RAIS SAMIA LEO KATOA YA MOYONI - "MNAJIVUA NGUO, UTAJIRI wa MAUMBILE, HAMUANDIKI HAYO"

  Рет қаралды 36,220

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

RAIS SAMIA LEO KATOA YA MOYONI - "MNAJIVUA NGUO, UTAJIRI wa MAUMBILE, HAMUANDIKI HAYO"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 96
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Ай бұрын
Mungu Atusaidie Ahsante Mama. Ukiona mkwe anakutukana ujue mwanao kasanabisha. Hatujilindi hatusimamii, hatutulii tuone la kulitoa, kulifanya. hata kama itatughalimu. Kesho na kizazi chetu ni muhimu sana sana Maombi yangu Kwa Mungu. Tukubali kutunza heshima ya Mungu na watu. Mungu Afurahie uwepo wetu asije akazidisha ghadhabu. Ahsante Raisi Bigup kekemea na kushauri mama Mfurajishe Mungu Akusikie tutapona Mengi MUNGU Ibariki Tanzania.Bariki Africa Tusamehe. Turehemu.
@dullahmudy2255
@dullahmudy2255 2 жыл бұрын
Nchi hii ni tajiri Ubaya hakuna viongoz wenye uchungu na nchi hii,uzalendo,uamiifu,usimamizi mzuri wa miradi,wakweli wa ahadi,kuridhika na mishahara wanayopewa,wasomi wa kweli wenye uwezo wa kubuni njia za kupandisha uchumi,umoja na mapenzi ya nchi, Magufuli alionesha njia ya mafanikio haijalishi kama alikuwa na mengne chini ya kapeti.
@chrisdouglas8462
@chrisdouglas8462 2 жыл бұрын
Facts
@homeboy2307
@homeboy2307 2 жыл бұрын
Mnaacha kumwambia vitu vimepanda bei mnacheka ujinga
@kelvinmasila528
@kelvinmasila528 2 жыл бұрын
Ata kenya hali ni iyo,,,I think it's a worldwide situation
@ndongeyejackobo4059
@ndongeyejackobo4059 2 жыл бұрын
Excellent keep it up, yakitekelezwa hayo binafs nafs yangu itastarehe sana
@htx1873
@htx1873 2 жыл бұрын
Tumeamka na kichambo cha mama …. Lol 😂 Twende kaziiiii
@atugolawrence5533
@atugolawrence5533 2 жыл бұрын
Nchi tajiri inakuwa hivi wacha uongo watu wana hali ngumu we unatueleza mambo ambayo hayapo kabisa
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 Жыл бұрын
Wewe laurenc mjinga kasome lugha yako mama amesema nchi tajiri ina kila kitu lkn wewe mbumbumbu nenda kajiunge na mashoga wenzako
@jumamwete1600
@jumamwete1600 2 жыл бұрын
Mashaa Allah
@yakaramayaka1456
@yakaramayaka1456 2 жыл бұрын
Na utajiri wa kukopa mama😁
@issmuking3987
@issmuking3987 2 жыл бұрын
nyie hamna shukran tu sijui hata mtu afanye kitu gani au kwa sababu ni mzanzibar acheni mila potofu
@yakaramayaka1456
@yakaramayaka1456 2 жыл бұрын
@@issmuking3987 sikulalamika, nasifia nchi yangu na utajiri wake
@ennyngalawa2809
@ennyngalawa2809 2 жыл бұрын
Huyu mama huyu sijui kafanyeje??Duh
@Missionary_work
@Missionary_work 2 жыл бұрын
Sasa hapo Nini chakushangilia Ndugu zangu, muombeni Mama gharama za Maisha zishuke angalau, tunaumia huku.
@birianination7097
@birianination7097 2 жыл бұрын
As media, jifunze kuichambua na kuitambua habari. Plus fanya research yakutosha kabla huja weka maoni yako. Kwamfano bei ya vitu kupanda kutokana na bei ya mafuta kupanada. Je ni Tatizo la Tanzania peke yake au Tatizo kote duniani, je ni swala lakutatuliwa na nchi au umoja wa mataifa.
