Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Dkt.John Pombe Magufuli, leo tarehe 19 Sept,2016 afanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Magazeti ya Uhuru na Mzalendo jijini DSM
Пікірлер: 203
@tausifungameza9476 жыл бұрын
Nimempenda sana huyo Dada alikua anatambua uwepo wamarehem mungu akuzidishie
@sarahlydia26354 жыл бұрын
Asante dada mungu akubariki
@johnnasunga555 жыл бұрын
I have never seen some one who solves issues directily and much knoledge used like President John Pombe Magufuli may God Bless you so much
@jumanesaidi76356 жыл бұрын
Huyu mama amekaa vizuri kiutawala, anatissha, ana hatari, namuogopa, Mungu awe naye.
@Kundaimana91035 жыл бұрын
Rais DKT Magufuri nakupenda sana kazi unafanya iko sawa
@jafaripilly35946 жыл бұрын
Hugo Dada anaewatetea familia ya malehem Yuko vizuri maana anajiamini sana.
@otivo154 жыл бұрын
wololo I fell in love with that lady anaetetea family of the late. God bless you mama
@gospalflavour73047 жыл бұрын
Upo vzr sana mzee wetu.hakika wewe ni Jembe. Unafatlia sana mambo kwa kina. mungu akupe maisha marefu. Ila kwa mfumo wako huu.kabla huja take action jitahidi sana kuwabana wanaokupa taarifa ziwe na usahihi ili kama kunamtu anastahili kuhukumiwa basi ahukumiwe kulingana na uhalisia wa makosa yake. Apo sidhan kama kutakuwa na dosari yoyote. piga kazi mzee wetu
@costantneathanas88097 жыл бұрын
Joel Justin Mhavile g
@christophercheruiyot57555 жыл бұрын
Thank you mr president for listing to your people
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@adelinekombe96606 жыл бұрын
Hapo nimempenda bure huyo dada anaye tetea haki ya marehemu.
@emmanuelmogela58716 жыл бұрын
wanaume wanatetemeka mwanamke anajiamini
@paulmajaliwa27986 жыл бұрын
Nakosa hata neno zuri la kumpongeza Rais wangu#John Joseph Pombe MAGUFULI.
@selemanjuma7855 жыл бұрын
Kama umekoswa neno la kumpongeza bas ata kumuombea aishi miaka mingi zaidi inatosha, naimani hakuna kama yeye tena mbele yake vinginevyo ni kudanganyana2
@dennok33574 жыл бұрын
Badilisheni katiba aongezewe kipindi kingine cha kuongoza, yeye ni sauti ya waliofinyiliwa na wanyonge
@hdhdbdh266 жыл бұрын
dr jpm tunakushukuru kwa kazi zako nzuri mungu akuongoze
@happymsaki17204 жыл бұрын
Ila jamani watanzania mnataka JPM awape nini hebu ona huo UBADHILIFU ULIOFANYWA NA HAO wakina VIONGOZI WA NYUMA YAANI 😭😭😭😭 viva JPM 2020
@hindisaidi50976 жыл бұрын
afya ya raisi wetu ni nzuri .kwa hio anaweza kutembea atakavyo.mungu ampe afya njema aendelee kufanya majukumu.tungechagua wagonjwa tungeshuhudia uwongo na uvivu tu.
@mariamustapha16775 жыл бұрын
Mbona wengine wametoa macho au wanahusika kuuza skirepa?
@sangolocaleb42027 жыл бұрын
Rhoda Kangero ..huyo dada anayetete familia ..big up my campus classmate!
@sifasanga78667 жыл бұрын
sangolo caleb amenifurahisha mwanamke ana akiri sana huyu
@kamwene7 жыл бұрын
Sana tuu. BIG UP
@shilangonya15466 жыл бұрын
sangolo cale
@shilangonya15466 жыл бұрын
Mheshimiwa rais wetu hongera kwa kazi nzuri ya kutuongoza watanzania wanaokuchukia bila sababu za msingi ni wengi lakini huwa hawakosekani hao hata walio mtesa kumpiga na kumchukia yesu kristo hawakuwa na sababu ya msingi majukumu mema rais wetu
@kauzeniabdi27165 жыл бұрын
Hongera rais magufuli
@sherylcarlos25805 жыл бұрын
Magufuri Oyeeeeee Asante sana magu
@stellanestory70227 жыл бұрын
safi rais mungu akulinde
@habibadhikr94064 жыл бұрын
Poleni Sana mungu mlinde rais wetu kwa utendaji wake wa kazi kama amli yangu aendelee maisha yake ypte
@princshammah57004 жыл бұрын
Mweshimiwa Raisi Magufuli mimi naitwa Prince from DRC napenda sana unavyo tumika wewe ni mfano bora wa ma Raisi wa Africa asante sana na Mungu akulinde
@stormingfoh7 жыл бұрын
Big Up Rais wetu.. Uhuru na mie niko pamoja nao...
