'Nilivyopoteza MTAJI wangu wote kwenye SAFARI yangu ya kwanza CHINA nakushauri usifanye kosa hili'

  Рет қаралды 66,786

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 257
@edinambwambo4847
@edinambwambo4847 Жыл бұрын
Mdada umeokoa wengi sana kwa kuzungumza hayo.Stay blessed.🙏
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Wafanya biashara wengine wanakua na wivu kwa wenzao 😢 dah yani hapo alijua utafanikiwa rohombaya nizaidi ya uchawi Yani hichi kipindi kizuri sana hongera Dada
@jumabisale9974
@jumabisale9974 9 ай бұрын
Thanks bro sky, umeleta kipindi maalum kabisa maana nilitaka kwenda mwez wa 17/11/2023 Bro nimeahirisha kabisa maana kuna madin meng sana nimeyapata kwa huyu dada, ki 10m changu cha mkopo bora nikizungushe tuu kwanza
@salvinaseif6151
@salvinaseif6151 9 ай бұрын
Hili nalo neno
@nunimwaropia3584
@nunimwaropia3584 Жыл бұрын
Sky naomba utuletee Faiza Ally hapa na yeye tumsikie.naamini yule ana mengi ya kutufunza pia
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Pole xana dada nilichojifunza nikwamba hakuna binadamu mzuri mbele ya binadamu mwenzie watu tunakunja xana ##
@JrNsummy-xk8xe
@JrNsummy-xk8xe Жыл бұрын
Tonto Kasema kwel na Amenikumbusha mbali sana Sky. My 1tym kufika Chn ni 2010 nilisafa sana kutokana na kutopata mwongozo mzuri maan niliyemtegemea kunichinjia baharini. Na sikuwahi kukutana naye hadi 2021 tulipokutana kny Msiba wa Ant yake Kinondoni Makaburini. Sky, mtaani kuna maumivu mengi sana ya watu yahusuyo China, Thailand na Indonesia. Ni vile watu wanakomaa nayo moyoni. Totonto kamaliza yote hapo na mimi nasisitizia kuwa, Hata ukiwa na 50M kama huna Taarifa sahihi ya Biashara unayotaka kuisafiria,Hutaweza kutusua kabisa.
@user-ph8gp4oy6u
@user-ph8gp4oy6u 6 ай бұрын
Nakumbuka miaka hiyo nilimuomba bro 1 anifundishe biashara hapa tu East.....kasema sna ratiba ya kwenda,nikaamua kwenda,badaye nakutana naye uganda ananiambia dogo umefkaje huku.skutaka hata kumjibu.bravo bro & sister baadh etu tumejfunza kitu 💥
@just.elhadji__7148
@just.elhadji__7148 Жыл бұрын
Hii stori inalingana na ya babangu mzazi maskini alipoteza mzigo kutika Dubai Takriban Thamani ya mil 30!(Hardware + mini-electronics) 😨.....ila nimeamua kupita njia zake! Alhamdullialh Dua zenu!🤲
@rebecakigutu
@rebecakigutu Жыл бұрын
Daaa jamni pore dear it life
@just.elhadji__7148
@just.elhadji__7148 Жыл бұрын
@@rebecakigutu usiwaze nishapoa dear...ndio life ilivo👍
@emmamga5495
@emmamga5495 Жыл бұрын
Sky nakukubali asee Sana una talent Ya utangazaji 🙏 receive respect
@chazy7ya216
@chazy7ya216 Жыл бұрын
Mimi niliagiza mzigo china ukafika mpaka tz lakini nikatapeliwa na kijananiliekua namwamini sana😂😂😂 milion sita zikaepa zote nanilikua nawaza nikiuza napata milione 25 ila Mungu mkubwa sassivi napigaela nyingi sijakata tamaa
@nicodemusbura7669
@nicodemusbura7669 Жыл бұрын
Nilipigwa m 8 na mtu aiseee
@AbuyDullah
@AbuyDullah 11 ай бұрын
Samahani ila naweza kuwasiliana naww @chazy
@AbuyDullah
@AbuyDullah 11 ай бұрын
@@nicodemusbura7669 uliagiza mzgo naww ama
@user-tb2uo4te1l
@user-tb2uo4te1l 10 ай бұрын
😂
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 10 ай бұрын
Pole
@henrymassawe699
@henrymassawe699 Жыл бұрын
Hakuna binadamu anapenda kumuona mwenzake afanikiwe haswa wale ambao tayari wameshatoboa ingawa siyo wote .
