#QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline Follow Us On: INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv FACEBOOK; profile.php?... KZfaq; / @qiblatainonline
Пікірлер: 152
@rehemamsuri71028 ай бұрын
Mashallah,, Mwezi Mungu akuhifadhi shekh wetu,, mimi binafsi najifunza mengi kupitia wewe.
@user-pr1wl4de3p9 ай бұрын
Mashaallah mashaallah shukran sana shekh wetu Allah akupe afya njema na umri mref
@user-lu5vg9kc7y9 ай бұрын
ALLAH mtukufu akujalie mwisho mwema shehk wetu twakupenda kwajili ya ALLAH
@NasriRamadhani-po1lz6 күн бұрын
Mashallah ❤ Mashallah ❤ Mashallah ❤ Mashallah ❤
@MwanaishaShattry8 ай бұрын
Maa sha Allah Sheikh nakupenda unspohubiri hutoi mapivu ya mate, mishipa ya shingo haikusimami, hupayuki, hufumbi mimacho, hutishi watu, unaelemisha taratibu kwa sauti ya upole na unafahamika. Masheikh wengine lazima povu la mdomo linawatoka, makelele kama anagombana, wanarusha mikono kama wanajifunza boxing, wanafumba macho kama wakonkanisani wanaomba. Weye raha kukusikiliza. Weye nibmwalimu wa saikolojia ya watu hasa. Allah atupe njia iliyonyooka.
@samirahassani86067 ай бұрын
Mashallah
@IMRANSTORIES1367 ай бұрын
Umenivunja mbavu Dada!!
@user-fi9gm2et5r7 ай бұрын
Nimecheka kwa saut daah eti hutoki mate hufumbi macho 😂😂😂
@gazahhosni89766 ай бұрын
Wacha bangi
@hanifa91536 ай бұрын
kweli hii ni bangi haswa cjui kwanin ametoa kashifa ivo subhannallah tumuogopeni Allah masheikh wote wana nafasi zao heshima muhim
@NasriRamadhani-po1lz6 күн бұрын
Mashallah sheikh Michael Kazakhllah kheir
@ashurakabura72688 ай бұрын
Allah akuhifadh sheikh wetu,awape subra katika huyo mtihani,
@user-uo1bu4jw2d4 ай бұрын
Mashallah..Sheikh Othman Mungu akupe kila kilicho katika dhamiri yako..na akupe nguvu ya kutuombea na sisi Aamin..
@mwanaidhassan61709 ай бұрын
Alhamdulilahi Shekh wangu napenda sana kusikiliza mawaiza Yako amahakika hakuna siku sipati faida ila Leo umeongea mambo mengi sana Tena ya msingi zaidi Allah akubariki Akuhifadhi uzidi kutupa Elimu zaidi ya hapa
@saumusulaiman47427 ай бұрын
Maashaalah shukuran shekher Allah abaariki❤🥰❤🙏
@Silaji57Warambo4 ай бұрын
Asantesana sheikhe othuman kwaelimu uliyotufikishia INSHAALLAH ALLAH AKURIPEKILALAKHERI
@NyirahabimanaNasimu3 ай бұрын
Sheikh assalamu alaykumu warhamatullah wabarakatuh niliwahi kukusikiliza niko rwanda alakini namimi sifanikie ninakamata mutaji nakosa kwenye inaenda basi sheikh nisaidie ju bwana arisha nicukia ju yakukosa kazi na frw
@user-mm8mx6qn3u7 ай бұрын
Asww akika tunashukurusana allah akuzidishiye zaidi nasi utatufundisha ili tufaulu wengine
@ntangiregemfuruki54784 ай бұрын
Shekh haydar basi bba.tutatekeleza majaaliwa yetu.maneno mazito.subhanallah.wafadi wsmtume
@user-lp5zw6bb5d4 ай бұрын
Asante sana kwa kutufunza masomo tusioyajua Allah s,w,t, akuxidishie
@Ruqayyah-ft1gu2 ай бұрын
SHEKH Othman mimi napigia muhuri hapo kwenye sadaka ya kulisha chakula hapo yaani pale nimetia nia tu kabla hata sijapika ALLAH kanionesha majibu.
