkmulatya267416 күн бұрын
@@user-gi8ny2xt3ywewe na Ipm mmepotoka. Nini maana ya hekalu kubomolewa na kujengwa tena? Tunastahili kujitoa sisi wala sio wanyama
@user-fu6fx8if6w9 күн бұрын
Nafikiri uyu mchungaji amechanganya uislamu na ukristo, Yesu Kristo amekwisha mwaga damu yake pale msalabani na imetosha.
@antonychitara570727 күн бұрын
Nakubaliana sana na hyo IPM
@asmanikahungu717122 күн бұрын
Sio kweli
@antonychitara570722 күн бұрын
@@asmanikahungu7171 hyo siyo kweli, hyo ni yako ndgu,, ila mm kweli yangu nakubaliana nae
@FideleLisha10 күн бұрын
Unasema kuwa hatutakiwi kuambiya watu yakuacha ni kweli unasema, lakini tunatakiwa kuambiya yakufanaya, yaani kumuamini Kristo Yesu, kisha badae, yeye Sasa ndo anawaongoza kupitiya Neno lake, Yohana 16:13, huyo Roho, Neno linasema hatawatiya kwenye kweli na kweli ni Neno la Kristo, sasa naicho unachokisema hapo ni tofauti na kweli ya Neno, kwa Yesu Kristo, tunakuja namaisha yetu yakale kisha yeye kupitiya Sadaka yakusulibishwa Kwake anatubadilisha ili tupate kumfanana Yeye kupitiya kuzaliwa marapili, yanii mtu ule wakwanza anakufa na tamaa zake zakale, anazaliwa ungine kupitiya mbegu ya Neno la Mungu, sasa unapofundisha kusema kuwa wauze na kufanya kazi wanazo zifanya, kisha mwisho iweje wa hayo maisha?, na unaposema habari za karafa ama kuchinja, kweli ni maandiko, lakini sasa je sisi mataifa tuko Israeli ?ama, kwenye agano lakale? je sisi mataifa ni Israeli? Sababu Israeli ndo alikabiziwa hayo mausiya ya Sadaka za wanyama na siyo sisi watu wamataifana, nahata kwa Israeli,Kristo atakapofunuliwa kwao,sadaka na kafara zitakoma, kaka acha kutiya maandiko ama kutafsiri, nafasi ambayo hayastahili Acha kuchanganya maandiko na maswala ya helimu.
@goldenvibeztz85793 күн бұрын
Wakristo hatuna ibada za kuchinja Yesu alifanyika kafara kwa ajili yetu huo ni ushetani na utajibu siku ya mwisho soma ufunuo 13:8
@MartinPangani23 күн бұрын
Hujui neno bro agano la kale ni kibuli cha agano jipya ebr 8:5 pia Ebr 9:9-10 Yesu ndio sadaka iliyotolewa ww enzi za musa unazileta leo duh dunia imefika mwisho
@ibrahimovicsonda489217 күн бұрын
Sadaka ya yesu Ili uponywe dhambi zako sio utajir utajir jiongeze
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
Mwandishi nimekupenda
@user-xw1ib1ns3m9 күн бұрын
Nabii hizi ni zam za agano jipya Damu ya Yesu inatosha
@K-go1qj11 күн бұрын
Aache kupotosha watu umasikini ni matokeo ya mfumo hata kwa wasio Wakristo. Mbona nchi za ulaya Wakristo ni matajiri
@MushagalusaLeonard-zw8rr16 күн бұрын
Mzee lala
@annanamuyala16 күн бұрын
Tatizo munachanganya agano lakale na jipya agano lakale mwanadamu alijitenga na mungu na ndiyo maana walikuwa wanatoa kafala baada ya kumutuma mwanae yesu alitolewa kafala kwajili ya kupatanisha kwa damu yake yesu agano jipya akuna kafala ni iyo nimizinu kwa sababu yelemia 31vs31-34
@paschalmasheyo234922 күн бұрын
Upeo wako ni mdogo sana kuhusu Biblia na Mungu ,na unapotosha imani moja kwa moja, Yawezekana waliokupokea walikupa mafundisho dhaifu sana .Yesu ilisema mtawatambua kwa Matunda ,Yani kama kuharibu hapo umeharibu vibaya sana yani haupo kwenye Imani
@K-go1qj12 күн бұрын
Kaja kwa mission maalumu ya kuwapeleka watu kuzimu
@antonychitara570727 күн бұрын
Hyu mtangazaji pia atachelewa sana sababu ameshikilia mapokeo😂😂😂
@nicksonkagimbo544115 күн бұрын
Rudi kwenye uislamu acha kupotosha .Yesu alifanyika kafara kwa ajiri yetu
@ndayikezaoscar346727 күн бұрын
Kuanzia leo we jamaa SIKUKUBALI
@user-dq3op3gs2d10 күн бұрын
😂😂😂😂
@user1337520 күн бұрын
Kujiita tuu prophet ,tayari ushapishana na Mungu😮😮😮😮
@HAPPYSULE17 күн бұрын
Kumbe ipm nikichaa nasubutu kusema hili kwahabari ya uchungaji wako, kamwaga dam ilikuondoa dhambi sio kwa biashara....... Upuuzi huu.
