UBARIKIWE SANA WAKILI SHUJAA NA JASIRI MSOMI BONIFACE MWABUKUSI 👏🏼👏🏼👏🏼
@mickgeofreyjoachim15807 күн бұрын
The man's voice in the jungle....powerful voice that brings hope to all members of TLS who are in the side of right....keep going brother u deserve to be leader indeed
@hildandumbalo58277 күн бұрын
Brother Mwabukusi wewe ni mkweli na ni mzalendo. Waambi e💪🏻💪🏻💪🏻
@hildandumbalo58277 күн бұрын
Wamejinyanyasa wenyewe una Yesu brother
@hildandumbalo58277 күн бұрын
Powerful, tuko pamoja kaka
@hamisijuma32767 күн бұрын
Mwabukusi, Mpina na Katiba Mpya mbona hapendwi???
@AliSalim-yu4mo3 күн бұрын
Kwa kweli Kwa Mwabukusi kuwa Rais wa TLS ni tatizo maana Chama hichi ni cha Watu wote wasio na vyama na wenye vyama tofauti!sasa yeye ana Marengo wa kisiasa ulio wazi,sasa Kwa hivyo anaikosesha heshima taasisi hii muhimu ya watu ni vyema hao waliomuengua kufanya hivyo!yeye aungsne na Mbowe na wanasiasa wengine watuelimishe wananchi mambo muhimu ya inchi yetu!❤🎉
@sospeterodhiambo68697 күн бұрын
Kwa kweli TLS haipo kwa ajili ya kusimamia haki Hatusikii sauti yao pale wananchi wa nchi hii wanaonewa TLS inataka akili kubwa ya watu kama huyu Mwabukusu kuinyoosha Big up Mwabukusi
@Lubango-gj3ud7 күн бұрын
Viva viva Mabukusi, unaitendea haki fani yako ya sheria. Mungu akulinde uendelee kutetea rasilimali za umma wa Taz.
@DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to7 күн бұрын
Hongera sana sana Mwanasheria mzalendo wa kweli.
@robertzingu98897 күн бұрын
Yes. Hawa ndio wanasheria tunaowataka hapa Tanganyika. Jamaa anasema, "tutazungumza kwa lugha wanayoielewa hata kwa mkono!!". This is bold and strong statement
@ceciliamagalabajimmy43917 күн бұрын
Mwabukusi ❤ you. You seem to be working as teachers!! We use our eyes, hands, legs , mouth and the whole body that's why our pupils understand better. No teacher agrees without questioning Why, when, what, which who....Am proud of you 👏 .
@serafineslaa10827 күн бұрын
Au mchakato unaendeshwa na mamluki wa serikali ndani ya tls? Huyu Mwabukusi anavyoongea hakuna kifungu alichovunja cha Sheria ya chama.
@user-oy5dz5xl8s7 күн бұрын
Nyie mtu anaposimamia haki mnakimbilia ukibaraka acheni tabia hiyo kabisa
@mathewyoung21597 күн бұрын
Tuko pamoja Sana kamanda wetu
@GabrielMwampulo-ys4nl7 күн бұрын
Ndg Mwabukusi endelea na ujasiri huo huo sisi wenye akili hatuoni kosa lako.wewe unatetea maslahi ya nchi.
@SarahAlphonce-q4e7 күн бұрын
Kaka kaza buti kweli tumechoka haki inafunikwa kwa wenye madaraka.
@dennisrwelamira12597 күн бұрын
Upewe nafasi yako. Wewe ni mpambanaji. Mara nyingi viongozi hawataki watu walionyooka.
@serafineslaa10827 күн бұрын
Hayo ni maagizo kutoka juu.
@paull86597 күн бұрын
TLS imebanwa koo ni maccmm. Pole brother Boni
@edsonkahesi86037 күн бұрын
Kabisa, na hawa ndo wanaoiharibu nchi kwa kuleta viongozi wabovu, wasiojiamini, nakuacha viongozi bora eti ni wachochezi, mara wanamkosoa rais yani kiufupi maciciem hayapendi kiongozi wakuwafumbua watanganyika macho, wanataka raia wengi waendelee kuwa mazuzu, wajinga wajinga ili watawalike vizuri..wakiona kiongozi mwenye vision wanampiga vita, kwa njia zote, kama siyo kumbakizia kesi watampa skendo mbaya ilimradi asipate nafasi ya kuongoza ili waendee kufanya yao. Mfano mzuri tuliona walivyokuwa washambambikizia tuhuma za uhaini huyu wakili, mara amevunja sheria kwa kumkosoa rais hadharani, mara unaweza sikia mhujumu uchumi, mara mkwepa kodi, yani ciciem wana uhuni mwingi kwa mwenye kuwakosoa.
