Amen baba yangu, Mungu akuongeze utukufu hata utukufu, Roho wa Mungu yuko ndani yako hakika.
@furahaabdallah13772 жыл бұрын
Asante mtumishi, MUNGU akubariki mtumishi naomba Masada wa maombi sababu naota kila Mara niko kwenye mtiani na siumalizi ndoto hii inajirudia tafadhali nisaidie.kwa maombi.
@mauwashomari81602 жыл бұрын
Bwana YESU CHRISTO asifiwe mtumishi wa Mungu, mimi naishi marecani , kwakweli izo ndoto mimi naziota sana nikiwa afrcan pia nikiwa darasani Mungu nisaidiye
@annmungai51912 жыл бұрын
Amen that pastor is talking the truth do not judge him he is truly a man ofGod
@maurinekelly252 Жыл бұрын
Niombee pastor mm kila siku nipo shuleni tena mazingira ya nyumbani kule huku nishaolewa
@shukururukaga83342 жыл бұрын
Amen MTU wa mungu mungu hazidi kukutumia said Na zaid
@janemugwiria9846 Жыл бұрын
Thank you pastor.pray for me I had such a dream at night.i was in my village where I used to be many yrs ago.
@djumazuena522 жыл бұрын
Mungu ndoto m mbaya uzifute kwajina lakopeke yako. Mungu AMEN AMEN AMEN
@annafrancis26292 жыл бұрын
Asante babaa niombee mm mara nyingi naota Niko darasan kufanya mtihan mara kwa mara sana mungu anisaidie
@boaziskk5439 Жыл бұрын
Merci kwa mafasirio mimi ni Pasteur magnifique.
@boaziskk5439 Жыл бұрын
Pole
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Na mimi jamani
@SheilaIrusaАй бұрын
NAMI poa pastor
@florasingano58592 жыл бұрын
Amen baba, ubarikiwe
@NancyJohn-rp4uzАй бұрын
Amina mtumishi mungu awatie nguvu mtumishi
@MilikaYohan2 ай бұрын
Mungu akupe maisha maref nabii uzdi kutufumbua macho
@esthernafula99952 жыл бұрын
Bwana asifiwe mchungaji, nahitaji maombi , hizo ndoto zote umeongelea huwa sinanikujia mara kwa mara nashindwa kuelewa shida ni nini, nashukuru sana kunifanya nielewe maana yake, barikiwa sana mchungaji.
@lizymuthonimuthoni73672 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe,mm hivi jana nimeota nimerejea kutoka Saudi manake mm nko huku na sikuona nikigia kwetu nyumbani bali niligia kwenye kusanyiko la watu wa mungu kama ulikuwa mkutana na wale wote walio kuwa hapo ni wakanisa nililo lelewa kiroho na wote walikuwa gala mvua ikaaza kunyesha ikatulazimu tuigie ndani nilipo igia,wadada nawajua walikuwa wakinisalimu kwa mshagao na furaha huku mwaki nidakua eti mtoto wa fulani amerejea kutoka majuu ghafula nika gutuka
@afandechanel15072 жыл бұрын
Ndoto ambayo na pinganayo nia kuota upo kijijini eti nimbaya kwaio ukiota upo town ndo uta fanikiwa
@user-ub8vm1go9j2 ай бұрын
😂😂😂
@kasondesampa71872 жыл бұрын
Kweli mtumishi mm Mara nyingi naota nipo Kijiji kwetu nilikuwa cjajua maana yake nashukuru mtumishi was mungu fro zambi
@fidelfidel-jz4iw11 ай бұрын
Miungu akubaliki pastor hizi ndoto mbili nimekuwa nikiota nipo nafanya mithihani simalizi na nipo kijijini sikuelewa tuombee mtumishi wa mungu
@neemacharles414411 ай бұрын
Ameen mtumishi ndoto hizi Huwa naziota sana nahitaji msaada
@sarahandrea31103 жыл бұрын
Ameni,mungu Akupe nguvu,uzidikutufunuliaAmeni
@felistabosta60802 жыл бұрын
Amina. Mungu akulinde daima
@user-my5vs9gt7k3 ай бұрын
Nisaidie baba Mimi kijana maisha yangu yamekuwa ni yakuwa na mawazo abaya kwenye hakili yangu
@linetkerubo73532 жыл бұрын
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
@shiplegcm49482 жыл бұрын
Niliota ndoto hiz last year jumba mbovu then niko shule lower class Mungu nakataa ndoto hiz kwa damu ya Yesu christo
@monicampokwa4412 жыл бұрын
Aminaaa mtumishi.ni kweli kabisa
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Ameen
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Kwel kabisa 🙏
@richardhaonga81382 жыл бұрын
Asante mtumishi kwa somo zuri
@sekundaasenga21022 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa utumihi wenu
@olivanooraladin54362 жыл бұрын
Hiyo ndoto ya mtihani imekua ikiniandama Sana lkn hujasema nin tafsili yake
@gidionsimon887529 күн бұрын
Amen mtumishi
@SamwelMarcus22 күн бұрын
Amin .ndoto hizo zimenigusa sana naomba msaada
@elizabethwambui27662 жыл бұрын
Hello pastor I had the fast two dreams for sometime now the problem is the pastor of this days want money when praying for you
@NairobiHotGossip072 жыл бұрын
MIMI ya kufanya mtihani ndio huwa naota sana, any pastor who can help us?
