RAMANI YA UBAYA [Bishop Josephat Gwajima] 04.07.2021

  Рет қаралды 43,594

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

3 жыл бұрын

We are live

Пікірлер: 112
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 3 жыл бұрын
Nafuta ramani ya ubaya dhidi yangu kwa jina la Yesu, imeandikwa mabaya hayatanipata Mimi.......
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 3 жыл бұрын
Naifuta ramani ya ubaya iliyochorwa kwenye maisha yangu na ya familia kwa damu ya Yesu Kristo. Naigeuza michoro hiyo iwapate wao na familia zao. Nitakuwa na afya kuliko wakati wowote kwa jina. Nina afya, nina afya, nina afya, nina afya, nina afya na familia yangu kuliko wakati wowote. Kwa jina Yesu.
@theogeneninkabandi1948
@theogeneninkabandi1948 3 жыл бұрын
Nafuta michoro ya ubaya Kwa maicha yangu na familia yangu Kwa jina la Yesu Kristo. Niko Rwanda ninawapenda sana
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Amina nafuta ramani ya ubaya katika maisha yangu kwa jina la Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu......ila siku hizi umepotaa sana umekuwa wajuma pili tu 🙏🙏🙏🙏🙏
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 Жыл бұрын
Nafuta Ramani zooooooooooote juuu ya maisha na Familia yangu kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai
@user-uy9pc4qz7u
@user-uy9pc4qz7u Жыл бұрын
Michoro ime shandararabobosayaa❤❤❤❤
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
Naifuta michoro yote ya ubaya!!! Kwangu na ndugu zangu na taifa langu kwa damu ya YESU
@rehemamwakinyaka3167
@rehemamwakinyaka3167 3 жыл бұрын
Mijengo yakichawi na milango ya kichawi michoro ya kichawi na ramani walionicholea mm na familia yangu nifuta kwa damu ya Yesu na ninabomoa majengo yote kwjina la Yesu Kristi mwana wa Mungu Alie hai ameni
@joabyared2436
@joabyared2436 3 жыл бұрын
Naipigixha kona Raman ya ubaya kwa jina LA yesu
@edwinonsombi
@edwinonsombi 2 жыл бұрын
Amen,Asante kwa neno la Mungu.
@PendoSamson-rr8uy
@PendoSamson-rr8uy Жыл бұрын
Ramani zote za ubaya teketea Kwa moto wa Mungu
@jossyngumbi1916
@jossyngumbi1916 3 жыл бұрын
Ramana ya ubaya iliochoro juu ya maisha yangu na familia yako niufuta kwa damu ya yesu kristo nimepokea afya kwa damu ya yesu kristo Halellujah Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana.
@mary.matullu8279
@mary.matullu8279 3 жыл бұрын
Michoro ya ubaya teketea kwa jina la Yesu
@dr.jombajomba3838
@dr.jombajomba3838 3 жыл бұрын
Watching this from Mombasa Port Control. Man of God Gwajima you're a blessing to many
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Bwana awajuwa waliyo wake
@pstivolaugustino3701
@pstivolaugustino3701 3 жыл бұрын
Nafuta ramani za ubaya juu ya familia yangu kwa Jina LA Yesu
@pendosamson7202
@pendosamson7202 2 жыл бұрын
Amen amen
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 3 жыл бұрын
Kila wachora ramani mbaya kwenye maisha yangu na mchumba wangu wanaotutenezea mafarakano nawafuta kwa jina la YESU pia wachora ramani kwa familii yangu kwa jina la yesu nawatangazia msiba was rohoni na mwilini emeeen
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Afya yangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali watoto wangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali
@lillygeorgezz8310
@lillygeorgezz8310 3 жыл бұрын
Hallelluyaaaaaaaaaaaaaa barikiwa sana Bishop gwajima mungu akutunze na akuinue zaidi nimebarikiwa kweli kabisa neno la wakati na majira haya nimeshukuru👏👏👏
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen watu wasiyofanya wote kwenye Maisha yangu nawafutilia mbali kwa jina la Yesu
@collinsshadrack6011
@collinsshadrack6011 3 жыл бұрын
Nabomoa ramani ya ubaya juu yangu na wanangu na familia yangu kwa jina la Yesu Kristo.
@hacimanaclaude5401
@hacimanaclaude5401 3 жыл бұрын
Dr. Gwajima ,hongela kwa mafundisho yako ,Mungu akuongezee hekima
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Natoroka kwenye ubaya wote uliyonenwa juu yangu kwa jina la Yesu
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Namwombea Sana Rais wetu Mungu ampe macho ya kuona na busara ya kugundua michoro mibaya ya wanafiki wa serikali yake. Watu hawa wana mchoro wa kutaka afute viongozi wazuri aliokuwa nao awamu ya tano wateule WA Magufuri wampe watu wao ili watimize nia yao mbaya ya kupora uchumi WA Nchi yetu.Serikali ikipwaya wapate kumdhihaki.
@sarahmwasyoge1830
@sarahmwasyoge1830 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeen Yeeeeeeeeesuuuuuu Juuuuuu never down aririririiii this was meant for Me. May the grace of the Lord Jesus and mercy of God our father be upon you and your family and the church at large at ufufuo na uzima
@emmanuelmwakyoma5746
@emmanuelmwakyoma5746 2 жыл бұрын
Ameeeeen ya saba Mara sabini
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Nina Futa michoro yote niliyochorewa Mimi watoto wangu wazazi wangu wadogo zangu na watoto wa wadogo zangu ukoo wa Baba na ukoo wa Mama kwa jina la Yesu Kristo
@sesiliamwakalinga2239
@sesiliamwakalinga2239 3 жыл бұрын
Amen, I receive in Jesus name
@frolacharles6788
@frolacharles6788 3 жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu
@modestajoshua7497
@modestajoshua7497 3 жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU
@mary.matullu8279
@mary.matullu8279 3 жыл бұрын
Huu ujumbe nimeusikiliza zaidi ya mara tano Its wow!
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Naigeuza michoro Yao yote wariyochora juu yangu na Familiya yangu kwa jina la Yesu
@margaretelkanah2038
@margaretelkanah2038 3 жыл бұрын
Yaani wewe ni kuhani mkamilifu mbele za Mungu. Nitapenda ukija kugombea uraisi wa Saba TZ, na utashinda, ameni.
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Bwana apishe mbali akigombea urais watamuua km magufuli bora akaye tu hivo hivo
@JustinJohn-ss4qe
@JustinJohn-ss4qe 7 ай бұрын
Amina kubwa.
@adongotina5289
@adongotina5289 3 жыл бұрын
Amen this is what happened to me in Oman this is way Iam suffering up to today
@carolinemkuwele7845
@carolinemkuwele7845 3 жыл бұрын
Ninakuelewa saaana Askofu.!!
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Adui zangu wababwe Live kwa jina la Yesu
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏Nina Afya na Familiya yangu kuliko wakati wowote hapa duniani
@binamasamweli9878
@binamasamweli9878 3 жыл бұрын
Kwel mtumish ulichoongea ni sahii Mungu atuepushie na wanaotucholea raman za ubaya
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen Baba
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Leo Mwanaume yoyote asiyefaa kwenye Maisha yangu nafutilia mbali kwa jina la Yesu
@akwilinatopisto7028
@akwilinatopisto7028 3 жыл бұрын
Naikimbia michoro ya ubaya kwa jina la YESU
@danielndalangavye2469
@danielndalangavye2469 3 жыл бұрын
Amina
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Uishi milele mtumishi wa Mungu maana wewe ni jasusa la mbinguni 🔥🔥🔥🔥🔥
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Mungu ashukuriwe Kwa uwezo mkubwa aliokupatia. Natamani wakati nikiwa Bible School ningekutana na mkufunzi Kama wewe.Wenye vyuo vya Biblia wangekutumia kuandaa Watumishi,tungekuwa na watenda kazi bora kabisa. Pia vyuo vikuu vingekutumia ungesaidia Sana vijana Wetu kuboresha ufahamu wao katika Maisha yao chuoni, na baada yake.
@annmbatha8021
@annmbatha8021 3 жыл бұрын
Amen..may the name of lord be praised..I witness this..Anne nrb Kenya
@edmundmbele4307
@edmundmbele4307 3 жыл бұрын
AMEN AMEN
@akwilinatopisto7028
@akwilinatopisto7028 3 жыл бұрын
Simba wa awalambe wote walichora Raman ya ubaya kwajina la YESU
@hbdina
@hbdina 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️Asante Sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Nawakusanya wasiyofaa kwenye Maisha yangu wote nawatupa kwenye shimo la moto watengetee kabisa
@pauloteleja7548
@pauloteleja7548 3 жыл бұрын
Nitakuwa na afya mm na family yang kwajiina la yesu
@JustinJohn-ss4qe
@JustinJohn-ss4qe 7 ай бұрын
❤❤❤
@angelkimaro7562
@angelkimaro7562 3 жыл бұрын
Ninafuta ramani ya ubaya kwenye maisha yangu
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ramani ya ubaya
@happynesnajiunganishakweny9877
@happynesnajiunganishakweny9877 3 жыл бұрын
Ansate ngwajima Wang Hilo kweli
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Napokea Afya kwa jina la Yesu
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameen yaliyo tokea kwangu kwa watoto wangu Familiya yangu basi
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Hahaha Walijuwa kuna promotion na kuapa 😂😂😂😂😂, kumbe ni kutumbuliwa vibaya. Ubarikiwe Mzee.
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Afya kwa Wazazi wangu Afya a kwa wadogo zangu Afya kwa watoto wa wadogo zangu
@mdbosco1640
@mdbosco1640 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameen
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Watoto wangu wapokee Afya kwa jina la Yesu
@aloycesimon8351
@aloycesimon8351 3 жыл бұрын
Amen amen amen.
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Wachora Raman mbaya juu yangu, ubaya huo uwatafune wao wenyewe kama kanwa ka simba,na moto.
@judyjidena3768
@judyjidena3768 3 жыл бұрын
Ameeeni🙏🙏
@bibishemayonde4406
@bibishemayonde4406 3 жыл бұрын
Kwa jina la yesu Kriston ramani yote yamabaya namichoro yenye washawi walitiyaka mumausha yangu na Family's yangu na jamaa ya kwabo Mama yangu yote na ivuta kwa damu ya Mwana kondoo wa Mungu yesu Kriston wana zareti
@sarafinasakinoi4075
@sarafinasakinoi4075 3 жыл бұрын
natorokaaaaa
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Wakristo wa kwagwajima mnabahati sn wenzenu tunataman tuipate hiyo bahati lkn wap mmefurika hekaru linapenza sn lkn cha kushangaza wakat wa mahubiri mnaonekana mnamuelewa sn Askofu na kwa vile anatumia muda mrefu wa mafundisho mnaanza kudhoofu anapowaamsha na wimbo ili mchangamke mrudi kwenye mudi wanaoitikia ama kuimba nisehemu tu kdg ya washiriki bwana ebu badirikeni
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Sabaya naye amesimamishiwa mashahidi wawili wasiofaa.😭😭😭 Amecholewa lamani 😏😏
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Hata kama huwa sifatilii kwa wakati ila huwa napokea kitu kikubwa Sana
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Nikiwa uwarabuni Abu dhabi
@pauloteleja7548
@pauloteleja7548 3 жыл бұрын
Aminaa
@aminalimu5150
@aminalimu5150 3 жыл бұрын
Amen 🙏
@hellenmarandu1787
@hellenmarandu1787 3 жыл бұрын
Amen
@shirimaoliva7695
@shirimaoliva7695 3 жыл бұрын
Barikiwaa mtumishii
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameen🙌🙌
@evagumbo6731
@evagumbo6731 3 жыл бұрын
Ameen Ameeeeen 👏👏👏👏👏👏👏🙏
@itugarehema1986
@itugarehema1986 3 жыл бұрын
Afyaaaa Afyaaa Afyaaa
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen
@theologyclass9209
@theologyclass9209 3 жыл бұрын
Live long my dady
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Pomoweni mbaka msingi
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Ameeen Haleluyaaaa🙌🙌
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
ameeen
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Misingi ya ukuu wa ulimwengu umevuliwa nguo
@akwilinatopisto7028
@akwilinatopisto7028 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeen
@stephenguga1034
@stephenguga1034 3 жыл бұрын
👑🙏🙌🙌🙌🙌💉🌋
@hacimanaclaude5401
@hacimanaclaude5401 3 жыл бұрын
Ukiwa hutojali naomba nambari yako ya mawasiliano, Asante!