@user-gx4jx4gv9l7 күн бұрын
Nakukubali sana mwambukusi tutafika tu haki huwa haipotei ila inachelewa tu.
@patrinraura13977 күн бұрын
Kwa Sisi watu wa chini tunaamini unabii wa kweli unasimama kwenye ukweli na msema kweli siku zote huchukiwa na ndiyo gharama ya Nabii. Mhe Wakili Mabukuzi Mungu atakulinda kwa kuwa unasimama kwenye haki.
@adelinelyaruu30367 күн бұрын
Haki huinua taifa
@EzekielChalomhola7 күн бұрын
Mwambukusi napenda honest Yako. Wewe ni Moja ya viongizi "Strong" katika nchi yetu. Huwa una nimotivate sana Mimi katika kusimamia uwazi na haki. Mungu akupe maisha marefu.
@chuguletheodos33427 күн бұрын
Kwa lissu alivokuwa rais wa tls hakuwa mwanasiasa wa chadema ,acheni ujinga nyinyi mnaopinga hii akili kubwa ya mwabukisi ,
@richardnganya23117 күн бұрын
Hata Lissu alikwamishwa sana Hadi alipotumia mbinu mbadala na kuwahishwa Kwa helicopter mkutanoni!!
@TegemeaFutemakatifu6 күн бұрын
Tena Alikuwa na Kesi kibao, Hawa wamemuondoa huyu Kwa malengo yao
@user-gv3bv5cu2z3 күн бұрын
Hi. Ni. Kweli. Unasema. Vizuri. Asante. Wambie. Wajijue
@eliyagikaro64267 күн бұрын
Uko sahihi!asante.
@chuguletheodos33427 күн бұрын
Tuko pamoja mwabukusi ,wewe ni big brain brother
@floraashery2247 күн бұрын
Big up sana brother,even though ukweli utasimama hata wakipinga na kukuondoa
Ubarikiwe Wakili Mwabukusi.Kwa kweli TLS wametuangusha Wa tanzania. Panahitajika mageuzi katika chombo hiki Cha Wanasheria
@alexlazoro35304 күн бұрын
Kaka mungu akusimamie tuko pamoja wewe ni mwanasheria wa haki kabisa
@ThobiasMasabire7 күн бұрын
Mungubakuongoze kaka yangu
@helencyprian87457 күн бұрын
Uko sahihi sana bro
@helencyprian87457 күн бұрын
Maagizo toka juu, nuru na giza havichangamani kaka# bandari
@fabianmahenge3017 күн бұрын
Big up to you brother Mwabukusi........
@ThomasEkama7 күн бұрын
saw saww mwambukusi
@user-jz1or4mb7q7 күн бұрын
Mungu iokoe Tanzania!
@renatusikanoni42037 күн бұрын
Brother wewe nakuelewa sana. Nakuombeaga sana kwa Baba katika jina la Yesu azidi kukulinda juu ya MAADUI.
@alexlazoro35304 күн бұрын
Mungu akubariki
@mosesmacha10807 күн бұрын
Kuna kitu kizto kinakuja kutoka mbinguni🎉🎉
@georgewambura76957 күн бұрын
I am not fear of an army of lions led by sheep, I fear of the army of sheep led by lions
@Alute-son20037 күн бұрын
Mungu akutunze zaidi kaka
@robertsulus79477 күн бұрын
Mwabukusi for president..you have my vote of confidence bro.
@user-zu8ou2oe4c7 күн бұрын
Mwabukusu mm nakukubal sana wanakuogopa ila mm nina wazo hata kama ww huna naomba lichukue kagombee ubunge mwaka kesho nilijuta sana cku nimekuona green hurt arusha unakunywa chai nikaogopa kuja japo kukulipia kikombe cha chai nakukubal sanaaaaa
@innocent910447 күн бұрын
Bro Achana na hii TLS, Gombea uraisi TLS watakutafuta wenyewe baadae.
