SAKATA LA MZEE WA YESU BADO FUMBO:MKEWE AZUNGUMZA

  Рет қаралды 24,206

WATETEZI TV

WATETEZI TV

2 жыл бұрын

Пікірлер: 52
@amiriramadhani7631
@amiriramadhani7631 2 жыл бұрын
Pole sana mama na asikofu
@sebonikegobi6244
@sebonikegobi6244 2 жыл бұрын
Mimi kwa mawazo yangu naona tumuombe Mungu mapenzi yake yàamue katika hili manake kama wachungaji wa nje hapa tz ni wengi kama ni mipango wa Mungu abaki hapa basi Mungu mwenyewe afanye njai ili mtumishi wake aishi kihalali watu wapate huduma za kiroho walakini kama si mapenzi yake basi mtumishi arudi kongo mara moja ili nalo hili lipite wapendwa
@leahmwagiru4999
@leahmwagiru4999 2 жыл бұрын
Pole mtumishi wamungu
@bbss8623
@bbss8623 2 жыл бұрын
Kuna kitu nyuma ya pazia uhamiaj tuambien ukwel kumbuken mungu sio wa mchezo anajib Tena kwa moto
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Hv nyie uhamiaji mnabembeleza raia wa nchi nyingne fukuzen
@husseisalimumaula3867
@husseisalimumaula3867 2 жыл бұрын
Kweli watanzania mambumbumbu yani mpaka wakongo hawataki kuondoka washaona hapa ndio sehemu ya kupiga kwa kivuli cha dini.
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 жыл бұрын
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viko himara na viko makini sana. Ivo hapo Kuna tatizo ndio maana anafuatwa.
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 жыл бұрын
Mkongo huyo akahubiri dini kongo uko na wanapigana vita , wanajeshi hao wanatafutwa kwao, wakija hapa wanajifanya wachungaji
@haarunsaidabdillahi4082
@haarunsaidabdillahi4082 2 жыл бұрын
Watendaji wa serikali ya TZ ni hovyo sana. Pesa nyingi za walipa kodi zinatumika kizembe ambazo zingetumika kuwaondolea kero za maisha. Tunaishi Europe miaka mingi lakini wazungu hawatufanyii ushenzi huu wanaofanyiana Waafrika ndani ya Africa.
@upendoraphael4090
@upendoraphael4090 2 жыл бұрын
Nikweli Kaka. Ulaya tunaishi myaka namyaka. Lakini hawatusumbuwi. Ila afrika shida tupu. Nakuna wakimbinzi Huku ulaya. Hawateswi hivyo. Kikubwa Tu usivunje sheria. Lakini. Tanzania imezidi. Kila MTU niharamu. Yani Mungu wafanyiye uwepesi.
@abdulomary6128
@abdulomary6128 2 жыл бұрын
hivi unajuwa maana ya USALAMA WA NCHI? kuna waasi, majambazi makachero wanatumia kivuli cha dini,michezo nk. huko unako ishi ulaya unatangaza dini kama huyu? ngoja siku ukitimuliwa ndiyo utajuwa wazungu ni watu aina gani, tuache na nchi yetu tupambane wenyewe
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 жыл бұрын
Kuna ulakini hiyo kesi maana kesi za uhamiaji sio kama ugaidi
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Naww pia mama ukamatwe ukawajibike huko ww lete tantalilatu kwenda huko mnajua tz Shambala Bibi mjijietu fatenisheria nakamaamtakiwe ainabudikuondoka
@mohamedkhamisali6535
@mohamedkhamisali6535 2 жыл бұрын
Atakua anamatatizo mumeo jeshi lett lipo makini sana
@twarikmuditwarikmudi7091
@twarikmuditwarikmudi7091 Жыл бұрын
Nyinyi acheni ujinga ss kama kunajambo taratibu za nchi nikuteka watu
@mamanimama2618
@mamanimama2618 Жыл бұрын
Mama bigapu Sana wewe nimama hodalisana
@indalesiohenery6124
@indalesiohenery6124 Жыл бұрын
Ee MUNGU wa mbinguni oneksna
@bbss8623
@bbss8623 2 жыл бұрын
Inaskitisha sn watumish wa mungu sijui kwa nin mnakuwa HIV mungu anawaona
@beatriceminja2148
@beatriceminja2148 2 жыл бұрын
Mtu wa Iringa mnampaje uraia wa nchi nyingine??
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Basi huyo babu anajambo ambalo sisi hatulijui na vyombo vyetu vinalijua.