@lydiakimani50872 жыл бұрын
I've had those 3 dreams, little did l know they were not good.
@esternikata59482 жыл бұрын
Jamani asante ni kweli kabisa hizo ndoto zote niliota nanikasambalatika kiuchumi gafla
@emmysimon37062 жыл бұрын
Amina na mm naota sana nkiwa kijijin nyumban
@annamasebo20612 жыл бұрын
Mm huwa naota Sana ndoto no 3 eeeh mungu niepushe na hili
@peterobiri25092 жыл бұрын
Amen 🙏 , zote mm nimeota kila siku
@kombayona89492 жыл бұрын
Amina mtumishi
@FRADOSFAMILLY-mf6ch3 ай бұрын
Amen baba ubariwee
@estetyohana13222 жыл бұрын
Ameen baba
@Chep-oj7og18 күн бұрын
Very true kabisa
@kcwttv55163 жыл бұрын
AMEN
@joycelivingstone74262 жыл бұрын
Ni kweli mtumishi DAMU YA YESU ITULINDE KILA WAKATI SAA DAKIKA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI
@happinessrichard7193 жыл бұрын
Amen
@maureenwanyama97302 жыл бұрын
Amen pastor me huota ile ndoto ya pili na ya tatu nafanya mtihani tena najikuta natembea kijijini
@priscasanga62112 жыл бұрын
Me pia
@godwinnyambulapi68162 жыл бұрын
Mafundisho ya mashetani ndo HYa. Hakuna Roho mtakatifu hapo. Hubiri Kristo na Sio ndoto. Ww unayeota ndoto badili mfumo wako wa maisha na mawazo hata chakula tu. Hakuna maadui. Adui yetu ni mmoja tu shetani ambaye ukitoka ushamshinda.
@joycekikome3832 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mainanjogu78722 жыл бұрын
Blessed
@user-ci6js4yt5qАй бұрын
Amen 🙏
@nancynancy56802 жыл бұрын
Amen and Amen
@petronialushona1742 жыл бұрын
Ubarikiwe
@EvaLastonimwaboboАй бұрын
Mara nyingi naota Mume wangu kadufuka Hali alishakufa hii Ina maana gani mtumishi
@glodynkondo98002 жыл бұрын
Amen mimi 3 times nalota tuko na mke wangu tuna furayi
@happyzablon31062 жыл бұрын
Hiyo ya tatu ishawahi ntokea naona Kama wenzangu wamemaliza kufanya mtihan lkn wenzangu wanaona mtihan mwepesi nashindwa kuandika muda nap hauishii
@lucyrichard51172 жыл бұрын
Aminaaa
@kadunawewe72483 жыл бұрын
Ameen mtume mimi.nilikuwa naota sana nipo kwenye nyumba mzuri na kijana wakizungu sijui maana yake nini mtume
@asiamushi18982 жыл бұрын
Amina pastor mimi ndoto zote naziota jamani
@judyliz45442 жыл бұрын
Amen jamani Mimi naota nikiwa Kwa siku za wa mama,hii inamanisha nini
@DogooHhayuma4 ай бұрын
Niombee mtumishi pia ubarikiwe
@judithcheptonui97642 жыл бұрын
So why can you do after dreaming
@janethmushi53592 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie mtumishi ndoto hizi 2 nimeziota Leo usiku
@felisterandrew87412 жыл бұрын
Mungu nisaidie.
@irenemendez77152 жыл бұрын
Aminaaaa
@albertfabrigas53833 жыл бұрын
Ameen!! Tunafunguliwa kupitia Ufunuo huo wa Ndoto
@beatricemwamini20444 ай бұрын
Amen.
