Kama Ulikuwa Una Ndoto Za Kuja Kuwa Mjeda Af Leo Unaishi Nje Ya Malengo Em Njoo Tujuane
@domihaji53254 жыл бұрын
Ulitaka naukashindwa
@saidomar68064 жыл бұрын
Mungu atatimiza ndoto zetu⭐
@affaanothmaan62874 жыл бұрын
😃😃😃
@msetikebwasi68954 жыл бұрын
hiyo ndo mchongo nilo kuwa nikilala nauota
@officialfedede74664 жыл бұрын
Dah umegusa mle mle
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Nikiwaona naiona TANZANIA na ulinzi wa taifa letu, much respect JWTZ God bless you..
@saidomar68064 жыл бұрын
Kwel kabisa
@athumaniomari28334 жыл бұрын
Asante sana mwenyezi MUNGU kwa kuzidi kuripatia nguvu jeshi rangu
@jumamghwai54034 жыл бұрын
So nice, so good! Iwapo tutakuwa imara hivi katika kutii maelekezo ya Muumba wetu hakuna wa kutugusa. Makamanda wetu wako vizuri sana ila nawakumbusha kama wanadamu wenzangu kwamba, kazi hii ya ulinzi ipo mpaka Jahanamu kwani wapo walinzi wa kuzuia watu kutoka humo. Wachape kazi wamkumbuke Mungu.
@saidomar68064 жыл бұрын
Kaz nzur makamanda wa jeshi la Tz🇹🇿 Mungu aibarik Tz na viongoz wake,,, Asant kw jeshi imara Najivunia kuwa Mtanzania ningefurai nami nikawa Mjeda⭐🌙
@tumushabejohn72154 жыл бұрын
God bless you and keep TZ army firm and strong. I have paratroopers shooting exercises.
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Hongera JWTZ tunawapenda sana. Tunajivunia jeshi letu.
@Boaz-Gwanko4 жыл бұрын
Commandoooooo LOVE TZ.
@gracepatrick2864 жыл бұрын
Nice! Mungu awatangulie makamanda wetu.
@dr.djshigongo49274 жыл бұрын
Kudos....grateful being a Tanzanian
@pendobenjamin67254 жыл бұрын
Hongeren sana Mungu awatangulie ktk kazi zenu 🇹🇿
@devidpanja1154 жыл бұрын
God bless JWTZ
@mwanaidihamisi28794 жыл бұрын
Baba yetu Miyala Mungu akuweke miaka mia unajua kutulea watoto wako kimafunzo nidhamu ,ushirikiano na upendo wewe ni kamanda nakumbuka sana JKT Ruvu 2010/2011 ,ubarikiwe sana
@mwasoprince34594 жыл бұрын
Good job,
@mrliverpoolynwa76412 ай бұрын
Siyo SIJAONA MAYALA ni SIJAONA MYALA OC wangu🙏🙏🙏
@abbyadams86914 жыл бұрын
Kazi ya Jeshi iliishinda. Hongereni makamanda
@peterbigambo92914 жыл бұрын
Safi sana mungu ibariki Tanzania
@shukurkatembo28074 жыл бұрын
Vijana wa Col. Mayala hongereni sana.
@shairanadam14434 жыл бұрын
Jamaa hata hawachekii😂😂😂 nkmbka nliwah kuambiwa ning'oe tails kwa vidole tn kaka angu daah😂😂
@barakayub86373 жыл бұрын
Looking good
@thomassamwel48154 жыл бұрын
Hongera kwa jesh retu
@robbykihengu62514 жыл бұрын
Mawaidha Tv,Jeshi lako we likoje ili tukuige ili Jwtz iwe kama unavyotaka?
@charliechaplincomedy56514 жыл бұрын
Nice
@saidmhamed66644 жыл бұрын
Long live Mkuu Wangu
@suppermusic80424 жыл бұрын
Mkn sna Tz
@delekalxon72214 жыл бұрын
Yameiva ayo babaaa majeshi kunoga😅 UNAAA kama wote
@gastosamweli91754 жыл бұрын
Kama movie ya Expendable ya Rambo mwanawane hahahaaaaaaa
@iviejustified81094 жыл бұрын
Safi saana... Ila yule mjomba amebeba madumu 2 ni analipuliwa live bullets?
@officialjohanesmkandara43014 жыл бұрын
Nimemkubali
@iviejustified81094 жыл бұрын
@Fatherjaytz hehehe dah kwa sisi ambao hatuna training waeza kufuata mzigo kwa hofu.... Unaona na Israel faster
@bebebebe56774 жыл бұрын
Jaman hawa jamaa wana kaz ngumu san mung hawalinde
@benjaminkimaro63614 жыл бұрын
Big up sema 🙌🙌🙌
@samwelnyankena98734 жыл бұрын
Askar wa wanyamapor ni kwikwi aseee nadhan wanaweza wazid hawa mbalio
@Boaz-Gwanko4 жыл бұрын
My first Baby boy must be a Soldier.
