Рет қаралды 32,558
Singida Black Stars imechapwa mabao 3-1 na Sports Club Villa katika mchezo wake wa pili kwenye michuano ya Kombe la Kagame #DarPortKagameCup ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Magoli ya SC Villa yamefungwa na Najib Yiga dakika ya 45'+1, Kakande Patrick dakika ya 51' na Reagan Mpande 56' huku la kufutia machozi likifungwa na Marouf Tchakei dakika ya 60.
Tazama highlights...