Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300

  Рет қаралды 295,587

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

3 жыл бұрын

Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300 ‪@changamkiafursa‬
Katika mfululizo wa vipindi vyetu vya ufugaji wa kuku hapa changamkiafursa, tunahitaji kumuinua mfugaji wa kuku wa kienyeji aache kufuga kuku kwa mazoea na aanze kufuga kuku wa kienyeji kibiashara.
Ili ufuge kuku wa kienyeji kibiashara unatakiwa kuwa na makoo yasiyopungua 250 na sio rahisi kwa Wafugaji wa kuku wa kienyeji kuwa na mtaji mkubwa kiasi hicho.
Sehemu 1: • NJIA RAHISI YA KUPATA ...
Sasa ili kulikamilisha hilo mfugaji anapaswa kuwa na uwezo wa kuzalisha vifaranga wengi wa kienyeji kwa pamoja, ambavyo vitampa mfugaji hamasa ya kuweka nguvu kubwa kwenye uleaji vifaranga kitu ambacho kitachangia ongezeko kubwa la idadi ya kuku wa kienyeji na kuleta tija kibiashara.
Kufanikisha zoezi hili mfugaji anapaswa kuandaa vitu vifuatavyo:-
1. Banda bora na litakalo endana na idadi ya kuku anaohitaji kufuga.
2. Makoo na jogoo (Makoo ni kuku ambao wametaga angalau mara moja). Makoo watasaidia kupunguza muda wa kusubiri ili kuliona yai la kwanza.
3. Vifaa vya maji, chakula na Chumba maalumu cha kulelea vifaranga
4. Makasha au box la kutunzia mayai
5. Elimu ya ufugaji bora wa kuku, itasaidia kutatua changamoto mbalimbali za mradi wako
Baada ya kukamilisha maandalizi hayo, sasa twende tukaanze kuzihesabu hatua za awali za kufata ili kukusanya vifaranga wengi kwa pamoja na baadae uleaji wa hao vifaranga watakaokuwa kuku wa baadae.

Пікірлер: 182
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
*OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA* TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo. wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Na je nikiamua kununua vifaranga wa kienyej 500 sitofika huko kweli
@sikujuwabackari3554
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
nashukuru kuwapata kuajili ya ufugaji kuku wa kienyeji , mimi naishi Burundi itakuwaje kuusu iyo pesa
@hildaayoo6853
@hildaayoo6853 3 жыл бұрын
Nashukuru. Swali langu ni, vifaranga vinavyo zaliwa na majogoo hao, watadonwa tena na hao majogoo au itabidi kununua majogoo wengine?
@sherallysherally1203
@sherallysherally1203 3 жыл бұрын
Big up BROTHER. Nimeathiriwa na juhudi zako. Keep it up👍💪👍💪
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana kiongozi
@jamesmwinyi2200
@jamesmwinyi2200 2 жыл бұрын
Nakuku wangu Wana mafia xana hatahivyo nimeumia dawa nyingi lakini xijaona hali haibadiriki nifanyaje
@ahamadimbendela9520
@ahamadimbendela9520 Жыл бұрын
Mimi ninaomba vifaranga vya kuku vya kienyeji 100 ninaishi Nachingwes mkoani Lindi
@davidmaina518
@davidmaina518 3 жыл бұрын
Nimependa sana Somo hili nitajaribu nianze na kuku kumi kike 8 kiume 2
@davidmaina518
@davidmaina518 3 жыл бұрын
Shukran solo tayari
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Vizuri sana, ukiwa na nia thabiti utaweza
@ibrahimkhamis6212
@ibrahimkhamis6212 Жыл бұрын
Habari nimekutumia pesa ktk tigo pesa karibu week lakini hakuna mrejesho
@user-jr2hs3hh5f
@user-jr2hs3hh5f 4 ай бұрын
Ni elimu nzuri ya ukombozi na ujenzi wa afya njema .
