PROPHET IPM AFUNGUKA WACHUNGAJI KUTOA KAFARA ILI KUPATA UTAJIRI NA WACHUNGAJI WA MAFUTA YA UPAKO

  Рет қаралды 12,540

SIMULIZI ZONE

SIMULIZI ZONE

29 күн бұрын

PROPHET IPM ALITUPA WASAA WA KUZUNGUMZA NAYE KUHUSU MAHUBIRI YAKE AMBAYO YANAONEKANA KAMA NI YA UGANGA WA KIENYEJI KATIKA MADHABAHU

Пікірлер: 165
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 27 күн бұрын
Heshimika na Mungu sio wanadamu wewe ni ibilisi kwenye imani
@vicentgodda3357
@vicentgodda3357 16 күн бұрын
Kwa sababu Watu hawasemi Neno la Mungu kwa kusikiliza Sauti ya Mungu. Hata huyu msomi hajajua Neno la Mungu Sadaka na Kafara zilikoma kwa Sadaka na Kafara aliyoitoa Yesu Msalabani
@tahnsorg3855
@tahnsorg3855 16 күн бұрын
Nabii Mungu akubarik sana sana. Mungu azidi kukutumia sana kutoa mtazamo kwetu
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
Akawahubirie Wayahudi sisi Wakristo Damu ya Yesu ndio kafara yenyewe.
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
Basi kama wewe unahubi ya kale basi injili ya Yesu achana nayo hubiri ya kale
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 10 күн бұрын
Jamani Mungu atusaidie
@kwisa4899
@kwisa4899 27 күн бұрын
Tutafika mbinguni tumechoka sana Mwenyezi Mungu ilifumbo alilotupatia ni zito sana
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 25 күн бұрын
Mpndwa kikubwa shikiria biblia ndiyo mwisho wamaswali yoteeee
@user-ep1pi5pw3k
@user-ep1pi5pw3k 27 күн бұрын
ASHAWAHI KUMWONA MWISLAMU WA DHATI ANAUZA POMBE? JE BAKRESA ANAUZA SIGARA NA POMBE KATAJIRIKA?
@davidjoshua129
@davidjoshua129 18 күн бұрын
Mbona kule ulipo mji mtakatifu wanauza Pombe ? Na bado ni matajiri?
@user-du3pd7gb4c
@user-du3pd7gb4c 25 күн бұрын
!!Kwa maswali unajuwa kuuliza ubarikiwe sana amejikanyaga sana
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Sio Africa ni Iraq ndipo bustani ya Edeni ilipokuwa
@user-mv6pj6hq3z
@user-mv6pj6hq3z 27 күн бұрын
Narudia tena hujui kaa kimya kwa mungu Kuna zaka na sadaka hakuna kafara kafala ipo kwa shetani achana nahabali za mungu unataka umarufu igiza cheza film imba ila sio abali za MUNGU uta pauka mda somrefu
@saidhamisibora1057
@saidhamisibora1057 18 күн бұрын
Hivi ni kafara au kafala twende na haka kamstari "Isaya 56:7; “Nitawaleta hao nao hata mlima wangu mtakatifu, na kuwa furahisha katika nyumba yangu ya sala; makafara yao na dhabihu zao zita kubaliwa juu ya madhabahu zangu; kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote.” zembea kuyajua maisha yakupige.