@jamilamuhunzi12535 жыл бұрын
Nakupenda kwa itendaji wako wa kazi
@meshakimmale20036 жыл бұрын
sister pekee ndie arie onyesha ujasiri she,s haver confdens
@rehemaelliottsuleiman64657 жыл бұрын
huyo Dada anayetea family ya marehema mwenyezi mungu amubariki
@zaituinkisus15166 жыл бұрын
Rehema Elliott Suleiman mishonoyavitege
@upcmgprof.lemoiskaleku67806 жыл бұрын
kazi nzuri kiongozi
@sweetbertmathew47835 жыл бұрын
Rehema Elliott Suleiman v
@marleyelias98885 жыл бұрын
Dada ongera kwa kuwatetea watoto wa marehemu
@buganjidele15317 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@naomilaulance16346 жыл бұрын
mungu akuweke muheshimiwa katika uongozi wako
@shabanimambo94306 жыл бұрын
vzur San mheshimiwa rais
@piusjaphet27606 жыл бұрын
Ukijiuliza marais wote wangefanya kazi kama Mheshimiwa Magufuli nchi hii ingekua ya mfano wa kuigwa masikini asingekuepo
@iddyjuma2256 жыл бұрын
good...we apprecoate
@abdallahmwanyende667 жыл бұрын
Magufuli mzazi Mungu akueke baba utete wanyonge
@juliusonay3617 жыл бұрын
baba nasisi madereva was maroli nishida tu baba tusaidie baba
Magufuli oyeeee Mungu akubarik sijapata kuona Rais mwenye Imani tangu nizaliwe . Mungu akujaalie umri mrefu na juhudi zaidiii na sisi Wazanzibar mwaka 2020 tijepata Rais Kama ww . Aaamin
@isayamziwanda58727 жыл бұрын
kazi kazi tu,
@adinanjuma24577 жыл бұрын
Hii nchi yetu bana....Magumashi mengi sana!
@costantneathanas88097 жыл бұрын
Adinan Juma nn
@ommarnduru82534 жыл бұрын
kuna kiongoz wa chama kma namuona kakonda sanaaaa au macho yang tu jman?
@saidbanga6 жыл бұрын
Mi nakupendeaga hapo tu...!!
@mboneadavid96616 жыл бұрын
Logic sana muheshimiwa
@diamondgeyser79875 жыл бұрын
Hongera Raising wetu
@kyekwew32165 жыл бұрын
Familia ya marehemu ilipwe with interest
@josephmasebo67616 жыл бұрын
nimeipenda sana ziara ya mheshimiwa Rais. na maagizo yake nimeyapa tiki. naamini watumishi Wa gazette hili watafanya kazi kwa umaridadi zaidi
@khalidballeth59575 жыл бұрын
Sipati picha kwa kampuni ya gazeti la tanzanite🚶🏻♂️
@domitilazakaria71715 жыл бұрын
Mungu akubariki baba yetu Mh Magufuli
@sadickrajabu45366 жыл бұрын
Ongera magufuli my president
@yaedlifemedia32035 жыл бұрын
Dah ewe mungu NIONGOZE huyu rahis mpe pepo na daraja la mtume aishi fildausi
@adambago7 жыл бұрын
Tanzania tusipobadilika hatutaendelea ng'ooo! Tumejaa wizi na kukosa mapenzi mema ya vitu vinavyomilikiwa na umma.
@kapilimajuma65586 жыл бұрын
absolutely true !
