RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA mp4

  Рет қаралды 878,581

Adam Gille

Adam Gille

7 жыл бұрын

Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 29 Novemba 2016 , amefanya ziara ya kushtukiza katika Gereza la Ukonga jijini Dar Es Salaam na kupiga marufuku uuzwaji wa sare za majeshi nchini na watu binafsi na kutaka wale wote wanaouza sare hizo wazikabidhi kwa majeshi husika mara moja.

Пікірлер: 265
@dicksonmatulile1523
@dicksonmatulile1523 2 жыл бұрын
Nani anafuatilia mpaka leo hii 2022
@hamadiomari7804
@hamadiomari7804 Жыл бұрын
Mm
@mbokomboko5974
@mbokomboko5974 Жыл бұрын
Mimi apa ☝️
@jabirmustafa-tg1pe
@jabirmustafa-tg1pe Жыл бұрын
Mimi
@mrtayalika2865
@mrtayalika2865 3 жыл бұрын
REST IN PEACE LEGEND YOUNG GENERATION WILL MISS U JOHN
@mounbakko5871
@mounbakko5871 6 жыл бұрын
a president talking and his audience is so engrossed and attentive, indicating a sense of belonging, interest, listening to a man, saying something important and very valuable, with passion, not just a formality delivering a pre-written speech... these are members of the civil force and I can tell that he is admonishing, educating and encouraging them by the way they are so attentive as if he is delivering words of redemption. A very hands-on president.
@mirajiibrahim51
@mirajiibrahim51 7 жыл бұрын
Kiukweli kabisa kutoka chin ya uvungu wa moyo wangu namuomba mungu akusimamie sana Mh. JPM akulinde na kukuepusha na maadui wasiopenda maendeleo ya nchi yetu waliokuwa wameigawana Tanzania kama mashamba ya urithi ya baba zao...kila siku kukicha unanipa matumain ya kuiona Tanzania mpya ambayo umekuwa ukituahidi... kwa uelewa wangu mdogo nafahamu hiyo vita unayopigana ningumu sana mh. lkn kwa uwezo wa mungu utashinda inshallah mungu akubariki sana mh. Endelea na kasi hiyo hiyo mh. mpaka kila sehemu ikae kwenye mstari
@stanleykimani937
@stanleykimani937 5 жыл бұрын
nimekubali utuba hii
@thomasnyarusanda2608
@thomasnyarusanda2608 6 жыл бұрын
Anayemchukia Rais Magufuli hafai kuwa mtanzania.
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 4 жыл бұрын
Hana lolote masifa tu ya KISU - KUMA. Ongeza wafanyakazi wa Serekali mishahara maana maisha yamepanda. Masifa tu.
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 жыл бұрын
@@evansmlalo4049 una akili kwer wee
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 жыл бұрын
@@evansmlalo4049 naona ukapimwe akili maana nsona wee unapenda vya bure panya wewe
@tuntumemedia2046
@tuntumemedia2046 7 жыл бұрын
Nimependa sana hii, Mhe:Rais kwa hili umetenda haki na Mungu akusimamie utatue changamoto za Jeshi la Magereza.
@mrishomuhanzi6895
@mrishomuhanzi6895 6 жыл бұрын
Dominique Bubeship
@mrishodaudi7490
@mrishodaudi7490 5 жыл бұрын
yani kwawewe muheshimiwa kwanza mungu akulinde pia hata ukitawala miaka 100 kwangu sio tatizo mungu akubaliki unajua utu mkuu
@emaxiliannyalob716
@emaxiliannyalob716 6 жыл бұрын
Xaf xana mkuu wetu umeyaona mengi kuhuc jeshi LA magereza MUNGU akuximamaie sana uzid kupigania nchi yetuu Be blessed #Magufuli
@fatumakadenge3209
@fatumakadenge3209 4 жыл бұрын
Mashallah huyu rais. Tungekuwa na kama huyu African kungekuwa hakuna uoneve. Bg up Magufuli god bless u all the way from kenya
@ashangohi450
@ashangohi450 7 жыл бұрын
najua wapo watakao chukia .lakini mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni.asante rais Magufuri .Mungu akulinde .