@neemahalima54407 ай бұрын
Mashalla mwalimu ,tunajifunza na kubarikiwa sana mungu akubariki
@user-hz6in1hk9l7 ай бұрын
Mashallah ALLaH akulip shekhe wetu .azid na sisi kutupa ilmu ili ya Qoro'an ya Allah 🙏
@user-lm5bj4pd6h8 ай бұрын
Mungu akuzidishie afya njema na uzima akujaalie umri mrefu nakupenda kwaajili ya Allah
Allah akuhifadh sheikh kwa ajili yetu tunakupenda kwa ajili ya allah unatufundisha mengi. Yanayo tusaidia
@mwanaiditwaha-jf6lg5 ай бұрын
Allah akulipe pepo ya juu kesho Akhera tunanufaika sana na elimu yako shekh
@user-hm6hy6rr1h5 ай бұрын
Shukran sheh aallah akubarik
@habibaramadhani-xv2ed6 ай бұрын
Pole Kwa Msiba, Tumuombe ALLAH Akukuzie.Amiina.
@MealiiMohamed-pb7ol9 ай бұрын
Mashaallah shekh Allah atuzidishie sote in sha allah
@user-br6mo6it8c4 ай бұрын
Mashallah shukran y'a Sheikh
@user-zo9ne7bi3p6 ай бұрын
Jazakallah kheir
@mukhtarmusa27046 ай бұрын
Mashââ Allâh ! Jazââka llâhu Kheir.
@ntangiregemfuruki54784 ай бұрын
Khekh mayko Allah subhana alulinde akupe amani yamoyo wako na furaha ya nafsi yako.umetutowa machozi.asante.kwa darsa kubwa.mlipaji subhana akulipe❤😢😂
@user-jw5oj6tu8i5 ай бұрын
Jazaka Allah khayr mwalim
@ntangiregemfuruki54784 ай бұрын
ShEKH OTHMAN TUNAKUOMBA TAFADHALI SANA.HAO MASHEKHE PLS WAPATE MRADI WOWOTE WASIMAMIE WATOTO WAO AU MKE WAO.KAKA MAYKO TUTAWACHANGIA.KWANU MTEGEMEA ROHO NI NIMASKINI.NAOMBA RAFHI SANA
@mariammvungi71497 ай бұрын
Mashaallah kpz cha wengi
@faridaali28205 ай бұрын
Allah akujalie umri ln sha Allah 🤲🤲
@user-fr6gj3xe6n9 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah shekh letu proud of you
@AishaKansime-wt3np7 ай бұрын
Assalam alaikum ww sheikh Allah akulipe zaidi duniani Na adhéra
@sikujuakikoti13 күн бұрын
Shekh othuman naombaunisaidie nafanya biashara napata madeni, najitahidi sana lakini mishoni madeni makubwa nimechoka
@user-xf5sd4bt2v6 ай бұрын
Mashallah mungu akubarik naomba mimi msaada
@habibaramadhani-xv2ed6 ай бұрын
ALLAH AKBAR, ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR, ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR.Alhamndulillah
@user-ve3wu5jn1l6 ай бұрын
Mashalaa jazakalah heri
@binthasan75329 ай бұрын
Mashaallah , mashaallah
@user-zk6mn5is7y2 ай бұрын
Maa shaa Allaah
@saudinearalhasa26747 ай бұрын
Mashaallah mashaallah
@neemamihiko54296 ай бұрын
Mashaallah
@user-ew4vk9qs5b6 ай бұрын
Allah akumpe maishamarefu
@Asha-fm5hw3 ай бұрын
Mashallaah allaah akujaze kila lenye heri
@Anuuuiioioioop5 ай бұрын
Kheihe ahsante naomba zako tafadhali
@latifamohammed-qp5zl4 ай бұрын
Allah akubariki wewe na familia yako
@evaristimkopwaji11302 ай бұрын
Amen
@ftimaramadan47487 ай бұрын
Mashallah❤❤❤
@MwanapiliAthumani-zp1bs2 ай бұрын
Masha Allah
@sadanimubona54857 ай бұрын
Mashallah
@saidrashiddias4 ай бұрын
Allahu Akbar
@user-su6pn3zh8y6 ай бұрын
Mashallah dalili naziona
@marimyussuf33744 ай бұрын
Swadakta sheikh othman kama mm nshaajiriwa sehem zaid ya tatu ila sifiki ata wiki mbil kunaingia fitina na kuondok sehem iyo 😢
@faridambarak79032 ай бұрын
Subha😢Allaah❤
@AnnoyedBakedCustard-mm7xh6 ай бұрын
Mpaka na me imenigusa kupitia kisa ulichokisimulia mwenyz mung akupe maisha malefu zaidii kipenz cha wengii
@user-lp5zw6bb5d4 ай бұрын
Jaxakumla kheran shukran ustadh othman Michael
@user-wd2wn7qz9z6 ай бұрын
Alhamdulilah sheh mm ninamitihani sn nasijui ntakuoata wap
@user-hh7uz4so9i5 ай бұрын
Piga hizo namba natumai utampatia
@user-id6fk9hr9q6 ай бұрын
Mashalla mm ni mkristo lakini napenda mafundisho yakooo
@user-hh7uz4so9i5 ай бұрын
Tupo wengi
@LydiaKedeke2 ай бұрын
Asalaam alekm mimi nimeshukuru mimejivuza mengi nisio yajua
@jayclassic2914 ай бұрын
Sheikh mim nakufatiliya san nakupendag san baba yangu
Utajiri bila Ku mcha Mungu ni bure,Mimi niambie njia ya kupata Pepo
@ZubeirTahir-ep1tp6 ай бұрын
Namftilia sana sana lakini namuona yupo kwenye mambo ya Kidunia tuu. Ni maoni yangu
@nurukavumbi24776 ай бұрын
Nikweli yuko kwa mambo ya kidunia kwa sisi sote tuko duniani na yanayo tusumbua ni imani na challenge za duniani. Yuko sawa sana huyu sheikh. ALLAHU AKBAR.