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
Umeona ee
@africaonechannel1289
@africaonechannel1289 8 ай бұрын
Dada nataka NIAMINI Kua ulichosema Kuhusu KUTOKUWAWEKA WATOTO WA KIKE SOKONI Ni KWELI; M/mungu ATAKUSIMAMIA Ktk MAMBO YAKO Yote!●
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Жыл бұрын
Haya pia n makosa makubwa sna hutakiwi kwenda sehemu na mtaji wako wote nenda na nauli tu tembea tu na rudi jipange upya hii sir huwezi kuambiwa na mtu yoyote
@spensiozakato600
@spensiozakato600 Жыл бұрын
Asante, nimekupata vzr kwa hii point
@rebecakigutu
@rebecakigutu Жыл бұрын
kweli hii point true mimi nikienda naenda kwanza kuzurura tu kwanza then narudi tz
@misosikonki
@misosikonki Жыл бұрын
Duh! Aise asante kwa hili somo...
@deathrow8004
@deathrow8004 Жыл бұрын
Hata ukienda nairobi mara ya kwanza kukutana na jambo kama hili ni kawaida sana..means watu wachache sana wenye kuweza kumshika mkono mtu ili afanye kile alichokusudia kwa ufasaha.wengi tumeingiza kwenye shimo la moto mkali kabs
@doreen9516
@doreen9516 Жыл бұрын
Dada is such a hustler, inspirational!
@OnlyRuky
@OnlyRuky Жыл бұрын
Big up Sky na mgeni Shukrani kwa kuwa muwazi👌karibuni kwenye kipindi tuendelee kujifunza
@paulndahanilyamunda6167
@paulndahanilyamunda6167 Жыл бұрын
Wafanyabishara wa kibongo huwa hawapendi kutoa taarifa za huko wanakokwenda! Kwenye vikao vyao wanaonyana kabisa kwamba wasiwape taarifa wengine ili waendelee kufanya biashara zao! Hivyo kuwapoteza wafanyabishara wadogo!
@beatriceclemence
@beatriceclemence Жыл бұрын
true loh
@leedsoldat4189
@leedsoldat4189 Жыл бұрын
Kumbe wanaonyana kbs??
@user-vq1oq7xh2h
@user-vq1oq7xh2h 8 ай бұрын
Ngozi nyeusi we acha tu,wana ile yaani mm nifeli yy atusue,,roho safi hamna kila mtu anataka kuona unaanguka
@albertmbwilinge5449
@albertmbwilinge5449 Жыл бұрын
dada ana ongea aso za kiume kabisa… hongera zake💪🏿
@RobertMolell
@RobertMolell Жыл бұрын
Laiti Watz wote wangu kuwa na moyo mweupe kama wa huyu dada wengi tungetoboa kimaisha,barikiwa sana dada.
@Burner_Acc
@Burner_Acc Жыл бұрын
Ana ngozi nzuri sana hiyo inamaanisha vipodozi vyake vinafanya kazi, I'm glad she caters to dark-skinned individuals badala ya kupromoti kujichubua. In business, life rather, omba Mungu ukutane na watu sahihi wakati sahihi. Watu wengi wanafeli hapo tu. Kwenda nje kufunga mzigo kwa hela ya mbuzi ni kupoteza muda na kukaribisha hasara, wengi wanaenda nje for showoff ila haiwalipi regardless of biashara zao. Take notes.