@davidmbilinyi4198
@davidmbilinyi4198 6 жыл бұрын
asha ngohi hapo hamna wa kuchukia labda ww una chuki na wenzako
@allyfutto8763
@allyfutto8763 7 жыл бұрын
JPM ni AmiriJeshi wa ukweli Hakika. mungu Mbariki Rais JPM, Amin.
@cydre3401
@cydre3401 3 жыл бұрын
Rest In Paradise , jemedari wetu #RIPMagufuli
@collinsotienoorieny5905
@collinsotienoorieny5905 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@IbrahimSaiya-ib2ti
@IbrahimSaiya-ib2ti 11 ай бұрын
Wangekua wanaludisha watu magu ningemurudisha
@amashbaibe8361
@amashbaibe8361 4 жыл бұрын
Raisi mangufuli intelligent man surely ulichaguliwa na mungu
@sharomosses5516
@sharomosses5516 7 жыл бұрын
nampenda sana rais magufuli mungu ambariki sana sana hakuna tena km yy strong man mungu ibariki tanzania mmariki rais mgufuli
@stevenrameck8772
@stevenrameck8772 5 жыл бұрын
Nihatari huy Jamaaan abarikuw
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 5 жыл бұрын
Baba tunakupenda sana. Piga kazi bila woga. Watanzania wenye shida wanakuhitaji kuendelea kuwa jasiri asiye mwoga. Tunakupongeza baba
@faridabakari8511
@faridabakari8511 6 жыл бұрын
Iwe Kenya hivi raha sanaa big up tz magufuli
@lifestyle7464
@lifestyle7464 7 жыл бұрын
Please please be Kenyan president even if it part time better than the greedy one we have.
@michaelthoya3348
@michaelthoya3348 5 жыл бұрын
never giveup man these greed Will suffer I tell you just keep on praying
@gabrielnyanga5071
@gabrielnyanga5071 4 жыл бұрын
Kenya kwenye uongozi,tume chemsha mno na Mungu atukomboe!
@konde24ful
@konde24ful 5 жыл бұрын
Huyu baba,wawatu nacho ona bapa Tz haimtoshi ana mkono wa uongonzi kweli I wish angeongoza Africa nzima Tz imebarikiwa with H.E Jobn Pombe Magufuri kumbe wakati mwingine Jina ndoo mtu Magufuri ni gufuri rakufunga na kukomesha corruption
@iddopaka4606
@iddopaka4606 4 жыл бұрын
I feel this president. How i wish to be a Tanzanian
@nelsonkilele4782
@nelsonkilele4782 7 жыл бұрын
wewe ni mwamba Wa Tanzania mungu akulinde
@philipjaphethohulo8957
@philipjaphethohulo8957 7 жыл бұрын
Kwa kweli mazuri unayowatendea wananchi wa Tanzania ni mazuri, natamani kwetu Kenya tupate kama wewe siku moja. hawa tulio nao ni kujifanya tu.Mungu na akuzidishie nguvu
@julianamwita7175
@julianamwita7175 7 жыл бұрын
miaka yote tungepata rais kama huyu tanzania ingekuwa mfano
@Moses-hh6nd
@Moses-hh6nd 6 жыл бұрын
philip ohulo MARION ATOLI NGONG
@phillipnchimbi5364
@phillipnchimbi5364 6 жыл бұрын
philip japheth ohulo l on
@leopordburumbanze5020
@leopordburumbanze5020 5 жыл бұрын
Raisi wa Tanzanie mungu ukurinde iri uiendereze Tanzanie mana wewe nimutumishi kabisa hapa kazitu
@wilibardfilibart1186
@wilibardfilibart1186 5 жыл бұрын
Said a kalol
@ramadhanolunga8220
@ramadhanolunga8220 4 жыл бұрын
I this president, I wish angekuwa wa Kenya, tungekuwa far