@ibrahimovicsonda4892
@ibrahimovicsonda4892 17 күн бұрын
Vp Range unazo ngapi au unaziona tyu kwa madogo
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
​@@saidhamisibora1057aliwaambia wayahudi sisi ni Wakristo kafara yetu ni Yesu
@user-eo4is4wk4v
@user-eo4is4wk4v 4 күн бұрын
mafundisho ya upotoshaji
@user-ep1pi5pw3k
@user-ep1pi5pw3k 27 күн бұрын
Hata wauza POMBE hawamuungi mkono kabisaaa
@mrflyover9928
@mrflyover9928 27 күн бұрын
Wewe Ni IBILISI TENA SHETANI
@joseaugust2805
@joseaugust2805 26 күн бұрын
Kuchinja kama mkisto , bi kurudi nyuma kwa manabii wa kale , ni sawa na ukasema kuwa Kristo Yesu akufa , maana kufa kwake na kufufuka ni kafara tosha ya milele , Kafara ya saivi ya Kristo Yesu ni kujifungamanisha naye na kujitoa dhabihu mwili wako , maana yake Kristo aishi ndani yako , na sio tena kuchinja wanyama kama kafara ,
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 18 күн бұрын
Wasabato pia wapo kipindi cha kale kama hao wanaochinja 😂😂😂
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Katoka kwenye uislam bila kuacha uislam
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 12 күн бұрын
Safi sana mchungaji..
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
Kwahio yesu ni muongo aliposema damu yake ndoimeondoa laana zote
@HarunaNicholaus-ed3mq
@HarunaNicholaus-ed3mq 27 күн бұрын
Kristo ni mwisho wa yote kafara ya Kristo ndio mwisho akuna Tena kafara wewe baba Yako ibilisi ndo kazi zake izo
@user-gi8ny2xt3y
@user-gi8ny2xt3y 24 күн бұрын
@@HarunaNicholaus-ed3mq ndo akili Yako ilipoishia amka iyo ndoto Yako so nzuri munaambiwa ukwer munabisha🥱🥱
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 21 күн бұрын
​@@user-gi8ny2xt3ykumbe na wew ni mwana wa ibilisi kama uyo nabii wa uwongo, walio tabiriwa,
@facebkmulatya2674
@facebkmulatya2674 16 күн бұрын
​@@user-gi8ny2xt3ywewe na Ipm mmepotoka. Nini maana ya hekalu kubomolewa na kujengwa tena? Tunastahili kujitoa sisi wala sio wanyama
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w 9 күн бұрын
Nafikiri uyu mchungaji amechanganya uislamu na ukristo, Yesu Kristo amekwisha mwaga damu yake pale msalabani na imetosha.
@antonychitara5707
@antonychitara5707 27 күн бұрын
Nakubaliana sana na hyo IPM
@asmanikahungu7171
@asmanikahungu7171 22 күн бұрын
Sio kweli
@antonychitara5707
@antonychitara5707 22 күн бұрын
@@asmanikahungu7171 hyo siyo kweli, hyo ni yako ndgu,, ila mm kweli yangu nakubaliana nae
@FideleLisha
@FideleLisha 10 күн бұрын
Unasema kuwa hatutakiwi kuambiya watu yakuacha ni kweli unasema, lakini tunatakiwa kuambiya yakufanaya, yaani kumuamini Kristo Yesu, kisha badae, yeye Sasa ndo anawaongoza kupitiya Neno lake, Yohana 16:13, huyo Roho, Neno linasema hatawatiya kwenye kweli na kweli ni Neno la Kristo, sasa naicho unachokisema hapo ni tofauti na kweli ya Neno, kwa Yesu Kristo, tunakuja namaisha yetu yakale kisha yeye kupitiya Sadaka yakusulibishwa Kwake anatubadilisha ili tupate kumfanana Yeye kupitiya kuzaliwa marapili, yanii mtu ule wakwanza anakufa na tamaa zake zakale, anazaliwa ungine kupitiya mbegu ya Neno la Mungu, sasa unapofundisha kusema kuwa wauze na kufanya kazi wanazo zifanya, kisha mwisho iweje wa hayo maisha?, na unaposema habari za karafa ama kuchinja, kweli ni maandiko, lakini sasa je sisi mataifa tuko Israeli ?ama, kwenye agano lakale? je sisi mataifa ni Israeli? Sababu Israeli ndo alikabiziwa hayo mausiya ya Sadaka za wanyama na siyo sisi watu wamataifana, nahata kwa Israeli,Kristo atakapofunuliwa kwao,sadaka na kafara zitakoma, kaka acha kutiya maandiko ama kutafsiri, nafasi ambayo hayastahili Acha kuchanganya maandiko na maswala ya helimu.
