Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek sheikh🙏🙏🙏
@zahraabdul96528 ай бұрын
May God lead you in every way of your life live Long our sheikh ❤❤❤❤❤ jazakallakher.may God reward you Jannah. Me nimeshona viatu watu wakawa wanacheka mwanamke kushona viatu ila nilipendwa sana na nikawa na castomer .ila Bado kwa yote nashukuru Mungu .
@hamidahnassoro-128 ай бұрын
Mashallah shekh wetu ,kupitia ww hatutakiwi kukata tamaa tuzidi kumcha allah na kufata mafundisho ya mtume wetu ishaalh tutafanikiwa akhera na duniani
@IBRAHIMKATANA-ux7ne6 ай бұрын
inshaallah
@user-vl7sx9zw3e7 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wa barkkatuhu Sheikh Athman Michael. Nakupenda kwajili ya Allah. Sijaona Sheikh kama weye anafundisha wazi njia za kufanikiwa . Haufichi Elimu kwa hio naomba Allah akupe kila la kheri duniani n'a Akhera.
@Sam-hk9hi7 ай бұрын
Jazakalah kheri shekhe. Dua zako ni mubashara sana kwangu. Allah akihifadhi. Amiin.
@mariamally836Ай бұрын
Mashaallah mungu azid kukuweka shekhe kiukwel napenda kusikiliza mawaidha yako,kiukwel umenibadilsha sana
@user-wn8oi3zh4e8 ай бұрын
Jazaakallahu khair sheikh. Shukran sn Kwa elim nzuri. Ila sheikh mimi ni tatizo nimekuwa mawaidha yako vizuri lkn naishia kukata tamaa subhaanallah. Tafadhali niombeeni Dua ndugu zangu waislam
@falidiamiiamii-jz5pf5 ай бұрын
In sh allah utafanikiw
@user-mx4wi8ic5e4 ай бұрын
Fanya subra yote hiyo nimajaribio ..utafika in sha Allah
@aminaaziz72277 ай бұрын
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Sheikh, may Allah reward you abundantly, kwa hili kisomo, limenifaa sana alhamdulillah. 13:47.
@user-hu3uw4pd7y6 ай бұрын
Shekh unafani nyingi sana Allah akupe Kila lakher
@nuria72237 ай бұрын
Jazakalahu kheir sheikh may Allah reward you
@user-yy5fh5fv6q7 ай бұрын
Mashallah shekheh anamaneno yakumtia mtu nguvu jamani Alhamdulilah
@user-px4pj6lo7eАй бұрын
Asalam aleikom mimi ujifunza mambo mengi sana na shekh wetu ninge penda sana kumwona naishi canada insha ALLAH nikija africa kwa uwezo wa ALLAH ninge penda kukuona shekh
@maulion57338 ай бұрын
Mashallah Allah azidi kukuweka tuzidi kupata elimu zaidi inshallah
@najjatyussuf-fz7nf7 ай бұрын
.k
@mariammwiso7 ай бұрын
Jamani I love how soft spoken you are. MashaAllah
@ashashaban64848 ай бұрын
ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU JADHAKALLAH KHER ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA WOTE INSHALLAH
@tutuuab56556 ай бұрын
Mashalwah Mungu atupe kila la kheir tunalomuomba na cc
@zeinabathman49697 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah fih mashallah mungu azidi kukupa afya inshaallah napenda sana kukusikiza mashallah allhamdllh all the way from Kenya
@user-ht5fo9sn7f7 ай бұрын
Mashaallah kupitia ww nimejifunza kutokukata tamaa ALLAH Akuhifadhi
@user-ym7dc2jf4n7 ай бұрын
Mashallah mashallah Sheikh Allah akulinde na akupe kheri
@user-tv8fv8gd8z6 ай бұрын
Mashallah mungu akuweke ili uzidi kutuelimisha❤❤❤❤
@user-ir9xj5yt5p7 ай бұрын
Amini inshaallah, naomba nmi nwe miongon mwa wenye kurudukiwa km ww shekh.mashaallah mungu akuongezee zaidi inshaallah
@Weirdguy7775 ай бұрын
nimejifunza kuhusu istoria hii mashaallah❤
@ladyr.r99648 ай бұрын
Mashallah Mungu akutanguliye kwa kila jambo lako🤲🤲🤲sheikh tupe dua ya kushika ujauzito
@firstlady98487 ай бұрын
Mswalie mtume sana na baada omba kila siku fanya elfu saba ama uwezavyo
@ladyr.r99647 ай бұрын
@@firstlady9848 Shukran sana inshallah lazima elfu saba kisha niwe na tasibihi ili nijuwe ama???