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
📌📌
@upendokihunrwa3427
@upendokihunrwa3427 Жыл бұрын
Mdada nimependa alivyoeleza jamani Mungu akubariki kwa kutusaidia elim
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Dada nimekuelewa na ndomana watu wote wanaosafiri wadogo wote wameanguka.kuwa mtu wa kati utapata pesa zaidi
@souksoukeventsandmarketing653
@souksoukeventsandmarketing653 Жыл бұрын
Watz ni watu wabaya sana ndugu zangu tunarudishana nyuma
@rosesesala9131
@rosesesala9131 10 ай бұрын
Tatizo wanawake wanawivu sanaa hawataki wanawake wezeo kupiga hatua ,,huyo dada alifanya makusudi kutokukupokelea simu ,,Ana wivu na roho mbaya ,,Mimi nilikuwa nafanya biashara ya vijora tu ,, rafiki yangu akaniomba nimkopeshe vijora vya mtandio vi 2,, yani nimeuza mzigo umeisha namuomba hela ananiambia Sina nivumilie na ananunua nguo kwa watu wengine ,,akanipaga elf 10 Kama elf 10 halafu akaniambia Sasa wewe unashida gani umeuza mzigo Mara 3 Sasa ,,hapo miezi 5 imepita nilipotezea Hadi Leo sikumdai Ila anajutia coz nimepiga hatua na hata aseme anashida ya sh.500 tu siwezi kumpa kabisa Yani ,,anajutia ,,ni wivu tu yani
@mabelmafaa2999
@mabelmafaa2999 8 ай бұрын
Na usimpe ndugu yangu utafanya kosa kubwa nyoka ni nyoka hata akivua gamba yamenikuta hayo najua vizuri Mwenyezi Mungu azidi kukufanikisha.
@niriacatering172
@niriacatering172 Жыл бұрын
Shukrani Sana
@phinerjulius8487
@phinerjulius8487 Жыл бұрын
Kaka sky Asante sana kwa ili darasa
@maisarahakizimana7074
@maisarahakizimana7074 Жыл бұрын
Wonderful sky nakukubali sana Kaka yangu
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka angu Kwa mafunzo chanya. Haya ndo tunayoyataka
@issazalala4907
@issazalala4907 Жыл бұрын
Daaah honestly nime jifunza kitu hapa assanteni
@salmanyangasa1171
@salmanyangasa1171 Жыл бұрын
BARIKIWA Sana my dear dada umetufunza wengi Sana na hakika maneno yako yataishi Sana katika vichwa vya wengi
@jiwemikono5825
@jiwemikono5825 Жыл бұрын
Usiogope kupotezea kitu chochote Bali ni moja ya kujifunza ukipoteza kaa chini tafuta njia usiumizwe japo ni maumivu ukipoteza
@Realzone236
@Realzone236 Жыл бұрын
Aisee Tonto Mungu akubariki sana. Kwanza wewe ni story teller mzuri sana. Halafu story yako ni true experience. Na kwa watu wengi sana especially wanawake wataelevuka sana.
@penwelinatimothy9057
@penwelinatimothy9057 Жыл бұрын
Sis,asante sana kwa kuwa mkweli.Wengi wanapona kutumia huu mfano wako. Pia waTanzania jamani tubadilike,tusaidiane,tushikane mikono. Walio nue ya nchi kama huyo alokutembeza na akahusika kukuibia na mchina kwa kutaka utengenezewa low quality. It's really bad.Lord have mercy on us.
@user-mi1nc4dq6v
@user-mi1nc4dq6v 11 ай бұрын
Ahsante Dada tuko pamoja
@peacemuzaliwa2563
@peacemuzaliwa2563 9 ай бұрын
Daaaah tunashukuru Sana , maana kwenye Biashara tumepitia mengi sana...Alluta Contunua.
@kdloon2030
@kdloon2030 Жыл бұрын
Nilipoteza $17000,ndani ya miezi 6 tuu.Yaani mwaka jana June hadi December.Nilikosa hata pozi la kukaa chini nilie wallah
@allygibu7003
@allygibu7003 Жыл бұрын
Pole sana
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Kisa?