@MrCeejay64
@MrCeejay64 7 жыл бұрын
Tanzania please can we borrow your president for just one month pleeeeeease we need such leaders in kenya
@aminamohd604
@aminamohd604 5 жыл бұрын
kiigunyu wa mami hahahaaaaaaa we don't want
@ndikujeany2103
@ndikujeany2103 5 жыл бұрын
Ninamupongeza mweshimiwa raisin kwakazi anazozifanya kweli yéyé anapenda wanainchi wake ingelikuwa vizuri anafanya semina kwawengine waraisi anawaonesha ginsi yakutendeya haki wanainchi wawo kwa ukweli gisi anaenda mko kwa mko tena anakamata wakati wakusikiliza wanainchi wake wawili awo watatu vraiment tunamupongeza . mungu amubariki
@user-hx3mq5fg7v
@user-hx3mq5fg7v 4 ай бұрын
Tutakukumbuka daima mwamba from Chato
@sabinajohn8375
@sabinajohn8375 7 жыл бұрын
safi sana mweshimiwa magufuli
@mehdyahmed8479
@mehdyahmed8479 5 жыл бұрын
mashaALLAH Tanzania ALLAH amewabariki kwa kuwapa sir MAGUFULI
@kibwanaradhia4307
@kibwanaradhia4307 7 жыл бұрын
tatizo la mtanzania akipata pesa anawaza stareh hawazi kujiendeleza
@godfreydignalis163
@godfreydignalis163 5 жыл бұрын
A bit understandable, I do know what you think of for Tz's visions.
@gazeomar8273
@gazeomar8273 2 жыл бұрын
Very good president we never se I'm from Burundi but I love Tanzania and former President
@johnpaulmaronsaho7968
@johnpaulmaronsaho7968 5 жыл бұрын
Fanya kazi jpm
@nhoutyeddycole7506
@nhoutyeddycole7506 4 жыл бұрын
mungu yupo nawe.piga kazi tunakusapot kwa hali na mali hakuna atayekuyumbisha.
@mantizo9719
@mantizo9719 5 жыл бұрын
Raisi jhon pombe umetembelea sehemunyingisana ilakwetukatavi umetusahau mweshimiwa tunakuomba ututembeeleenasisi munguakulinde wewendiyo mteteziwetu
@b5342s2
@b5342s2 5 жыл бұрын
wewe ni rais unaetakiwa kuwa kwenye hii nchi hadi mungu atakapo kuchukua mungu mjalie huyu rahis wetu
@venturemalobo
@venturemalobo 6 жыл бұрын
Tatizo Kila kitu kinafanyika Dar. Sehemu zingine hamna. Sijui Tanzania ni Dar.
@eddieeddie5189
@eddieeddie5189 6 жыл бұрын
Mimi si mtanzania lakini nimeona vibaya nyumba za wafanyakazi muhimu wa serekali ni mabanda huyu rais mtunzeni sana
@siaminimangwala4866
@siaminimangwala4866 6 жыл бұрын
Kwa kweli tuna Rais Mpambanaji na mzalendo
@samsoncharles8988
@samsoncharles8988 7 жыл бұрын
Najivunia kura yangu hapa kazi tu
@joelymaiko732
@joelymaiko732 7 жыл бұрын
Samson Charles poa
@ibrahimerasto2888
@ibrahimerasto2888 6 жыл бұрын
Tuna RAIS mcha Mungu, anajali wananchi,mkweli,
@markeddy1976
@markeddy1976 7 жыл бұрын
Nashukuru kwa mawazo mazuri ya busala. Wazo langu nikwamba; ukamataji wa watu Bure Bure Kama mtu ana passport yake lakini anazungusha vibaya eti atoe hela ili aachiliwe inauma sana limufikie rais Magufuri Asante sana kwa Hayo.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 5 жыл бұрын
Mungu ni mwema kukupata wewe Mh Rais wetu mpendwa ikibidi kaa adi 2035 bhna!!
