SEHEMU YA MAZOEZI YA MAFUNZO YA KIJESHI, WAKILA KIAPO MBELE YA MKUU WA MAJESHI MABEYO

  Рет қаралды 120,503

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 102
@immah_deo19
@immah_deo19 4 жыл бұрын
Kama Ulikuwa Una Ndoto Za Kuja Kuwa Mjeda Af Leo Unaishi Nje Ya Malengo Em Njoo Tujuane
@domihaji5325
@domihaji5325 4 жыл бұрын
Ulitaka naukashindwa
@saidomar6806
@saidomar6806 4 жыл бұрын
Mungu atatimiza ndoto zetu⭐
@affaanothmaan6287
@affaanothmaan6287 4 жыл бұрын
😃😃😃
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
hiyo ndo mchongo nilo kuwa nikilala nauota
@officialfedede7466
@officialfedede7466 4 жыл бұрын
Dah umegusa mle mle
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 4 жыл бұрын
Nikiwaona naiona TANZANIA na ulinzi wa taifa letu, much respect JWTZ God bless you..
@saidomar6806
@saidomar6806 4 жыл бұрын
Kwel kabisa
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 4 жыл бұрын
Asante sana mwenyezi MUNGU kwa kuzidi kuripatia nguvu jeshi rangu
@jumamghwai5403
@jumamghwai5403 4 жыл бұрын
So nice, so good! Iwapo tutakuwa imara hivi katika kutii maelekezo ya Muumba wetu hakuna wa kutugusa. Makamanda wetu wako vizuri sana ila nawakumbusha kama wanadamu wenzangu kwamba, kazi hii ya ulinzi ipo mpaka Jahanamu kwani wapo walinzi wa kuzuia watu kutoka humo. Wachape kazi wamkumbuke Mungu.
@saidomar6806
@saidomar6806 4 жыл бұрын
Kaz nzur makamanda wa jeshi la Tz🇹🇿 Mungu aibarik Tz na viongoz wake,,, Asant kw jeshi imara Najivunia kuwa Mtanzania ningefurai nami nikawa Mjeda⭐🌙
@tumushabejohn7215
@tumushabejohn7215 4 жыл бұрын
God bless you and keep TZ army firm and strong. I have paratroopers shooting exercises.
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 жыл бұрын
Hongera JWTZ tunawapenda sana. Tunajivunia jeshi letu.
@Boaz-Gwanko
@Boaz-Gwanko 4 жыл бұрын
Commandoooooo LOVE TZ.
@gracepatrick286
@gracepatrick286 4 жыл бұрын
Nice! Mungu awatangulie makamanda wetu.
@dr.djshigongo4927
@dr.djshigongo4927 4 жыл бұрын
Kudos....grateful being a Tanzanian
@pendobenjamin6725
@pendobenjamin6725 4 жыл бұрын
Hongeren sana Mungu awatangulie ktk kazi zenu 🇹🇿
@devidpanja115
@devidpanja115 4 жыл бұрын
God bless JWTZ
@mwanaidihamisi2879
@mwanaidihamisi2879 4 жыл бұрын
Baba yetu Miyala Mungu akuweke miaka mia unajua kutulea watoto wako kimafunzo nidhamu ,ushirikiano na upendo wewe ni kamanda nakumbuka sana JKT Ruvu 2010/2011 ,ubarikiwe sana
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 4 жыл бұрын
Good job,
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 2 ай бұрын
Siyo SIJAONA MAYALA ni SIJAONA MYALA OC wangu🙏🙏🙏
@abbyadams8691
@abbyadams8691 4 жыл бұрын
Kazi ya Jeshi iliishinda. Hongereni makamanda
@peterbigambo9291
@peterbigambo9291 4 жыл бұрын
Safi sana mungu ibariki Tanzania
@shukurkatembo2807
@shukurkatembo2807 4 жыл бұрын
Vijana wa Col. Mayala hongereni sana.
@shairanadam1443
@shairanadam1443 4 жыл бұрын
Jamaa hata hawachekii😂😂😂 nkmbka nliwah kuambiwa ning'oe tails kwa vidole tn kaka angu daah😂😂
@barakayub8637
@barakayub8637 3 жыл бұрын
Looking good
@thomassamwel4815
@thomassamwel4815 4 жыл бұрын
Hongera kwa jesh retu
@robbykihengu6251
@robbykihengu6251 4 жыл бұрын
Mawaidha Tv,Jeshi lako we likoje ili tukuige ili Jwtz iwe kama unavyotaka?