@tabithampinga4606
@tabithampinga4606 Жыл бұрын
Pole sana
@abdulwahidsuleiman
@abdulwahidsuleiman Жыл бұрын
Sky ❤🎉
@SwahiliTheTraveller
@SwahiliTheTraveller Жыл бұрын
Huyu Dada anafaa kua na Company ya kuwasidia Watanzania wanaotaka kwenda nje kufunga mzigo. Kama umeona Comment yangu nimekupenda bule nimetamani niwe karibu yako nijifunze kitu.
@Lambor_2023
@Lambor_2023 Жыл бұрын
Asanteh very soon mungu ataweka mkono
@lucky9285
@lucky9285 Жыл бұрын
Madalali hao dada Dubai,China na Turkey wapo kibao
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay Жыл бұрын
China unaweza kuja ata na 15mil. Cha muhimu make sure unaunganishwa na mtu ambae ni mwaminifu na sio mwenye njaa, pia uje kipindi ambacho tickets ni cheap. Pia kupata bei nzuri lazima ufunge mzigo mkubwa unaweza ukaja na mtaji mdogo na ukaona bidhaa zipo juu kwa sababu order qty ni ndogo.
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Wengi hawajui
@nasrajama275
@nasrajama275 Жыл бұрын
Broo naomba maelekezo nataka diteli
@Lambor_2023
@Lambor_2023 Жыл бұрын
True watu hawana elimu bro mpk yatukute kama hayo ndo tutajua!
@shaababy2570
@shaababy2570 Жыл бұрын
Mdada anacheka mda wote mashallah nimempentaaa
@mshangapeter6566
@mshangapeter6566 Жыл бұрын
Daah noma sana, watu wanapigwa na vitu vizito kichwani...
@user-bo9vv9wl6e
@user-bo9vv9wl6e Жыл бұрын
Mimi kuna rafiki yangu nilimwambia tuende china pamoja alinijib tukienda nitakuacha hotelin hadi nimalize kununua mzigo wangu halaf nitakupeleka madukani ununue mzigo wako nikamjib mimi sio mgeni wa safar kutokana mie nishasafir duniani na natumia paspot ya njee hata visa sihitaji nikupanda ndege tuuu nataka tuende unisaidie tuuu
@rebecakigutu
@rebecakigutu Жыл бұрын
pole dear
@claramaro630
@claramaro630 5 ай бұрын
Duh asantee
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 Жыл бұрын
Stori yako inafanana sana na yakwangu saaana yaaan...ila du ...Mimi nilipoteza zaid ya mil 50
@spensiozakato600
@spensiozakato600 Жыл бұрын
😢pole sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
Wasafiri make Google translator your best friend😢anywhere you go
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Tueleweshe vizur ndugu yangu wengi hawajui namna ya kutumia sorry tupo kwenye kushikana mikono
@tinomasangia5511
@tinomasangia5511 Жыл бұрын
Inspirational safi …. Biashara zina ups n downs sana
@shaababy2570
@shaababy2570 Жыл бұрын
😊😊😊
@Officalnaph
@Officalnaph Жыл бұрын
leo story nzuri sana na inafundisha.
@user-kr2yk6gn4q
@user-kr2yk6gn4q 3 ай бұрын
pole sana kweli ulipigwa na kitu kizito tena chenye giza,asante kwa kuwa muwazi.lakini mungu alikuona ulichukua hatua then ukajua what is the best thing to do na ufanikiwe 🎉🎉❤
@mamavyombo4801
@mamavyombo4801 Жыл бұрын
kipindi kizuri sana @sns kinafungua fikra za wengi na kutia moyo.. Big Up Bro nitakuwa hapo siku moja inshAllah
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 10 ай бұрын
Dada hasa wadada ukweli kabisa ukimkuta mwanamke mwenzio anakwambia njia ya kupita iliyo sahihi mshukuru Mungu ,Amen simamia Imani yako Mungu atajitukuza kupitia misimamo ya uwepo wako.