@donaldmakunzo7886 жыл бұрын
kweli dada upo vizuri waizi ndo hawajiamini
@sifasanga78667 жыл бұрын
Magufuri natamani siku moja nikubebe mgongoni walahi daa! unaukosha moyo wangu...kudadadadeki
@godymaphone17756 жыл бұрын
sifa sanga hahahaaa umeonaaa anaakili sana huyo mzee
@pangamwilingagungasimba5304 жыл бұрын
sifa sanga nitaaza kumubeba mimi kwanza
@martinchachanyakusaima66496 жыл бұрын
mheshmiwa morogoro idara ya maji majanga uje uwaulize
@habilicharles44106 жыл бұрын
Huyu ndio rais maamuzi haraka na utekelezaji wa haraka ndio maana upinzani unapukutika siku hadi siku 2020 kazi lainiiiiiiiii
@juliusuronu88127 жыл бұрын
Bora muheshimiwa umesema ukweli sheria ni msomeno ukatao kuwili....Mungu akuongoze vyema
@beatressmsofe34697 жыл бұрын
⌚
@beatressmsofe34697 жыл бұрын
⌚
@beatressmsofe34697 жыл бұрын
⌚
@mudrickjuma50656 жыл бұрын
dada unayetetea familia ya marehem mungu akulinde
@sebamrope76915 жыл бұрын
huyo dada anaetetea family ya marehemu nimeipenda aendelee kuipigania hiyo família
@mussaabdiel97975 жыл бұрын
Anaongea chapu sana uyo Dada
@innocentnchimbi13255 жыл бұрын
Nahuku rais wetu mbinga kuna shida san
@jonathanlema77827 жыл бұрын
That's my President.
@theophilukapinga23164 жыл бұрын
Bravo Magufuli
@azizikeya83146 жыл бұрын
Kila siku huwa nasema toka Tanzania iumbwe haijawi kupata rais kama magufuli ndiyo rais wa kwanza kuwa mzalendo kwa vitendo twajivunia tunarais
@nelsonmakoye30056 жыл бұрын
kiukwer nmempendae huyo dada aliyetetea maslahi ya mfanyakaz mwenzake aliyefariki! hongera rais wetu
@nestoryshadrack61717 жыл бұрын
saf mweshmiwa maguful, njoo na kwetu huku mza
@hamadrashid6376 жыл бұрын
Komaa nao mr president, usisikilize kelele za wengine
Tutumie mfumo wa AUDIT na report yoyote isiyostahili hatua kali ichukuliwe. Rais bado tunakuhitaji kwa maamuzi mazito tunahofia sana afya yako na usalama wako.
@bonifacedonro34967 жыл бұрын
Saif Al Rajhi Wn
@aqwilinolugalamila33904 жыл бұрын
Siyo kahama tu hata kilolo uku uje mkuu
@bernadgidatu40677 жыл бұрын
Tunakuombea uzima rais wetu mungu akutangulie
@ahmedshariff80645 жыл бұрын
Mungu akupe afya mheshimiwa na utuongoze daima
@allenchisunga53786 жыл бұрын
Piga Kazi Mkuu
@amanimaseleka47046 жыл бұрын
neema
@aminaomary55675 ай бұрын
Mwanamke huyu anajiamini sana,safi kabisa anastahili kuwa kiongozi❤❤❤
@marthamdalingwa41636 жыл бұрын
Wakati yesu anapitaa kuponyaa kunawatu waliwaficha wenzao eti aibu anapitamkubwa wasiojiweza wanawasukumiza nyumaa. Kwakuogopa kutiaaibu. Kumbee haitakiwii. Hapondopakujilipua matatizo yako iliusaidiwee matimayo alipazasautii yesu yesu natakakuonaa. Naakaona. Akasemaa naonaa naonaaa. Tusiogope tufanyekazi kwakujiamini. Anaekurudisha nyuma mfichuee hakuna wakumshinda yesuuu. Tenapigamaombi. Najua mnakosaa hatamda wakusalii. Hataukiwaa chooni weesaalii hukoohukoo
@rafaelkamau11174 жыл бұрын
Tz you lucky.you have great president I wish our president was good as yours
@gerraldmbacha21246 жыл бұрын
Kahama utakuja lini kuna madudu alimashauri,pia mafundi seremala wameyamshwa bila utaratibu Wa kisheria joo bab kwa kushitukinza hapana Kahama shinyanga