@zeinabathman49697 ай бұрын
Subhanaallah mashaallah takbir allah akbar mashaallah mungu akupe ilmaa nnafia ameen inshaallah ameen
@user-ep1qw4nq5i3 ай бұрын
Subuhana Allah akuzidishie kher na umuri
@AminahMtwa5 ай бұрын
mashaAllah,shukrn shekh Allah akuhifadh.shekh na dua yakupata ndoa tafdhar🙏
@mohamedimuhango44408 ай бұрын
Mashaallah Sheikh othuman Allah akujaalie afya njema ili tuendelee kupata elimu hizi
@ZuraAdam7 ай бұрын
Masha Allah 🙏 sheikh
@zuramarakia84677 ай бұрын
Sheh sisi hatujui izosura twambie zigine zakuleta mali za Allah samahani Niko vibaya😢😢
@miishhassn8 ай бұрын
Dug kwel watu wanametoka mbal na wamepitia meñg allah akulipe kila la kheri akulinde na husda shekh we ❤
@AminahajiNk7 ай бұрын
Mashalla mungu akubark ishaalla
@farhannahomary55057 ай бұрын
Sadaka za kutoa ni nzuri mno jmn kutoa ni kuzuri Allah Atujalie sote
@user-ck4yi5ul3g6 ай бұрын
❤❤❤mashaallah mungu ni mkubwa
@halimamfaume19257 ай бұрын
MashaAllah ❤
@SUFOAbudo2 ай бұрын
Masha Allah sheikh
@user-yf3cw2yd8b7 ай бұрын
Aslaam alykum ,ahsante sana mungu akuzidishie je,pia kwa sisi tusio jua kusoma
@saumusulaiman47426 ай бұрын
Maashaalah Allah is great🙏🙏🙏
@AndulHida-hs5py8 ай бұрын
Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri
@rashidawangara13187 ай бұрын
MaashaAllah, sheikh natumai siku moja nitakuona.
@mumtazaidarus13307 ай бұрын
Mashallah mashallah Allah akujazi kheir kwa kula jambo lako from USA
@user-ob8yz1dv8h7 ай бұрын
Sheikh Allah Akulinde na Akuhifadh.
@NajmaAlly-gt6nw4 ай бұрын
Mashanllah shekhe allah atujaalie na sisi tusiwe wenye kukata tamaa hakika kumpenda allah na mtume wake ni nusra kubwa
Mashaallah shekh Allah akuzidishie kila kheri uzidi kutufunza
@user-en5ng4sc2x7 ай бұрын
ماشاءاللہ تبارک وتعالیٰ
@asmahtamla47495 ай бұрын
Shukran Sana ndugu 🙏
@ZainabuOmary-nt7xf7 ай бұрын
Mii ndo maisha napitia hasadi imenizidi mpaka naendea kumaliza mtaji nilikuwa nsomesha watoto sasa hivi nashidwa niikuwa na akiba nimeimaliza nisaidie nahisi kufunga ata hii biashara yangu
@binthasan75328 ай бұрын
Mashaallah
@EzenaKisamo6 күн бұрын
Inshallah
@saidkingirawima52724 ай бұрын
Manshaalhaa
@user-id6fk9hr9q6 ай бұрын
Kwa mimi mkristo sasa sijui kusaliii wala sijui duaa
@MaheenMaheenna-zv9hm6 ай бұрын
Mashallah jifunze
@ArafatiZinu-gi8qv7 ай бұрын
mashalaah
@AshaSalim-xd8xp7 ай бұрын
MASHAĹLAHSHEIKMUNGUAKUTANGULIEINSHALA
@MariamNgwali4 ай бұрын
Mashallah mungu akubarik inshaaalah
@user-jk6xk7id3q7 ай бұрын
Allah akuzidishiye 🤲
@khadigajessica9918 ай бұрын
Du watu wanatoka mbali sana
@amidanibimenya96927 ай бұрын
Subira ninjema Allah alitaka ufanye kaziyake.huko kote kulikuwa sikwako.