@Missionary_work
@Missionary_work 2 жыл бұрын
@@birianination7097 Mimi sizungumzii Mafuta tu. Acheni siasa kwenye Maisha ya Watu. Tumesomesha vijana wetu kwa mamilioni ya pesa ajabu ajira hakuna basi angalau wafanye umachinga napo wanavurugwa. Tuna hasira Sana. Acha ushabiki.
@birianination7097
@birianination7097 2 жыл бұрын
@@Missionary_work sawa tuache ushabiki, watu hawaja pata hajira toka 2017 hatimaye sasa tumepata ajira 37000 mpaka sasa ndani ya mwaka mmoja wa utawala mpya, Kama msomi hivi soko la karume ni fireproof na je ni salaama endapo ajali ya moto ikitokea mbali na yote je ni salama kufanya biashara kando ya barabara. Hivi bei ya mafuta ikipanda vitu vingine hushuka.
@saidimohamedimgotomgoto979
@saidimohamedimgotomgoto979 2 жыл бұрын
Utajili wote bado tunakupa
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Mgejua nyie viongozi ndio mnafanya tujiskie aibu kutangaza hivyo vitu, what is the use of having resources that don't have any impact to individua and society economic life improvement
@MBULINYINGI1
@MBULINYINGI1 2 жыл бұрын
It's truly what you said, mbona wao hawaishi kukimbilia mikopo? hali kumbe wanajua kuna resources nyingi tu nchi inaweza kujisogeza. Wanafiki tu hao tushawazoea kwa sasa na taarabu zao.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
@@MBULINYINGI1 na wao wenye dhamana kubwa sana yaku ibadilisha hii nchi , wanatunga sera na Sheria za hizi rasilimali na wao ndo wanao zigawa
@ananoel9530
@ananoel9530 2 жыл бұрын
Mbona uchumi wetu uko chini sana
@fridageorge2809
@fridageorge2809 2 жыл бұрын
Watanzani tuache ujinga Maumbile aliyomaanisha sio mnavyofikiria ninyi! Maumbile ya nchi acheni ujinga!
@MyName-wd8cp
@MyName-wd8cp 2 жыл бұрын
Kuna watu wa hovyo kwel yaan vtu vyakijinga wanapiga makofi!
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 2 жыл бұрын
Mjinga ni asiye elewa
@MyName-wd8cp
@MyName-wd8cp 2 жыл бұрын
@@yousuphnzira3209 wewe upo kundi gan?
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 2 жыл бұрын
@@MyName-wd8cp Nipo kwenye kundi la kushauri na kuipenda nchi yangu kuliko kutukana haitusaidii
@MyName-wd8cp
@MyName-wd8cp 2 жыл бұрын
@@yousuphnzira3209 No one has to hate his cantre. But it happens people hate to heal the ruling Cantre! Na kuhusu wew That's your decisions sababu everybody has the freedom to choose.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Uongozi kazi....kweli.... Éee Mwenyezi Mungu watie Hekma viongozi wetu
@WaziriBendera-qc6cb
@WaziriBendera-qc6cb 6 ай бұрын
Hio imeenda sema mama .
@devicemussali5510
@devicemussali5510 2 жыл бұрын
Yakuongea yapo mengi sasa sijui unaongea nini
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
isikilize hotuba yake yote wewe mpuuzi
@devicemussali5510
@devicemussali5510 2 жыл бұрын
@@ahz6907 na kwako pia
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Жыл бұрын
Mama hao waandishi wa Habari ndio wa kwanza kupotosha maadili , kwanza habari zao utakuta habarii insema hivi ukiingia ndani zero , Waziri Yuko kisiasa tu Hana jipya
@tamrikznz7583
@tamrikznz7583 2 жыл бұрын
MAMBO MENGI ILA FAIDA NIKWENUTU VIONGOZI ,NASIYO SISI RAIYA WACHINI WANYONGE..
@issmuking3987
@issmuking3987 2 жыл бұрын
una uhakika na maneno yako
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Wanyarwanda wao wametupita! Wanajivunia kilicho chao... Wanakuza kilicho chao... Check Media zao, nendeni kwenye KZfaq channels zao, utaona namna wanaipamba Nchi yao... Sisi tunajivua ng'uo tu kwa unyonge wetu wa kifikra!
