Рет қаралды 379
SCRIPT STORY YA TV
TANZANIA INAKABILIWA NA UHABA WA ZAO LA SOYA
Tanzania inakabiliwana uhaba wa wa zao la Soya ambapo uzalishaji kwa sasa ni tani elfu tano huku mahitaji kutoka viwanda vya ndani vya kuchakata vyakula vya mifugo na binadamu yakiwa tani milioni moja kwa mwaka
Hayo yamebainishwa na wadau wa kilimo cha Soya ambao ni wabia wa taasisi ya kuendeleza kilimo ukanda wa kusini SAGCOT wakiwa katika mabanda ya maonyesho ya kilimo ya nanenae jijini Mbeya…………..Abdalah Msambachi meneja wa mradi wa soya Sagcot
Wadau hao pia wameeleza kuwa siku za hivi karibuni mahitaji ya soya yamekuwa makubwa hali inayopelekea baadhi ya viwanda kuagiza kutoka nchi jirani kutokana na uhaba katika soko la ndani………….John Mgogo afisa masoko kampuni ya kuchakata soya ya Real World na Maiko Kilango Mtafiti wa mbegu kutoa Tari
Baadhi ya wakulima wameanza kunufaika na fursa za kilimo cha soya walikua na haya ya kusema……………….Safia Madenge Mkulima wa soya kutoka Iringa