@awadhially Жыл бұрын
Yaani mazingira haya alafu uendelee kusurvive
@papafikiri7 жыл бұрын
safi kiongozi wetu
@daudmnyenye83067 жыл бұрын
Diamond new song
@bonifacedonro34967 жыл бұрын
Raymond Kaswaga
@kulwamahela40936 жыл бұрын
Raym
@user-vw4te9qr3i3 ай бұрын
Nindoto kumpata raisi kama huyu😅
@tshirima88864 жыл бұрын
Saluti kwa Dada
@binamungualpheus81807 жыл бұрын
kama shule ya msingi mimi nilikua nawasemeaga wenzangu afu mm nabaki salama
@leahchallomachibya17916 жыл бұрын
Ulikuwa muoga dogo
@happymsaki17204 жыл бұрын
Dada uko vzr ww jasiri mnoooo
@kayukayu64686 жыл бұрын
Njoo na gairo mheshimiwa rais
@eliyaleonard1376 жыл бұрын
Kayu Kayu
@abassmwanisenga91467 жыл бұрын
Samwel simtengu
@maswiwambura42264 жыл бұрын
Dada uko vizr kwa maelezo
@akanakeza9174 жыл бұрын
RAIS WANGU MAGUFURI NA MIMI PIA NINAKUELEWA NIKO BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@emmanuelmkeba79014 жыл бұрын
Ahsante ndugu yetu was Burundi huku mijizi na mikwepa kodi ndo haimuelewi
@salummtizi10435 жыл бұрын
Huyu Dada keshaolewa jamani? Mbona karoho kangu kanafukuta sana
@marcelcmagessa71306 жыл бұрын
Raha ya kuwa na rais mfuatiliaji si kungoja uletewe taarifa lazima ushuhudie ukweli wenyewe
@princehancesam98925 жыл бұрын
Nan kamuona bodigadi anataka kulia
@hassanihussein44797 жыл бұрын
muheshimiwa km hawo wamkupigia kura mpka ukawa raisi je na sisi wamtaani ambao tumekupigia kura ina kuaje na maisha ni magumu mtaani
Tatizo la Africa Rais anakuwa na kazi nyingi sana kawaida hilo lengehudumiwa hata na waziri sizani labda naibu waziri na kingini tunaitaji justice yenye nguvu kweli kweli
@georgemassebu20835 жыл бұрын
Mugenzi honore unaelewa RAIS ni mtu gani au unasema tu
@charlesmaziku2715 жыл бұрын
vizuri
@RoseMary-hp5bz7 жыл бұрын
surprise eeeeeeh😅😅😅
@erickyjuliusakaplayboy17627 жыл бұрын
Rose Mary mambo vip +255673869835 njoo whatsApp
@maryawino41665 жыл бұрын
mike sonko wa kenya
@mithlekhalfan48956 жыл бұрын
Jomba magu upo juuuu
@tibambadala71434 жыл бұрын
Hureeeeeeeeeeeee.njoo na kwetu Baba tunateketea
@charlesmakuri7924 жыл бұрын
Yani hadi maraika wana shangilia maana watu wanaiba sana
@favourfavour82957 жыл бұрын
Huyo Mgurugenzi afukunzwe kazi hana huruma na watanzania
@kihuntekimossa46437 жыл бұрын
favour favour Hana huruma na waizi safi sana. waizi wote wanataka ashindwe.
@piliomar2315 жыл бұрын
Wanawake tupewa tuanaweza dada asate
@tabbykibukila85355 жыл бұрын
I@@kihuntekimossa4643
@elisantennko82224 жыл бұрын
Huyu ndie kiongozi! Mungu amempa uwezo wa kuona micro issues ambazo wengine wana overlook! Alafu huyo dada mweupe yupo vizuri “ Managerial skills “Mungu akupandishe juu.
@jamnsokolomkonongo40367 жыл бұрын
njoo na kwetu mheshimiwa magufuli morogoro idara ya maji na hosptali kuu hali sio shwari ni mawzo tu ehehe
@usembiphonedar56327 ай бұрын
Kiongozi mzalendo JPM ulijituma sana kuwatendea haki watanzania lakini kumbe ulikuwa unatembea na wasaliti wamekuzunguka! Mungu ndiye jibu la mambo yote.Mungu akuangazie mwanga wa milele, Ameni