Fahamu jinsi ya kuhesabu siku za kushika mimba au siku za kubeba mimba kwa mwanamke mwenye mzunguko wa hedhi mrefu kama wa siku 30.
Пікірлер: 361
@afyatips4 жыл бұрын
Kama unahitaji ushauri kitaalamu au una swali kuhusu maswala ya mzunguko wa hedhi, Uzazi au Afya kiujumla, tutumie message WhatsApp kwenye namba 0717 442 590
@manswaboctavianАй бұрын
Dokta Mimi sielewi naomba unieleweshe siku zangu nimeaza tr 15 na shida angu nibebe mimba nafanyaje
@teklasendama19732 жыл бұрын
Asante doctor
@jescasamwel69832 жыл бұрын
Asante kwa Somo zuri
@asiahussein95372 жыл бұрын
Thank you so much 😍
@mohammadmohammad99912 жыл бұрын
Asanteh sana unanisaidia.sana
@rajabmwangi878 Жыл бұрын
Thanks
@twinjoantwinjoan63123 жыл бұрын
Asante sana
@Victoria-ir6qu3 ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@fatmaabdalla6913 жыл бұрын
Asante Dr leo umeelezea mzunguk wng leo
@shemsakiza8263 Жыл бұрын
Asante kwakisom
@norahhilda26682 жыл бұрын
Nashukuru kwa kunielimisha
@user-yt2ft8rz7f5 ай бұрын
Dokta mm nmeingia piriood mwezi wa pili tareh 10 na nimemalz tareh 16 na nmesex tareh 17 lakn hadi leo sijielew hata nahisi hovyohovyo tumbo naliona limejaaa nikila kidg tu nahisi kushiba yan
@user-kb2bo4eq6s5 ай бұрын
Dokta mm mzunguko wangu niwasiku 30 lakin hedhi nanda siku 5 je siku za hatar ni zip
@marygmakala59663 жыл бұрын
Mary g màkala hongeleni kwa mafunzo mazuli mnaeleweka Sana
@WenelaMwasenga-hc2gf7 ай бұрын
Umeonesha siku za hatari katika vipindi tofauti mwishoni na mwanzoni ....paweke sawa sir
@user-ru3rl7hg2c8 ай бұрын
Assnte Sana doctor
@ReminathaAlayca-cm6iu8 ай бұрын
Kutoka dam nying wskat wa mzunguko na kusumbuliwa na tumbo
@linahtemu65814 жыл бұрын
Thanks Dr, Swal lingine et Me ni Binti wa age 24 ,Why gani me mzungukooo wangu unakuwa mrefu siku 34, nawakat natakiwa niwe na mzunguko wa siku 28, Kuna tatizo et Naomba misaada wako
@marthahamisi12683 жыл бұрын
Doctar kwa mfano nimeingia bleed taehe13.mwzi wa 9_mpaka kumi na 19 na nikawa nimemaliza hapo nikaja kusex taehe kumi 11mwezi10. Je naweza kuwa mja mzito???
@janewanjiku85374 жыл бұрын
Asante
@RizyMakiji4 ай бұрын
Doc me nmepata hedhi tar4 February na nilisex tar 24 mwezi huo Cha kushangaza nmeshika mimba,kwann?
@HagaiIssa-mq9pv4 ай бұрын
Mwanamke wangu mwezi hu April kaona tareh moja, na mwezi uliopita much aliona tarehe moja, tuktane tarehe ngapi mwezi huu ili ashike mimba?
@mwanaidisadiki7424 жыл бұрын
hapo saw
@joshuawakukha53153 жыл бұрын
Asanti doctor
@nahoolalbosaidi66653 жыл бұрын
Doctor me huwa cku zangu zinabadilika kila mwezi, yani mwez mwngne cku 30, mwez mwngne 28 na mwez mwngne 26,, je naweza nikahesab kam kawaid au inakuaje???
@user-oh7mf7mm2d7 ай бұрын
Samahan doctor naomba msaada wako mm nina mzunguko wa siku 30 na ninaingia kwenye piriod tarehe 3 naomba unijulishe sikuzangu za hatari ni zipi?
@kingmuu54604 жыл бұрын
Dr abar naomba kuuliza mm wife alipata hedhi tareh 21 mwezi wa 6 na mwez wa 7 alipata pia hedhi tareh 21 je mzunguko wake utakua wa siku ngapi na siku ya overlation ni lini?