@wilsonm.737625 күн бұрын
Pastor kama ni hivo kwanini sasa na una mke moja??!!
@aronlubango793419 күн бұрын
Huyu bado anauchanga wa neno,hakufundishwa nn Yesu alifanyika kafara
@K-go1qj12 күн бұрын
Zijaribuni kila roho watatokea makristo wengi
@happymrema74878 күн бұрын
Kwel sadak ya kuchinja Ina nguv
@LaureenGodwin15 күн бұрын
Hapa sijakuelewa wakati wote nilikuaminia, sasa hapa kuchinja kunakujaje? Wakati Yesu alishamwaga damu msalabani? Unafundishaje kuchinja wakati ule tuliishi kwa Torati Sheria,na sasa tunaishi kwa Neema baada ya Kifo cha Kristo
Mchungaji nimecheka sana..😂😂😂 ndiyo maana myoka.wa leo wana.hasira sana wakikutafuna unakufa.😅
@happymrema74878 күн бұрын
Ni kwel wachungaj weng wanachinja huyu anaongea fact
@ndayikezaoscar346727 күн бұрын
IRAQ ni Africa jamani??? Uyu jamaa daaaahhhh
@francisjoseph107414 күн бұрын
Mtafute tena bishop ngonyani aliongelee hili
@ZakayoSanga-ge4jr18 күн бұрын
Mbona wakati upo,kwenye dini Yakoyamwanzo haya mambo ulikua huzungumzi,
@happymrema74878 күн бұрын
Huyu yuko Waz
@jimmymwashambwa736421 күн бұрын
Kipindi hiki kutuma damu za wanyama Ina maana wewe hujui kwa kiasi cha kutisha kajifunze uweza mkubwa wa Yesu
@clouartmichael729614 күн бұрын
Huyu haijui Damu iliyomwagika pale msalabani
@alexmahenge381727 күн бұрын
😂 Nilichogundua IPM kwenye injili Bado Mchanga mnoo 😂 yaani kaanza kuhubiri akiwa bado mchanga mnoo. Tusamehewe sisi wakristo tuliompokea kutoka Uislamu kuja ukristo na hatujamkomaza kimaandiko. Yaani ni mchanga mnoooo mnooo. Na hili ni tatizo mnoooo😅 Siku akikomaa kiimani atajutia hizi Interviews zake😂😂😂😂😂
@sciencesocietyoftanzania595726 күн бұрын
@@alexmahenge3817 Kwani Mila na Desturi za mambabu zetu zilisemaje kuhusu kafara. Kabla ya imani ya wazungu na waarabu kuja?
@fademoonlinetv26 күн бұрын
Kwani Ibrahimu, AYUBU, ISAKA, YAKOBO walitoa nini? Si walitoa Kafara? Makuhani walikuwa wakitoa nini hekaluni? Siyo kafara? Au kiswahili ndicho kinawavuruga wakristo?
@user-wg2gd2nl6c25 күн бұрын
@@fademoonlinetv Nawewe ushindwa. Kafala zamani kipndi kirsto hajaja. Saivi hatuna mambo yakafara kafala nimashetani. Mnamtolea shetani kafala. Nasyo YEHOVA. Mspoteze loho za watu nyie
@MartinPangani23 күн бұрын
Hajui chochote huyu na hawezi kuelewa hata cku moja
@MartinPangani23 күн бұрын
@@fademoonlinetvww nawe hujui kitu nyamaza biblia huijui kama hyo baba yako IPM
@user-md7ug5dd9r15 күн бұрын
Kwa maneno haya ukristo umepotoshwa kabisa. Ukristo hauna mambo ya kafara . Kafara ni agano la kale .Basi kwa maneno yako Mungu ataamua kama uko sawa
@K-go1qj12 күн бұрын
Mtume gani amewahi chinja
@K-go1qj12 күн бұрын
Acha uongo kuchinja ni ushirikina
@WilliamsWilliams-v8y20 күн бұрын
Kati ya agano jipy na lakale lip liynatumika kwa ssa 😊
@vicentgodda335716 күн бұрын
Huyu mpendwa ni mpotoshaji pole kwa wasio na Roho Mtakatifu watapotoshwa na Mtu kama huyu.