@ericfelician7996
@ericfelician7996 10 күн бұрын
Mungu amlaani huyo dada
@peacemuzaliwa2563
@peacemuzaliwa2563 9 ай бұрын
Wale wanaume wa2 mmi ni mmoja wao tumebaki wa2 tu. Kabisa nakushauri Usifanye Unisex ,fanya tu ya wanawake my sister utafika mbali sana
@sabrinaali9750
@sabrinaali9750 2 ай бұрын
Hayo ya interpreta kusungumza tofauti na muuzaji ipo sana kwa walioko saudia wanafanya sana sana
@luqmanhussein5551
@luqmanhussein5551 Жыл бұрын
Mzee baba setion hyo mzee baba iite pasua kichwa 🙌🙌🙌
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Sky mungu akubariki tunazidi kujifunza kupitia vipindi vyako
@rajabkahindi3389
@rajabkahindi3389 Жыл бұрын
Sanaa tuu
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 2 ай бұрын
Kwanini watanzania wan roho mbaya jamanni ,mtu kakaulipa bado unamwimbia, dada utabarikiwa sana usijali pole
@sunrisekitchen1
@sunrisekitchen1 Жыл бұрын
Dada yupo charming sana
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Nadhani naongoza na mimi kufatilia habari za Thabo bester kama mimi..yaan usiki wa manane naamka naanza search...napenda sana kusoma esp habari za kisiasa
@annadida5672
@annadida5672 Жыл бұрын
Aiseee
@user-un2hm6my5x
@user-un2hm6my5x 5 ай бұрын
Vizur kwa somo
@efchicken2206
@efchicken2206 Жыл бұрын
That Good thing I like napenda kazi zenu .I wish one time nirudi dar nije hapo mwenye nafanya biashara za truck usa hatari sana.
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Жыл бұрын
Kweli kabxa tunaomba wafanya biashara wa kilimo
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Sky unaongea vizuri
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Жыл бұрын
Watanzania ndivyo tulivyo hatupendani kabisa roho mbaya hata mimi nimeshakutana nayo haya mengi sema huwa najikaza
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
🤣
@beatriceclemence
@beatriceclemence Жыл бұрын
i went trough this,hope i will bounce back
@Lambor_2023
@Lambor_2023 Жыл бұрын
You will God will provide
@tabithampinga4606
@tabithampinga4606 Жыл бұрын
Pole
@priscangimba6194
@priscangimba6194 2 ай бұрын
Nakumbuka mwaka 2018😢nilitapeliwa m36 ya faida yangu yote ambayo niliiwekeza toka 2013 sitakaa nisahau lkn ni mungu tu aliniinua nikajipanga upya nikajiuliza hiv nilianza na mtaji wa bei gani nikajipa jibu na nikajipa moyo mwenyewe .na mshukuru mungu sasa hiv. Mungu kaniinua tena
@jpkkakudji9402
@jpkkakudji9402 Жыл бұрын
Tushukuru sana kaka esky 🙏🙏🙏🙏🙏🇨🇦🇨🇦asante 🇹🇿🇹🇿🇹🇿@esky
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 11 ай бұрын
Yaani Mimi ni vile tuu sijui Nini naweza kuja uza dar njia zote za china najua na mtaji ninao wa kutosha, ila Cha kuuza tuu ndio sijui, nipo Nairobi Kenya natamani kurudi kufanya biashara dar ..mtu anielekeze tuinuane Sina wivu asante...
@kombab1112
@kombab1112 7 ай бұрын
Nakupataje tunaweza ongea kitu
@elijahfresh5985
@elijahfresh5985 Жыл бұрын
Story nzuri, sijawahi kwenda China ila naagiza mizigo at least 20m kila mwezi kutoka China na sijawahi tapeliwa wala kuletewa mizigo feki.
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Hua unagiza kupitia kampuni gani ??
@elijahfresh5985
@elijahfresh5985 Жыл бұрын
Nilisource supplier Alibaba, kwahy wananitumia silent ocean
@jany347
@jany347 Жыл бұрын
Biashara gani
@elijahfresh5985
@elijahfresh5985 Жыл бұрын
Biashara za vifaa vya uchimbaji madini
@safiahassan6121
@safiahassan6121 Жыл бұрын
Alibaba ni waaminifu
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 Жыл бұрын
You need the right ppl ukija china na pia mnahitaji watu wenye ofisi CHINA na TANZANIA address ya mtu muhimu sana na mtu akioe the whole process pesa zako zitakuaje ktk uaminifu wa mizigo yako.
