Рет қаралды 17,537
Ufugaji wa Kuku wa nyama unalipa pale ambapo utaamua kufuga kwa kufata kanuni za ufugaji Bora. Hii ni kwasababu kwanza Huchukua muda mfupi hadi kuuza lakini pia uhitaji wa Soko lake ni Mkubwa Sana.
Leo tupo Jijini Mwanza Ambapo tumemtembelea Christine Wabeya Ambaye yeye ni mfugaji wa kuku wa Nyama (Broiler ) Tumeweza kuzungumza nae kwa kina kufahamu na kupata maarifa ya kutosha kuhusu ufugaji huu
WASILIANA NASI KWA USAIDIZI ZAIDI
PHONE: +255764 148221 / 0679 148 221
EMAIL: RUBABAIMANI@GMAIL.COM
WEB: HTTPS://TANZANIANAKILIMO.BLOGSPOT.COM