@charliechaplincomedy5651
@charliechaplincomedy5651 4 жыл бұрын
Nice
@saidmhamed6664
@saidmhamed6664 4 жыл бұрын
Long live Mkuu Wangu
@suppermusic8042
@suppermusic8042 4 жыл бұрын
Mkn sna Tz
@delekalxon7221
@delekalxon7221 4 жыл бұрын
Yameiva ayo babaaa majeshi kunoga😅 UNAAA kama wote
@gastosamweli9175
@gastosamweli9175 4 жыл бұрын
Kama movie ya Expendable ya Rambo mwanawane hahahaaaaaaa
@iviejustified8109
@iviejustified8109 4 жыл бұрын
Safi saana... Ila yule mjomba amebeba madumu 2 ni analipuliwa live bullets?
@officialjohanesmkandara4301
@officialjohanesmkandara4301 4 жыл бұрын
Nimemkubali
@iviejustified8109
@iviejustified8109 4 жыл бұрын
@Fatherjaytz hehehe dah kwa sisi ambao hatuna training waeza kufuata mzigo kwa hofu.... Unaona na Israel faster
@bebebebe5677
@bebebebe5677 4 жыл бұрын
Jaman hawa jamaa wana kaz ngumu san mung hawalinde
@benjaminkimaro6361
@benjaminkimaro6361 4 жыл бұрын
Big up sema 🙌🙌🙌
@samwelnyankena9873
@samwelnyankena9873 4 жыл бұрын
Askar wa wanyamapor ni kwikwi aseee nadhan wanaweza wazid hawa mbalio
@Boaz-Gwanko
@Boaz-Gwanko 4 жыл бұрын
My first Baby boy must be a Soldier.
@charlesmartine3467
@charlesmartine3467 3 жыл бұрын
rojaaa
@HUKUEUROPE.
@HUKUEUROPE. 4 жыл бұрын
Jeshi inanoga kwa kuangalia wanavyofanya but kufanya ww duh hapo sasa Gamba linakua hatari
@zakayomtweve8287
@zakayomtweve8287 4 жыл бұрын
Mbarikiwa mwakipesile
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 4 жыл бұрын
Kauli mbiu ni moja tu Jeshi alishindwi
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 4 жыл бұрын
Aya Mazoezi Mengine Sio Mtu Ameshika Madumu Halafu Mwengine Ana Ak47 Ambayo Haina Lens Hatari Kweli 🔥🔥🔥🔥🔥
@emmanuelanael6934
@emmanuelanael6934 4 жыл бұрын
Hahahahahah you Ndio uonyenye uzoefu wa kulenga sasa
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 4 жыл бұрын
Sasa hiv jesh limekuwa zuri zaid mnatakiwa muwe na youtbe yenu
@captendunga1392
@captendunga1392 4 жыл бұрын
kabisa sijui hawawaoni watu wa dunia ya kwanza ambao ndo tunaowaiga.
@gastosamweli9175
@gastosamweli9175 4 жыл бұрын
Kwenye kushika madumu mmmmmmh mbona mchezo hatari
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 4 жыл бұрын
MUNGU alibaliki jeshi letu la Tanzania
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 4 жыл бұрын
Alafu akukute umevaa kwanda na ujaifanyia kazi
@kebo2155
@kebo2155 4 жыл бұрын
Jeshi la nguvu...
@barakakhemedi1250
@barakakhemedi1250 4 жыл бұрын
Msata kihsngaiko moja
@giftmusa6543
@giftmusa6543 4 жыл бұрын
Nawashauri global ,nature ya hizi news za kijeshi na za operation msiluhusu watu kukomenti.
@joramkimario2666
@joramkimario2666 4 жыл бұрын
Kweli aseee man ukiona majitu yanavyo coment unaeza pata kichef chef man wanakoment uozo mtup
@kirupyseleman582
@kirupyseleman582 4 жыл бұрын
Wazi
@saisaikalyasi5998
@saisaikalyasi5998 4 жыл бұрын
Wenye inchi🏃🏃🏃
@monicahovda4524
@monicahovda4524 4 жыл бұрын
Wenye nchi Maanake nini? Wenye nchi ni kila mwananchi, anashiriki huduma za jamii na kutoa mchango wake katika jamii, hata wewe waweza Ingia nawe si mwananchi, SEMA labda vigezo hutokuwa navyo, Si ushambiwa JWTZ si unaelewa maana yake, Jeshi la Wananchi wa Tanzania
@tmtwane9092
@tmtwane9092 4 жыл бұрын
DIVA NIMEMFUATA BDOZEN EFM gusa link kwa full story kzfaq.info/get/bejne/d658n9V6ytO9n6M.html
@frozen4rozen475
@frozen4rozen475 4 жыл бұрын
Izo ni risasi au baluti tafkiri muvi zakibongo
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 4 жыл бұрын
Napenda wanajeshi na ninachukia sana polisi
@babanabil...1247
@babanabil...1247 4 жыл бұрын
Soviet style
@bmhentertainmenttz
@bmhentertainmenttz 4 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/qOBmobaWnOCxhps.html ajenda wakubali kucheza kwaito
@elizabethlucas4983
@elizabethlucas4983 4 жыл бұрын
Ww Maidha unayesema bado nenda ww kamalizie palipobaki!!
