Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1

  Рет қаралды 115,846

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZfaq Link bit.ly/KZfaqSalamaNa
Joseph Haule ni mmoja ya binadamu ambao nawapenda sana kwenye dunia hii na huwezi kuamini hata yeye anajiskia hivyo juu yangu, nikiwa naye vibe na story zetu huwa zinabamba sana. Kuanzia story za maisha, muziki, historia na hata kuwacheka watu wakati mwengine, ndo zetu.
Nakumbuka baada ya kumsaka asubuhi moja hivi na yeye kutodaka simu (ambayo baadae aliniambia alimpigia Sallam simu akidhani yeye ndo aliyempigia badala ya Salama), hayo maelezo niliyapata baada ya yeye kukutana na tweet ya kulalamika kwangu juu ya yeye kutorudisha simu yangu.
Tumetoka mbali kiasi chetu, mkubwa kwangu kwa miaka 7 na heshima yangu kwake si ya kupima kwa kisoda. Unaweza ukawa unajiuliza sasa mbona hatukuoni naye na mambo kama hayo (hiyo mambo kama hayo nimeongea kama yeye) well... Urafiki wetu si ule wa kugandana kama kifungo na shati, au kichwa na nywele au kucha na kidole ndugu yangu, urafiki wetu ni ule wa kuendeleza pale tulipoishia na kuangalia na kwa mbali juu ya kitu mwenzio anafanya huku tukitakiana Kheri.
Nakumbuka vizuri mara yangu ya kwanza kukutana na Profesa, enzi za Times FM kule mjini, kipindi hiko mimi ndo nimepata ajira yangu ya kwanza na yeye ndo alikua Msanii wa mooto sana, hard blasters wako na moto wa tipa, na nani ndo kiongozi wa nyika? Nigga Jay. Urafiki wetu ulianzia hapo, na mpaka leo tunamshkuru Mungu.
Ukuaji wake hasa ndo nia na madhumuni ya mimi na wenzangu kuona Prof atatufaa sana kumalizia episode yetu ya 55 na ngwe ya kwanza ya kazi yetu hii. Zaidi kama tujuavyo, hakuna msanii hata mmoja ambaye hajawahi kuvutiwa na hustle zake za kuanzia juzi mpaka leo hapa tulipo. Na hiyo inajumuisha kipaji na UANDISHI ulosimamia kucha. Jay tunakuzimia indeed!
So wapi haya yoooote yalianzia? Mpaka sasa Mbunge nje ya Bunge? Well... Hata mbuyu ulianza kama mchicha, humu Prof anazungumza na sisi juu ya masuala ya familia na safari alizopitia, mikoa aliyowahi kuishi, mahusiano kati ya Marehemu Baba yake na Mama yake, wadogo zake, Kaka na Dada zake, elimu yake, experience yake mjengoni, nini maana ya baadhi ya vitu na mambo aliyowahi kuyapitia. Pia tuliongelea kupatikana kwa binti yake pekee Lisa, jinsi alivyokutana na mke wake, kipaji chake, kwanini Mikumi na kwa mbaaali uchaguzi mkuu uliopita.
Profesa ni mwana flani ivi ambaye toka zamani ramani ya mambo yake yako mfuko wa nyuma, kupotea au kupoteza malengo si jambo rahisi kwake, labda kuchelewa tu kwa hayo aloyapanga. Na hivi sasa kwa miaka mitano hii ambayo yuko nje ya bunge, pengine ndo wakati wetu wa kufaidi kipaji chake na kuokota mawili matatu kwa wale wote tunao muangalia na kupenda nyenendo zake.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 164
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 3 жыл бұрын
Prof. Ajengewe mnara Ni msanii ambye kautoa mbali sana huu mziki. Kipaji chake nikubwa mno👏👏
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 3 жыл бұрын
Prof Jay - the most credible, wise and consistent bongo musician of all times. Fid-Q - the most intelligent bongo musician (and possibly with the highest IQ) and the best rapper of all times. P-Funk Majani & Mater-J - the best bongo producers of all times. TMK wanaume & East Cost - the best bongo groups of all times. Respect from Congo 🇨🇩 tunapendaka music yenu sana huku East of Congo.
@nicholasmakule2381
@nicholasmakule2381 2 жыл бұрын
Fanya research bro
@collethadavid9126
@collethadavid9126 2 жыл бұрын
@@nicholasmakule2381 do some research first and then write not just to the ghosts
@charlesmichael5921
@charlesmichael5921 3 жыл бұрын
Leo mapema tu...likes kwa wote walioielewa hii interview
@ronniebertin3563
@ronniebertin3563 Жыл бұрын
Profesa j nakusiliza machozi yanatoka good memory
@d79d26
@d79d26 3 жыл бұрын
I'm first view salama tuletee na mtu mzima P funk majani please 👍
@andreamwamewa749
@andreamwamewa749 3 жыл бұрын
Mbunge nje ya bunge the heavy weight MC I preciate brother💪.
@mohahmed6423
@mohahmed6423 3 жыл бұрын
First Tanzanian artists i known about, This is the Heavyweight MC boys! This guy is a Legendary 💪💪💪
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 3 жыл бұрын
Daaaaaaa!!! Jay anaongea facts, yupo real, Hana maringo, Jay ananiinspire sn
@rodrickmataba8999
@rodrickmataba8999 3 жыл бұрын
Hapa natamani kumsikiliza Nature, tujue ilikuaje enzi zile za Tmk wanaume mpaka Tmk wanaume halisi mpaka ile ishu ya kufukuzwa studio kisa amevaa ndala... #sendtip #salamanaNature
@danielhaule155
@danielhaule155 3 жыл бұрын
Mwana muziki Wa hiphop ninaekukubali tangu nianze kukusikia Mpaka Leo,u deserve that name professor🔥🔥🔥
@leonidasifrance8903
@leonidasifrance8903 3 жыл бұрын
Professor jay naweza msaidia ndani ya cku 24 aweze kipungua uzito wake na aweze kumantain hiyo 0789650225
@nz6181
@nz6181 3 жыл бұрын
Nakufagilia Profesor J. "Your legend of Bongo Flava" Salama 👌👌 @🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@kingbidder
@kingbidder 2 жыл бұрын
Salama we chupi sanaaa.. Ume nufuraisha sana.. Eti piza ina pikwaje.. J na yeye dah inapigwa PAH.. i love you both.. St8 from UK🇬🇧
@rasjoe9948
@rasjoe9948 3 жыл бұрын
Profesa ni legend much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 жыл бұрын
Mbna Raha sana..prfs j..hauzeeki toka nakua hadi leo upo vzri.maisha maref kwko
@switbertchenya6362
@switbertchenya6362 3 жыл бұрын
Salama bonge la mwana habari. Good IQ.
@konceptualagency4837
@konceptualagency4837 3 жыл бұрын
Magufuli hana ubinadamu na huruma alikua nao Kikwete Allah ambariki yule mzee
@trumpetoflife7312
@trumpetoflife7312 3 жыл бұрын
Nimekubali sana hii! Salama bigup km zote... Prof akili kubwa ( sound mind)
@lotinyumba1573
@lotinyumba1573 3 жыл бұрын
Mgodi unaotembea, my favorite rapa in tanzania
@samwelyarkado552
@samwelyarkado552 3 жыл бұрын
Sart sana PJ hauna majivno! Bomba za Maziwwa, nchinzimaaaaaa, safiiii!!
@zefaniachowe4420
@zefaniachowe4420 3 жыл бұрын
Prof. Jay is a good story teller. Big up bro.
@muntarisuleimani8082
@muntarisuleimani8082 3 жыл бұрын
Salama kipid chako kinakuwag jumagap na sagap
@corebaraka7823
@corebaraka7823 2 жыл бұрын
respect profesa jay may the lord bless you keep you safe and give you peace
@rubenmkilima4681
@rubenmkilima4681 3 жыл бұрын
Dream always come true 🔥🔥🔥🔥 nilikuwa natamani sanaaa hii kitu... Salama na profesa Jay... Congratulations sister salama
@binbaya923
@binbaya923 3 жыл бұрын
Hongera Dada Salama kumleta huyu Mzee. Respect Bro
@zulfikakalumba1977
@zulfikakalumba1977 3 жыл бұрын
Tunawakubali sana wanetu wa mtaa ila mlitusahau mlipofika mjengo hadi mkadiriki kusema mmepata wana wengine wakina Chenge... Ilibidi mtuoneshe bado mpo na sisi wanenu wakina Nature wakina Afande wakina Mkoloni, zaidi mliwabwaga wanenu. Wala tusiwasifu sana mlizingua kwa upande flani halafu Pro upo vizuri kwenye speech zako hapo ila unaiweka mbele sana hali yakujisifu...