@monikamonika4156
@monikamonika4156 3 жыл бұрын
Alafu tena akiinuliwa na Mungu asimame urausi aitwe mwinzi keep up bro
@roselusenaka7548
@roselusenaka7548 3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa kutuelimisha.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz 6 ай бұрын
Mzuri Sana kweli kuku
@CheerfulDominoes-xy6gh
@CheerfulDominoes-xy6gh 26 күн бұрын
Chanjo hii inapatikana Zanzibar
@user-fq6yh2ej4v
@user-fq6yh2ej4v Ай бұрын
Asante nitafatilia
@MKULIMASMART
@MKULIMASMART 3 жыл бұрын
Safi Sana.Tulimiss vipindi
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja kwa mara nyingine
@domcityfarmingcenter7754
@domcityfarmingcenter7754 3 жыл бұрын
Somo zuri sana shukrani
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Unakarishwa
@postemvullah7140
@postemvullah7140 3 жыл бұрын
elimu nzuri sana...Hongereni🙌🙌🙌
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@mudriqtv8120
@mudriqtv8120 3 жыл бұрын
hivi nauliza nikinunua kuku wakubwa kipi cha kwanza kuwafanyia bro
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Wape antibiotics kwa siku 7 kisha wape chanjo ya kideri
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa napenda sana kufuga ila nko mbali asante kwa mafunzo yako nikirud hii kaz lazma nifanye
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu Tanzania, Karibu Nyumbani 🇹🇿
@eunicepeter6249
@eunicepeter6249 3 жыл бұрын
Kwa usafi unafagiaga kila siku? Na dawa ya viroboto unamwaga after how many days?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Huwa inachukua takriban mwezi 1-2
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 жыл бұрын
Hongera sana' najifunza kitu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Endelea kujifunza
@mamakesharlyne956
@mamakesharlyne956 3 жыл бұрын
Kazi nzur kaka
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante
@neemapeter4572
@neemapeter4572 2 жыл бұрын
Jamani nilianza kufuga, tatizo Ni wizi, wameniibia.... Nifanyaje....wamevunja mlango.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Pole sana
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc Ай бұрын
Fuga mbwa
@mikaayo336
@mikaayo336 3 жыл бұрын
Darasa zuri sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@shidaneent2722
@shidaneent2722 2 жыл бұрын
Asante kwa elimu yako kaka na hongera kwa kazi nzuri unaofanya na mungu abariki kazi zetu.
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m 2 жыл бұрын
Mashallah
@paulmasele9878
@paulmasele9878 2 жыл бұрын
Nice for the good memory
@asiachale2296
@asiachale2296 2 жыл бұрын
,Asante sana
@jairosgreyson3268
@jairosgreyson3268 2 жыл бұрын
Asante sana
@user-em7dw3li4d
@user-em7dw3li4d 3 ай бұрын
Safi sana
@user-ni4ji5kp4e
@user-ni4ji5kp4e 2 жыл бұрын
Masha allah
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
🤲
@redempterangayia9910
@redempterangayia9910 2 жыл бұрын
Nikitaka vifaranga kama hamusini na weza kupata.
@benjaminmashimba8471
@benjaminmashimba8471 2 жыл бұрын
Napenda kufuga npo mwanza kwimba napataje vifaranga
@bahatinadzua-jn2if
@bahatinadzua-jn2if Жыл бұрын
Nipeee maarifa n mm nko n hamu ya kuanz
@calebjuma1633
@calebjuma1633 2 жыл бұрын
Good work bro
@daniellalashe623
@daniellalashe623 2 жыл бұрын
Son oak zur San ks being ya kifrng mwenyew miez mitatu
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 3 жыл бұрын
Ungefuga kanga ndo ungeona ubora wake kwasbb wanataga sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante kwa ushauri
@shantiMickel
@shantiMickel Ай бұрын
Congration ❤❤👏👏👏👏😮😮😂😂😂
@kanijosauli5879
@kanijosauli5879 3 жыл бұрын
piga kazi kijaaaaaan♥️❣️❣️♥️💘❣️❣️💟💯💗💗💖💜🤎🤎💞
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hakuna kukata tamaa
@maryamsalim3233
@maryamsalim3233 3 жыл бұрын
Hujambo kuku wangu wanasinzia tu hawataki kula sijuia nifanye nn
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hao wanaumwa ila maelezo hayaonyeshi ni ugonjwa gani
@mariakimiti4069
@mariakimiti4069 9 ай бұрын
Jogoo na tetea wanapaswa kua umri mmoja?
@albertpatrick7213
@albertpatrick7213 3 жыл бұрын
Good
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Thanks
@farajaandrew7081
@farajaandrew7081 2 жыл бұрын
Mimi nataka kujiunga kwenye darasa na video ndo naiona Leo kwani ndo nataka kuanza ufugaji. Utanisaidiaje?
