Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1

  Рет қаралды 175,440

YahStoneTown

YahStoneTown

2 жыл бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MSAFIRI HUFIKIRI
Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
Tafadhali enjoy,
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZfaq Link bit.ly/KZfaqSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 229
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 жыл бұрын
Afya ya Akili, afya ya kinywa na Afya ya Mwili...So Powerful. ✊🏾💯
@davidnchoji
@davidnchoji 2 жыл бұрын
Poor Me😥, namfahamu Zembwela lakini sikuwahi kutenga muda wa kumfuatilia zaidi, na kumbe nimekuwa nikikosa maneno ya busara kutoka kwa mtu mwenyewe busara na akili pana sana. Keep it up Da Salama kwa kutuletea mtu wa aina ya Zembwela...😍❤️
@christophertemba6915
@christophertemba6915 2 жыл бұрын
huyu mwamba zembwela ni fundi sana wa maneno mpka salama anabaki kucheka tu.
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 жыл бұрын
Mali iliyotafutwa na mtu, na wale wasioitafuta kuja kuihitaji hata kama hawahusiki nayo... KInywa, afya ya akili na mwili. Dah.... karibu kila neno la Zembwera ni msumali wa mabadiliko kwa hata kwa wanaozipata simulizi kwa walisikiliza wenyewe. Asante Salama na....Natamani kipindi kisiishe maana hawa hakika marafiki kufa kupona, maaana si kwa cheko na furaha hizo
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 жыл бұрын
ZEMBWELA NA SALAMA MNAITENDEA HAKI LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI KUNA LADHA YAKIPEKEE SANA
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
Zembwella na Gabo wakikaa meza moja wanaweza fanya kitu fulani kikapendwa na watanzania wote
@echolude
@echolude 2 жыл бұрын
finally someone who treats Swahili with proper respect and depth
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Una maanisha nini??
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 2 жыл бұрын
From 🇰🇪Huyu bro nilianza kumcheki zamani na maxi kwa comedy flani alikuwa mpangaji mkorofi 😅🤣
@universitylink
@universitylink 2 жыл бұрын
Asante sana brother zembwela ya kwanza gonga kwnza kisha ya pili ndio u act, nimependa hiyo uko very honest bro, na sister salama nakusalimia sana napenda sana kipindi chako uko juu sana sister keep it up
@mnenedrogba1218
@mnenedrogba1218 2 жыл бұрын
Now I get the reason or reasons as to why Diamond keep mentioning Zembwela babu, this man is very wise and he is on point in almost everything question sent.respect big bro 🤝🙏💯
@emmanuelkiyovu5175
@emmanuelkiyovu5175 Жыл бұрын
L
@emmanuelkiyovu5175
@emmanuelkiyovu5175 Жыл бұрын
0l Ppl
@emmanuelkiyovu5175
@emmanuelkiyovu5175 Жыл бұрын
P
@jonahbirgen6946
@jonahbirgen6946 2 жыл бұрын
I use to enjoy his show at East Africa radio sometimes back from Kenya cheers
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 жыл бұрын
Nimefurai sana Leo kumuona zembwela na nimejifunza mengi toka kwako. Big up salama toto ya zenji. Unajua kuliza maswali na yenye mahana. Awa wandishi wengine wajifunze kutoka kwako.
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 2 жыл бұрын
Hapo salama hajaolewa....sema mume wangu
@AlesiusAndrea1991
@AlesiusAndrea1991 2 жыл бұрын
Babu Zembwera beberuuuu 👍🙏💪
@sevelinamartin7752
@sevelinamartin7752 2 жыл бұрын
Namuelewa Zembwela nakupenda salama,so nimeinjoi sn
@saedymkomwa7866
@saedymkomwa7866 2 жыл бұрын
I wish Salam Uwe Mke wang Tukiwa Ndan Tupige Mastory yaniii... Una Madini Mengi Sana
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 жыл бұрын
Upige nae story au umpelekee MOTO....!
@mjkinyonga38
@mjkinyonga38 2 жыл бұрын
Mahojiano bora zaidi 2022
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 жыл бұрын
Penda sana Zembwela❤❤❤👊👊👊
@mbakomileakim1783
@mbakomileakim1783 2 жыл бұрын
Iyo background music ni ngoma ya nan anaejua please
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 жыл бұрын
Zembwela Una Madini Mengi Sanaaa
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 2 жыл бұрын
Mambo - Matamu 😁
@richardfaustine8802
@richardfaustine8802 2 жыл бұрын
Salama nakukubali sana. Yaan hivyo tu. You are the best.