@goldenvibeztz8579
@goldenvibeztz8579 3 күн бұрын
Wakristo hatuna ibada za kuchinja Yesu alifanyika kafara kwa ajili yetu huo ni ushetani na utajibu siku ya mwisho soma ufunuo 13:8
@MartinPangani
@MartinPangani 23 күн бұрын
Hujui neno bro agano la kale ni kibuli cha agano jipya ebr 8:5 pia Ebr 9:9-10 Yesu ndio sadaka iliyotolewa ww enzi za musa unazileta leo duh dunia imefika mwisho
@ibrahimovicsonda4892
@ibrahimovicsonda4892 17 күн бұрын
Sadaka ya yesu Ili uponywe dhambi zako sio utajir utajir jiongeze
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
Mwandishi nimekupenda
@user-xw1ib1ns3m
@user-xw1ib1ns3m 9 күн бұрын
Nabii hizi ni zam za agano jipya Damu ya Yesu inatosha
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
Aache kupotosha watu umasikini ni matokeo ya mfumo hata kwa wasio Wakristo. Mbona nchi za ulaya Wakristo ni matajiri
@MushagalusaLeonard-zw8rr
@MushagalusaLeonard-zw8rr 16 күн бұрын
Mzee lala
@annanamuyala
@annanamuyala 16 күн бұрын
Tatizo munachanganya agano lakale na jipya agano lakale mwanadamu alijitenga na mungu na ndiyo maana walikuwa wanatoa kafala baada ya kumutuma mwanae yesu alitolewa kafala kwajili ya kupatanisha kwa damu yake yesu agano jipya akuna kafala ni iyo nimizinu kwa sababu yelemia 31vs31-34
@paschalmasheyo2349
@paschalmasheyo2349 22 күн бұрын
Upeo wako ni mdogo sana kuhusu Biblia na Mungu ,na unapotosha imani moja kwa moja, Yawezekana waliokupokea walikupa mafundisho dhaifu sana .Yesu ilisema mtawatambua kwa Matunda ,Yani kama kuharibu hapo umeharibu vibaya sana yani haupo kwenye Imani
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Kaja kwa mission maalumu ya kuwapeleka watu kuzimu
@antonychitara5707
@antonychitara5707 27 күн бұрын
Hyu mtangazaji pia atachelewa sana sababu ameshikilia mapokeo😂😂😂
@nicksonkagimbo5441
@nicksonkagimbo5441 15 күн бұрын
Rudi kwenye uislamu acha kupotosha .Yesu alifanyika kafara kwa ajiri yetu
@ndayikezaoscar3467
@ndayikezaoscar3467 27 күн бұрын
Kuanzia leo we jamaa SIKUKUBALI
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 10 күн бұрын
😂😂😂😂
@user13375
@user13375 20 күн бұрын
Kujiita tuu prophet ,tayari ushapishana na Mungu😮😮😮😮
@HAPPYSULE
@HAPPYSULE 17 күн бұрын
Kumbe ipm nikichaa nasubutu kusema hili kwahabari ya uchungaji wako, kamwaga dam ilikuondoa dhambi sio kwa biashara....... Upuuzi huu.
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 25 күн бұрын
Pastor kama ni hivo kwanini sasa na una mke moja??!!