@musaeliad4744
@musaeliad4744 3 жыл бұрын
Salama ur too genius real appriciate
@gnmbi
@gnmbi 3 жыл бұрын
Huwa na enjoy Sana interview za professor Jay
@r.kassimtoutautre3432
@r.kassimtoutautre3432 3 жыл бұрын
Kitu bomba 🇧🇮Who lives 🇹🇷
@fadhiliswidhun9779
@fadhiliswidhun9779 3 жыл бұрын
Hk salama n bonge la kpnd lnatufunzaa meng kwel kwel asante.
@rickomba
@rickomba 3 жыл бұрын
Salama is a superb interviewer.
@mashakashobo979
@mashakashobo979 3 жыл бұрын
Prof nakukubali Sana bro,,nakumbuka miaka ile unatangaza majiko ya ges umevalishwa nguo za kike 😁😁😁😁😁
@mugadimon3563
@mugadimon3563 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 nakumbuka hilo tangazo ni la siku nyingi sana
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 3 жыл бұрын
Salama ni mnoma. Jinsi alivyolichomeka hilo suala la pizza🙌
@kowech2626
@kowech2626 2 жыл бұрын
Nimecheka sana. He is a legend.
@erickmweta8215
@erickmweta8215 3 жыл бұрын
MP nje ya P The real MC El Prof
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
Nice interview nakubali sana professor j
@mariammbande7697
@mariammbande7697 3 жыл бұрын
Salama una kazi kubwa sana kumsikiliza mtu dakika zote na una get na maswali on it 😁😁 mi ningekuwa nasinzia yaani😎
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 3 жыл бұрын
Lol!!
@andrewkubo4050
@andrewkubo4050 3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii episode. Mbunge ana mambo mengi mazuri. Big up Salama kwa kazi nzuri. Alafu katika ile changia changia ningependa kukuona unakaa na Nikki Mbishi au One the Incredible.
@collethadavid9126
@collethadavid9126 2 жыл бұрын
Hata mie nishamwambia aache utofauti One The Incredible na Nikki mbishi waje apa
@ramzy5280
@ramzy5280 3 жыл бұрын
Tuletee Baba Levo tena siku nyingi hatucheki 😂😂
@musahmichael3480
@musahmichael3480 3 жыл бұрын
aliye vunja kitanda kama mm like comments
@mihambofilm
@mihambofilm Жыл бұрын
Prof Jize is My role model Ever🔥
@hunterevents9132
@hunterevents9132 3 жыл бұрын
Salama namkubali sana kwenye kazi zake. As a reminder, Salama naomba sana ktk list yako ya ratiba, umuweke Afande Sele msanii mwenye busara sana pia kama hao wakina Prof n.k...
@erickmachua8829
@erickmachua8829 3 жыл бұрын
Legendary
@jastonelazaro5944
@jastonelazaro5944 3 жыл бұрын
Nmekukubali sana professor kwa kusema ukweli kuhusu uchaguz wa 2020
@gerrarddanken5168
@gerrarddanken5168 3 жыл бұрын
Good Pon't kuhusu Lunya na con boy waige hvo anaongea mzee J mnyama
@benhamza5649
@benhamza5649 3 жыл бұрын
@Salama I’m not sure if you usually read comments however, will go ahead and drop it. Prof sounds like a real man/human who speaks from his heart regarding something his passionate about. He got lost into it. I like it, although this might not be the right place to speak that deep about MIKUMI ( apologies if misspelled) but it certainly the right time. If I’m not mistaken, @Salama , the face and expression recognition /psychological book you have been glancing on are being very helpful in terms of saving time on this emission. I love how you took him off course and derailed him from going even deeper into his feelings. If all things @Salama , you decided to come up with PIZZA cooking methods?🤣🤣🤣🤣. But anyway, he noticed and it worked. So it’s a win-win .