@K-go1qj11 күн бұрын
@@vicentgodda3357 nguvu ya kuasi hii ndani mwake
@user-dq3op3gs2d10 күн бұрын
@@K-go1qj😂
@K-go1qj11 күн бұрын
Mbona wazungu Wakristo wao ni matajiri je wao wanachinja nini? Umasikini wa waafrika ni matokeo ya mfumo mbovu wa uongozi na sio dini
@tahnsorg385516 күн бұрын
NABII MUNGU AKULINDEAKUBARIK. UMENIPA MAJIBU YA MASWALI YANGU YALIKUWA YANANITATISHA MAISHANI. ENDELEA TUPO TUNAEKUAMINI KWA ULICHOBARIKIWA NA MUNGU UTUFUNDISHE
@joseaugust280526 күн бұрын
Kuna nira ya YESU na kuna nira ya manabii wa kale ,. Sasa kama mkristo ndo uchague unataka nira ya YESU au unataka nira ya manabii wa kale ??? Kuna kisa Yesu aliwaambia wale mafarisayo kuwa anataka rehema na sio sadaka ,
@user-dq3op3gs2d10 күн бұрын
Kwa hiyo tuanze kuchinja na sisi daaaaaa
@user-eo4is4wk4v4 күн бұрын
unapotosha watu wasiosoma maandiko na kuyazingatia
@annanamuyala16 күн бұрын
Yesu alijitoa kafala kwa damu yake alileta magano mapia mathayo 26 vs 28 iyo sikweli
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
Kesho utatuambia kichinja watu na kuwapiga mawe hadi kufa maana yameandikwa pia hapokale?
@user-mv6pj6hq3z27 күн бұрын
Kwamganga nikafala kwamungu ni zaka na sadaka yachunguze maandiko kwamungu hamna kafala usdanganye
@fademoonlinetv26 күн бұрын
Kwani Ibrahimu, AYUBU, ISAKA, YAKOBO walitoa nini? Si walitoa Kafara? Makuhani walikuwa wakitoa nini hekaluni? Siyo kafara? Au kiswahili ndicho kinawavuruga wakristo?
@user-dq3op3gs2d10 күн бұрын
Mimi simuelewi na hata sitamwelewa
@user-hp1im5ek4r18 күн бұрын
Yaani hapo ni uongo kafara iliishia msalabani leo utaniambiaje nitoe kafara ya kuchinja
@Kuminamoja199527 күн бұрын
Huwo ndo ukristo Sio Uislam? Huyu jamaa atakua balozi wa kinywaji cha kilimanjaro au safari.
@Kuminamoja199527 күн бұрын
Sasa Unachinja mwenyewe au waislam ndo wanakuchinjia?
@bernardmwenda518627 күн бұрын
IPM; Naona kumbe hata Yesu kufa msalabani mwenzetu haikuhusu. Kwa taarifa yako, Yesu ndiyo alifanyika kuwa sadaka, hata akasema, " Imekwisha" SAsa unaposema hivi sasa tuchinje; inashangaza sana, hivyo hata kufa kwa Yesu kwetu kama sadaka, kwako hujajua kabisa. Unasema unamwaminI Kristo, naona huamini kabisa, kwa sababu hata kufa kwake kama sadaka ya mwisho hauna. Mungu akusaidie sana; umeleta Uislamu Kanisani. Rais hawezi kufunga viwanda vya pombe, kwa sababu anaongoza watu wa dunia, sasa ulitaka akataze watu wote wasinywe pombe?Wewe maana ya kuwa Mkristo ni nini? Unaowahubiria, waagize waache dhambi, ikiwa ni pamoja na pombe. HUwezi kusema, unawahubiria watu, halafu unawaagiza, waendelee kufanya biashara haramu wawauzie watu! Soma Habakuki 2: 15!
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
Nakuletea sadaka ya katon ya konyagi
@user-wg2gd2nl6c25 күн бұрын
Ushindwe mkirsto Hana kafala YESU alimaliza yotee
@Brunotarimo1025 күн бұрын
Nakubaliana na IPM kutoka Gikombaa nairobi
@asmanikahungu717122 күн бұрын
Sio kweli Christo njo sadaka tosha
@K-go1qj11 күн бұрын
@@Brunotarimo10 Nje ya Ukristo
@Brunotarimo1011 күн бұрын
@@K-go1qj naam
@stephanosospeter170921 күн бұрын
Umulize na yale mafuta ya dhahabu, alie kuwa anauza yalikuwa ya nini?