@ndilibangokaruhawe93357 күн бұрын
Ukiwa na utimamu wa akiri huwezi kuiamini TLS
@daudigabriel98607 күн бұрын
Haki huinua Taifa 🇹🇿🇹🇿
@HassanSaburi-ge6ej7 күн бұрын
Shida inaanzia hapo kwanini tuwe na vyama viwili kwenye nchi Moja ? Mali zinazo zungumziwa ni za Tanganyika kweli umuhimu wa katiba mpya unahitajika wanasheria wetu mlitetee hili TAIFA
@user-gv3bv5cu2z3 күн бұрын
❤❤❤❤🎉
@Siha01TV3 күн бұрын
Hii nchii kila mtu ni mnafkiii mpaka mawakiliii ...mnashimdwa ku saport huyuu jamaa kweli
@ndaskoi87697 күн бұрын
Mkuu tuko pamoja na wewe mpaka waseme
@lucaschisamalo28527 күн бұрын
Ipo siku yote yataisha mambo ya ukandamizaji Kuna watu wanajiona wao tanzania ni yakwao peke yao
@dillonfoya7 күн бұрын
Wa Tanganyika tunahitaji watu wenye udhubutu kama Huyu Wakili.msomi tatizo la kujipendekeza na uoga kuwafurahisha wateuzi hii dhambi Sasa imefika mpaka kwenye Sheria tutaponea wapi kwa mtindo huu TLS mambo mengi wanayanyamazia hawapigi kelele
@DiscowKajojo-no2up7 күн бұрын
Be blessed
@manyarangemgendi49585 күн бұрын
U doing a good job brother
@zebedayokatamaduni96767 күн бұрын
Tunakuunga mkono ❤
@bonifasmashingia7 күн бұрын
Ivi Kinjekitile ngwale!.mtemi isike. Mkwawa and other freedom fighters wa Tz wakafufuka leo wakaona hii Tz ilivyo now na maovu yake !Unafikirii watawafanyia nini rulers?? Im not the fool and i cant rejoin with watu wa matumbo yao !! Instead i can work with people who have vision and volunteers and sio watu wakuagalia nini watapata kwa matumbo yao !! NATIONAL INTEREST FIRST THEN OPTIMISTIC PERSON INTERESTE LAKIN SERKALI YA SASA NI PERSONAL INTEREST FIRST THEN NDO INAKUJA LEAST BIASED IMPLEMENTATIONS OF GROUPED NATIONAL INTEREST NA SOMETIMES. NO IMPLEMENTATION ON IT !!OUR LATE FREEDOMS FIGHTER HAWAKUWA NA HII SPIRIT NA HII BAD SOUL AMBAYO MKO NAYO CCM RULERS !!THUS TUKAWA INDEPENDENT UNTIL NOW BUT CCM MNATURUDISHA *10 YA MKOLONI FEW MNATUKANDAMIZA MAJORITY WHY THIS CCM LEADERS??WE AWAITING TO DIE NOW !!PREACH AND practice right !! Tanzania ni mali ya umma na sio ya watu flani flanii!! NO QUITE AGAIN WE WILL SPEAK AND FIGHT FOR NEO CCM COLONISATION UNTIL MY LAST BREATH AND IM RAEDY FOR THAT !!IM WAITING FOR MY DUTIES AND TIME BY NOW!! TANZANIANS DONT SLEEP AGAIN BECAUSE OUR TERRITORY IS NOW BARGAINED AS BRIDE PRICE TO THE FEW FOOL NON ELITES WHILE ELITE WE ARE SEEING IT AND WE STILL SILENT !!,WE NEED HEAVILY PATRIOTIC SUPPORT AGAINST THIS SESSION OF INTERNAL LIBERATION OF OUR COUNTRY FROM FEW DECENT AND MONSTER LEADERS WHO WOUND OUR PROSPERITY AND BROKE THEM WE NEED READNESS OF ALL TANZANIAN WITHOUT ANY REGARDING CRITEA TANZANIAN ELITE AND NON ELITE TO RECONCILIATE AND START OUR EFFORTS OF OUR SECOND nationalization with our common slogan for our future better ness!!mtu msomi ambaye hasaidiii kupushi ustaw na maendeleo ya Taifa lake huyo kwangu ni foool na hafai kuitwa kiongozi wala