@Haikakimaro2 жыл бұрын
Amina mtumishi sioni namba
@user-ix5fw2mf8s2 жыл бұрын
Naomba tafadhali nieleze kuhusu Naoto ya kufanya mtihani yaani mimi huwa naota tu kila siku nafanya mtihani ngumu sana na shindwa kumaliza
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ni kweli ata mimi ya mitihan nilikuwa naiotaga na nikajuwa ni mbaya ndio matatizo yanaanzaga kwenye ulimwengu wa roho
@jacklinedanieli56842 жыл бұрын
Mi nimeota mala kibao jamani uwhiiiii. Zote hizo Sijui nipo shule mungu wangu mala kijijin
@nijulishenijue11683 жыл бұрын
hII INANIHUSU KABISA NAONA KAMA VILE ILIKUWA YANGU UJUMBE UNANIHUSU MIMI KABISA
@fabianbenardngatunga27134 ай бұрын
Niliota ndoto nimeng'atwa nanyoka mkono wa kulia naomba maana yake
@user-nr8tr8dk2e6 ай бұрын
Niliota na ng'ombe wengi sana kijijini chetu na waliogopesha sana..walikua brown in color yamaanisha nini??
@mebalkamonya42878 ай бұрын
Mimi nimeota maiti 4 wakiwa wamelazwa ndani ya jeneza zikiwa ndani ya magari maa nne aina ya Nissan maanake?
@citybirdproduction78282 жыл бұрын
Every dream has a meaning..hii ya kufanya mtihani ama kuota umerudi shule very dangerous.
@azizahassan59192 жыл бұрын
Mimi ninaota sana nipo shulechungaji yaani sijui ni kwann na inajirudia sana
@linetharon2 жыл бұрын
Hizi ndoto kwangu ni zote😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆ghai
@sakinam36583 жыл бұрын
Mimi nilikuwa Nikiota sana nikiwa kijijini na Pia ndoto nikiwa Shuleni nikifanya mtihan na simalizi
@user-kg3ns5iw9p2 ай бұрын
Mi Niko singida nimeota vua inanyesha lakini ilitokea shoti zaywaya za umeme zimeowa mujini muzima ikiwa mpamoja na matunda ya zabarau mengi yamedodoka chini
@salamaseif41832 жыл бұрын
Kweli
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ni kweli
@zabronosima76923 ай бұрын
Hiyo ndoto ya mitihani
@rosemuthini60982 жыл бұрын
Nilijenga miaka 5 ilioyo pita nyumba kubwa na nimekua nikiota naishi ndani lakini ikiwa imebomoka na kweli maisha yangu kwa sasa imekua ya kuangaika
@mwanaidsalehe11093 жыл бұрын
Baba minaziota sana karibu zote asante baba kwa mafundisho mazuri.
@priscapaul3392 жыл бұрын
Mungu.nisaidie
@florashirima1224 Жыл бұрын
Nikweli past hizindoto huwasina nisumbua San sinarudiarudia san
@wilemkondya83673 жыл бұрын
Ameena Baba mm nimekua nikiota hyo ndoto ya Kwanza na ya tatu sana, kiukwel hata nikikazana kutafuta msaada wa kiroho nakua naishia njian sasa cjajua kwann inakua hvyo kwang
@mageembarikiwa29912 жыл бұрын
Woooi hizo xote tatu naotanga ghai mimi pesa zangu haishiki kwa mikono.
@ancillawanga90022 жыл бұрын
Mimi huota nimerudi shule yenye nilikuwa nasomea sekondari ....ama nakutana na marafiki wakitambo please pray for me towards that
@godrivermichaelsugwejo49792 жыл бұрын
Namimi naotaga hiviii
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mtihani wenyewe mgumu
@janenabwire32212 жыл бұрын
Ukweli🙏
@ChegeboyAssey2 ай бұрын
Mchungaji bwana yesu asifiwe
@RabieGerard4 ай бұрын
Mimi nimeota naenda shule tena ilikuwa siku ya mtihani maana yake nini
@bettyraman85172 жыл бұрын
Izo ndoto zote uwa naziota na zinajirudia kila mara kilaa mara naota na wanafunzi tulio soma na wao pamoja na walimu na imekua ikijirudia kila mara
@josephinenjoki56872 жыл бұрын
Kweli kabisa mm nko n iyo shinda
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ata kuna mchungaji alisema hayo .ndoto hizo mbaya
@VeredianaKalembi-gs4vsАй бұрын
Kabisa umenena ukweli
@luhyabae64712 жыл бұрын
Aki mm naota sana ndoto nikiwa kwetu na family ya upande wa babangu
@StelaNyalukeАй бұрын
Amenj
@enockoward26562 жыл бұрын
Tubuni kwamaana ufalme wa mbingun umekaribia Achaneni na mandoto haya
@AnnaJosephkacheche-ot2yh4 ай бұрын
Kwenye izo ndoto mimi moja ndo sijaota ya bagala ila izo zingine zote nimeota
@clarispendo85562 жыл бұрын
Pastor mm hizi ndoto zote zenye umezitaja huwa naziota kabisaa