@hilarymark7583
@hilarymark7583 2 жыл бұрын
Naona sio vizuri chakula au kinywaji kukatiza mtiririko wa stori. Director angeweza kupiga pozi kidogo mpaka mnenaji aweke nukta
@mangisenya4012
@mangisenya4012 2 жыл бұрын
Zembwela uko vizuri sana kwenye kujieleza
@pachamalota4455
@pachamalota4455 2 жыл бұрын
Umetisha kaka mkuu
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
UMENIUA KWA JPM TU 🔥🔥🙌
@majidypapeny1527
@majidypapeny1527 2 жыл бұрын
Na bonge la fumbo ambalo m2 wakawaida hawezi kulijua kwa haraka R.I.P magufur
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
@@majidypapeny1527 Kabisa kaka
@josephlorri431
@josephlorri431 2 жыл бұрын
Majambazi na wezi wa mali zetu ndo tunawashangilia..
@antonykimario5764
@antonykimario5764 2 жыл бұрын
Nakubal sana Salama na Zembwela
@bazlsamyo954
@bazlsamyo954 2 жыл бұрын
Hapo kitelevision au nilivyozoea 😅😅😅😅
@thomaslyimo1729
@thomaslyimo1729 2 жыл бұрын
Nashtuka tu muda umeisha bila kuchoka nadhani hii ni moja ya Interview bora kwangu
@Tysumafrica
@Tysumafrica 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Kabisa maongezi matam ile mbaya
@makantaafrika
@makantaafrika 2 жыл бұрын
Nime enjoy sana hii episode 🙌🏿🙌🏿 Blessings
@dayocha1855
@dayocha1855 2 жыл бұрын
Hii interview ya leo bomba sana ila zembwela katisha sana bila kumsahau salama kwa maswali yake mazuri
@msusasandali5833
@msusasandali5833 2 жыл бұрын
Ni moja ya interview niliyokuwa naisubiri kwa hamu kubwa Sana.... ☺️
@dankirunda3368
@dankirunda3368 2 жыл бұрын
Mimi pia ✌❤
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 жыл бұрын
Glas ya kwanza ilivyonyongwa nilipause ⏸️ kwa kucheka kwanza🤣🤣🤣
@kweka14l35
@kweka14l35 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ya Pili amesema imekuja ya Kuektia 😂
@neemaokechi1729
@neemaokechi1729 7 ай бұрын
Nlikuwa namtafuta mwenzang mwenye hii comments yan nmecheka saana 😅😅😅
@shd12m55
@shd12m55 2 жыл бұрын
Juice ya awamu ya kwanza kwa zembwela 🔥🔥
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 жыл бұрын
Hiyo nimeipenda hilo nichaguo sahihi John pombe magufuli apumzike kwa amani mzee wetu tulimpenda sana hata kama alikuwa anaogopwa.
@marcoemanuel6892
@marcoemanuel6892 2 жыл бұрын
Kari sanaaa hii interview
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 2 жыл бұрын
SALAMA KIUKWELI KIPINDI HIKI UMEJIKAZA SANA ILA KATIKA KIPINDI CHAKO CHA MAHOJIANO NA KAKA ZEMBWELA KABALIAO ALA 1 HALIKAI PANGA 2UNACHEK NA
@lovenessselemani4949
@lovenessselemani4949 2 жыл бұрын
Bonge moja ya interview
@rashidomar1558
@rashidomar1558 2 жыл бұрын
Lessons zinapatikana kwa kufanya interview za maana kama hizi
@yohanayohana199
@yohanayohana199 2 жыл бұрын
Zebwera wewe ni mkweli sana nakumbuka uliwahi kuomba mkombozi wa Tanzania ulipiga magoti ktk redio
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 жыл бұрын
Mpuuzi kweli anamasiala mengi sana
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 2 жыл бұрын
SALAMA KATKA MAHOJIANO YA WATU TOFAUTI NANI ALIKUWA MAJIBU YAKE YALIKUWA YA KUCHEKESH SAN NA ULICHEK KIASI KUJIKAZA?
@nobbylovetv4977
@nobbylovetv4977 2 жыл бұрын
Hii ni siku akimuhoji joti
@buberwajohn1312
@buberwajohn1312 2 жыл бұрын
Daaaah!! Popcorn 🍿 zimeishaaa.