@gilbertkasikila5294
@gilbertkasikila5294 7 ай бұрын
😂😂😂 niliona pia baada ya kuona prof anaongea kwa hisia na anaenda deep sana kwenye hiyo topic
@tulinagwembangula8976
@tulinagwembangula8976 3 жыл бұрын
Salama Mbona kimya sana. Sipata Ep nyingine
@starsaver763
@starsaver763 3 жыл бұрын
Salama nakupenda bure
@owlbig
@owlbig 3 жыл бұрын
I like this guy 🇧🇮❤️
@sadickallykingengena4034
@sadickallykingengena4034 3 жыл бұрын
Big love broo
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 3 жыл бұрын
jamani "nikusaidiaje" days! I love the song mpaka leo
@nginirasaire5876
@nginirasaire5876 2 жыл бұрын
Salama will never live out a question you wanted an answer too... I guarantee
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Allah akupe shifaa brother, una comedy ndani yako Pf jz
@nellysosteness9898
@nellysosteness9898 7 ай бұрын
Nzuri sana
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 жыл бұрын
Nice sana
@salumjumah5648
@salumjumah5648 2 жыл бұрын
Interview kubwa sana hii 2021 prof jizeeeee
@_ayuma
@_ayuma 3 жыл бұрын
A LIVING LEGEND!!!!
@vidovidal1
@vidovidal1 3 жыл бұрын
Alie skia lutengano high schoool mbeya tukuyu twende sawaa
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 3 жыл бұрын
Salama naomba umlete Pfunk na Chidi Benzi, itakuwa hot
@kelvinokelo7992
@kelvinokelo7992 3 жыл бұрын
Wamitulinga💥💥
@bensakibu8394
@bensakibu8394 Жыл бұрын
Keep it up salama.
@abdulazizimohamed3093
@abdulazizimohamed3093 3 жыл бұрын
Mbunge nje ya bunge umeeleweka sana
@hopeobeth9806
@hopeobeth9806 3 жыл бұрын
Sema kitanda baba shikamoo
@yusufumulumba5242
@yusufumulumba5242 3 жыл бұрын
Pendeza muzungu 💕
@leblue4768
@leblue4768 3 жыл бұрын
Tafadhali Salam tunatamani utuletee chid benz
@husseinmaingo7116
@husseinmaingo7116 3 жыл бұрын
Salama tunaomba tulete King Kong " Chid Benz"
@ericklema5017
@ericklema5017 3 жыл бұрын
Na TID mnyamaa😂
@napster2558
@napster2558 3 жыл бұрын
Sooo BiG ❤
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 3 жыл бұрын
Just Love This Show:-
@RONALDOTRUCKDRIVER
@RONALDOTRUCKDRIVER 3 жыл бұрын
Brother 4 life jay
@daudimatelot9339
@daudimatelot9339 3 жыл бұрын
Professor " Bado sina chochote unataka nisote unafaidika nn ukiniona sipo popote kiumbe mwenye akili butu na roho za kutu "
@PeterJohnRukiko
@PeterJohnRukiko 3 жыл бұрын
G.O.A.T 👑🐐✊🏾✊🏾✊🏾💪🏽💪🏽💪🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥💯💯💯
@Fgldesigns
@Fgldesigns 3 жыл бұрын
Naombeni sapoti yenu karibuni kusubscrine kwenye channel yangu kutazama video za ubunifu wa majengo mbalimbali.
@mariamkaaya939
@mariamkaaya939 3 жыл бұрын
Majinaa ya vyakula. 🤣🤣🤣
@mohamedimwijuma1882
@mohamedimwijuma1882 3 жыл бұрын
RIP DJ Omy ulinipa sapoti sana wakati naimba kaka
@abdulazizimohamed3093
@abdulazizimohamed3093 3 жыл бұрын
Salama acha kumchanganya mheshimiwa na kupika piza wapi na wapi
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 3 жыл бұрын
Nimejifunza kuna watu hukutana kabla ya wao kuwa this big
@ijumaawikienda5435
@ijumaawikienda5435 3 жыл бұрын
j buana very confident
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 3 жыл бұрын
wewe ni genius
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
Prof. Jay 💥
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Leo nmewahi na mm
@beckachonka5906
@beckachonka5906 3 жыл бұрын
safi
@HansBwoi
@HansBwoi 3 жыл бұрын
Mlete Jay Moe
@adamrafiki5219
@adamrafiki5219 3 жыл бұрын
Marufuku kukata tamaaa tulio skia hyo!* Like
@justinmmbando5386
@justinmmbando5386 3 жыл бұрын
Ukiwa na kipaji utafurahia maisha yako milele na milele
@ilundafarm2798
@ilundafarm2798 3 жыл бұрын
Hahaha jamaaa kaongea mambo ya siasa sana mpk salama kamuamisha mada
@nyimbozakihehe3967
@nyimbozakihehe3967 3 жыл бұрын
Eti Mpitimbi 😀😀😀😀😀
@rukiachamani1101
@rukiachamani1101 3 жыл бұрын
I love this interview.
