"MAGUFULI ALIKIONA KIFO CHAKE, ALITAKA AKAFIE NYUMBANI KWAKE" MSTAAFU MABEYO

  Рет қаралды 59,802

Wasafi Media

Wasafi Media

3 ай бұрын

Пікірлер: 61
@user-tl4cy7br6v
@user-tl4cy7br6v
Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126
Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192
Dah kama naww imekugusa hii tujuane
@JaphethKauno
@JaphethKauno
Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.
@prophetjamesmzigaba4447
@prophetjamesmzigaba4447
Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu
@jaykule8197
@jaykule8197
CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake
@MsAggie5
@MsAggie5
😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.
@kambamazig02024
@kambamazig02024
Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.
@amosmichael8986
@amosmichael8986
Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni
@user-yi8pe8zz1t
@user-yi8pe8zz1t
mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x
Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima
@crispinakimaro3821
@crispinakimaro3821
Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭
@ivangasper1709
@ivangasper1709
Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏
@charlesyapuka4992
@charlesyapuka4992
Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?
@yomamausafi1137
@yomamausafi1137
ipo sku mtasem ukweli
@JackM.-mh5cs
@JackM.-mh5cs 21 күн бұрын
Aliua watumie wengine sanaa hatuna mazombi yatamsaidia hukohuko kuzimu
@joharimillanga1587
@joharimillanga1587
Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed
Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@joselinemwaki9665
@joselinemwaki9665
Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni,
@geofreymlingwa2914
@geofreymlingwa2914
Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM
"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
8:41
Global TV Online
Рет қаралды 1 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 71 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
The story Book: Lumumba Shujaa Aliyetolewa Kafara
25:41
Wasafi Media
Рет қаралды 474 М.
JENERALI MABEYO AFUNGUKA A TO Z KIFO CHA RAIS MAGUFULI
19:12
Daily News Digital
Рет қаралды 315 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 565 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 71 МЛН