@ditrickhinju9684
@ditrickhinju9684 2 жыл бұрын
Good interview ujawai kukosea kwahilo interview killer u sister nice
@mustaphareginald3264
@mustaphareginald3264 2 жыл бұрын
Big up sister salama...Mungu akuweke sana
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 2 жыл бұрын
"Gari bovu huvutwa gari zima" ha ha ha
@nyamarasapeter4302
@nyamarasapeter4302 2 жыл бұрын
Mazungumzo na Hayati Magufuli yamenenwa kwa hekima na ufundi mkubwa.
@jameskimei5438
@jameskimei5438 2 жыл бұрын
Nice one l love it
@tuliadamson3422
@tuliadamson3422 2 жыл бұрын
Nmejifunzaaa....👍👍👍
@gashugibruno2122
@gashugibruno2122 2 жыл бұрын
Zembwela nakupenda sana apo umemzungumzia Magufuri, kila mtu angependa kuchangiya na Magufuri ili tumpe habari za wasaliti, alikuwa nao karibu. Amewaamini. Tanzaniya imerudi nyuma kabisa
@lazarobituro8644
@lazarobituro8644 2 жыл бұрын
utakuwa umemiss point mkuu 😂
@lotilazaro8845
@lotilazaro8845 2 жыл бұрын
Zimbwera Madini mengi xaaana kwa kichwa chako
@ballisticsound4796
@ballisticsound4796 2 жыл бұрын
Bila kupindisha Maneno IPP Media imetoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya Habari ahapa TZ... pamoja na kutoa vichwa mahiri kabisa
@rukiaasnawi9134
@rukiaasnawi9134 2 жыл бұрын
San sana Sanaa lazima tuwe na fadhira tuseme ukweli IPP🔥
@elizagichogo3881
@elizagichogo3881 Жыл бұрын
Hyo haina mbishi mbona
@akkidume8312
@akkidume8312 2 жыл бұрын
Hahahahahaha nimeipenda
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 2 жыл бұрын
Salama ni hatari sana....,
@alfonsisimoni3080
@alfonsisimoni3080 2 жыл бұрын
Sharp sana istafrika
@kassimoludara4746
@kassimoludara4746 2 жыл бұрын
very informative kudos
@ilhamsalum6815
@ilhamsalum6815 2 жыл бұрын
😂😂😂ninavompenda salama nataman ata apate copy yake💞 mtoto ,akiondoka awepo atakae chukua muonekan na tabia zake NAKUPENDAA😣😩🥰
@tuladavid4223
@tuladavid4223 2 жыл бұрын
Ana mtoto mkubwa
@edwinmbugua7738
@edwinmbugua7738 2 жыл бұрын
@@tuladavid4223 uongo
@farhatkhamis4401
@farhatkhamis4401 2 жыл бұрын
@@edwinmbugua7738 kweli anae wa kiume
@edwinmbugua7738
@edwinmbugua7738 2 жыл бұрын
@@farhatkhamis4401 mapya hayo. Kazaa lini na nani?
@flavianchuwa4370
@flavianchuwa4370 2 жыл бұрын
Zembwela akili Mingi sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@nelsoncosmas5639
@nelsoncosmas5639 2 жыл бұрын
Salama tuletee helisi rais wa wananchi
@loiceamugune6711
@loiceamugune6711 2 жыл бұрын
I love what you are doing my gal. I would love to do just like you are doing
@lilianmmbaga7373
@lilianmmbaga7373 9 ай бұрын
Nimefurahia sana hii meeting ni ya kiakil sana imeongelewa na watu makini saana❤
@husseinpogwa9954
@husseinpogwa9954 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 жыл бұрын
Good interview salama u do in your life big up
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Babu, nakuelewa sana 😀😀😀
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 жыл бұрын
Great mind zembwela
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 жыл бұрын
Zembwela Babu Mswahili 🔥
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 2 жыл бұрын
Nimeisubiri Sana hii muda mrefu
@BongoCryptos
@BongoCryptos 2 жыл бұрын
JPM! SAFI SANA ZEMBWELA
@thedygeorge4548
@thedygeorge4548 2 жыл бұрын
Kwa kufupisha angesema tu anawapenda wasanii wote maana bila kukatishwa angewataja wote...🤣🤣🤣
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 2 жыл бұрын
Salamaaa
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 жыл бұрын
Zembwela ❤❤❤❤
@iddyrashidi8961
@iddyrashidi8961 2 жыл бұрын
hongereni sana kwa hichi kipindi kinatuelimisha sana 🙏
@omariathuman9998
@omariathuman9998 2 жыл бұрын
i just comparing mkasi na hii show guest zembwela aisee zembwela ananifanya nisome nje ya syllabus ....salama nakuona kama ellen wa ellen show america
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Hahaha nimecheka Zembwela alivyoangalia chakula 🤣🤣
@shd12m55
@shd12m55 2 жыл бұрын
😀
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aa2pd9po2M66o3U.html
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 жыл бұрын
Salamaa.nakupenda.sanaa
@allyomary8264
@allyomary8264 2 жыл бұрын
Good interview keep it up
@brendachibura6040
@brendachibura6040 2 жыл бұрын
I love this man ana busara mno
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aa2pd9po2M66o3U.html
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 жыл бұрын
Duh Zembwela ni mtu na nusu aseee
@theresiatarimo3616
@theresiatarimo3616 2 жыл бұрын
Hapo kwa maguful nimemuelewa...hongera zmbwela...
