Pt1_"Nilikuwa naua mpaka watu 21 kwa siku"|USHUHUDA WA BINTI WA BURUNDI ALIYEKUWA WAKALA WA SHETENI

  Рет қаралды 18,187

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Жыл бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 39
@ridiajofrey8276
@ridiajofrey8276 5 ай бұрын
Ee Mungu Linda watoto wangu wanaishi na Bibi Yesu wsfunike damu ya yesu
@endlessloveofchristlovewor9991
@endlessloveofchristlovewor9991 11 ай бұрын
Kila ulimi utakiri kwamba Yesu ni BWANA, na kila goti litapigwa
@kapingalucy2707
@kapingalucy2707 11 ай бұрын
Ameen
@plastidiacasmiry2234
@plastidiacasmiry2234 10 ай бұрын
AMINA
@lydiabenjaminmgalula6189
@lydiabenjaminmgalula6189 Күн бұрын
Asante Yesu kwa neema yako😔🙌
@Haule-fe5qe
@Haule-fe5qe 11 ай бұрын
Ubarikiwe sana 🙏...... mtumishi bado shuhuda za... matendo makuu....ya.. Mungu kwa..watu🎉🎉🎉
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 11 ай бұрын
Faida za ushuhuda akuna kumtukuza shetani nikumuaibisha pia inawapa wateule kupigana na adui wanae mjua mbinu zake hatakama ATA zibadilisha
@agnestunu5527
@agnestunu5527 11 ай бұрын
EEH HUU ULIMWENGU SI SALAMA KABISA,MUNGU NILINDE PAMOJA NA FAMILIA YANGU
@SelestinaJoshua-pn4zv
@SelestinaJoshua-pn4zv 11 ай бұрын
Ukisema upewe macho ya rohoni unaweza kujifungia ndani usitoke kabisaa mpaka Mungu atakapokuchukua
@ammykissbeats3296
@ammykissbeats3296 11 ай бұрын
Duuuh Mungu atusaidie
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 ай бұрын
Sauti iko chini sana
@shamim6606
@shamim6606 11 ай бұрын
Hizo shuhuda hata kanisani kwako unaweza kuzipata, lakini shuhuda kama hizi zinafunua kazi za shetani ambazo ni mara chache sana kuzipata( unaweza ukatizama tu kanisani kwenu ni mara ngapi imetokea shuhuda kama hizi
@judyngowi391
@judyngowi391 11 ай бұрын
Kwakweli inabidi kujifunika kwa damu ya Yesu kila saa, na kuishi maisha ya toba, ajali zingine zinatokea unashangaa zimetokeaje, ndio mambo kama haya
@jeanpaulnduwarugira2065
@jeanpaulnduwarugira2065 11 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu,alakini ningependa nimuulize uyo binti wa Yesu,amesema arikuwa anauwa watu,mtu akifa arikuwa anamubeba aje kuzimu anmuvmchukuwaje?
@neemakamgisha2951
@neemakamgisha2951 11 ай бұрын
Mmmmmmmh kwakwel siri za shetani zinafichuka kumbe ndiko wanako enda hao mitume wanaojifanya naona 🤣🤣🤣🤣🤣🙌 asante YESU wewe ni mfalme wa wafalme
@goodstar4790
@goodstar4790 11 ай бұрын
Jina la bwana lihimidiwe
@velmaanyango6225
@velmaanyango6225 11 ай бұрын
Jamani volume iko chini sana
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Damu ya Yesũ ina nena mema
@maxiesecurityservicesltd11
@maxiesecurityservicesltd11 11 ай бұрын
Sauti iko chini kabisa
@ezrakaranja9195
@ezrakaranja9195 10 ай бұрын
Enyewe inatisa ila izi niezi zamusho Tushuge isiwe kuna bishara kati
@djpmjemah2042
@djpmjemah2042 11 ай бұрын
Sauti iko chino sana Mtumishi
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 11 ай бұрын
Hawa watumishi wanafanya kazi kubwa sikutegemea mtu anaongea TU kuwa vunja Moyo Kuna mawili katumwa eti wanamtukuza shetani kuwa na haibu kidogo
@Omba770
@Omba770 10 ай бұрын
Ulikuwa naua watu 21 kwa siku? Labuda kwa silaha vinginevyo ni upuzi mtupu,wadanyanye wajonga...
@ninabizimana6869
@ninabizimana6869 9 ай бұрын
Burundi bujumbura buyenzi number ngapi
@saradavirginia-kd7tn
@saradavirginia-kd7tn 11 ай бұрын
Mungu unilinde na família yangu
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 11 ай бұрын
Damu ya Yesũ ina nena mema
@Omba770
@Omba770 10 ай бұрын
Huyu mkongo,ni hatari
@mikerutto8164
@mikerutto8164 11 ай бұрын
Jacktan please muhulize kuzimu aliokua inafanana aje?. Nikama ole ya katekela ama?
@presidentofafrica.5038
@presidentofafrica.5038 11 ай бұрын
SASA NDO UMEOA MDADA KAMA HUYU , SI HATARI😁😁😁
@khadijamwenda1851
@khadijamwenda1851 11 ай бұрын
Mtangazaji muulize kwanin wasilmu hawaogopwi kuzimu? Na wala hawashambuliwi kwenye misikiti yao???
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 11 ай бұрын
Shetani Hana vita na mtu asiye mkristo wa kweli,kwa maana hawamsumbui lkn mkristo wa kweli ni hatari kwake kwamaana wakati wa maombi ya mkristo mapepo yanaungua na kuzimu inatetemeka na vitu vyao vinaharibika,ndiyo maana kuna vita kati ya mkristo wa kweli na shetani,lkn muislam au mpagani au anaejiita mkristo lkn hafanyi mapenzi ya Mungu hawana madhara kwa shetani manake anaweza kuwafanya chochote na wakati wowote.
@khadijamwenda1851
@khadijamwenda1851 11 ай бұрын
@@fabianmkimbu880 Asante Kwa maelezo mazuri
@beverlyseko965
@beverlyseko965 11 ай бұрын
Nasiubiri kuona siku moja mkituletea ushuhuda wa Mungu ametenda hiki na kile tumemtukuza shetani sana.
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 11 ай бұрын
Unajua Nini maana ya shuhuda
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 ай бұрын
Kwani wewe mpaka hapo hauoni Mungu amefanya nini? Mtu anaposhuhudia maana yake Mungu ameshafanya anachokifanya ni kumwaibisha shetani maana Yesu amesha ameshajitwalia utukufu.
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 11 ай бұрын
UsikaLili maisha zipo shuhuda za mtu kwenda mbinguni jazihesabiki na kurudi kama sio chuki binafsi
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 11 ай бұрын
Fikili kabla ujahandika unajua promova tv unashuhuda ngapi za mbinguni
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 11 ай бұрын
Uyo hapo chini hana just nini maana ya shuhuda au anaongea TU Nani anatukuza shetani
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono 11 ай бұрын
Hajui analolijua msameheni
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 62 МЛН
MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.
41:08
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 368 М.