@asteriashios1852
@asteriashios1852 11 ай бұрын
Huyu mama anajua alichokifanya mumewe huko congo yaani na wewe ungeondoka nae congo nawe utapotelea hukohuko
@getrudagabriel6370
@getrudagabriel6370 2 жыл бұрын
Jmn cmrudi kwenu,,kwann hamtaki kuondok,,,,mmmmm ipo kitu,,,co bure
@frankwarembosaloon5316
@frankwarembosaloon5316 2 жыл бұрын
Watanzania hakili hamu hivi hamujuwi kwamba WAFRICA wote niwamama mmja akili hatuna ujingahuhu ndo unaotumaliza nani mwenyehati yakujuwa alikotoka
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Ataatuletea kizaz Cha kongo
@ivana9837
@ivana9837 2 жыл бұрын
Kama ubalozi Congo wamempokea mtu wao na kuridhia arudishwe nyumbani sisi ni nani tuseme ameonewa. Akatafute vibali arudi Tanzania au ahamishie huduma Congo
@bbss8623
@bbss8623 2 жыл бұрын
Hizo mama ni figisu za kidin watu wenye makanisa njia Hy ndio wanafanya hivyo kumkomoa
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 жыл бұрын
Muhamiaji haramu huyo
@justomwandelile1382
@justomwandelile1382 2 жыл бұрын
Kwana huyo sio mtanzania serikali yetu ipo imara sio ya mchezomchezo vyo mbo vya ulinzi hongera Sana kwa kazi Nzuri Sana huyo Mama mchuguzeni ni muongo hatali kila rikizo anaenda Kongo wakati no mtumishi wa serikali pia huyo mine wake hayo majina anayotumia kweli in myakyusa ? Sio kweli fuatilieni kazi Nzuri serikali yetu
@bakarimuhamedbakari3605
@bakarimuhamedbakari3605 2 жыл бұрын
Sasa mbona unamtetea sana mama au ndo umasikini utakuandama Sasa ? ingekua mtz congo unafikiri ungebembelezwa Kama anavyobembelezwa uyo Babu? Ww mama ww
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 жыл бұрын
Sasa kama ni waCongo wanaogopa nini kurudi Congo? Au Bongo imekuwa Tamu zaidi.
@jescamosha1327
@jescamosha1327 2 жыл бұрын
We nae,kama hujielewi Hata kama ni mkongo mbona hawataki kusema alipo?kama yuoi central ni central ipi hiyo isiyojulikana?acha kuropoka upuuzi ww,ingekua ni baba yako ndo anafanyiwa hivi ungejisikiaje?acha kuropoka wewe,kwani Tanzania kuna wacongo wangapi?acha kuropoka mxiuuuuu Tutaka kujua Askofu kapelekwa wapi hilo ndo la muhimu
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Kwnn wanambembeleza wamfukuze kwn wanashindwa kitu gn
@anastziapetro8585
@anastziapetro8585 2 жыл бұрын
Nakuchukia. Sn ww mzee acha fimbo yamgu lkuchape shetn ww
@estakapufi7582
@estakapufi7582 2 жыл бұрын
Hajavamiwa sema mumeo anavunja shelia za nchi awe na vitambulisho
@mwanamutemi
@mwanamutemi 2 жыл бұрын
Kama amevunja sheria Umemsikiza Mwenyekiti wa Mtaa huo ? Uhamiaji wamevunja sheria na amri ya mahakama NGOJA FAGIO LA MAMA DHIDI YA WAZEMBE WANAO JIONA mungu WATU, KAMA VILE YULE LENGAI OLE SABAYA WA HAI ALIE GEREZANI SASA !!! FAGIO LAJA !!
@ambakisyemallango3911
@ambakisyemallango3911 Жыл бұрын
Kwani ni mkewe huyo? 😣😣
@ambakisyemallango3911
@ambakisyemallango3911 Жыл бұрын
Ester huyo mama alinyang'anya mume wa mtu. Huyu alikuwa mby , make mdogo wa Mzee mwamfupe.
@naturelle1097
@naturelle1097 2 жыл бұрын
Hata kama mhamiaji kuna taratibu za kumuondoa mtu nchini pasipo kumfanyia vurugu. Hii kesi na maelezo ya mke wake inaonesha kuna kitu nyuma ya pazia. Afu kama huduma yake huyu mzee wengi wanakiri kuponywa kwanini mnashabikia kufukuzwa kwake. Kwani wakongo sio waafrika wenzetu ? watanzania jifunzeni kuwa na upendo ili na nyinyi mkisafiri you experience the same. Acheni chuki!
@upendoraphael4090
