MAANA YA NDOTO NA JINSI YA KUJIFARAKANISHA NA MADHABAHU YA MIUNGU|MCH.AMIEL KATEKELA

  Рет қаралды 20,389

PROMOVER TV

PROMOVER TV

4 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 60
@jeannekatembe6396
@jeannekatembe6396 5 күн бұрын
Amen , tusaidie maombi kuhusu hayo mazabao. From USA California
@Soni-lt6oi
@Soni-lt6oi 28 күн бұрын
Asante sana Yesu kwa neno lako limeniweka huru
@user-mr3mb2nj1l
@user-mr3mb2nj1l 2 күн бұрын
Jameni Bwana Yesu asifiwe,ninaomba ujumbe huu umfikie Mchungaji huku Burundi tunamuhitaji ili tufunguliwe na Sisi.Mungu akimruhusu atufikiye kwakweli tutampokea.
@SabinaEzekiel-vb5nh
@SabinaEzekiel-vb5nh 22 күн бұрын
Asante Yesu kwa injili hii
@user-zw9cd9hc6l
@user-zw9cd9hc6l 11 күн бұрын
Mahubiri yamenigusa 😢😢 sana kuishi bila mungu nibure
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 4 ай бұрын
Kwa imani nami nimefunguliwa katika jina la Yesu Kristo, Amen 🙏
@AyubuMwarja
@AyubuMwarja 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi nimebarikiwa sana Kwa mafundisho Yako.
@nancyisoyi8164
@nancyisoyi8164 4 ай бұрын
Asante sana MCHUNGAJI Amieli kwa kutuelimisha kuhusu majina na Rangi
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 4 ай бұрын
AMINA KUBWA ubarikiwe baraka nyingi zaduniani nambinguni
@rosemerlupanga8730
@rosemerlupanga8730 Ай бұрын
Barikiwa mchungaji katekela
@josephMarwa-cu3sp
@josephMarwa-cu3sp 25 күн бұрын
Amina
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 4 ай бұрын
Napokea kwa jina la Yesu Kristo
@LoFi_120
@LoFi_120 4 ай бұрын
Nimepokea kwa Jina la YESU KRISTO, ntarudi kushukuru na kumsifu Mungu katika kusanyiko kubwa (zaburi 35:18), hallelujah jina la Bwana libalikiwe❤.
@AlexAliane
@AlexAliane 4 ай бұрын
Mubarikwe saana na Mungu watu wa promover TV pia na Mchungaji Katekela 🙏🙏
@user-ne1cd7oq4z
@user-ne1cd7oq4z Ай бұрын
Ubarikiwe mutumishi wa mungu
@user-iw1yq3op8f
@user-iw1yq3op8f 4 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana na nimejifunza vtu vngi sana ubarikiwe
@BlandinaJonathan-vz5ur
@BlandinaJonathan-vz5ur 3 ай бұрын
Kaka nakufuatilia kabisa ❤❤❤❤❤barikiwa saana
@user-wt9kj7gl1i
@user-wt9kj7gl1i 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu nimejifunza kitu kikubwa sana maana kwangu mimi nimekuwa nikiona alama nyeupe sanasana
@eliethmwanguya7118
@eliethmwanguya7118 4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@emmanuelmgeni273
@emmanuelmgeni273 4 ай бұрын
Ameni, MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU.
@user-tz4ue4hm9f
@user-tz4ue4hm9f 4 ай бұрын
Amen ,mtumishi tunakukaribisha Kenya
@user-jv1qw8rw3k
@user-jv1qw8rw3k 4 ай бұрын
Amen nimepokea kwa jina la Yesu
@user-up8uq3ih2i
@user-up8uq3ih2i 3 ай бұрын
Ameen past .
@anethJohnson10
@anethJohnson10 3 ай бұрын
Amen
@jenipher6068
@jenipher6068 4 ай бұрын
Nimepokea mume wangu kwa jina la Yesu
@MaaDii-iz3ur
@MaaDii-iz3ur 4 ай бұрын
Mtumishi mm naomba kuomba namba yako,nko saud arabia lakin nyumbani ni Kenya,nahitaji mazungumzo na wew kuhusu madhabahu ya ukoo maana kla nkiombea familia naota nko nyumbani ukoo wote ukokuzimu.
@abigaelmwadena2262
@abigaelmwadena2262 4 ай бұрын
Ameen ameen barikiwa sana
@MaryShirima-yw3kp
@MaryShirima-yw3kp 3 ай бұрын
❤❤komenti nikuelezea ulivyo pokea ibada🥰🙏🙏
@amishambar3418