kusimamia hata usafi wa chooni!!Watanzania wote bila kujali tofauti zetu ni time ya kulikomboa tena taifa letu kwa njia yeyote ile hata ya umwagikaji wa damu kama inawezekana!! Naona sana uchungu pale ninapooona ................hayaendi sawa pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao alafu nikiangalia naona maisha ya watu flani hivi waliopo SERIKALIN JINSI MAISHA YAO YANAVYO NAWIRI KWA KUJIPAKULIA WENYEWE HII NATIONAL CAKE YA WATANZANIA WOTE!!!IM REGRET TO BORN IN TANZANIA BUT I WILL FIGHT FOR REEL TANZANIA I WANT
@ChristianMkumbo-ix2ke6 күн бұрын
The Power of God shetani hawezi kushinda
@MuhojaMalicho6 күн бұрын
Nenda jimbon ungane chadema ili ungane na jeshi kubwa la chadema
@camilmlay30887 күн бұрын
Yuko na we rafiki yetu mpenda haki
@user-gw1df8cf2t7 күн бұрын
Chama Cha kuwafukuza wamasai
@zabronmwaipungu22127 күн бұрын
Issue: We, as Africans, must acknowledge that our failure stems from our leaders, who view their positions as hunting grounds rather than opportunities to serve their people.
@JamesFrelimo-rz8ub3 күн бұрын
Nakukubari mkuu nipo nyuma yako
@gabapentin80707 күн бұрын
🔥🔥
@nsiamasawe45787 күн бұрын
TLS ni kichochoro cha baadhi ya mawakili kunyanyasi wananchi kwa kuuza haki zao. Wanashawishi wananchi kupeleka kesi mahakamani ikifika huko wanakula upande wa pili. Hivyo mwananchi kutumika kama daraja la kuwatafutia ulaji. Mkiona meseji hii waambieni wapunguze njaa wanachafua TLS.
@atupegemwakahesya2 күн бұрын
Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.
@godfreykahabi19647 күн бұрын
Pambana wakili msomi
@user-gw1df8cf2t7 күн бұрын
Wapo wasio penda haki Kama hao wanao kubeza no ma mbwa tu
@linogodson64787 күн бұрын
Tupo pamoja mkuu
@SarahShao-jw1up7 күн бұрын
TLS inaelekea kuwa Organization ya kichawa....!!! TLS becoming USELESS 😢
@dassustephen7317 күн бұрын
Bogus organization
@husseynzooh19797 күн бұрын
✌️🔥
@helencyprian87457 күн бұрын
Tls branch ya kijani
@CharlesiPhilimoni6 күн бұрын
Kwelii kabisa
@user-mm6sm9rt9x7 күн бұрын
Kwa kazi unazozifanya wewe huna mpinzani katika uchaguzi huu. Ila kiukweli namshukuru sana Mungu kutupa Mtanganyika mhimu kama wewe. Itoshe tu kusema Asante sana Mungu kutupa mtu kama wewe. Ila Serikali na taasisi nyingine za kimaamzi zijifunze mandamano ya Kenya. IPO SIKU na sisi WATANGANYIKA tutakujafanya maamzi magumu Kwa udhalimu huu unaofanywa siku Hadi siku. WATANGANYIKA wa siku hizi siyo mambumbumbu kama ilivyokuwa zamani. We know white and black.
@user-il8wn9ko9y7 күн бұрын
sema kaka
@virendavictoria51747 күн бұрын
Yaan huyu ndio raisi wangu kama hayupo hakuna uchaguzi hatutaki ukanjanja kwenye haki za watu lazima tusimamie haki
@AlexChawe7 күн бұрын
💪💪👍
@serafineslaa10827 күн бұрын
Hawa tls tuseme wote wapo kwenye serikali? Wanasimamia Sheria au serikali na viongozi wake.
@bensonjoseph88457 күн бұрын
I stand with MWABUKUSI....