@upendoraphael4090 2 жыл бұрын
Muombe Mungu. Tanzania iendelee kuwa na amani. Lakini. SIKU ikitokeya Mungu akafanya Yake. Ndipo mtajuwa ukimbinzi Ni nini. Au vita Ni nini. Nyinyi Kwa nyinyi hampendani niunafiki Tu.
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 жыл бұрын
Anapiga pesa kwa jina la yesu, kwani kongo c wapo tena wanapigana vita akahubiri uko
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Umeonaee
@joycenicodemus.2232
@joycenicodemus.2232 2 жыл бұрын
Kwanini wanag'ang'ania Tanzania siwarudi wakae kwao congo walishaona Tanzania ndio sehemu yakuleta dini zauongo ili wapige pesa.
@mussamusa255
@mussamusa255 2 жыл бұрын
Ama kweli yamewakuta, mtu asiyewafahamu anaweza kuwaonea huruma. Wengine tunamshukuru Mungu kwa maana anavuna alichokipanda Rum 12 :19Ninyi mnachokipitia Ni kisasi Cha Mungu wa kweli aliyesema kisasi Ni juu yangu. Tubuni kwa uovu wenu. Eti Askofu, Askofu tapeli !!! Mimi nawadai hela yangu ya kiwanja. Mbele za Mungu hapo bado
@bahatimellita6619
@bahatimellita6619 2 жыл бұрын
Pole sana ndugu
@estakapufi7582
@estakapufi7582 2 жыл бұрын
Na hii tz ukiona mtu anasakamwa hivi ujuwe kunakitu sio bule mbona wa congo wengi tz hawajafanyiwa ivyo huyu atakuwa tapeli tena mshilikina kaona kapata mapoyoyo wakuwatapeli akifikilia congo hakuna wakumsikiliza sasa hataki kurudi kwao🤣🤣🤣🤣🤣
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 2 жыл бұрын
???????????
@sarahbampenja5570
@sarahbampenja5570 2 жыл бұрын
Asiyejua MAANA hawezi jua JIULIZE ni watu wangapi wa mataifa mangapi wapo wanahubiri dini tena wengne wa ulaya ebu jiulize tafakari huyu baba nguvu na karama aliyo nayo ndio inakuwa kizungumkuti hata hivyo kuna kanuni na taratibu kwa nini wasimpeleke mahakamani hakika hii ni dunia tunasahau kuwa kuna maisha baada ya kifo na ni maisha ya MILELE .ATAITOKEZA HAKI YAKO KAMA NURU. Zaburi 37 :6. Hata YESU KRISTO NDIYE YEHOVA WALIMKATAA.UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI TU.TUOMBEANE WOTE NI WA MUNGU HAKUNA AJUAYE KESHO YAKE.TAFAKARI KWA KINA TUKIO HILI .MUNGU ATUSAIDIE SANA
@salimaamnobe2132
@salimaamnobe2132 2 жыл бұрын
Twawaombea MUNGU wa Tanzania inchi yenu iwe na amani ya kudumu la sivyo mtakuja kujuta Congo mta iona chugu hamna hata sifa moja ya kulea wakimbizi juweni sote ni wa Afrika mbona Ulaya wa Afrika ni wegi tu! ila kama kuna wa kufukuzwa ana fukuzwa kihalali tu mtakuja kujuta duguzetu rudi bado mapema
@ambakisyemallango3911
@ambakisyemallango3911 Жыл бұрын
Uligwangili Gilina leka ubuhuni.
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 2 жыл бұрын
Idara iliyooza ni UHAMIAJI.WaEthiopia Wasòmali wanapita boda ya Tarime,Horohoro,Holili na wanakamatwa Makambako.Inaingia akilini?
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Kama vipi aache kuhubiri.Misukosuko itakoma.Akili kubwa itaelewa.
MZEE WA YESU ATIMULIWA NCHINI.
2:54
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 2,8 М.
MAZITO NCHINI: SIASA,CHUKI, USALITI, NABII ROLINGA ANENA HAYA
25:33
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 25 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 38 МЛН
Waziri Bashungwa aahidi lami Ntungamo Jubilei ya Askofu Rwoma.
8:50
YESU WA TONGAREN AKATAA KUSULUBIWA (PART 1 OF 4)
1:04:47
Straight Path Dawah
Рет қаралды 241 М.
Askofu Niwemugizi afichua magumu aliyopitia
6:19
Mwananchi Digital
Рет қаралды 18 М.
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 25 МЛН