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 2 жыл бұрын
nchi ni nzuri sana Mama yetu mh raisi wetu ila viongozi tuliyonao badhii ndio wanafanya nchi ionekane mbaya mfano police wanarohoo mbaya sana
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 2 жыл бұрын
Kazi ipo
@damianjacobsulley6794
@damianjacobsulley6794 2 жыл бұрын
Tuliipenda wenyewe wachawaisome nambaeee
@elizabethfaustine5299
@elizabethfaustine5299 2 жыл бұрын
Utajiri wa maumbile duh huyu bibi mbona anaongea kama muimba taarabu
@luluamin1388
@luluamin1388 2 жыл бұрын
Jifunze lugha upate kumuelewa uzuri.
@elizabethfaustine5299
@elizabethfaustine5299 2 жыл бұрын
@@luluamin1388 kaongea lugha gani ambayo cjakuelewa? Basi nifundishe nielewe mwalimu kashasha
@luluamin1388
@luluamin1388 2 жыл бұрын
@@elizabethfaustine5299 jifunze kiswahili.
@elizabethfaustine5299
@elizabethfaustine5299 2 жыл бұрын
@@luluamin1388 Ndo nahitaji wew unifundishe mwalimu kashasha
@salcle9702
@salcle9702 2 жыл бұрын
✌hoyeee
@kavoomshana7289
@kavoomshana7289 2 жыл бұрын
😀😀😀❤️❤️
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 2 жыл бұрын
Ni kweli mama kwa hli nimekusomaa,watu waelimishwe utajili tulionao
@monicacharles3750
@monicacharles3750 2 жыл бұрын
Mtu ni mtu tu Kila mmoja ana fikra zake inavompelekea ksema
@frenkifrenki4775
@frenkifrenki4775 2 жыл бұрын
Up saii sisi watanzania upande mwingine tupo ovyo kabila
@Jafarikarimumasud
@Jafarikarimumasud Ай бұрын
Matumizi mabaya ya kimtandao kiukweli mama angu ni changamoto na ninahisi waziri nape ana pasent yake huko ndo mana sioni akilikemea jambo hilo
@rabsonissa9983
@rabsonissa9983 2 жыл бұрын
Mbona mnakiri kuwa tumasikini?
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
Unalolote wewe kawakumbatie wamarekani na waingereza
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Rwanda wanajiandaa kupokea Mkutamo Mkuu wa Nchi za Commonwealth hivi karibuni... Hili ni Jambo kubwa sana ulimwenguni, na ni heshima kubwa... Watz tukomboe fikra, hatuwezi kuishi kama Kisiwa... Wengine wanatupita kwenye diplomasia!
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 wewe Tanzania kwanza kutoka mkutano utakusaidia Nini maendereo ya watanzania masikini wanateseka ATA Kipindi cha JPM nilikua kinaunafuu mkubwa kuliko sasa
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816huyu Bibi atufai Anaongea ushoga tu anajichekesha sikiliza hutuba zake zakikekike tu mapenzi
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
@@mzeesuliman3158 Ulitaka aongee nini kwa mfano!!! Nini hasa 'critic' yako kwenye hiki anachokiongea sasa?!
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Inaonekana ww hujui COMMONWEALTH ni kitu gani na uzito wake, ndio maana unaichukulia poa! The powerful men and women of this World will meet in Rwanda (Kings, Princes, Presidents etc, Wakubwa wa dunia hii kutoka 54 States, former British Empire) Kama sio business ni nini?! Kama sio economic decisions na political influence ni nini?! Rwanda wanaelekea kuwa developing country wakishilikiana na dunia, wakati sisi Tz tunang'ang'ania kujitenga! Pekee yetu, hatuwezi kufika popote pale ! Jamaani, tujifunze kusoma nyakati, hizi ni zama za GLOBALIZATION !
@ennyngalawa2809
@ennyngalawa2809 2 жыл бұрын
Leo mama umejua kunichekesha,eti huyu mama huyuuuu,we kiboko
@juliusisack4090
@juliusisack4090 2 жыл бұрын
Mkipost video zenu someni comment watu wanahali mbaya tunazidi kurudi nyumba hatua kumii.... JPM alipotuacha na tulipo Sasa hivi hata yeye huko alikoo najua anatuonea huruma....Ukwel ni kwamba JPM alikua Kama Mussa alikuja kwa Ajili ya Wana wa Israel (watanzania) Lakini Alikua na maadui wengi Sana Sana dus Y hakukaa Sana baada ya kua Raisi....Kuna Mambo watanzania wanaona na wanajua ilaa watasemea wapi...