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aa2pd9po2M66o3U.html
@stevenasunga3917
@stevenasunga3917 2 жыл бұрын
Umeongea point sana
@salomecomedyofficial
@salomecomedyofficial 2 жыл бұрын
Zembwela tunaomba kwa heshima umrudishe kwenye game Mr 20%, ni mwandishi na mwimbaji mwenye mziki wa kuelimisha
@fatmaahamadabass8080
@fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын
Zembwela nakukubali sana brother nakupenda huzarau maskini
@rashidomar1558
@rashidomar1558 2 жыл бұрын
Good interview
@rachelkristellagodlove2404
@rachelkristellagodlove2404 Жыл бұрын
Best episode kwa mwaka huo zembwela ana madini mengi sana
@sharmallamossi7856
@sharmallamossi7856 2 жыл бұрын
😆😆😆 wallah uyu kka namependag saan anamaneno ni muwazi mashaallah Allah akubariki
@laylapagae6324
@laylapagae6324 2 жыл бұрын
Amiin
@kisamogoodservicesTv
@kisamogoodservicesTv 2 жыл бұрын
The big show in town, big up kwa team yote. #SalamaNaZembwela
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 2 жыл бұрын
Yani wejamaa ni mshenzi sana... daaaah....😂😂
@bisimwashamboko5713
@bisimwashamboko5713 2 жыл бұрын
Salama kwa nini interview ya zuchu atuipati apa. Tatizo nini. Please tunaitaji
@tresorkabongo8758
@tresorkabongo8758 2 жыл бұрын
Mpaka leo kipindi mlichokifanya cha mkasi 😂😂
@mbarakasaidi8243
@mbarakasaidi8243 2 жыл бұрын
salama please naomba umlete chid benz nakuomba 😔
@nkwabitz233
@nkwabitz233 2 жыл бұрын
BEBERUUU👍👍👍
@habimanayasin4223
@habimanayasin4223 2 жыл бұрын
Mungu wetu sote mkubwa .
@TemuTV
@TemuTV 2 жыл бұрын
💯💯💯🙌🙌
@Kingmizo711
@Kingmizo711 Жыл бұрын
Imetishaa sana🙏🤣🔥🔥
@alijafar9098
@alijafar9098 2 жыл бұрын
Salama L.O.V.E🇰🇪
@fredbasil361
@fredbasil361 2 жыл бұрын
Gari bovu huvutwa na zima😂😂😂
@didomanyota5344
@didomanyota5344 Жыл бұрын
Kuna legendary mmoja umemsahau hapo Mwamba wa kaskazini
@edenngiluke8493
@edenngiluke8493 2 жыл бұрын
Interview Kali Sana.. One Of The Best
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 2 жыл бұрын
Hapo kwa Twent aisee tupo wote
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 2 жыл бұрын
Hiyo juice ulivyo ipiga tarupeta!!!
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 2 жыл бұрын
Kwenye juice noma saaaana bro
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 484 М.
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,3 МЛН
KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU
5:32
Wasafi Media
Рет қаралды 25 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 7 МЛН
Rang Pi Liya Mama 😂 #shorts #tiktokvideo #funnyshorts #comedy #ytshorts
0:46
Sukhasan Ka Rahman Bhai
Рет қаралды 35 МЛН
My wife said she wants to show me her true skills
0:27
昕昕一家人
Рет қаралды 62 МЛН