@amishambar3418 4 ай бұрын
Amen amen
@NellyShiku-zw4mf
@NellyShiku-zw4mf 4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@FurahaKyubwa
@FurahaKyubwa 4 ай бұрын
Ninataka musaanda wamaombi ninaotavibaya naonandoto zakutumika nakoula usiku yesu unifunguwee kwajina eyesu ni funguliwe amena amen
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 4 ай бұрын
Pray for me brother and sister natamani kumupokeya mungu wetu God bless 🙏
@AyubuKikoti-gu5mb
@AyubuKikoti-gu5mb 4 ай бұрын
Ubaeikiwe sana mtumishi,nikweli tu ninakwama kwasasabu ya maagano,na hata waganga wa kienyeji wanasema kunamaagano ya zamani,,nisaidie baba katekela,
@yeshuasnewweapon5509
@yeshuasnewweapon5509 4 ай бұрын
Tubu kwa kuugua. Zaburi 51
@RehemaGodfrey
@RehemaGodfrey 2 ай бұрын
❤ aminaaa 🎉🎉🎉
@ruderesangara7300
@ruderesangara7300 2 ай бұрын
Ndoto zakuota niko shule ya msingi mara kijijin wakati nilitoa huko miaka mingi iliyo pita nazikataa kwa jinaaaaaaa kwa jinaaaaa la yesu
@user-rg1vs9mb8x
@user-rg1vs9mb8x 3 ай бұрын
ASANTE SANA
@elizabethmoh5049
@elizabethmoh5049 4 ай бұрын
Pray for me man of God napitiq kipindi kigumu
@leahdaniel1117
@leahdaniel1117 4 ай бұрын
Mungu akuvushe mpendwa
@elizabethmoh5049
@elizabethmoh5049 4 ай бұрын
@@leahdaniel1117 amen
@elizabethmoh5049
@elizabethmoh5049 4 ай бұрын
@@leahdaniel1117 ame
@gervaswilliams4953
@gervaswilliams4953 4 ай бұрын
Yesu asimame upande wako
@annambembela6661
@annambembela6661 4 ай бұрын
Ubarikiwe nisaidie namba ya mchungaji jaman ninashda sana
@fitinamarando
@fitinamarando 4 ай бұрын
PROMOVER TV Mbarikiwe wana wa Mungu, hii semina ni wapi?
@VickyPaul-ej5tm
@VickyPaul-ej5tm 3 ай бұрын
Hakik nabarikiwa na Bwana kupitia ww mtume
@nancymumbua8825
@nancymumbua8825 4 ай бұрын
Kuota ukiona kila wakati unapikia njikoni ya kijijini mwenu mahali umelelewa ...wapikia tu wenye ulilelewa na wao na wazazi wako ..inamaana?
@user-ms1or6bv8y
@user-ms1or6bv8y 4 ай бұрын
Naomba namba Yako mtumishi
@user-hl2kn6si2i
@user-hl2kn6si2i 4 ай бұрын
Thank you JESUS LORD 💪💪
@beathaishengoma4469
@beathaishengoma4469 4 ай бұрын
Nisaidie nimekuwa nkiota ndoto ya nyoka wa kijani kila wakati
@user-dh7jv1bc6q
@user-dh7jv1bc6q 2 ай бұрын
Kifungo Cha majina fundisha mchungaji
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 4 ай бұрын
Hapo tunaachana na neno kabisa na kufuata ubashili hii ni staili ya wahubili siku za mwisho haya waombaji vipofu enendeni kwa kufuata langi badala ya kuomba kwa jina la yesu na neno la mungu
@samwelstephen6376
@samwelstephen6376 4 ай бұрын
Ndugu yangu, Anachokifanya mtumishi huyu wa Mungu SIYO UBASHILI,bali anafafanua kuwa katika ulimwengu wa roho rangi zina maana tofauti tofauti,na ndivyo ilivyo. Ubarikiwe.
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 4 ай бұрын
Tatizo hakuna Neno katika hayo mafunuo ​@@samwelstephen6376
@juliamuthoni7534
@juliamuthoni7534 4 ай бұрын
Amen
@violetnasimiyu8718
@violetnasimiyu8718 4 ай бұрын
Amina
@Kingsalumoni
@Kingsalumoni 4 ай бұрын
Amen
@paulinendunge6437
@paulinendunge6437 4 ай бұрын
Amina
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 4 ай бұрын
Amen
@user-wt9kj7gl1i
@user-wt9kj7gl1i 4 ай бұрын
Amen
@user-pb7zd6np1i
@user-pb7zd6np1i 4 ай бұрын
Amen
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН