Chalamila nilikuwa namwamini sana. Lakini baada ya kumsema vibaya JPM vibaya. Nilimumuona ni mnafiki na mchumia tumbo.
@patrickmuvendi1428 күн бұрын
Mkachifunze Rwanda machinga Wana maeneno yao wamejegewa kwa kuzungusha ukuta tu
@youngsachafurniture54827 күн бұрын
Bongo nyoso
@apolinarymboya32318 күн бұрын
Machinga waende kwenye masoko yao watoke mbele ya walipa kodi tunatoka mikowani tunakosa uhuri wa kununuwa mali
@jofreyfungo11128 күн бұрын
Chanzo Cha machinga ni Kodi kubwa.Machinga ni mtu anayeogopa kulipa Kodi na wanaodai Kodi wanabaki na watiifu wa Kodi Sasa wanazidisha kudai huku wakiogopa kudai Kwa machinga.Dawa punguza Kodi na maeneo yalioandaliwa Kwa ajili machinga kusiwe na Kodi yeyote ije Baadae nayo isiwe kubwa.
@pena_tz8 күн бұрын
mtu unaenda kkoo lakini unajikuta unapaki posta
@vincentauxerbius75548 күн бұрын
Hawa machinga wanakera mda mwingine utakuta machinga anamfata mteja hadi dukani kwako kwako kama una nyomi la wateja utakuta watano wameondokanao😅😅😅😅
@bakarikayugwa32958 күн бұрын
Machinga muwapishe wafanya biashara iri maduka Yao yaonekane mjiandae kuondoka kauli ya raisi ni Sheria
@mufaddalmoawalla85228 күн бұрын
Na wachina wote waondokee kuuza kwenye maduka kama wazawa
@user-wj6zj1ly4e8 күн бұрын
Serikali ifike sehemu ijue machinga ni yule mtaji wake chini ya m1, lkn m1.5 huyo ni mfanya biashara. Fanyeni hvyo mtakuja kunishukuru
@samyspesho16988 күн бұрын
Machinga kiukweli ni kikwazo
@mwanagwakyala32138 күн бұрын
machinga mna mtetez anayejua changamoto zenu, hongera kiongoz wa wamachinga
@Piscesblair8 күн бұрын
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ongea na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Uwanja wa Anatoglo utumike kuwandoa Machinga Kariakoo Katikati.
@user-om7vu3fn8w7 күн бұрын
una akili sana, utafika mbali
@omarybakunda25548 күн бұрын
Tatizo ni serikali machinga wanakuja wanawangalia2 mpaka inakua kerobaya zaidi hawalipi kodi na bado barabara wanaziba magari na watembea kwa miguu inakua kero
@dicksonkilupa22588 күн бұрын
HIVI MNATAKA WATU WASISHUSHE MIZIGO NA WASIUZE HILO NI SOKO AU NI UJINGA? SERIKALI TEGUENI HILO BOMU.
@SakayaG8 күн бұрын
Nadhani kuna umuhimu wa kuangalia nguvu ya mnunuzi. Mnunuzi akisimamiwa awe na risit akifanya kila manunuzi,inaweza kusaidia
@youngsachafurniture54827 күн бұрын
Nchi zinazoamini kuwa mwanasiasa ni mungu
@user-tt9bp2id5p7 күн бұрын
Acha loho mbaya
@user-sl1ko9me7u7 күн бұрын
MH. RAIS SAMIA NA VIONGOZI WAKUU WOTE NA WATENDAJI NENDENI RWANDA MKAJIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA KWA WENYE MADUKA NA MACHINGA.....MSIONE AIBU KWENDA KWA RAIS KAGAME.
@prince.eric_msemwa97328 күн бұрын
Kabla ya yote, watambulike tuu ndo mwanzo Pick up wher Magufuli left off...hapo mmoja ana haki kuliko mwengine sababu hatambuliki
@prince.eric_msemwa97328 күн бұрын
Na pia ni kweli machinga ndo wawe kipaumbele kwenye vizimba.
@user-tt9bp2id5p7 күн бұрын
Acheni usenge
@user133758 күн бұрын
😮😮😮
@msamanga22778 күн бұрын
Machinga wana bana magari yanayolipa kodi za barabara
@user-sl1ko9me7u7 күн бұрын
SERIKALI YA CCM INAWAOGOPA MACHINGA KWA SABABU ZA KISIASA.
@WilhelmPetro7 күн бұрын
Mana ya mmachinga na mtaji wa mmachinga unaishia sh ngapi
@mamlomamlo90648 күн бұрын
Matransporter pia ni kero mitaani
@SelemaniSelemani-bw4ps8 күн бұрын
Minadhani mchinga wawe na sehemu wasipange bidhaa zao mbele ya maduka ya wenzao ,!
@muhamedbashir26618 күн бұрын
Ata vyatu kariakoo dukani inauzwa 30000 na machingi wanauza 15000
@alvezog_38368 күн бұрын
Serikali Yenu Ya CCM Ndio Chanzo Kikubwa Cha Haya Yote..
@alvezog_38368 күн бұрын
Hivi zile Pesa Wanazokopaga Kutoka Nchi Za Nje zinaendaga Wapi?Barabara Za Mwendo Kasi Ya Mbagala Paka Leo Hakuna Mabasi,Wamachinga Ndio Hao Wanalalamikiwa Leo Dah Kweli Tanzania,,
@user-fl1xz3ln3c8 күн бұрын
Ila kweli ukiwa na biashara halafu mtu aje apange mbele yako inauzi
@YassinRajabu8 күн бұрын
wamachinga oyeeee 😂😂😂
@yahyahamisi20388 күн бұрын
Mchungaji chalamila hii imekaaje 😂😂😂😂
@sleymanshaffih-vj5pq8 күн бұрын
Hapo ndipo machinga wa dar watakapo mkumbuka@ Mh makonda
@user-kr9xx8br4o8 күн бұрын
MACHINGA ASIZUIYE MADUKA KUINGILIKA. HAKI IZINGATIWE. ALIYEPA GISHA DUKA ASIZUIWE MBELE YAKE NA BIASHARA YA MACHINGA.