@Edebsantube5 ай бұрын
Ameen 🤲🤲🤲
@ashandege48416 ай бұрын
Alhamdulillah shekh,napenda niulize hii surat Waqia unaisoma yote?au kina aya za kusoma?
@user-ni8ci5gs1zАй бұрын
Shekh samahani Sana nilikuwa na shida na namba yako ya simu Niko oman mtt WA boss wangu kawa haeleweki gafra Tu mara Yuko sawa mara hayuko sawa
@kelvionthermal48857 ай бұрын
Mimi piano ulinisaidi natokea kenya nilikaa miaka sita bila ya mtoto nikafatilia ruqya yako ya live nikiwa qatar nikajihisi mwili tofauti nilifika kenya vacation sikumaliza miezi miwili Alhamdulilah mke wangu aka shika mimba shukran sheikh othman
@HusseinBahati-wb1gz6 ай бұрын
Takbiiir !!!!Allahu Akbar
@mwalisuleih11644 ай бұрын
Masha'Allah ❤❤❤❤❤Alhamdulillah
@azizashiundu57784 ай бұрын
Takbiiir ❤❤ Allah Akbar
@Salma-kb1xr5 ай бұрын
Mwalim mimi sijuwi kusoma surat waqia illa yassin najuw nitasoma ingine ao
@user-lu5vg9kc7y9 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@irambonasaidi34178 ай бұрын
Asalamwalaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh ninaswali vip kwa sisi hatujafikia juzu hilo?mana juzu moja limesha tushinda kumaliza tufany je? natamani sana nisome juzu zote 30 ila nimekua mtu mkubwa sasa shukran kwa darsa
@rashdabdulazizi41938 ай бұрын
jitahidi usome elimu Haina ukubwa Wala hainamwisho pambana upate faida
Mbona kuna siku ulisema chanzo cha utajiri wako ulienda sehemu kusomea huko Oman kuna mtu ikuzawadia kiasi cha pesa
@annakbunga83776 ай бұрын
Inawezekana ujuwe kila mtu anasiri yake ya Maishs code
@issakakwaya-ch4dc2 ай бұрын
Salam halehkum chehe, mimi Nina shida ya kuto kujuwa kusoma koruhani nifanye je ?
@allymwanyai9682 ай бұрын
Na kwa mfaano mtu hajui kusoma
@selemankishema57808 ай бұрын
Masheikh wa mjini bwana sheikh walabighishe watu ktk kupata uchamungu haya mambo ya watu kuwa matajiri wameshakuwa matajiri na tunaona wanayofanya nifisadi tu ktk dunia
@mayaniphilipo92567 ай бұрын
Kwan Dini Haitak Waislam Kuwa Matajiri? Na Ni Lazima Kila Shekh Mjini Asaidie Waislam Jambo Hilo Hilo!?
@selemankishema57807 ай бұрын
@@mayaniphilipo9256 uislam inahitaji saana matajiri lakini hawa matapeli wanatumia uislam kuibia watu alafu we mwenyewe unaona jinsi gani waislam wanakuwa matajiri lakini saana lakini ndio tunakuwa wapumbavu kila siku ona waarabu walivyo matajiri naona ujinga waliokuwa nao kwa mambo ya kifakhari ulishaona asie muislam anafadhili vitu vya kipumbavu? Na hawa masheikh ndio watu wa mambo ya ufakhari tu
@user-hm6hy6rr1h5 ай бұрын
Asalam alykm sheh ss tumitak tum namb ip
@user-ve8mr1jk8rАй бұрын
Shekh unapatikana wapi
@nasirmohamed15897 ай бұрын
Badala ya kukimbilia utajiri kwanza waase watu wamrudie allah uasi umezidi.watu hawaswali maovu yamezidi dhilma zimezidi badala uwaambie walete istighfara kwa wingi unawadanganya kama mapasta wauza mafuta ya upako.