@aronlubango7934
@aronlubango7934 19 күн бұрын
Huyu bado anauchanga wa neno,hakufundishwa nn Yesu alifanyika kafara
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Zijaribuni kila roho watatokea makristo wengi
@happymrema7487
@happymrema7487 8 күн бұрын
Kwel sadak ya kuchinja Ina nguv
@LaureenGodwin
@LaureenGodwin 15 күн бұрын
Hapa sijakuelewa wakati wote nilikuaminia, sasa hapa kuchinja kunakujaje? Wakati Yesu alishamwaga damu msalabani? Unafundishaje kuchinja wakati ule tuliishi kwa Torati Sheria,na sasa tunaishi kwa Neema baada ya Kifo cha Kristo
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 27 күн бұрын
Apm Adunnia sijin lmuiminin wajjannatul kafr. Kwayo ulicho amua hicho umefeli mnoo na kizazi chako nahao uliowadanganya
@chaco1466
@chaco1466 27 күн бұрын
Kwaiyo MADAWA YA KULEVYA NI ALALI kuuza?
@luc66lumona93
@luc66lumona93 20 күн бұрын
Irak sio Africa
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 12 күн бұрын
Mchungaji nimecheka sana..😂😂😂 ndiyo maana myoka.wa leo wana.hasira sana wakikutafuna unakufa.😅
@happymrema7487
@happymrema7487 8 күн бұрын
Ni kwel wachungaj weng wanachinja huyu anaongea fact
@ndayikezaoscar3467
@ndayikezaoscar3467 27 күн бұрын
IRAQ ni Africa jamani??? Uyu jamaa daaaahhhh
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 14 күн бұрын
Mtafute tena bishop ngonyani aliongelee hili
@ZakayoSanga-ge4jr
@ZakayoSanga-ge4jr 18 күн бұрын
Mbona wakati upo,kwenye dini Yakoyamwanzo haya mambo ulikua huzungumzi,
@happymrema7487
@happymrema7487 8 күн бұрын
Huyu yuko Waz
@jimmymwashambwa7364
@jimmymwashambwa7364 21 күн бұрын
Kipindi hiki kutuma damu za wanyama Ina maana wewe hujui kwa kiasi cha kutisha kajifunze uweza mkubwa wa Yesu
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 14 күн бұрын
Huyu haijui Damu iliyomwagika pale msalabani
@alexmahenge3817
@alexmahenge3817 27 күн бұрын
😂 Nilichogundua IPM kwenye injili Bado Mchanga mnoo 😂 yaani kaanza kuhubiri akiwa bado mchanga mnoo. Tusamehewe sisi wakristo tuliompokea kutoka Uislamu kuja ukristo na hatujamkomaza kimaandiko. Yaani ni mchanga mnoooo mnooo. Na hili ni tatizo mnoooo😅 Siku akikomaa kiimani atajutia hizi Interviews zake😂😂😂😂😂
@sciencesocietyoftanzania5957
@sciencesocietyoftanzania5957 26 күн бұрын
@@alexmahenge3817 Kwani Mila na Desturi za mambabu zetu zilisemaje kuhusu kafara. Kabla ya imani ya wazungu na waarabu kuja?
@fademoonlinetv
@fademoonlinetv 26 күн бұрын
Kwani Ibrahimu, AYUBU, ISAKA, YAKOBO walitoa nini? Si walitoa Kafara? Makuhani walikuwa wakitoa nini hekaluni? Siyo kafara? Au kiswahili ndicho kinawavuruga wakristo?
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 25 күн бұрын
​@@fademoonlinetv Nawewe ushindwa. Kafala zamani kipndi kirsto hajaja. Saivi hatuna mambo yakafara kafala nimashetani. Mnamtolea shetani kafala. Nasyo YEHOVA. Mspoteze loho za watu nyie
@MartinPangani
@MartinPangani 23 күн бұрын
Hajui chochote huyu na hawezi kuelewa hata cku moja
@MartinPangani
@MartinPangani 23 күн бұрын
​@@fademoonlinetvww nawe hujui kitu nyamaza biblia huijui kama hyo baba yako IPM
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r 15 күн бұрын
Kwa maneno haya ukristo umepotoshwa kabisa. Ukristo hauna mambo ya kafara . Kafara ni agano la kale .Basi kwa maneno yako Mungu ataamua kama uko sawa
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Mtume gani amewahi chinja
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Acha uongo kuchinja ni ushirikina
@WilliamsWilliams-v8y
@WilliamsWilliams-v8y 20 күн бұрын
Kati ya agano jipy na lakale lip liynatumika kwa ssa 😊
@vicentgodda3357
@vicentgodda3357 16 күн бұрын
Huyu mpendwa ni mpotoshaji pole kwa wasio na Roho Mtakatifu watapotoshwa na Mtu kama huyu.