@husnatyrashidy8371 Жыл бұрын
30
@jeskamwandiche50712 жыл бұрын
Mininaswali kwamfano naingia piliodi yarehe14 namaliza talehe 18 je nikifanya tendo landoa siku hizi2,3,4,5,6,7, naweza pata mimba?
@SaruKabunda21 күн бұрын
Dr samahani mm hua naona siku 2 nanikidogo sana iv nitatizo??
@frankmakungu91446 ай бұрын
Dr mi nimeingia piriodi 17 mzunguko wangu utakuwa wa siku ngapi na siku gani ya kushika mimba na nimeona siku tatu naomba msaada
@lugogona41583 жыл бұрын
asnte nlikua sijui nmejua
@FatumaAdam-zj7um10 ай бұрын
doctor mimi mzunguko wangu wa October ni tarehe 10 vipi siku za hatari ni lini???
@HappyCamera-vz7up5 ай бұрын
Happy😂
@thomaschigogolo473416 күн бұрын
Je kwemfano kwa mwana mke mwenye hedh ya kujiludia
@HerikaMbuya2 ай бұрын
Dokt vipi mwenye mzunguko wa sku tatu. Inakuaje. Mfano ameanz tareh 23 akamaliz 25 je sku zake z aatri n zp na free n zipi
@tedypeter22472 жыл бұрын
Samahani doctor Mimi siku zangu nimeona kwa Mara ya mwisho tarehe 26 Hadi tarehe 30 naomba msaa ndaa
@gloryjoseph77772 жыл бұрын
Dactar mim nimeanz period trh 21 mwez u apo siku zangu za kushika mimb ni zip
@ummyzainabu14532 жыл бұрын
Mmi niliona siku 2tu kwenye mzunguko wangu na had Sasa sjaona Dr na natumia kalendar km kinga ya uzazi wampango lkn ht nikienda siku za hatar sipati mimba
@user-ow1he7ne4h10 ай бұрын
Dactar samahn me sifaham mzunguko wangu huwa naingia kwa sku 4 tu Yan sku ya 4 ndo inakata damau
@neemafaustine19852 жыл бұрын
Mm mzunguko wangu n 30 nlianza hedhi 17 na kumalza 20 nikafanya tendo tarehe 7 je apa ntakuwa na mimba
@yuwensimovwe8436 Жыл бұрын
Je ukifanya sk ya kumi mweny sk 28 na hedhi siku 3 huchukuwa kuna hatar?
@rehemamwansile79474 жыл бұрын
Asantee
@afyatips4 жыл бұрын
Karibu
@bentakavinya22543 жыл бұрын
@@afyatips sasa mimi niliona tarehe 4 mwexi ii nikapanya mpexi tarehe 18 ninaweza kuwa nilibeba mimba juu iyo siku nilikuwa na amu sana
@benjaminshadrack54723 жыл бұрын
Dr nisaidie jaman mimi mwezi ulioisha niliingia period tareh14 na mwez huu tarehe 8 nilishiriki tendo lakini mpaka sasa sijaziona siku zangu nanimepima sina mimba sasa sijajua nini naomba unisaidie dr
@KhadijaAlly-ns1iq8 ай бұрын
Dr me mzunguko wangu wasiku 30 siku ya kuminane nilikutan na mwanaume ikapita siku tano nikapita kipimi kikaonyesh sina mimb nikakutananae ten siku yakuminasab nikapima tena sina mimb je shidaitakuwa nini Ila matiti Yang yamevimb yanaumapia
@brandinakizito35412 жыл бұрын
Please msaada wako dct mimi uwa inabadirika badirika kwa mfano wa 8 niliona tareh 8 wa 9 nikaona tareh 4 wa 9 huohuo nikaona tena 30 na huu wa 10 nimeona 30
@andrewgodluck6212 жыл бұрын
Je mwanamke anaeingia mwezi huu tarehe 10 afu mwez ujao akapata Hetti tareh saba atafaje ili spate mimba
@khalifansteven52374 жыл бұрын
Samahan doctor Mimi huwa naziona tarehe 28 zipi tarehe zang zahatari
@razakiabdul23542 жыл бұрын
Akimlz hedh kuna cku 5 za Salam lkn mbeg zkimwaga huchukua cku tat mpk kufa inakuaj hapo kma umefany ile cku ya 5 katk salama baada t ya kumlz hedh
@esthersammy28329 ай бұрын
Doctor mm nko na swali unaweza kupata mimba kabla siku zako za hedhi zikiwa zimebakia siku 3
@CatherinMkakatu25 күн бұрын
Doctor mm nimeingia period tare 13nkamarza16,nkasex17naeza patamimba
@swidathswaleh94422 жыл бұрын
Doctors mke wangu anaingia tarehe 22 na 23 je ni sku gan za hatar kwake
@michaelsamweli81693 жыл бұрын
Doctar je ukipata hedh taree24 had28 cku zake zakuubeba mimb no xp
@getrudamwani67439 ай бұрын
Hii dor Mimi ninashida yakujuwa mzunguko wangu ni wasiku 30 je nilitaka kupata mtoto wa kike nisiku gani KATIKA mzunguko wa siku 30 plz naomba unijb
@EllinasimeoJulius22 күн бұрын
Dokta ni meona hedhi siku nane je nitawezaje kujua siku ya hatali naomba unisaidie nashida na mtoto
@zaynabnikata63624 жыл бұрын
Je kama mizunguko wako wa hedhi unabadilika badilika na hapo inakuwaje Sasa?