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
Wewe jiuzuru unasay unaongea upumbavu tu
@issmuking3987
@issmuking3987 2 жыл бұрын
njoo ww uongoze nchi unafiki nchi ni majungu yenu tu
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
@@issmuking3987 JPM kapandisha uchumi YEYE kashusha uchumi Mpumbavu kweli uyu bibi
@azruntravel4306
@azruntravel4306 2 жыл бұрын
Hebu angalia dhamira isemwayo ujifunze, ttzo huna akili ya kufikiri
@baracknyerembe2192
@baracknyerembe2192 2 жыл бұрын
Unajua tuna utajili mwingi ila mikopo haaishi. Boya ww
@bahatikitete7873
@bahatikitete7873 2 жыл бұрын
Boya wewe na baba ako
@Khmediy3241
@Khmediy3241 2 жыл бұрын
Boya mamake
@htx1873
@htx1873 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂boyaaa nimechekaaaaaaaaaa eti boya wewe lol 😂
@htx1873
@htx1873 2 жыл бұрын
Kukopa harusi babu weeeee kulipa mtalipa nyie na vizazi vyenu shwain 😂😂😂😂😂😂😂😂☝️
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 жыл бұрын
Sasa unafikiri utakopesheka bila ya kuwa tajiri,,,wanokopeshwa wote na ukiona unakubaliwa kukopwa wewe ni tajiri!!
@cassyrex2023
@cassyrex2023 2 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌mama Samia oye!! Tujivunie kilicho chetu, utu wetu, hali ya hewa yetu...... wala tusijikosee heshima👍👍👍🇹🇿☑️
@atugolawrence5533
@atugolawrence5533 2 жыл бұрын
Kuna watanzania vichaa
@erickgadson1617
@erickgadson1617 2 жыл бұрын
Nikweli lakini bahati mbaya hakumbuki alicho KISEma
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 2 жыл бұрын
Madam president kwanini unazunguka kwa wazungu kuomba misaada wakati unajua hivi!!!
@anitasita6299
@anitasita6299 2 жыл бұрын
Ukosefu wa akili
@marijanimohamed8875
@marijanimohamed8875 Жыл бұрын
mbona mikopo mingi na nukuu tuna ibiwa madini utazani hatuna ubongo wanasomba wanachimba
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 жыл бұрын
Huyu mama kwa bahati mbaya huwa hakumbuki anachokisema
@issmuking3987
@issmuking3987 2 жыл бұрын
ww unakumbuka unachokisema
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 2 жыл бұрын
Kweli anayoyafanya na anayoyasema hayakumbuki anatakiwa akafanyiwe mafunzo maalum
@azruntravel4306
@azruntravel4306 2 жыл бұрын
Ttzo roho zenu zina chuki na hilo haliwezi kutibu kutu zilizomo iko siku mtaelewa
@kwisa4899
@kwisa4899 2 жыл бұрын
Kila mtu analalama
@sautikuu212
@sautikuu212 2 жыл бұрын
Tunakosa VIONGOZI.
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 2 жыл бұрын
Anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa 🤣🤣
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Nchi hii da ah hatutofika popote
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
ndo akili yako ilipofikia hapo?
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
@@ahz6907 kwa akili za viongozi wetu watanzania ni kama tume laaniwa 😂😂 yani mimi cha msingi niwe nakula na kunya bas ila maendeleo ya jamii ya Watanzania hakuna
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
Jiuzuru wewe hiyo ndio hutuba gani aina ATA rutuba
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Hujalazimishwa kusikiliza, brother !!! 😆😆 Ila anaongea kitu kizuri! Tusijishushie heshima! Tukayatangaze mazuri yetu!
@azruntravel4306
@azruntravel4306 2 жыл бұрын
Wewe mzee lkn hujapevuka uoni iko siku utaelewa
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,4 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 16 МЛН
Mtoto wa Rais Samia amkosha mama yake katika uzinduzi wa MIF
8:42
EastAfricaTV
Рет қаралды 154 М.
The story Book: Lumumba Shujaa Aliyetolewa Kafara
25:41
Wasafi Media
Рет қаралды 474 М.
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 19 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,4 МЛН