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
@@vicentgodda3357 nguvu ya kuasi hii ndani mwake
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 10 күн бұрын
​@@K-go1qj😂
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
Mbona wazungu Wakristo wao ni matajiri je wao wanachinja nini? Umasikini wa waafrika ni matokeo ya mfumo mbovu wa uongozi na sio dini
@tahnsorg3855
@tahnsorg3855 16 күн бұрын
NABII MUNGU AKULINDEAKUBARIK. UMENIPA MAJIBU YA MASWALI YANGU YALIKUWA YANANITATISHA MAISHANI. ENDELEA TUPO TUNAEKUAMINI KWA ULICHOBARIKIWA NA MUNGU UTUFUNDISHE
@joseaugust2805
@joseaugust2805 26 күн бұрын
Kuna nira ya YESU na kuna nira ya manabii wa kale ,. Sasa kama mkristo ndo uchague unataka nira ya YESU au unataka nira ya manabii wa kale ??? Kuna kisa Yesu aliwaambia wale mafarisayo kuwa anataka rehema na sio sadaka ,
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 10 күн бұрын
Kwa hiyo tuanze kuchinja na sisi daaaaaa
@user-eo4is4wk4v
@user-eo4is4wk4v 4 күн бұрын
unapotosha watu wasiosoma maandiko na kuyazingatia
@annanamuyala
@annanamuyala 16 күн бұрын
Yesu alijitoa kafala kwa damu yake alileta magano mapia mathayo 26 vs 28 iyo sikweli
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
Kesho utatuambia kichinja watu na kuwapiga mawe hadi kufa maana yameandikwa pia hapokale?
@user-mv6pj6hq3z
@user-mv6pj6hq3z 27 күн бұрын
Kwamganga nikafala kwamungu ni zaka na sadaka yachunguze maandiko kwamungu hamna kafala usdanganye
@fademoonlinetv
@fademoonlinetv 26 күн бұрын
Kwani Ibrahimu, AYUBU, ISAKA, YAKOBO walitoa nini? Si walitoa Kafara? Makuhani walikuwa wakitoa nini hekaluni? Siyo kafara? Au kiswahili ndicho kinawavuruga wakristo?
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 10 күн бұрын
Mimi simuelewi na hata sitamwelewa
@user-hp1im5ek4r
@user-hp1im5ek4r 18 күн бұрын
Yaani hapo ni uongo kafara iliishia msalabani leo utaniambiaje nitoe kafara ya kuchinja
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 27 күн бұрын
Huwo ndo ukristo Sio Uislam? Huyu jamaa atakua balozi wa kinywaji cha kilimanjaro au safari.
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 27 күн бұрын
Sasa Unachinja mwenyewe au waislam ndo wanakuchinjia?