@ezapesambili2130
@ezapesambili2130 4 жыл бұрын
Umesota hivyo et kibaka uswahilin anakuibia je ukimkata je!
@kessygifty7668
@kessygifty7668 4 жыл бұрын
Nataman lkn daah
@domihaji5325
@domihaji5325 4 жыл бұрын
Timiza ndoto zako kijana
@engjohnharvard8364
@engjohnharvard8364 4 жыл бұрын
Congrats but l can give them only 20% l love their confidence but for them to attain the high rank army status may be after 15yrs with high level training intelligence
@devidpanja115
@devidpanja115 4 жыл бұрын
Rubbish
@eyezarc1239
@eyezarc1239 4 жыл бұрын
What is your rank brother?..I can see u accessing them., tell us ur rank..
@engjohnharvard8364
@engjohnharvard8364 4 жыл бұрын
Devid panja 👏👏its alright A wise man is superior to any insults which can be put upon him, and the best reply to unseemly behavior is patience and moderation.
@rosemunyali8728
@rosemunyali8728 4 жыл бұрын
Si jeshi 19...ni covid 19
@affaanothmaan6287
@affaanothmaan6287 4 жыл бұрын
Kasema covid "desh" 19 hebu mskize vizur asee. Wala hajasema ulivyo skia wewe.
@AliSaid-ts6rv
@AliSaid-ts6rv 4 жыл бұрын
m
@kisokatvonline3704
@kisokatvonline3704 4 жыл бұрын
Waziri wa Kenya akiri kuhusu zuio la ndege za Tanzania kutua nchini Kenya Bofya hapa kujua zaidi kzfaq.info/get/bejne/kKp3ra-pttbRYZ8.html
@zakariadouglas6275
@zakariadouglas6275 4 жыл бұрын
Mtadumu makamanda wetu
@mawaidhatv8557
@mawaidhatv8557 4 жыл бұрын
Wamejitahidi lakini bado
@maryogotiny5033
@maryogotiny5033 4 жыл бұрын
Ww unasema bado umetumia vgezo gan useme wamejitahid lkn bado? Tatzo mnaangalia move, zmechezeshwa na computer unalinganisha na live exercise ndo ushamba wako
@joramkimario2666
@joramkimario2666 4 жыл бұрын
Bad wap.ni wap wamekosea ukawarekebishe.yaan wew!!!nikikutukana nitapata dhambi.bora ubak na ibongo wako mgando Mana cdhan kama hata angekua anafanya malaika ungekubal
@roswitamkinga8583
@roswitamkinga8583 4 жыл бұрын
Bado ukipelekwa hpo utaweza au tutaanza kuona haja kubwa au ndogo
@lucasmollel4919
@lucasmollel4919 4 жыл бұрын
Mkundu wako ndiyo tayari mbwa wewe mkubwa
@johnmlay4759
@johnmlay4759 4 жыл бұрын
@@roswitamkinga8583 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wala tusifikirie hata kumpeleka coz ataja alete aibu kubwa
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
БИМ БАМ БУМ💥
00:14
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 3,1 МЛН
MWANZO MWISHO  KUAPISHWA ASKARI WA JWTZ RTS KIHANGAIKO
12:40
JEMEDARI TV
Рет қаралды 218 М.
Rejected total Orphan with family living alone in the forest
18:22
Bosongo Vibes
Рет қаралды 1,4 М.
JPM:MAKONDA/"NILIKWAMBIA UACHE TAMAA/NILIJUA UTAKOSA KURA ZA MAONI KIGAMBONI"
19:30
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Cinewatch
Рет қаралды 68 МЛН
INATISHA: Raia wataka kumkata mapanga mchawi Njombe
3:12
Uhondo TV
Рет қаралды 11 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН