No video

RUBANI MDOGO ALIYEANZISHA MAPENZI NA PICHA, “NIMETUMIA MILIONI 200 KUSOMA”

  Рет қаралды 35,062

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 77
@cosmahansen9660
@cosmahansen9660 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu Akutangulie Captain Brian, so proud of you Baba.
@MtausiMtausi
@MtausiMtausi Ай бұрын
Safi sana Brian, keep it up chief
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Ай бұрын
Ukiwa unasikiliza watu wenye taaluma zao Safi saana hakuna mambo ya kupayuka payuka , shule Ni kitu kizuri Saaana
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 Ай бұрын
Kweli kabisa, "debe tupu ndiyo hupiga kelele", anayejua hana mapepe, sababu mchakato alioupitia mpaka kujua siyo wa kitoto, umemnyoosha na umemnyenyekeza vya kutosha.
@AishaSaid-yg1ou
@AishaSaid-yg1ou Ай бұрын
Mash Allah..Allah akujaalie wepesi...❤
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s Ай бұрын
😊😊😊
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Ай бұрын
Hongera kwa Rubani kupeperusha Air Tanzania. Pongezi pia kwa kuacha Vilevi kwa miaka 4 hata mimi na miaka 4 situmii vilevi. Maisha bila Vilevi ni matamu sana kwanza Pesa inakuwa mingi halafu unapata muda wa kujipangalia maisha
@menlandmutashobya8377
@menlandmutashobya8377 Ай бұрын
Miaka minne baadae ya hapa nataka nirudi nitoe ushuhuda wa kuacha pombe
@vinenswilliam3534
@vinenswilliam3534 Ай бұрын
Our very own Captain Brian, AWB
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n Ай бұрын
Hongera zako
@mp.MwaithesonScania11
@mp.MwaithesonScania11 Ай бұрын
Good my brother, nami na ndoto kama hiyohiyo me mdogo wako kabisa
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug Ай бұрын
Hongera rubani❤❤❤nimependa interview
@datydon6676
@datydon6676 Ай бұрын
Paschal Kwa hii Interview umefanya vizuri sana, Mtiririko wa Maswali yako umekaa vizuri kabisa. Hongera sana Kaka.
@happyobeid8930
@happyobeid8930 Ай бұрын
Hongera sana
@jinnahsameer
@jinnahsameer Ай бұрын
❤❤❤ daaaaa mbona Handsome boy ivyo
@mohamedabdallah8321
@mohamedabdallah8321 Ай бұрын
Jamaa ana point sana
@achibelatotolakijaka4687
@achibelatotolakijaka4687 Ай бұрын
I love this guy anajieleza vizuri Sana
@jeanmiruho4770
@jeanmiruho4770 Ай бұрын
❤🙏🙏👍
@NipaelMdachi
@NipaelMdachi 29 күн бұрын
Hongera kwako
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z Ай бұрын
Una anza kuleta habar za kijinga tuu bila kujua kua hii chanel yako wanatazama watu wengi wenye heshima zao na tunaojitambua
@mohannadmohammed6631
@mohannadmohammed6631 Ай бұрын
Habari ya kijinga hapa ni ipi ndugu
@pceodhc
@pceodhc Ай бұрын
Congratulations 👏🏾🎉
@NuruJara
@NuruJara Ай бұрын
Your handsome guy 😅😊
@alistairelias536
@alistairelias536 Ай бұрын
Captions za kiboya hizi, kuharibia watu heshima zao 😡
@achibelatotolakijaka4687
@achibelatotolakijaka4687 Ай бұрын
Mabruk much love from 🇰🇪
@mrmumeir9978
@mrmumeir9978 Ай бұрын
Rubani Brayan,Nimeangalia vizuri mahojiano yako na mwandishi,kwa kweli kila ulicho kiongelea kina maana sana katika maisha ya mwanadam.Nafaham suala la kichapo wapo wengine wataku copy vibaya lakini usijali. kwa kweli umeongelea kuhusu kumchapa mtoto ili alelewe kosa lake hayo ni malezi ya mila na mila zinaleta maadili na elimu pia katika maisha.( kuna msemo unasema teke la mama halimumizi mwana)Mmungu azidi kukupa wepesi wa maisha na akufungulie yote mazuri yaliyo jifunga.Na Ayafunge yote mabaya juu yako na wengine pia.Story yako imenigusa mimi na familia yangu.Hongera sana
@Officialboysafi
@Officialboysafi Ай бұрын
Bravo 👏🏽 captain 👨‍✈️🔥🔥🔥🔥🫡
@MathiasMusobi-ob9cn
@MathiasMusobi-ob9cn Ай бұрын
Safi sana safi mno
@barackmoses7003
@barackmoses7003 Ай бұрын
Hongera sana ila mmefanana sana mama
@worldtechlab
@worldtechlab Ай бұрын
Hahah huyu kaka 😂😂
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Nyie hamjamuelewa anasema ameanzq mapenz na picha yan anapenda kupiga picha sio hivyo mnavyofikilia nyie
@adventureswithbrian
@adventureswithbrian Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mi mwenyewe nilishtuka kwanza...