@kheiramour29737 ай бұрын
Kwan kumsaidia mtu kuna tatzo gan
@nasirmohamed15897 ай бұрын
@@kheiramour2973 hajala dola zako ndo maana unaongea hivyo
@mamafahad27824 ай бұрын
Mimi natakaa nijee hapo hapoo kupataa Ahuwenii kupitiaa wewee Dawaaa
@annakbunga83776 ай бұрын
Number jina linatoka nani nataka nitume sadaka yng
@SharifaSharifa-fo1ps6 ай бұрын
Nakama aliekuhusudu humjui unafanyeje?
@DannielMwakyusa-vm8sc7 ай бұрын
Sasa Kama hujafika huko kwenye Surat yasini inakuwajee
@ZubeirTahir-ep1tp6 ай бұрын
Huyu jamaa yupo kwenye pesa tuuui
@kheiramour29737 ай бұрын
Shekh othman jina linakuja nani
@nasirmohamed15897 ай бұрын
Mimba ikifika mwanamke akashindwa kuzaa anapigwa sindano ya uchungu au kisu wacha uongo.
@user-xf5sd4bt2v6 ай бұрын
Mimi nnatamani nipate kingamuzi cha azamu na msahafu Tu wa tafri Tu naomb
@DannielMwakyusa-vm8sc7 ай бұрын
Sasa wengine hatujafika hukoo
@kabwefrancine996 ай бұрын
nasisi wasiyo kuwa wa hislam tufanyaje?
@nasirmohamed15897 ай бұрын
Uislam unatuambia tutafute au kumuomba allah radhi yake na rizki waasia maana yake rizki pana.uislam hautufundishi kuomba utajiri na fedha nyingi hayo ni yako na waninga wenzio.mnatuletea mambo ya mapasta wauza mafuta ya upako kudanganya watu watakuwa matajiri.oh cjui pokea benzi pokea nyumba upuuzi na ushenzi mtupu.
@annakbunga83776 ай бұрын
Mmmmh
@user-do8yb7ff3v8 ай бұрын
Shekh nikisoma baada ya ishaa ni sawa?
@assdfettassaewq86048 ай бұрын
Ndio
@user-ki4sg8yz9j6 ай бұрын
Mie nahisi tuwe na imani na hizo sura alotupa tuzisome na kuamka usiku ili Allah atusaidie kama alivyompa yeye Sheikh Michael. Tuwe na imani kwa aliyotuelekeza.
@user-cw1vl3hx5d7 ай бұрын
Salam aleikum ningependa kujua kusoma qoran mimi nilisilimiswa sijajua kusoma kwa hivyo kama utanifunza nita furahi
@omanoman20446 ай бұрын
Nenda madrasa akufunze wap unania kweli
@njokiissa12716 ай бұрын
Quran dawa 😢
@allysaidshaban77349 ай бұрын
Ww mbona hui tajir
@tanzaniaonmzamiloon86279 ай бұрын
Unamjua au unaongea tu hivi mtu anamiliki nyumba ya gorafa na magari ya kifahari sio tajiri Unajua anamiliki sh ngapi nenda kwake ndo utajua nitajiri au masikin
@alhilaltvonline8 ай бұрын
@@tanzaniaonmzamiloon8627Kuna watu wapo kupinga tu... Duh tubadilike. Hata huyo sheikh hamjui anamsemea....
@AbdillahSaleh-og1gu8 ай бұрын
@@tanzaniaonmzamiloon8627sasa utajiri wa Sheikh Michael utafaidika nao nini? Wewe unapewa ilimu kumbe wajua zaidi ya mwalimu. Sub'hanaAllah
@Mumewangu8 ай бұрын
Huyu Sheikh ni Tajiri ndugu. Ana majumba na magorofa na Range rova. Na gari za kawaida
@mornasaidtindwa36228 ай бұрын
Ayo maneno mazuri ansyo tupa niutajiri tosha
@saidbarawa90967 ай бұрын
Wacha kuhubiri utajiri wa Dunia,hubiri utajiri wa binguni, utajiri wa Dunia bila uchaji Mungu ni bure
@dvdndsng4 ай бұрын
We vip unamatatizo gani
@AwadhSaidMohamedАй бұрын
Wewe hubiri utajiri wako wa mbinguni
@user-gn9rh7sw7rАй бұрын
Hata Mw Mungu anasema niombeni nitawajibu,omba,afya,uzima ,mali. Na mengine yenye kumpendeza Allahsw.
@Silaji57Warambo4 ай бұрын
Asantesana sheikhe othuman kwaelimu uliyotufikishia INSHAALLAH ALLAH AKURIPEKILALAKHERI