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 4 жыл бұрын
Makufuli oyeeeee nakupenda hasa njoo zanzibar uwe raisi tunakupenda sana makufuli oyeeeee
@JohnKanoni-iq6mf
@JohnKanoni-iq6mf Жыл бұрын
Pumzika Kwa amani shujaa wangu amina
@yassinjuma6717
@yassinjuma6717 6 жыл бұрын
hakika namuomba mungu akusimamie
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 7 ай бұрын
Mungu akusamehee
@youngstar2044
@youngstar2044 4 жыл бұрын
We uyu raisi mbona anaakili sana kaah. SALUTE FATHER
@alfazaalhaji5988
@alfazaalhaji5988 5 жыл бұрын
Tanzania mshukuru mungu aliyewachagulia prezo ka huyu
@ashakombo1903
@ashakombo1903 7 жыл бұрын
Kaa chini na raisi wangu Shein kwa ajili ya mikakati ya Zanzubar...nakukubali mwendo wa kasi
@jamaa2760
@jamaa2760 3 жыл бұрын
Umeniachia kidondo Moyoni,,,, Umeondoka Mapema mno Magufuli,,, Tutawapata wapi viongozi wapya wenye Kariba yako😭😭😭😭😭😭😭
@frankpaulo7970
@frankpaulo7970 6 жыл бұрын
safi sana baba uendeleeee miaka mingi mpaka 2050
@alibomba3304
@alibomba3304 4 жыл бұрын
Mungu akusimamie wewe ndio mtetezi wa taifa
@jabarmalid5393
@jabarmalid5393 7 жыл бұрын
Mueshimiwa ukistaafu ndo mambo ya ajabu yaendelee???? Mkuu tafazali moto huu uendelee maana yake 2025 yasitokee maajabu,abra kadabra basi tena mueshimiwa Raisi. Wazee wetu nyie tunawategemea sababu ndo mtakua waamuzi wakuu.
@mussaabdiel9797
@mussaabdiel9797 5 жыл бұрын
jabar malid apana
@paulelisa488
@paulelisa488 7 жыл бұрын
Kazi nzuri
@lushangashija3537
@lushangashija3537 4 жыл бұрын
Nasisi zanzibari tunaimba
@lushangashija3537
@lushangashija3537 4 жыл бұрын
Tupate raisi kamahuyu magufuli nipo zanzibari
@lushangashija3537
@lushangashija3537 4 жыл бұрын
Kweli tutapata raisi Zanzibar kamahuyu tusubiri mwakani
@kibwanaradhia4307
@kibwanaradhia4307 7 жыл бұрын
hongera rais.hata hivyo kuhusu changamoto hiyo nimekukubali kwani wafungwa kila mtu anaweza kuwa nå kipaji kwa hiyo cha muhimu kila mwenyewe kipaji chake basi aajibike kuitumikia nchi.Kina washonaji nguo Kina wanaojua kuchonga mafenicha hiyo ni changamoto wataweza kufungua bidhaa mbalimbali.sio mpaka rais awazindue masikio.tuzindukeni naendelea ya nchi huletwa nå mwananchi mwenyewe
@veronicamsyete5380
@veronicamsyete5380 7 жыл бұрын
nakupnda xana jpm acha waixome namba
@magigejames2680
@magigejames2680 7 жыл бұрын
Gud Job Mh.Presda kiukweli umelifaa sana taifa letu
@odilokilamlya4232
@odilokilamlya4232 6 жыл бұрын
Magige James jamani
@michaelrungwe1475
@michaelrungwe1475 6 жыл бұрын
Nakukubari sana mjombo maghu
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 жыл бұрын
2022 😭😭😭😭
@honestyfirst2165
@honestyfirst2165 6 жыл бұрын
mimi ni mkenya nilikuwa naona TZ kama nchi iliyonyuma sana Lakini tangu magufuli kuwa raisi naona TZ ni nchi inayoendelea vizuri after 10 years itakuwa mbele ya nchi zote africa mashariki GOD bless TZ
@fatmanammanje1782
@fatmanammanje1782 4 жыл бұрын
Aamiin 🙏
@StevonneGithinji
@StevonneGithinji 5 жыл бұрын
Maghufuli knows his business. No speech. Just the Truth.