@malkavoice25706 күн бұрын
Mipango ya ccm. Tangu Rugemeleza ameachia ngazi hii TLS imebakia uchi,haina nguvu ipo ki serikali ya mapinduzi zaidi
@noellema91097 күн бұрын
Mungu akulinde ndugu
@user-sp2pp9yl8g7 күн бұрын
Hutakiwi Kahubili Dini ya Kuokoa watu
@user-bp7nb7yp2o7 күн бұрын
Kaka wamekuona wewe unakubalika na ungechukua kiti asubuhi na mapema.
@user-wl5np6sv3i7 күн бұрын
Inauma kwa kweli pambana Mungu yu pamoja nawe
@ChristianMkumbo-ix2ke6 күн бұрын
God bless MWABUKUSI
@allyfutto87637 күн бұрын
zama za utandawazi wengi tutaumbuka maana kupindiswapindishwa kutasherehekewa, Mungu ibariki.
@OscarBethel2 күн бұрын
Msema kweli hao mafisadi hawata kuachia kwasaba wanajua wewe ni mwiba kwao ukiingia TLS utwabana wanataka watu wao ndio wakae hapo
@CharlesiPhilimoni6 күн бұрын
Hoyeeeee sema kweli mwanashelia
@ThobiasMasabire7 күн бұрын
Sawasawa kabisa Mimi nilijua serikali inahusuka na kutafuta wasio na haki waongoze chama Cha Wana Shelia, hao hawafai hata kidogo kabisa katika jamii
@mashakalukinda23507 күн бұрын
Jaa Baya sana Kaka jaa zao ziko sehem zote zamwili kama vile kasa hawawezi kuwatetea raiya
@YussufPandu-es7ou7 күн бұрын
Hakika jnasikitisha zile taasisi zinazotetea haki pia zinaporwa na machaw a wa ccm,,,VIJANA WA TANZANIA LAZIMA MUAMKE ,,,muwe kama vijana wa Kenya muingie barabarani
@GodfreyMwamaso7 күн бұрын
Watan,ania hawa mashabiki wa simba na yanga wacheza kamari bodaboda vijana wa kitanzania ni waoga machawa hawawezi kuingia barabarani
@titusrobert58907 күн бұрын
Mungu atakupigania,usikate tamaa mh
@MenelusCzar6 күн бұрын
MUNGU ALIUMBA PEPO KWA WATU WEMA TUU🙏
@malindimalindimerinyo16327 күн бұрын
Hivi kweli kondoo anaweza kupata haki Kwa hakimu fisi ???kweli yaweza kupata haki Kwa hakimu dhalimu.???au malaika aweza kupata haki Kwa hakimu lusufa ....kile kinacho nifurahisha japo kidogo wameustahi uhai wako ...kazi ipo mbele...Mungu akulinde...kweli inagharama yake na kweli inauma....hao unao waona sio peke Yao...
@ezralameck41506 күн бұрын
Wasio wanasiasa ndio wakuweza kuleta ukombozi Tanzania Mungu ibarik Tz ipate viongoz kama huyu😢
@EstherMushi-d7v7 күн бұрын
Thank you role model🫡
@elickchaula8583 күн бұрын
NAKUKUBALI SANA MWAMBA IPO SIKU KILA MTU ATAKUELEWA
@bonifasmashingia7 күн бұрын
Haki haki iko wap tz no freedoms of speak and expression
@athanassimbila26037 күн бұрын
UNAYO YATETEA NI MEMA NA NI HALALI.HATQ MIMI NINAYAPENDA
@user-hj4sy9fy4g7 күн бұрын
Ni ushetani tu, Mwabukusi upo sahihi sana sana.
@ambokileasheengai11406 күн бұрын
Chombo kimoja tu kilichobaki vcha Watanganyika vingine vyote vimeporwa na Tanzania
@RabihuHussein6 күн бұрын
Nimeamini TLS ni ma mbwa wanaong'ata bila kupuliza. yani wapo kwaajili ya maslahi ya baadhi ya watu.
@ZainabuBakari-yb4vj7 күн бұрын
Kwanini wasikupe haki yako,wapiga kura ndio wangeamua.mrudisheni
@Mpakele7 күн бұрын
Vita hii ya kuikomboa nchi lazima ifikie kumwagwa DAMU. WANASHERIA, kwenye hili msituangushe. Igomeeni hiyo tume na mchakato mzima. Mkishindwa kwenye hili mtaonyesha udhaifu na TUTAWADHARAU