@reliantslusajo7643
@reliantslusajo7643 3 жыл бұрын
🙏
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Sehem ileile
@josephjulio6112
@josephjulio6112 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@tegetatown2805
@tegetatown2805 3 жыл бұрын
Safiiii Bro.
@moniquebankibigwira866
@moniquebankibigwira866 3 жыл бұрын
Some zuri
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Duh, Nafasi zilibaki kibao🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️😂
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Sasa hivi ni mwendo wa simba, I see how Lion walivyowameza
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Haleluya aaaa
@damianchausi4729
@damianchausi4729 3 жыл бұрын
Ninafuta kila ramani juu ya maixha yangu juu ya familia yangu katika ulimwengu wa roho ninafuta kwa damu ya yesu
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
usitamani cha watu kina historia
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
Afyaaaaaaaa
@berthaayubu7843
@berthaayubu7843 3 жыл бұрын
Nafuta ramani ya ubaya juu yangu nawafyekelea mbali kwa jina la Yesu kristu
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 3 жыл бұрын
Mungu akumbuke machozi ya wajane, na mayatima na msikini waliosaidiwa na Magufuri, waliotandika nguo zao na matawi ya Miti, wakizimia kwa huzuni na maombolezo makuu, Machozi yao yasipotee bure Mungu amlipie Magufuri kisasi.iwe Amini na Kweli
@sweetluc2660
@sweetluc2660 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wanawake tuna Maneno
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
pisha mbali
@happynesnajiunganishakweny9877
@happynesnajiunganishakweny9877 3 жыл бұрын
Jamani t mungu atusaidie t
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
@@happynesnajiunganishakweny9877 kabisa Mungu atusaidie
@wilsonsimangwa8238
@wilsonsimangwa8238 3 жыл бұрын
Amina
@eliaabethlyd5568
@eliaabethlyd5568 3 жыл бұрын
Amen
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 3 жыл бұрын
Amen 🙏
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Amen
KUVUNJA LAANA YA UDONGO PART 1/5 - Bishop Dr Josephat Gwajima
46:21
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 37 М.
ASIJE AKAPATA KUKUSHINDA: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: MOSHI DAY SEVEN: 18.01.2020
1:35:09
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 17 М.
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 4,4 МЛН
Askofu Gwajima alivyotembelea Clouds Media Group leo
20:09
Millard Ayo
Рет қаралды 286 М.
MIFUMO YA ULIMWENGU | 29.08.2021 | BISHOP GWAJIMA
1:50:09
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 198 М.
tumelogwa Bishop Gwajima
5:05
UZIMA TV
Рет қаралды 1,2 М.
ASIKOFU DICKSON AKIHUDUMU KWENYE MADHABAU YA BABA YAKE BISHOP JOSEPHAT GWAJIMA
38:11
Pastor Dickson Kabigumila
Рет қаралды 2,1 М.
MAWE MATANO YA DAUDI Rabbi Abshalom Longan MAKWALE KYELA
1:08:11
Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Рет қаралды 3,2 М.
Low frequence & High frequence  ll Bishop Dr  Josephat Gwajima 03 Nov 2022
2:40:18
UFUFUO NA UZIMA - DODOMA
Рет қаралды 10 М.
MAOMBI YA KUVUNJA VIFUNGO VYA KISHETANI Ep 3/5 - Bishop Dr Gwajima
1:01:20
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 40 М.
GWAJIMA | "MIMI NIKIONGEA JAMBO NAWEZA KUBADILI UPEPO SASA HIVI" MOTO UMEWAKA SASA
29:01
LAANA YA UKOO: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: 24.01.2021
3:53:14
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 63 М.