Pt1_MWIZI ALIEKUTANA NA YESU AKIWA KAZINI AKANENA KWA LUGHA MASAA 48 MFULULIZO|Ushuhuda wa Mch.Stev

  Рет қаралды 11,364

PROMOVER TV

PROMOVER TV

5 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 67
@YeremiaHusna-ev3un
@YeremiaHusna-ev3un 4 ай бұрын
Mungu awabarik prov wengi tunapiga atua sana Kazi yenu Yesu awalinde tunajifunza vingi Mungu atusaidie
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 4 ай бұрын
Saa ya Bwana ikifika imefika hakuna awezaye kupinga Mbarikiwe watumishi
@lydiahnabwire128
@lydiahnabwire128 4 ай бұрын
Huu ushuhuda unanitia nguvu ya kumtafta Mungu zaidi Eeeh Mungu nishike mikono nisije nikadondoka ziwa la motoni 😢😢naomba niwe mmoja wapo walio na alama ya 🔥
@Summertm
@Summertm 2 ай бұрын
Yohana 10: 27-29; 27 Kondoo wangu huisikia sauti yangu. Nami nawajua, nao hunifuata. 28 Mimi nawapa kondoo wangu uzima wa milele. Nao hawatakufa kamwe, na tena hakuna atakayemchukua yeyote kutoka mkononi mwangu. 29 Baba yangu ndiye aliyenipa hao, naye ni mkuu kuliko wote. Hakuna anayeweza kuwaiba kondoo wangu kutoka mkononi mwangu.
@tunajaribu
@tunajaribu 4 ай бұрын
Hii kesi ilinitokea, mume wangu ni mzungu, tulitoka kutoa lak5, na alikuwa amevaa cheni ya dhahabu yenye thamani ya mil5 tunatembea mtu anakuja anasema amemkanyaga, ananiambia sister mzungu wako kaninyaga, kanikanyaga mwisho anahisi mtu anataka kutoa wallet sema ela zilikuwa nyingi akawasikia wakitaka kuzitoa. Akaweka mkono kuzuia kumbe waliiba cheni. Tumefika nyumbani tukiwa na furaha tunadhani hawakuiba wallet kumbe cheni imeenda.
@ryobanchagwa2499
@ryobanchagwa2499 4 ай бұрын
Nimefurahia sana mchungaji wangu Stivini Rotali tupo pamoja na ushuhuda huu umenitia nguvu sana hivyo karibu sana Serengeti
@user-kk9jn8dp9m
@user-kk9jn8dp9m 4 ай бұрын
Mungu naomba nisaidie nami niwe na nguvu ya Mungu niwe na moto ndani yangi nami niwekee alama yako Yesu wangu usiniache
@liza6able
@liza6able 3 ай бұрын
Am really blessed. Ubarikiwe mtumishi. Nimecheka na kufurahi hapo kwamba "MTU Yule ni handsome Sana"
@elishafakutunga2550
@elishafakutunga2550 4 ай бұрын
Mungu anaweza akitia nguvu inakubidi uwe na kiu ya kweli
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w 4 ай бұрын
Natamani nione part2,Asante sana promover
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 4 ай бұрын
Barikiwa Sana promover
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 4 ай бұрын
Asnte Yesu
@anastazia3014
@anastazia3014 4 ай бұрын
Amina
@reachelchemtai2604
@reachelchemtai2604 4 ай бұрын
Amen usuhuda mzuri Sana nashukuru mungu yuko pamoja na na watu wote kila mahali yesu ni bwana
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 4 ай бұрын
Barikiwa sana Baba
@dennismunyao7716
@dennismunyao7716 4 ай бұрын
Ama kwa ukweli neema ya BWANA yatosha
@adeladamasi4391
@adeladamasi4391 4 ай бұрын
AMINA shalom
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf 2 ай бұрын
Mungu awabaliki
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 4 ай бұрын
Mbarikiwe kwa ushuhuda mzur sana
@elishafakutunga2550
@elishafakutunga2550 4 ай бұрын
Dada hizo ywele mungu hapendi tumbadilike hii miili ni hekalu la bwana inatubasa tuijenge ili mungu ajitukuze kwetu
@rerisamba
@rerisamba 4 ай бұрын
Watu wengine mnakuaga na bahati kweli halafu unapata mtu kama huyo anamuacha Mungu waa Mungu tusaidie
@sabinagwerino8493
@sabinagwerino8493 4 ай бұрын
Wa mwisho katikati
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 4 ай бұрын
Blessed kaka jacktan .pamja na promover tv ..the power of testimony
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 4 ай бұрын
Barikiwa sana
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 4 ай бұрын
Bariikiweni sana promover tv kwa shuhuda hizi..