@charlesmartine34673 жыл бұрын
rojaaa
@HUKUEUROPE.4 жыл бұрын
Jeshi inanoga kwa kuangalia wanavyofanya but kufanya ww duh hapo sasa Gamba linakua hatari
@zakayomtweve82874 жыл бұрын
Mbarikiwa mwakipesile
@dutchsafari75624 жыл бұрын
Kauli mbiu ni moja tu Jeshi alishindwi
@samoocoolingsystem934 жыл бұрын
Aya Mazoezi Mengine Sio Mtu Ameshika Madumu Halafu Mwengine Ana Ak47 Ambayo Haina Lens Hatari Kweli 🔥🔥🔥🔥🔥
@emmanuelanael69344 жыл бұрын
Hahahahahah you Ndio uonyenye uzoefu wa kulenga sasa
@kidjhdf75684 жыл бұрын
Sasa hiv jesh limekuwa zuri zaid mnatakiwa muwe na youtbe yenu
@captendunga13924 жыл бұрын
kabisa sijui hawawaoni watu wa dunia ya kwanza ambao ndo tunaowaiga.
@gastosamweli91754 жыл бұрын
Kwenye kushika madumu mmmmmmh mbona mchezo hatari
@barakanyamafu59374 жыл бұрын
MUNGU alibaliki jeshi letu la Tanzania
@abdulrahmanhassan92544 жыл бұрын
Alafu akukute umevaa kwanda na ujaifanyia kazi
@kebo21554 жыл бұрын
Jeshi la nguvu...
@barakakhemedi12504 жыл бұрын
Msata kihsngaiko moja
@giftmusa65434 жыл бұрын
Nawashauri global ,nature ya hizi news za kijeshi na za operation msiluhusu watu kukomenti.
@joramkimario26664 жыл бұрын
Kweli aseee man ukiona majitu yanavyo coment unaeza pata kichef chef man wanakoment uozo mtup
@kirupyseleman5824 жыл бұрын
Wazi
@saisaikalyasi59984 жыл бұрын
Wenye inchi🏃🏃🏃
@monicahovda45244 жыл бұрын
Wenye nchi Maanake nini? Wenye nchi ni kila mwananchi, anashiriki huduma za jamii na kutoa mchango wake katika jamii, hata wewe waweza Ingia nawe si mwananchi, SEMA labda vigezo hutokuwa navyo, Si ushambiwa JWTZ si unaelewa maana yake, Jeshi la Wananchi wa Tanzania
@tmtwane90924 жыл бұрын
DIVA NIMEMFUATA BDOZEN EFM gusa link kwa full story kzfaq.info/get/bejne/d658n9V6ytO9n6M.html
Ww Maidha unayesema bado nenda ww kamalizie palipobaki!!
@ezapesambili21304 жыл бұрын
Umesota hivyo et kibaka uswahilin anakuibia je ukimkata je!
@kessygifty76684 жыл бұрын
Nataman lkn daah
@domihaji53254 жыл бұрын
Timiza ndoto zako kijana
@engjohnharvard83644 жыл бұрын
Congrats but l can give them only 20% l love their confidence but for them to attain the high rank army status may be after 15yrs with high level training intelligence
@devidpanja1154 жыл бұрын
Rubbish
@eyezarc12394 жыл бұрын
What is your rank brother?..I can see u accessing them., tell us ur rank..
@engjohnharvard83644 жыл бұрын
Devid panja 👏👏its alright A wise man is superior to any insults which can be put upon him, and the best reply to unseemly behavior is patience and moderation.
Waziri wa Kenya akiri kuhusu zuio la ndege za Tanzania kutua nchini Kenya Bofya hapa kujua zaidi kzfaq.info/get/bejne/kKp3ra-pttbRYZ8.html
@zakariadouglas62754 жыл бұрын
Mtadumu makamanda wetu
@mawaidhatv85574 жыл бұрын
Wamejitahidi lakini bado
@maryogotiny50334 жыл бұрын
Ww unasema bado umetumia vgezo gan useme wamejitahid lkn bado? Tatzo mnaangalia move, zmechezeshwa na computer unalinganisha na live exercise ndo ushamba wako
@joramkimario26664 жыл бұрын
Bad wap.ni wap wamekosea ukawarekebishe.yaan wew!!!nikikutukana nitapata dhambi.bora ubak na ibongo wako mgando Mana cdhan kama hata angekua anafanya malaika ungekubal
@roswitamkinga85834 жыл бұрын
Bado ukipelekwa hpo utaweza au tutaanza kuona haja kubwa au ndogo
@lucasmollel49194 жыл бұрын
Mkundu wako ndiyo tayari mbwa wewe mkubwa
@johnmlay47594 жыл бұрын
@@roswitamkinga8583 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wala tusifikirie hata kumpeleka coz ataja alete aibu kubwa