@bernardmwenda5186
@bernardmwenda5186 27 күн бұрын
IPM; Naona kumbe hata Yesu kufa msalabani mwenzetu haikuhusu. Kwa taarifa yako, Yesu ndiyo alifanyika kuwa sadaka, hata akasema, " Imekwisha" SAsa unaposema hivi sasa tuchinje; inashangaza sana, hivyo hata kufa kwa Yesu kwetu kama sadaka, kwako hujajua kabisa. Unasema unamwaminI Kristo, naona huamini kabisa, kwa sababu hata kufa kwake kama sadaka ya mwisho hauna. Mungu akusaidie sana; umeleta Uislamu Kanisani. Rais hawezi kufunga viwanda vya pombe, kwa sababu anaongoza watu wa dunia, sasa ulitaka akataze watu wote wasinywe pombe?Wewe maana ya kuwa Mkristo ni nini? Unaowahubiria, waagize waache dhambi, ikiwa ni pamoja na pombe. HUwezi kusema, unawahubiria watu, halafu unawaagiza, waendelee kufanya biashara haramu wawauzie watu! Soma Habakuki 2: 15!
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
Nakuletea sadaka ya katon ya konyagi
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 25 күн бұрын
Ushindwe mkirsto Hana kafala YESU alimaliza yotee
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 25 күн бұрын
Nakubaliana na IPM kutoka Gikombaa nairobi
@asmanikahungu7171
@asmanikahungu7171 22 күн бұрын
Sio kweli Christo njo sadaka tosha
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
@@Brunotarimo10 Nje ya Ukristo
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 11 күн бұрын
@@K-go1qj naam
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 21 күн бұрын
Umulize na yale mafuta ya dhahabu, alie kuwa anauza yalikuwa ya nini?
@d.family.choir1799
@d.family.choir1799 20 күн бұрын
Lakin ipm mbona yesu alifanyika kafara ili uchinjaji ukome mbona wewe unachinja nikwa maandiko gani sasa
@ibrahimovicsonda4892
@ibrahimovicsonda4892 17 күн бұрын
Damu ya yesu Ili uponywe dhambi zako sio utajir utajir jiongeze
@Abdul_mjungu1
@Abdul_mjungu1 27 күн бұрын
Anachokijibu kimekaa ki political diplomacy ila kimisingi ya bibilia na Quran yupo OP mnoo.
@djmurphyoffcial3595
@djmurphyoffcial3595 17 күн бұрын
Sija wahii KUJUA kama Ufahamu wako Bado uko msikitini inga Wa nimchungaji
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 26 күн бұрын
Huyu sio kristo
@Ngendakumana-leonc
@Ngendakumana-leonc 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka😅
@user-zf7gb6pq5b
@user-zf7gb6pq5b 23 күн бұрын
Yani bibliya inaruhusu kunwa pombe ? Kama inaruhusu leta mahandiko
@barakabusima
@barakabusima 25 күн бұрын
Wewe ni mganga bwana 😂 wacha zako
@dansonmuthusi20
@dansonmuthusi20 26 күн бұрын
Wewe sio Mchungaji Kabisa, wewe ni mganga
@FideleLisha
@FideleLisha 10 күн бұрын
Kaka achakupotosha maandiko kwa tafsiri zako za kielimu ya kimwili, Mtume Paulo, aliyekuwa mjumbe kwa mataifa ambao ni sisi ajatufundisha ivo kwenye nyaraka zake zote, huyo yesu unaye mfundisha wewe ni mwingine, siyo ambae walituhubiri wale mitu 11 nawa 12 ni Paulo. Kanisa la Kristo rudiye kwenye maandiko muache kupotoshwa na kila pepo za mafundisho.
@facebkmulatya2674
@facebkmulatya2674 16 күн бұрын
Matunda sioa kuacha neno laungu wala Kuhubiri yale yasioandikwa kwenye biblia. Manabii wa uongo wanatumia Biblia vile shetani alitumia Neno lililoandikwa.
@felixmugambi2237
@felixmugambi2237 20 күн бұрын
Wale wakufuata huyu mganga kanisani ,washa wafuate kuzimu yawasubiri
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 10 күн бұрын
Ufagio naikataa hata hiyo yako naikataa
@prosperjuma905
@prosperjuma905 21 күн бұрын
Hapa hamna kitu
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
Huyu mtu ni mzushi na mpotoshi Mkubwa kabisa. Ajibu mbona wahindi waarabu wasomali waislamu safi hawauzi sigara Wala pombe na ni matajiri?
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
We wasema hutaki kudanganya,hivyo umatuamomisha kuwa Yesu mi muongo?
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Mifano yako haiendani kabisa
@annanamuyala
@annanamuyala 16 күн бұрын
Tanzania munachosha jamani
@K-go1qj
@K-go1qj 12 күн бұрын
Pana biashara za watu wa dini na zisizo za watu wa dini mbona waislamu ni matajiri na hawauzi sigara pombe Wala haramu yeyeto
@devissyprian1526
@devissyprian1526 10 күн бұрын
Wewe jamaa mpumbavu Sana huna akili IPM
@davidjoseph5093
@davidjoseph5093 19 күн бұрын
Una knowledge ndogo sana,
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
We ni mwanazuoni au mwanaichumi?
@juliusakilimali9424
@juliusakilimali9424 21 күн бұрын
HUYU ANACHANGANYA MAMBO!!
@user-gn6gn7vs2j
@user-gn6gn7vs2j 16 күн бұрын
Mchungaji! Soma biblia
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
Madhahu hio ni ya nani ?Yesu?
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 26 күн бұрын
Unamchinjia nani?
@felixmugambi2237
@felixmugambi2237 20 күн бұрын
Huyu ni mganga kanisani
@cascanicolnicol2008
@cascanicolnicol2008 19 күн бұрын
Siri ya utajiri sio kuchinja ni malimbuko na mafungu ya kumi ( mtawajua kwa matendo yao)
@ibrahimovicsonda4892
@ibrahimovicsonda4892 17 күн бұрын
@@cascanicolnicol2008 vp Range unazo ngapi hukoo?
@user-eo4is4wk4v
@user-eo4is4wk4v 4 күн бұрын
wewe haujawahi kuokoka una ungaunga maneno
@user-ep1pi5pw3k
@user-ep1pi5pw3k 27 күн бұрын
HUYU BADOO ANAYAISHI MAFUNZO YA KIISLAMU.HANA MENTOR WA KUMLEA KAMA BABA WA KIROHO.ANAJITEGEMEA KIMAFUNUO
@Abdul_mjungu1
@Abdul_mjungu1 27 күн бұрын
@@user-ep1pi5pw3k hujui unachokisema wewe
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 23 күн бұрын
huyu tapeli kama tapeli wengine sio kuchinja tu ni mshirikina sema ndugu zetu mnakazi sana mana mpaka mtachanganyikiwa kila mmoja anakuja kwenye dini yenu alafu ni wepesi kukubali ndio mana mnadanganywa kiwepesi utasikia roho kamwingia nyie mtapigwa sana
@facebkmulatya2674
@facebkmulatya2674 16 күн бұрын
Yesu alifanya kafara lini? Mitume walichinja wapi, lini na wapi?
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
@@facebkmulatya2674 Yeye ndie kafara kwa kumwaga damu yake msalabani thus kupitia damu ya Yesu upo uponyaji na uzima tele
@K-go1qj
@K-go1qj 11 күн бұрын
@@facebkmulatya2674 upatanisho wetu na MUNGU ni kupitia damu ya Yesu Kristo pekee na sio damu ya mnyama
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 66 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
SIRI YA MANABII KUMILIKI UTAJIRI IMEFICHUKA
8:19
Wasafi Media
Рет қаралды 17 М.
🔴 #LIVE KWANINI TUTOE KAFARA YA MNYAMA ?
54:11
IPM TV
Рет қаралды 2 М.
PROPHET IPM : HAKUNA UTAJIRI WA MAJI YA UPAKO | NILITOKEWA NA YESU
23:38
Alicho kisema Prophet edmound kuhusu UCHAGUZI 2025 | KUHUSU MAKUNDI MATATU
9:34
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 139 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 66 МЛН