@d.family.choir179920 күн бұрын
Lakin ipm mbona yesu alifanyika kafara ili uchinjaji ukome mbona wewe unachinja nikwa maandiko gani sasa
@ibrahimovicsonda489217 күн бұрын
Damu ya yesu Ili uponywe dhambi zako sio utajir utajir jiongeze
@Abdul_mjungu127 күн бұрын
Anachokijibu kimekaa ki political diplomacy ila kimisingi ya bibilia na Quran yupo OP mnoo.
@djmurphyoffcial359517 күн бұрын
Sija wahii KUJUA kama Ufahamu wako Bado uko msikitini inga Wa nimchungaji
@rweumbizalugaimukamu490526 күн бұрын
Huyu sio kristo
@Ngendakumana-leonc14 күн бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka😅
@user-zf7gb6pq5b23 күн бұрын
Yani bibliya inaruhusu kunwa pombe ? Kama inaruhusu leta mahandiko
@barakabusima25 күн бұрын
Wewe ni mganga bwana 😂 wacha zako
@dansonmuthusi2026 күн бұрын
Wewe sio Mchungaji Kabisa, wewe ni mganga
@FideleLisha10 күн бұрын
Kaka achakupotosha maandiko kwa tafsiri zako za kielimu ya kimwili, Mtume Paulo, aliyekuwa mjumbe kwa mataifa ambao ni sisi ajatufundisha ivo kwenye nyaraka zake zote, huyo yesu unaye mfundisha wewe ni mwingine, siyo ambae walituhubiri wale mitu 11 nawa 12 ni Paulo. Kanisa la Kristo rudiye kwenye maandiko muache kupotoshwa na kila pepo za mafundisho.
@facebkmulatya267416 күн бұрын
Matunda sioa kuacha neno laungu wala Kuhubiri yale yasioandikwa kwenye biblia. Manabii wa uongo wanatumia Biblia vile shetani alitumia Neno lililoandikwa.
Huyu mtu ni mzushi na mpotoshi Mkubwa kabisa. Ajibu mbona wahindi waarabu wasomali waislamu safi hawauzi sigara Wala pombe na ni matajiri?
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
We wasema hutaki kudanganya,hivyo umatuamomisha kuwa Yesu mi muongo?
@K-go1qj12 күн бұрын
Mifano yako haiendani kabisa
@annanamuyala16 күн бұрын
Tanzania munachosha jamani
@K-go1qj12 күн бұрын
Pana biashara za watu wa dini na zisizo za watu wa dini mbona waislamu ni matajiri na hawauzi sigara pombe Wala haramu yeyeto
@devissyprian152610 күн бұрын
Wewe jamaa mpumbavu Sana huna akili IPM
@davidjoseph509319 күн бұрын
Una knowledge ndogo sana,
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
We ni mwanazuoni au mwanaichumi?
@juliusakilimali942421 күн бұрын
HUYU ANACHANGANYA MAMBO!!
@user-gn6gn7vs2j16 күн бұрын
Mchungaji! Soma biblia
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
Madhahu hio ni ya nani ?Yesu?
@user-wi8og3sv4j26 күн бұрын
Unamchinjia nani?
@felixmugambi223720 күн бұрын
Huyu ni mganga kanisani
@cascanicolnicol200819 күн бұрын
Siri ya utajiri sio kuchinja ni malimbuko na mafungu ya kumi ( mtawajua kwa matendo yao)
@ibrahimovicsonda489217 күн бұрын
@@cascanicolnicol2008 vp Range unazo ngapi hukoo?
@user-eo4is4wk4v4 күн бұрын
wewe haujawahi kuokoka una ungaunga maneno
@user-ep1pi5pw3k27 күн бұрын
HUYU BADOO ANAYAISHI MAFUNZO YA KIISLAMU.HANA MENTOR WA KUMLEA KAMA BABA WA KIROHO.ANAJITEGEMEA KIMAFUNUO
@Abdul_mjungu127 күн бұрын
@@user-ep1pi5pw3k hujui unachokisema wewe
@shubebunyesi54223 күн бұрын
huyu tapeli kama tapeli wengine sio kuchinja tu ni mshirikina sema ndugu zetu mnakazi sana mana mpaka mtachanganyikiwa kila mmoja anakuja kwenye dini yenu alafu ni wepesi kukubali ndio mana mnadanganywa kiwepesi utasikia roho kamwingia nyie mtapigwa sana
@facebkmulatya267416 күн бұрын
Yesu alifanya kafara lini? Mitume walichinja wapi, lini na wapi?
@K-go1qj11 күн бұрын
@@facebkmulatya2674 Yeye ndie kafara kwa kumwaga damu yake msalabani thus kupitia damu ya Yesu upo uponyaji na uzima tele
@K-go1qj11 күн бұрын
@@facebkmulatya2674 upatanisho wetu na MUNGU ni kupitia damu ya Yesu Kristo pekee na sio damu ya mnyama