@mufaddalmoawalla85228 күн бұрын
Mhe mkuu.wa mkoa hawa machingaa wamezibaa njia zote wakupita,masokoo nyingi zipo tupu hawataki kulipia kodi za vizibaa
@saadatiyahyashabani-yg2xy8 күн бұрын
Aache uongo huyo demu wa vyombo mpumbavu
@mufaddalmoawalla85228 күн бұрын
Walipee.kodi zote hao wamachinga ndo tutuendaa vizuri
@KaburuKimath-eu5nf8 күн бұрын
Like soko la kariakoo lililounguaga nashauri lipewe wamachinga Kwa sababu machinga ni kifutio Cha Jiji na miji
@mufaddalmoawalla85228 күн бұрын
Wanataka kila kitu buree,
@KarumeKindamba-lk1px8 күн бұрын
Wamachinga wataondoka iwapo watapata maduka ya jumla ambayo yatakuwa karibu na maeneo yao.Pili mmachinga ndio mnunuzi,muuzaji na pia ni mlaji wa bidhaa kwahiyo viongozi wa machinga hii ndio fulsa ya kutafuta wafanyabiashara ambao watawekeza maduka ya jumla iliwamachinga ktk mitaa yao watakayopangiwa wanunuewe hizo bidhaa.Nina Imani pakiwa na huduma muhimu ktk mitaa ya machinga hapatakuwa na maneno na machinga watahama wakiwa na amani.Nimatumaini yangu serikali ya ccm itapata mafanikio iwapo itaweka mazingara mazuri wamachinga kisiasa na kiuchumi.Kisiasa watapata kula na kiuchumi wamachinga watachangia Kodi.
@shabanipanya10338 күн бұрын
Jamani embu angalieni kichwa cha huyu chalamila kwa maana ya I,Q yake nyie mnae ongea nae mmemshinda uelewa kwa kiasi kikubwa na hakuna dalili ya kuleta ufumbuzi wa tatizo lolote la kitaifa kulingana na upeo wake
@mufaddalmoawalla85228 күн бұрын
Watokee barabarani
@mufaddalmoawalla85228 күн бұрын
Wee unaongea uwongo mbelee ya.mhe mkuu wa mkooa,mwongooo sana lipeni kodi hatutaingilia
@EmmanuelChrispin-bo5xh8 күн бұрын
Boss ulikua unafoka vp tena hao mabos zako mkuu
@mufaddalmoawalla85228 күн бұрын
@@EmmanuelChrispin-bo5xh kalowa mbele ya kauli ya mhe.Raisi,ndo maana si alisema ataleta polisi sasa awalete kutoa wamachinga
@jovinusmutabuzi46478 күн бұрын
Serikali ikisha mtambua mmachinga kama muuza bidhaa anaye panga mzigo wake kwenye baraza au kandokando ya barabara Hakika ningumu kutatua changamoto baina yake na mfanya biashara. Kama mmachinga ni yule anaye tembeza vitu vyake kandokando ya barabara (not stationary ni mobile) tatizo serikali italimaliza. Anaye tembeza asibughuziwe ,ambaye ni stationary ana business premises sawa na mwenye duka. Sasa huyo aonyeshe mkataba wa kupangisha eneo alikoweka mzigo,alipishwe kodi kama kawaida au kubwa kwakumzuhia mwenzake etc. Mbona naona jambo ni rahisi. Ugumu wakutekeleza wazo hili nikwamba nikipindi kibaya cha uchaguzi
@ishengomanelson8 күн бұрын
Stop being political. Be pragmatic and forthright. Acheni lugha zisizotekelezeka. Kama wanaondoka, waondokeje, lini na wapi?, period.
@pena_tz8 күн бұрын
hiyo ngumu,2025 is around the corner 🤣
@jakobongwara30388 күн бұрын
😂
@benardmwinuka69488 күн бұрын
Na ww nunua
@hamadsheni89978 күн бұрын
Machinga anaviombo vya kubeba fuso.wanajificha kupitia jina machinga.
@hoseakavubu28448 күн бұрын
Siasa na machinga ni samaki na maji
@user-ui4oh8gf8n8 күн бұрын
Machinga wanaaribu sana. Hata njia wanaziba, ni shida kwa kweli.mimi nina miaka zaidi ya mminne sijakajaga kkoo.kwa kuwa ni vurugu tupu
@yahayammbaga18398 күн бұрын
Tungependa pia ushiriki wa Wizara ya Maendeleo ya jamii, kwa kuwa ndio Wizara yenye dhamana ya kuratibu na kusimamia Machinga nchini
@barakanatus56768 күн бұрын
Wamachinga tuache hutani mnaharibu biashara za watu.
@FahadyabdallahTanzania7 күн бұрын
Yan huyo mama kama angekuwa anazunguma akiwa hapa kariakoo Asingetoka salama. Kwa sababu anazungumza upuuzi Hao watu wa maduka wanalipia kodi ya frem mwezi 200 0000 million mbili Alaf ti machinga anakuja kwa gar alaf mfanya biashara anakuja kwa mguu