@ZahraShariff-dm2jf4 ай бұрын
Hayaa yote napitiya sijawahi yasema kwetu laiti nitajaribu kusema hali ya mume hanaa kipatoo wallah atadhaurika aniambia niachwe nae naombeni msadaa Kaka zangu dada zangu sote waslamu
@NshimirimanaAnnemarie7 ай бұрын
Assalam walaikum warakmatullah wabarakatuh, Allah akupe sheh ,naturahisishiye
@ZahraShariff-dm2jf4 ай бұрын
Assalamaleykum sheikh Mimi pia napitiya chagamoto katika maisha Nina mume pia mambo yake hayapo Sawa je nifanyeje nikidai talaka najuwa sio Sawa dhambi je nifanyeje miaka 3 sasa bwana hujafaulu kazi 😢😢😢😢😢😢
@sharifasuleiman82978 ай бұрын
Mashaallah nakushukuru sana shekhe najifunza mengi sana kupitia wew alhamdullilah 🤲🤲😭
@khadijahamina84578 ай бұрын
kabisa allah ampe itaji lamoyowake nasisi sote insha allah
@user-qi1ih6gy2w7 ай бұрын
Allah hu Akibar mung nimkubw kufanya kutukutanish nawew shekhe mung akupe afya tupate mengi zaid
@shabinamunir22037 ай бұрын
mashallah,,,sheikh wasoma kila siku ama ?na wasoma hizo mubeen saba wafatliya na waqiya pia zitakuwa saba..
@buhitexmohamed47858 ай бұрын
Mm nisaidie kwa hayo yakukataa nikoba ya uchaei sasa wasiwasi ni kutolewa kafara tafadhali
@buhitexmohamed47858 ай бұрын
Mashallah shekh , but wandugu wengine wafa yia mazuri wanakulipa husda
@fatumakambi9607 ай бұрын
Mashallah yarab atuajalie
@hosnabintmariam32877 ай бұрын
Maa shaa Allah Sub haana Allah Wal hamdulillah Allahu Akbar
Sheikh naomba unisaidie nimenyolewa nywele sehemu mbili nifanyaje mim sipati pesa
@Chamalaodancers7 ай бұрын
🌹❤️🙏
@rahmasabuni34258 ай бұрын
❤
@naimajuma35777 ай бұрын
MashaaAllah shekh Allah akujaalie kila la kher hapa duniani na kesho akheri shukran
@athumanikhamisi33778 ай бұрын
شكرا جزيل
@user-tv8fv8gd8z6 ай бұрын
❤❤❤❤
@assaneanliassane46807 ай бұрын
Ma Sha Allah, Amin
@AminahajiNk7 ай бұрын
Na omba dua ya kushika mimba
@alnnajahislamiccenter-yz1lq6 ай бұрын
Inshaallah nitafute
@Aida-qh3jq7 ай бұрын
Na kama hujafikia hiyo surat utaisomaje shekh
@Kubanatv-mf7un7 ай бұрын
Nataka namba zako sheikh
@ZainabuOmary-nt7xf7 ай бұрын
Ustadhi namba zakotafadhali
@ZainabuOmary-nt7xf7 ай бұрын
Sheikh sura hizo sizijui naswali na sura ndogo tu dua naomba kiswahili tu nifanyaje
@KhizryKwekajr-jw4ze8 ай бұрын
Mungu akulipe
@fatumachatila89798 ай бұрын
Jazakum Allah khayira
@nasirmohamed15896 ай бұрын
Acha uongo rizki ilishafunguliwa na allah mtoaji.sasa unaposema kufungua rizki nani kafunga na nani kampa uwezo aliyefunga.huu si ndo ushirikina na ushenzi tu.rizki zetu zimeandikwa na allah tukiwa tumboni alafu unatudanganya kufungua ulizifunga wewe.
@omarjr17916 ай бұрын
Kaka msilize vizuri kwanza
@omarjr17916 ай бұрын
Pia kaka tunapitishwa ktk haya ili tuutambue uwezo na kubwa wa ALLAH hivyo usibishe kaka
@nasirmohamed15896 ай бұрын
@@omarjr1791 nijibu swali moja tu hiyo riziki iliyofungwa imefungwa na mwamba gani mwenye uwezo zaidi ya allah aliyeandika kwetu na akaahidi tutapata na kweli akatupa nijibu hapo tu.
@nasirmohamed15896 ай бұрын
@@omarjr1791 we uliyemsikiza vizuri swali langu nani kafunga hiyo riziki make allah mtoaji hajatuambia nitafunga riziki bali alituahidi ataturiziki ndo maana alituumba
@user-jh6uu1td1i5 ай бұрын
Unaweza ukawa umeandikiwa rizki na mola ila ukawa una llaana za allah za ukoo ndoman tukaamlishwa tumuombe Allah ata kijiko cha chai basi ujue allah ni mkubwa sana ukitaka adhina ya mfalme lazima unyenyekee kwaiyo usiseme hivyo