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 жыл бұрын
Rose msafiri hiyo txt yako inaweza kukukosti umeongea vibaya sana. hiyo pombe unaowafananisha wenzako unawapelekea wewe?. au wewe ni mzuri kiasi gani. mbona hatuoni mnara ulioandikwa rose msafiri anadura ya dhahabu. chunga huo ulimi utakuponza. uliza waliojifanya kuongea kauli mbovu sehemu kama hizi. shauri yako
@sungapongwa8075
@sungapongwa8075 4 жыл бұрын
Rahma Shaban RAISI WANGU ANGALIA NAKO NIDA KUNAVITAMBULISHO VILIVYO ALIBIKA TUNASUMBULIWA UTOE ELFU 20000. NDIO UPATE TUANGALIE WALE WAHALII YA CHINI NAOMBA ULISIMAMIE
@eliekalonji7805
@eliekalonji7805 4 жыл бұрын
muheshimiwa Mungu akupe umrimrefu kuwaokowa watanzania Na wa African wote
@ramdhanitamimu3226
@ramdhanitamimu3226 6 жыл бұрын
Asante baba👏👏👏
@chaelaabduly473
@chaelaabduly473 7 жыл бұрын
hukosei kiongozi wangu
@williamtongola9569
@williamtongola9569 5 жыл бұрын
Chaela Abduly namkubali sana
@bossmau764
@bossmau764 6 жыл бұрын
muheshimiwa magufuli mpk nahis kutoa choz kwa fraha ya msimamo wako katak uongoz wanchi nipo nchi ya dubai lakin nipo makin sana kufatilia mungu akusimamie raisi wangu naipenda nchi yangu na sito achakuipenda mungu akutie nguvu mheshimiwa magufuli
@sabinajohn8375
@sabinajohn8375 7 жыл бұрын
safi sana mweheshimiwa makufuri
@alextuza9892
@alextuza9892 4 жыл бұрын
Daaa uyu mweshimiwa namkubali aisee
@ignaspius
@ignaspius 2 жыл бұрын
Baba yangu bas tuuu 😭😭😭😭😭
@ashasaleh9609
@ashasaleh9609 7 жыл бұрын
upo juu baba safi
@othmanabdallah3146
@othmanabdallah3146 5 жыл бұрын
Hakika Wewe ni Rais bora , Mola akupe Nuru utuongoze Milele ikiwezekana.
@samwelbulikanwa9383
@samwelbulikanwa9383 6 жыл бұрын
Ur too creative President
@yahyaomar7471
@yahyaomar7471 7 жыл бұрын
Good job
@sande6410
@sande6410 6 жыл бұрын
Mie hupata hamasa pindi nikimskiza mzee magufuli hongera rais -watanzania mnabahati sana.
@ghatibiganio3551
@ghatibiganio3551 7 жыл бұрын
ubarikiwe baba
@piusmutuma9842
@piusmutuma9842 6 жыл бұрын
A best president for sure but.in kenya if we get such we be the best best in Africa.all the same Tanzania haiwezi tufikia ivi karibuni.all the best
@joycesamwel1358
@joycesamwel1358 5 жыл бұрын
taalifa y'a habar
@ramadhanolunga8220
@ramadhanolunga8220 4 жыл бұрын
I like him so much
@user-ie4ml1ps2c
@user-ie4ml1ps2c 11 ай бұрын
Nakumix sana my dady😢😢😢
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Marufuku kuanzia leo kuuza sare za Jeshi. Ila kama ni kampuni upewe tenda na aapishwe kwani hela yetu tupewe watanzania ibaki humu humu.