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Ай бұрын
😂😂😂😂
@EligiaMligo
@EligiaMligo Ай бұрын
No 1
@ramadhanichanafi4725
@ramadhanichanafi4725 Ай бұрын
Sema Brain we ndio Pilo unaependa interviews mweeeeeeeee😅😅😅
@barackmoses7003
@barackmoses7003 Ай бұрын
Mapenzi na picha mmh badili wafanya kazi wanapotoka sana
@queenmichael5319
@queenmichael5319 Ай бұрын
Mimi mwenyewe amenichanganya ikabidi nianze kuchunguza kivipi
@mohannadmohammed6631
@mohannadmohammed6631 Ай бұрын
Baada ya kusikiliza interview mnakimbilia kucomment tu
@abc-en3em
@abc-en3em Ай бұрын
Mzee mm financial Account ilinishinda alafu uniambie physics ni basics 😂😂😂
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 5 күн бұрын
Hahaha, mambo ya Financial statement, income statement, ledger, cost of sales, 😂😂😂😂trial balance
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 Ай бұрын
Milion 200 tuwaachie wenyewe
@Emanueli-vz6fd
@Emanueli-vz6fd Ай бұрын
Kabisa kunaajila km kwenu hamna kitu basi utaziskia tu
@EmarionJeryco
@EmarionJeryco Ай бұрын
Broooo ❤
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq Ай бұрын
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Mapenzi na picha!🤔🤦🏿‍♀️
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Ай бұрын
Watoto wa wakubwa nyie hizo ni pesa za vocccha tu
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Ай бұрын
Ni kweli Huyu katokea familia ya kishua
@anwaralhabsi1424
@anwaralhabsi1424 Ай бұрын
Ninaye dada yangu awesoma urubani lakini KAZI mtihani, umefikia hatua ya kuanza kukodi kuendesha kufanya safari😂
@GeradiusGeras
@GeradiusGeras Ай бұрын
Ametimiza masaa yanayotakiwa kupata kazi? Au ndo ana Fly time ya 10 hrs🤷‍♂️
@AmirJuma-p5j
@AmirJuma-p5j Ай бұрын
Mnahoji watu wenye akili safi sana
@benjaminiisaya3428
@benjaminiisaya3428 Ай бұрын
Ila hata wewe unaweza kuwa Rubani na DV 4 yako coz It’s just masomo tu kama ya kawaida
@adamhashim3352
@adamhashim3352 Ай бұрын
Hii fani wanasomaga watoto wa kishua
@worldtechlab
@worldtechlab Ай бұрын
Kanitomba huyu kaka 🤣
@dmwaps
@dmwaps Ай бұрын
Wtf😂😂😂
@worldtechlab
@worldtechlab Ай бұрын
@@dmwaps ndiyo lol you think am joking ? 😅
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Ай бұрын
unaona sifa mwenyewe
@worldtechlab
@worldtechlab Ай бұрын
@@masalakulwa7601your funny
@worldtechlab
@worldtechlab Ай бұрын
@@masalakulwa7601 Wewe ni nini unataka kunitomba wewe?
@Sharifa_Fashion_21
@Sharifa_Fashion_21 Ай бұрын
Shikamoo kumbe mkubwa Kwangu
@user-ik3mt8if6e
@user-ik3mt8if6e Ай бұрын
𝐻𝑜𝑛𝑔𝑒𝑟𝑎 𝑘𝑎𝑘𝑎
@Drive1day
@Drive1day Ай бұрын
lakini pesa pia, maana si kombi kama hizo ni pesa
@OnlyRuky
@OnlyRuky Ай бұрын
Hicho kichwa cha habari hakiendani na interview hata km kutafuta view siyo sawa
@user-cq1lu1sb8s
@user-cq1lu1sb8s Ай бұрын
duu nimekata tamaa
@kananiomwamirwenyagira8374
@kananiomwamirwenyagira8374 Ай бұрын
Jitie moyo kwa Bwana, lazima tusonge mbele! Utatoboa tu! Focus
@hamadali5062
@hamadali5062 Ай бұрын
Kwanini marubani wenye dini ya kiislamu wanakuwa hawapewi nafasi wakati wameisha maliza masaa Yao ya kurusha ndege ili waweza kurusha ndege kubwa
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s Ай бұрын
Una uhakika. Mi ninasafiri sana na ndege na waislam wako wengi tu. Two weeks ago nimetoka ZnZ to Dsm, Rubani na msaidixi wote walikuwa qaislam, fanya reseaech kwanza kabla ya kuandika.
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z Ай бұрын
Ayo umeanza kupoteza mwelekeo wako sasa
@EligiaMligo
@EligiaMligo Ай бұрын
No 1
EXCLUSIVE: MWANAMKE WA KWANZA TANZANIA KURUSHA NDEGE VITA
9:32
TBConline
Рет қаралды 1,5 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 9 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,5 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 6 МЛН
Kutana na Baba na Mtoto, Marubani Air Tanzania
6:30
Air Tanzania Company Limited (ATCL)
Рет қаралды 173 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 7 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 9 МЛН