@sarabukuku98412 жыл бұрын
Ninaomba msada wako docter mimi ni siku 7 naona damu siku salama yangu ni ipi?nisaidie tafadhari hapo umesema wa siku 6 na saba je
@deborawilliamu84033 жыл бұрын
Doctar mim nasumbuliwa San na kiuno nikiwa piriond msaada
@shangwemgeyekwa14473 жыл бұрын
Jaman mbn me nna mzunguko wa siku 30 au herdh yang napata siku nne
Dorter habar,swali et ukitakaa kujua ni mzunguko wa siku ngapi unahesabu pale unapo anza period mpakaa kabla ya siku 1 kuingiaaa period tena ndy itakuwaaa ni mzunguko wangu 🙏 Naomba unisaidieeee
@irynmjema44303 жыл бұрын
Je mwez wa kwanza ukipita bila kupata priod unaofata ukikitana nae katikati ya mwez unaofata ukakutana na mwanauma je utashika mimba naomba unisaidie
@Dinasprian-jn2svАй бұрын
Dr tusaidie hiyo calendar ya huo mwezi ungekua na siku31 tunasehesa vip
@faridially45343 жыл бұрын
Dokta samahan mim nimeona siku leo mzunguko ni 30 naomba nisaidie siku yangu ya kushika ujauzito natamani Sana mtoto
@user-ip7kl5cg3n Жыл бұрын
Samahan doct ukifanya siku ya 11 unapataje ujauzto
@khadijasaid56293 жыл бұрын
Dr mm nimepata priod tarehe 17/6 cku zangu za hatar itakuwa ni tareh gani
@retinakasela51883 жыл бұрын
Ok mimi mzunguko wangu cjajua wa cku ngp maan mfano mwenz ulipot niliingia period tr8 na mwenz huu mkaingia tr9 je mm mzunguko wa ni wa cku ngp
@EstaNgusi2 ай бұрын
Mm apa sikuzangu ata sizielewi kwakweli mwezi uliopita niliona talehe kumi nanane afu ukiwaunakalibia kuingi kwenye siku zinatoka kidogo zinakata mnisaidie afu apo umeongelea wenye siku sita afu wenye saba je
@NahemiMgeni3 ай бұрын
Hata hujui kuelekeza husemi hiyo 16 imepatikanaje, so mtu anajuaje?
@teffanmaxmillen6806 Жыл бұрын
Je nikwer kwamba mwanamke akishilikiana tendo na mwanaume mara tu baada ya hedhi ku isha atapata mimba??
@TheodoraLazaro-vz5wc11 ай бұрын
Mimi naishia siku tatu so sielewi nitakuwa safe mpaka hiyo siku ya 11?? Nisaidie please
@marleymichael55425 ай бұрын
Doct nina shida ya baby boy na nina mzunguko wa siku 30na huwa napevuka siku ya 10 je nifanyaje hapo
Mmi mzunguko wangu umebadilika baada ya kuacha kutumia pills sasa swali yangu ni, ntahesabu aje mzunguko juu Nataka ujauzito
@robertmusiba97046 ай бұрын
Dr mtu akiwa na mzunguko huu30, ila Huwa anaingia Kila tarehe 4 ya Kila mwezi , siku zake za hatari ni zipi?