@herrymadini4656
@herrymadini4656 3 жыл бұрын
Professor jay babaaa..
@mrfashion1687
@mrfashion1687 3 жыл бұрын
Next salama na Adam Mchomvu
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 3 жыл бұрын
🤣🤣mitama
@shabanimwambi4949
@shabanimwambi4949 3 жыл бұрын
Salama show zako Zina na maswali ambayo Kila mtu hujikuta umemuulizia yaani Raha tupu
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 3 жыл бұрын
101kg meeen That a heavyweight right there
@nginirasaire5876
@nginirasaire5876 2 жыл бұрын
I wish I could hit that, am 133
@nicksoncharles8240
@nicksoncharles8240 3 жыл бұрын
Tuleteee na unju@nikk mbish
@jumamalilo749
@jumamalilo749 3 жыл бұрын
Prof J
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 жыл бұрын
Ngoja nisikilize kwanza
@prochesnorbert8720
@prochesnorbert8720 3 жыл бұрын
Jamani Salama, Leo Jessica umemuweka wapi????
@samsonmaiko6089
@samsonmaiko6089 2 жыл бұрын
Salama wejama itachukua muda Sana kupata mtu Kama wewe, unaisha na utamuwakoo.
@emmakiwaya4607
@emmakiwaya4607 3 жыл бұрын
hapo mwenye scratch za mdomo nmeskiliza zaidi ya mara 5
@shabanbuchu2130
@shabanbuchu2130 3 жыл бұрын
Na hio kilo lazima kitanda kivunjike
@HansBwoi
@HansBwoi 3 жыл бұрын
Mlete Chidi benzi
@maishakisunzu1029
@maishakisunzu1029 3 жыл бұрын
Hongera salama kwa kazi nzr Sana ila ningependa kushauri juu ya vipindi hivi ambavyo mumekuwa mkihoji watu mbalimbali, ukweli tumekuwa tukijifunza baadhi ya mambo kupitia hivi vipindi lkn kwa nn msiwe mnaalika na watu wa hali ya chini pia maana asilimia kubwa nimekuwa nikiona tu wanahojiwa Ni watu wa hali fulani za kimaisha ili hali vipindi hivi kwa asilimia kubwa vinaangaliwa na watu wa hali za chini au watu wa hali duni hawana cha kukufundisha kupitia maisha yao? Maana vipindi vingi vya namna hii km vile vya the switch ya wasafi fm na lily ommy, gerezani cha efm na jonijoo na vinginevyo ni kama vinafanana sana tofauti yake ni ni mazingira tu,
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 3 жыл бұрын
Asante... Mkiletewa watu wa kawaida HAMUANGALII
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
leo Jessica ayupo
@mwljohnray1725
@mwljohnray1725 3 жыл бұрын
Salama niletee JB -Jacobo Steven
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 3 жыл бұрын
"Maskani kimara watu kila siku mamtoni"
@petermaro9852
@petermaro9852 3 жыл бұрын
Jonas kiwia wasalimie Washington,ukiweza pita texas mpe Hi Chiefsam na mkumbushe uzushi wa bongo dar es salaam.
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 3 жыл бұрын
@@petermaro9852 Hatari sana
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 3 жыл бұрын
Hayo majina ya hizo drinks 🙈
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 3 жыл бұрын
@@vincentcharles4385 drinks zipi
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 3 жыл бұрын
@@petermaro9852 acha kabisa
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 2
27:13
YahStoneTown
Рет қаралды 48 М.
AMANI SDA CHOIR / Chang'ombe Dodoma
1:12:35
Amani SDA Choir Dodoma
Рет қаралды 8 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 60 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 33 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 28 МЛН
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
JAMBO NA VIJAMBO : BIA ZAMPINZA MBOYOYO !
8:59
Wasafi Media
Рет қаралды 43 М.
Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1
32:38
YahStoneTown
Рет қаралды 110 М.
There’s A Starman #superman #shorts #memes
0:26
Walking Streets 워킹스트리트
Рет қаралды 41 МЛН