@tukaeamani7090
@tukaeamani7090 3 жыл бұрын
Mimi nilijiunga tayari kwako, kwasasa sina smartphone, naomba kupata elimu je nikifuga kuku bloiler 200 wanatumia chakula mifuko mingapi hadi wanapofikia kupelekwa sokoni
@shilungumoshi3732
@shilungumoshi3732 3 жыл бұрын
Nahitaji kufahamu vifaranga na Kuku ni vyema kulala pamoja?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Wakiwa chini ya miezi 2, watenge na kuku wakubwa
@mamyomar1241
@mamyomar1241 3 жыл бұрын
Mh ni vizuri Sana , lakini huko kwetu ni mtihani labda ulale nao. Unaweza kufa pressure ukiamka asubuhi kuku hawapo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Poleni sana
@mamyomar1241
@mamyomar1241 3 жыл бұрын
Shukran, natamani Sana hiyo kazi. Lakini nilifikiria wanaiba ng'ombe ni mkubwa he kuku watakaa salama. Na kila siku ukisikiliA mawio . Mbuzi, kuku na ng'ombe wameibiwa . Kweli utaweza kufanya hiyo biashara.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Inakuwa ngumu
@ramayasly4584
@ramayasly4584 3 жыл бұрын
Tuko pamoja bro
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@mlandagodfrey121
@mlandagodfrey121 3 жыл бұрын
Na je baada ya kutolewa vifaranga Kama watakuwa wamepishana may siku 5 vipi unaweza kuwapa chanjo kwa siku moja?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Ndio
@silaschengo4863
@silaschengo4863 3 жыл бұрын
Fresh
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja
@salmaally1601
@salmaally1601 3 жыл бұрын
Nimependa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@jackurio9848
@jackurio9848 Жыл бұрын
Umenitia moyo sana ni chakula gani unawalisha?
@LeticiaShoka-me2wq
@LeticiaShoka-me2wq Ай бұрын
Uko wapi nahitaji makoo
@catholicvibemusic3151
@catholicvibemusic3151 3 жыл бұрын
Jamani hivyo vifaranga vinaishije pamoja na Wakubwa wa kwangu wanapigana sana wana wapiga wadogo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Wangu wanaishi kama familia. Huwa naacha pamoja vifaranga wakifikisha wiki 6-8
@samuelmwangi4878
@samuelmwangi4878 Жыл бұрын
Makoo ni nini?
@erneuskawanila6506
@erneuskawanila6506 3 ай бұрын
Ni matetea au kuku majike
@brightmshomi1544
@brightmshomi1544 3 жыл бұрын
Mbona ujaelezea njanjo au dawa we ujawapa dawa yoyote
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Chanjo inafata
@geraldpallangyo7726
@geraldpallangyo7726 3 жыл бұрын
Kweli ni kazi mzuri
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji
@JACKOB724
@JACKOB724 3 жыл бұрын
Unawapa chakula gani mkuu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Nachanganya concentrate na pumba
@filbertnolasco2277
@filbertnolasco2277 3 ай бұрын
Mm naomba mnisaidie hatua za kufuata ili kutotoresha vifaranga kwa njia ya kienyeji (bila mashine) na bila kuku wa kulalia
@lulumutayoba2063
@lulumutayoba2063 3 ай бұрын
Angalia youtube channels zipo nyingi wanatotolesha kwa mwanga wa jua na bulb but si kazi rahisi lazima uwepo muda wote.Kama unaanza ni heri utotoleshe au uache walalie
@mlandagodfrey121
@mlandagodfrey121 2 жыл бұрын
Hivi KUTUMIA Maker pen kuandikia tarehe kwenye mayai hakuna MADHARA???
@hhhghyghgg8640
@hhhghyghgg8640 3 жыл бұрын
Uko pande gn ntaka kuku 20
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kisarawe Pwani
@jameskabalega6003
@jameskabalega6003 3 жыл бұрын
Nahitaji vifaranga Wa kuloiler 250
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuwasiliane: 0620440863
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Mi natamani kufika huko lakini eneo langu ni dogo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pambana ulikidhi eneo lako
@JofreyJofreymtulo
@JofreyJofreymtulo Жыл бұрын
Ok ss naomba niulze
@salumumngawa8641
@salumumngawa8641 3 жыл бұрын
Je kuku wakienyeje joogoo akiwa bandan uwezo wa kupanda mdogo nikweli?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Imewahi kunitokea kipindi flani
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 2 жыл бұрын
KAKA HONGERA SANA KWA KAZ ZAKO NIME-FUHI SANA KAZ NINZUR
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Asante sana
@nasibuuisso7139
@nasibuuisso7139 3 жыл бұрын
Nita wapataje wasapu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
0752209073
@azardboniphace2205
@azardboniphace2205 3 жыл бұрын
Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii, naomba namba ya simu ya group
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Nicheki 0656528455
@albertpatrick7213
@albertpatrick7213 3 жыл бұрын
7
@malifedhaluponya5995
@malifedhaluponya5995 Жыл бұрын
@@changamkiafursa hodi mkuu
@salhamtongole5015
@salhamtongole5015 2 жыл бұрын
Wanapendeza wenyewe
@badraboaz7702
@badraboaz7702 2 жыл бұрын
Habar nahitaji kuwa mwanafunzi wako khs ufugaji wa kuku kaka
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Karibu sana
@guershommwanao
@guershommwanao 8 ай бұрын
Nini ina itwa makoo
@sources5462
@sources5462 2 жыл бұрын
Unamjuaje kuku anaetaka kuatamia?
@alikiba9960
@alikiba9960 3 жыл бұрын
Naulizaje vipi chakula una walisha wishwa pekee. Unanunia wishwa mtamboni ama una nunia chakula Cha dukani?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Nachanganya concentrate na pumba
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 3 жыл бұрын
Mimi ni mfugaji pia nilikua sijui kuwa yai likizidi siku 14 halifai kuatamiwa ,kuku wangu walikua wanataga mayai 15 na zaidi wanaatamia lakini walikua wanatotoa nusu ya hayo mayai mengine yanakuwa yameharibika ,lakini namshukuru Mungu wazo lilinijia kwamba niwe nayapunguza mayai ya mwanzo ,sasa hivi wanatotoa yote au wanaacha moja au mawili .kwa hiyo sasa ndo nafahamu kuwa yai halitakiwi kuzidi siku 14 ,thank you.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Mimi najua 7 dys..yote yanatotolewa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kama unatotolesha kwenye mashine
@zainabushabani7309
@zainabushabani7309 2 жыл бұрын
@@changamkiafursa kwa dar es salam mashine za kulipia ntotoeshe mayai zko wap
@Mswanotv
@Mswanotv 3 жыл бұрын
Je Kama Nina incubator Kuna shida? Ili nisitumie kuku kutotoa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hakuna shida
@japhetkatulebe9729
@japhetkatulebe9729 2 жыл бұрын
Kuku Wa mayai, ukiwachanganya na majogoo, wanaweza kupandwa?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Ndio
@estherkenya686
@estherkenya686 3 жыл бұрын
Am in Kenya...how do i join the class?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
What's app 0752209073
@remenallan2223
@remenallan2223 3 жыл бұрын
@asante itakuwa sangap muda wa Tanzania
@azardboniphace2205
@azardboniphace2205 3 жыл бұрын
Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kufikia kutaga miezi 7
@aloysfussi3900
@aloysfussi3900 3 жыл бұрын
Elimu nzuriiiiiiiii
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@PaulinaFayu-tc2uu
@PaulinaFayu-tc2uu 8 ай бұрын
No
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 9 ай бұрын
naomba number yak
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 9 ай бұрын
habar
@rukiamohamed2691
@rukiamohamed2691 2 жыл бұрын
Nipo kenya nataka kujiunga na group lenu nifnyeje?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Karibu sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Tuwasiliane kupitia what's app 0752209073 nitakupa maelekezo
@ahamadimbendela9520
@ahamadimbendela9520 2 жыл бұрын
Mimi ninashida ya mayai ya kuku wa kienyeji kuanzia mayai 50 na zaidi nayapataje tafadhali
@evarlynekarani5202
@evarlynekarani5202 2 жыл бұрын