@habibawillbroad25313 жыл бұрын
He unaweza kuduu zote au yoyote?
@adammohamedibrahim63244 жыл бұрын
Naomba no ya afiya tip
@medychambo70273 жыл бұрын
Je dockt nimeingia tareh 10 hadi tareh 16 je niesabu vp
@DebraJuma-le8rl2 ай бұрын
Mm nilikuwa heth..22 kufika 3 nikafanya tendo naeza pata mimba
@MangiMyangayanga2 ай бұрын
Mtoto wa kiume anapatikana siku zipi?
@Uwimanafanny4 жыл бұрын
Mwenye siku nying35 na 23 ndogo naye siku zake z atari n zipi mutusaidiy mutwambie
@niakhadija27153 жыл бұрын
Je kama ujawahi kuzaa ukatumia uzazi wampngo alfu ukaishia muda ukawa ujawahi kushika mimba je ukitumia iyo kalenda utapata mtoto
@adoniaskasusu9470 Жыл бұрын
Axanteni kwa uxhaur
@misshollywood57623 жыл бұрын
Je mtu anaweza kupata siku zake mwisho wa mwezi akamaliza mwanzoni wa mwezi mwingine na akaja akaanza tena mwanzoni wa mwezi ujao
@rehemambaruku76263 жыл бұрын
Jaman naomben msada
@sapnamwahija11843 жыл бұрын
Mimi nilianza tarehe 16 nikamaliza tarehe 22/08 naweza kupata mimba nahitaji dola nipate mtoto
@OliviaLee-n4d26 күн бұрын
vipi kama unajaribu na hupati
@kathambikenn Жыл бұрын
Naingia period date 15 siku zangu za hatari ni zipi naomba unisaindie kuzijua
@user-ck6sz4gc5t11 ай бұрын
Nimekuelew san
@qeensalmaty55574 жыл бұрын
Doctor nilipata hedhi 2/3/2020 nikamaliza 6/ nikakutana na mpenz 17 treh naweza pata mimba msaada doctor
@maggieandrew9952 жыл бұрын
Yes n siku ya hatar kabisaa
@rehemarashid53492 жыл бұрын
Docta mimi nina tatizo LA kukaa siku mpka 43 ndy naona sku zanguuu tatizo nn ety
@ErickMmbaga4 ай бұрын
Dr Kama mtu ameingia tar 2 mwezi wa tatu mzunguko wake unakuwaje
@brandinakizito35412 жыл бұрын
Sasa kulingana nahayo mabadiriko nashindwa kujua cku zangu zahali
@AslayJafar-tk1eq Жыл бұрын
He mzunguko usioeleweka siku salama na hatari
@holinessimori54613 жыл бұрын
Nlingia tar1 mwez wa 9 Na tare 2 mwez wa kumi hapo hatar ni siku gan
@dinnajumanne97172 жыл бұрын
Naomba unihesabie siku zangu tar 2 na nikasex 15 je ntakuwa nimeshika mimba
@user-cr3sw3li1e6 ай бұрын
Je Kama nimeona tarehe 15 siku ya hatari ni ipi?
@khadijahmohammad7644 Жыл бұрын
Woow asante sana kaka nimeweza kujifunza na ninazidi kujifunza zaidi,swali langu ni kuwa mimi huanza hedhi tarehe 30 or 31alafu inaisha kwa muda wa siku 4 ,ningependa kujua siku ambazo naeza pata uzauzito maanake nilikuwa sifahamu kaka tafadhali
@eunicelaizer250Ай бұрын
Kiukweli nimefata kalenda vizuri lakin bado nimeahika mimba
@sophiamajula36452 жыл бұрын
Dr mm naingia tareh 21 je siku za Atari ni taerh ngapi
@MwajumaallyadamMwajuma-so9qm Жыл бұрын
Naomba kuuuliza kama umeanza mzunguko sawa na tareh inakuaj yani umeanza tarehe moj ukamaliza tareh sita halaf mwezi wa pili unashia na 28unahesab vip mzunguk wak wa siku 30
@brandinakizito35412 жыл бұрын
Sasa dct na je kwawenye mzungko tofouti touti inakuweje
@jescasamwel69832 жыл бұрын
Mm nmeanza tarh 10 he siku za kushika mimba ni zipi??
@bonphacrichard12132 жыл бұрын
Mke wang anaingia hedhi kil trh 19 je cku ya kushik mimb ni trh ngp