@PromovertvTz
@PromovertvTz 4 ай бұрын
Amen
@Mwasame_Official1
@Mwasame_Official1 4 ай бұрын
Amina na mungu akubariki sana
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 4 ай бұрын
Amen
@prayerwomen3444
@prayerwomen3444 4 ай бұрын
Natamani nguvu iyo itembee nami sikuzote zamaisha yangu❤
@rerisamba
@rerisamba 4 ай бұрын
Waa naumekaa mchanga kweli hukai hio miaka
@sophiaommy8343
@sophiaommy8343 4 ай бұрын
Hata Mimi Ni Mngoni nimeokoka Ameeeen!!!!
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 4 ай бұрын
Mungu ninaomba unitie nguvu ili niweze kumshinda ibilic
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 4 ай бұрын
Sijawahi sikia Allah kamtokea mtu. Sijui ni mungu gani hana uhusiano na watu wake ingawa anakokota kundi kubwa duniani.
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 4 ай бұрын
Yesu alipaa, yupo kila mahali. Ukijaliwa neema ya kutokewa anatokea, anakuwaga na kusudi lake maalumu
@fatumaminyeko1875
@fatumaminyeko1875 4 ай бұрын
Kanisa bila karamazote zarohoni ilo kanisa linapeleka watu wote kuzimu
@AlfaMoshi
@AlfaMoshi 4 ай бұрын
Wakwanza
@PromovertvTz
@PromovertvTz 4 ай бұрын
Karibu sana
@josykogei7647
@josykogei7647 4 ай бұрын
Wa tatu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 4 ай бұрын
Karibu sana
@gracepittman1985
@gracepittman1985 4 ай бұрын
Kanisa tunahitaji karma zote za Roho Mtakatifu
@frolianhulubano6358
@frolianhulubano6358 4 ай бұрын
Wapili
@PromovertvTz
@PromovertvTz 4 ай бұрын
Karibu sana
@mahomamahoma775
@mahomamahoma775 Ай бұрын
Part 2 ipo?
@Godchoice100
@Godchoice100 4 ай бұрын
Mi nauliza Kama mtu ameokoka huyo pepo anaona alichonacho, je unaweza mvalisha kesi? Je akiliita jina la Yesu?
@8pistons194
@8pistons194 4 ай бұрын
Nina shida na mchungaji katekela nampataje?
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 4 ай бұрын
Umpgiee kwa cm yake
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 4 ай бұрын
🤣🤣🤣
@TheTickingAges
@TheTickingAges 4 ай бұрын
Kwahivyo ulishurutishwa kuokaka kwa lazima kwakumizwa na kudungwa sidhani Yesu alidunga watu kwa mikuki ili waokoke. kuna shaka hapo. hizo nguvu zilikua za shetani na huyo muhindi penginepo ndiye aliye kundunga mkuki mbavuni ili uenda kwa huo mkutano wake ili haweze kuwa na umaarufu kwa kukuelezea hitoria yako yote.
@elizag.edmond7637
@elizag.edmond7637 4 ай бұрын
Pole sana ,
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 4 ай бұрын
Njia za Mungu hazichunguziki ndugu yangu na kila mtu anaitwa kwa namna yake
@magdalenapeter6106
@magdalenapeter6106 4 ай бұрын
Khaaaaa ww😢😢😢
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 ай бұрын
Ukisema wakatoloki hwafungagi ni muongo wewe ndio ulikuwa hufungi maana ya kula kidogo ni kufunga masaa 12 wakati wa kula unapunguza chakula unawapa wahitaji unakula kidogo sio unakula kama hujafunga
@sophiaommy8343
@sophiaommy8343 4 ай бұрын
Mimi Ni mkatoliki lakini walokole ndio Wana funga ya kweli hakuna Kula Wala kunywa kwa muda mtu atakaojiwekea, wengine wanafunga mpaka tano Bila Kula wala kunywa ni maji tu ,tatu kavu kwa walokole Ni kitu kidogo sana wakiwa na Jambo lao.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 ай бұрын
@@sophiaommy8343 Mm Ni mkatoliki na huwa nafunga vinzuri tua na sio wakati WA Kwalesma tu wakati wote mm nikiwa na mambo yangu na funga saa 12 nakunywa maji na mambo yangu yanaenda kufunga ndugu Ni moyo .na nikuuutiisha mwili ili usitende dhambi muombe Mungu anisaidie uwe unafunga mm imenisaidia hata nilipofika Oman ramadhani nafunga vyungu vyoote SEMA na Mungu wako Alie sirini
@user-jz6wu1ed1h
@user-jz6wu1ed1h 4 ай бұрын
Issue ni kufunga au kuenenda sawasawa na mapenzi ya Mungu?
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 ай бұрын
@@user-jz6wu1ed1h kufunga Ni lazima sababu ukifunga unautiisha mwili usitende dhambi Lakini methali 8 Mstr 17 unasema nawapenda wake wanipendao na wake wanitafutao Kwa bidii wataniona kuna maana mbili hapo
@alinamark2640
@alinamark2640 4 ай бұрын
Amen
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 4 ай бұрын
Sijawahi sikia Allah kamtokea mtu. Sijui ni mungu gani hana uhusiano na watu wake ingawa anakokota kundi kubwa duniani.
@nurumwita9034
@nurumwita9034 4 ай бұрын
Allah ni nani?
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 4 ай бұрын
Watu wanaongea stor za YESU na ROHO mt.we unatuletea habari ya Allah ndo nn? Kwanza skiliza shuhuda fanyiwa kaz chukua Atua
@lydiahnabwire128
@lydiahnabwire128 4 ай бұрын
Allah ni nani? ata Yesu mwenyewe hamtambui Allah Yesu anawatokea na kuwasaidia walio wake. 👇👇 Hii hapa tofauti ya YESU NA MUHAMMED 1. Yesu alikufa akafufuka ili kuwadhibitishia watakao mwamini na kumpokea kama mwokozi wao,atawaachia roho mtakatifu ambae atakua msaidizi wao na mwalimu wao katika mambo ya kiroho na kumjua Mungu zaidi, tena huyo Yesu amewaakikishia hao wampendao kua atarudi kuwachukua juu binguni ataketi nao. 2. MUHAMMED nae alikufa na wala hakurudi tena /hakufufuka tena hakurudi kuwaambia wafuasi wake kua atawaachia msaidizi ndo maana waislamu hawana wala hawamjui roho mtakatifu ni nani kwa sababu huyo Allah alikua MUHAMMED mwenyewe sasa swali langu ni je? Mtu alie kufa kazikwa na kusahaulika anawezaje kuwatokea?? Yesu alikufa akafufu ambae ni Mungu mwenyewe , YOHANA 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. MUHAMMED alikufa na akalala fofofo ambae ni Allah aliekufa hawezi watokea . Sasa hapa ni wewe kuchagua utamwabudu nani Yesu alie hai ama Allah alie kufa . JOHN 14:6-7 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. 7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
@lydiahnabwire128
@lydiahnabwire128 4 ай бұрын
​@@nurumwita9034 eeh atuambie Allah ni nani??
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 4 ай бұрын
@@lydiahnabwire128 mungu anayeabudiwa na kundi Fulani hivi.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 49 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 47 МЛН
Part_2 USHUHUDA WA ALIYEKUTANA NA YESU NA SHETANI LIVE
34:08
PROMOVER TV
Рет қаралды 52 М.
UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA
27:25
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 49 МЛН