Unatumia nini
@jacobdeogratius7673
@jacobdeogratius7673 3 жыл бұрын
Hapo nitamjuaje kuku anaetaka kuatamia au nawachukua mtetea alieanza kutaga kitambo ndo namwekea mayai?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kuku ambaye anataka kuatamia huwa anang'ang'ania kiotani, hata akikaa siku nzima haupati yai
@saidabdallah3737
@saidabdallah3737 3 жыл бұрын
🐔🐔🐔👍👍
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante kiongozi 💪
@japhetkatulebe9729
@japhetkatulebe9729 2 жыл бұрын
Kuku Wa kienyeji yanaweza kutaga mayai 2 kwa siku?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Haiwezekani kwa kuku yeyote yule
@japhetkatulebe9729
@japhetkatulebe9729 2 жыл бұрын
Leo nimeshangazwa na kuku wangu, ametaga mayai mawili kwa Mara moja
@mimimoop2617
@mimimoop2617 3 жыл бұрын
Nahitaji Namie nifuge
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu kwenye ufugaji
@vedastamalekela8711
@vedastamalekela8711 Жыл бұрын
@@changamkiafursa naomba niwe mwagrop
@HappyFarmUrbanPermaculture
@HappyFarmUrbanPermaculture 2 жыл бұрын
Are these improved or real kienyeji ?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Real kienyeji
@HappyFarmUrbanPermaculture
@HappyFarmUrbanPermaculture 2 жыл бұрын
@@changamkiafursa mmh. Do you deliver in Kenya. Am sourcing for one high quality huge kienyeji jogoo for meat birds. With good weight and taste
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
No delivery in Kenya
@hadlightabisai6533
@hadlightabisai6533 3 жыл бұрын
Nilifuga kuku lakini baadaye zilikufa zote na sikujua shida ilikua gani.tafadhali naomba niambie siri ni gani na dawa ya kupea vifaranga ni gani nimefurahia kutazama video yako
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu darasani kiongozi, utajifunza mengi. What's app 0752209073
@malifedhaluponya5995
@malifedhaluponya5995 Жыл бұрын
@@changamkiafursa nakubali kazi yako natamani kufikia malengo ila nafeli katika kulea vifalanga
@eden191
@eden191 Жыл бұрын
Upo wapi ndugu
@mathiasjohn193
@mathiasjohn193 3 жыл бұрын
Na mm pia nafuga kuku wangu WA kienyeji
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hongera, vipi unaonaje ufugaji wa kuku wa kienyeji
@mathiasjohn193
@mathiasjohn193 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa Nina kuku WA nne weme totoa Je dawa Ya vifaranga ni ipi
@mathiasjohn193
@mathiasjohn193 3 жыл бұрын
Na nipo Katoro mkoa WA Geita
@mbaroukmuhamed2156
@mbaroukmuhamed2156 2 жыл бұрын
Dah mimi nna changa moto ya wizi wananiibia kuku wangu😭😭
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Pole sana kiongozi
@karamashariffal-baar9424
@karamashariffal-baar9424 2 жыл бұрын
nimeanza ufugaji lkn wanakula sana jee kuna chakula mbadala ili kupunguza gharama maana hao nilonao wanakula kiroba cha kilo hamsini kwa siku nne?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Unawapa mwenyewe wao hawawezi kuingia stoo kuchukua chakua. Kuku wanatakiwa kupiwa, usipo wapimia watakufilisi
@karamashariffal-baar9424
@karamashariffal-baar9424 2 жыл бұрын
@@changamkiafursa kwani kwa siku nzima wanatakiwa wale mara ngapi? samahani kwa usumbufu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Marambili na inategemea wako wa ngapi
@karamashariffal-baar9424
@karamashariffal-baar9424 2 жыл бұрын
kama 70
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Wana umri gani?
@deolemale2749
@deolemale2749 2 жыл бұрын
.pp
@PaulinaFayu-tc2uu
@PaulinaFayu-tc2uu 8 ай бұрын
No
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI (HISTORIA YANGU)
12:54
Changamkia Fursa
Рет қаралды 38 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 179 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 13 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 682 М.
How to make incubator at home
11:58
Pets Life TV
Рет қаралды 10 МЛН
Kuroiler Wanataga Mapema, Mayai 260 na Uzito wa Kilo 5
8:14
Changamkia Fursa
Рет қаралды 35 М.
Perawatan Seperti ini Bikin Ayam Sehat Alami dan Tahan Banting
9:39
Pemuda Girang 51
Рет қаралды 3,4 М.
Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji
8:19
Changamkia Fursa
Рет қаралды 236 М.
Wasikydanganye KUKU WA KIENYEJI Wanalipa - Laki 3 kwa Kuku 50! 🔥
6:13
SHAMBALULU: UFUGAJI KUKU WA MAYAI KISASA.
28:07
ITV Tanzania
Рет қаралды 15 М.
Jinsi ya Kulea wa VIFARANGA WA KIENYEJI Bila V I F O
3:23
Changamkia Fursa
Рет қаралды 10 М.