@patrickplatnumz559
@patrickplatnumz559 6 жыл бұрын
mungu akulinde
@IbrahimSaiya-ib2ti
@IbrahimSaiya-ib2ti 11 ай бұрын
Safi kwema
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 11 ай бұрын
Cpl wa jw anasomea vita hasa ya section kwenye vita , ndio maana anaitwa section commander. Hao wengine wanasomea nn?
@hambalgullam8178
@hambalgullam8178 4 жыл бұрын
Good
@kenmusembi4565
@kenmusembi4565 6 жыл бұрын
Nice leadership from President John Pombe magufuli.
@khamisshariff6600
@khamisshariff6600 6 жыл бұрын
vizuri snaa muheshimiwa
@emmyraphael6745
@emmyraphael6745 4 жыл бұрын
Baba njoo Arusha wanazingua bado hukuu
@chururuz9700
@chururuz9700 7 жыл бұрын
This generation hates truth Huyu ndiye the sent one Mungu amuchunge I love you Mr president. God bless you and may He continue to fill you with His wisdom, guidance and protection. My wish is for rest of so called african leaders to grasp and learn from his leadership.
@richardnyalinga134
@richardnyalinga134 Жыл бұрын
Rest in paradise Mwamba geu!
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 4 ай бұрын
R.I.P BABA😭😭😭😭😭😭😭
@chumamihambo8060
@chumamihambo8060 4 жыл бұрын
Big up mkuu
@josephmathias9849
@josephmathias9849 Жыл бұрын
Kufundisha mikakati ufuatiliaji kwa viongozi hasa serikalini ni maendeleo
@garvingilbertkamanda3744
@garvingilbertkamanda3744 3 жыл бұрын
Great leader.RIP
@erastoandreas9926
@erastoandreas9926 Жыл бұрын
Mu
@delphinayesdickson4075
@delphinayesdickson4075 4 жыл бұрын
UK sawa Rais wangu
@allybombaoman8894
@allybombaoman8894 6 жыл бұрын
Safi sana mkuuu
@alexjonsoni6868
@alexjonsoni6868 4 жыл бұрын
Yani mm nilifanya kosa kubwa sana kura yangu kumpa Lowasa arafu nimeacha kiongozi muadilifu kama uyu ila uchaguzi ujao kura yangu sipepesi macho nampa Anko Magu warahi
@gordenmhambule8094
@gordenmhambule8094 5 жыл бұрын
Hongera Sana JPM
@juliuslialo4048
@juliuslialo4048 Жыл бұрын
No. On
@mboyajackson4574
@mboyajackson4574 7 жыл бұрын
Commissioner General wa magereza alijihuzuru, baada ya hii surprise visit. That tells a lot.
@kirugaratv284
@kirugaratv284 Жыл бұрын
Memorable
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Siasa za kinafiki!! Jwtz form six tu abapewa nyota lain magereza watu wana degree zao hakuna kitu!!!! UNAFIKi!!!
@nwntz
@nwntz 7 жыл бұрын
eti nimekubali afande!!!!
@fanuelywilliam9740
@fanuelywilliam9740 7 жыл бұрын
Vizur sana jpm
@mapesamie4125
@mapesamie4125 7 жыл бұрын
gd job
@yassinsuleiman8423
@yassinsuleiman8423 4 жыл бұрын
Mapesa Mie safii
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 7 ай бұрын
😢😢😢
@hasheembaadae4478
@hasheembaadae4478 Жыл бұрын
Keep rest in peace 🕊️ president
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 54 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 55 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 59 МЛН
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA ALHAJI DANGOTE
8:16
Adam Gille
Рет қаралды 127 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 54 МЛН