@comics3437
@comics3437 7 ай бұрын
Business Diary is a THING*
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Kuna jamaa alienda hiyo China mzigo wote ukaibiwa. Hii China imeumeza wengi sana. Dada katoa somo kubwa sana
@happinesszuberi7364
@happinesszuberi7364 3 ай бұрын
Mbona Sisi tumeenda mara ya kwanza tumeuza,Mara ya pili tumeleta kontena
@nurathsaidy999
@nurathsaidy999 2 ай бұрын
​@@happinesszuberi7364nyie mnafanyaje jamn
@dcampafrica
@dcampafrica Жыл бұрын
Biashara yoyote bila kua na research yakutosha lazima upoteze pesa
@dijohbanks4312
@dijohbanks4312 5 ай бұрын
biashara ni kama gem hata uwe na research unaweza ukapoteza
@butondodavid2105
@butondodavid2105 Жыл бұрын
Poor research Kutegemea watu Watu hawasemi ukweli
@hmk..
@hmk.. Жыл бұрын
Next time, interviewee should face the camera . position of the camera haipo sawa.
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 3 ай бұрын
Bira umesema ww dada wanahisi huku uturuki Kuna vitu vya buku buku wakati huku vitu ni bei juu
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 6 ай бұрын
Dada mzuri sana sura mpaka akili❤
@abdulabdalla6420
@abdulabdalla6420 Жыл бұрын
Nimesikiliza na nikejifunza sehem kubwa sana kwenye kufanya biashara
@plujoncylugano4611
@plujoncylugano4611 Жыл бұрын
Sister Hongera nimepata elimu kubwa sana kwa kupitia interview hii,unapatikanaje Sister mm nipo Arusha
@plujoncylugano4611
@plujoncylugano4611 Жыл бұрын
Ni watu wachache mno wenye moyo mweupe waliyo tayari kukuonyesha njia ya mafanikio,ni wengi tumepigwa lkn tupo kimya tu,kwa kweli tunahitaji uwe mwl.wa kuwasogeza watanzania wengi walio nyuma yako,sister watanzania ni wengi pmj na mm tusaidie kwa sbb elimu ni mtaji kabla ya kupata mtaji
@happinesszuberi7364
@happinesszuberi7364 3 ай бұрын
Dada wewe ulipigwa kwa uzembe wako tu,ulitegemea mtu,huku fanya research,Mimi nilienda na mtu alinikimbia pia Ila Niki Pambana na nimetoboa na sasa naijua China vzur mno na naleta kontena.ULITEGEMEA SANA MTU,Imeandikwa amelaaniwa amtwgemeae binadamu
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 3 ай бұрын
Pole sana ila kila kitu ni funzo kwenye maisha na Mungu azidi kukuinua zaidi😭🙏🙏🙏
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 7 ай бұрын
Hapa tunajifunza kusubir ni bora zaid kuliko kukurupuka bora angekula hasara ndogo ya visa na tickets
@demetriajohn2393
@demetriajohn2393 5 ай бұрын
Changamoto ni fursa
@josephatmnganya
@josephatmnganya Жыл бұрын
Brother sky nimemwelewa sana huyo dada ametoa elimu nilio ielewa mana nina ndoto pia yakwenda china ila siku najua kama kuna vitu vyaaina hiyo Pia ninataomba siku nije nitoe story yangu pia
@big_daddy_
@big_daddy_ Жыл бұрын
Sister nikupe siri kwanini alikuomba umbebee saint anne? Ni kwasababu limit ya abiria ya kuingiza pombe china kwa njia ya ndege ni litre 5 so hapo box ingekuwa zaidi ya litre 5 kiujumla so ingekuyumbisha airport china na hata pesa zingekutoka kwa sababu ya fine. Huyo kwa kweli hakukutakia mema @simulizi na sauti
@rebecakigutu
@rebecakigutu Жыл бұрын
hooo kumbe 😢
@nahaisha7631
@nahaisha7631 Жыл бұрын
Daaah
@ericfelician7996
@ericfelician7996 9 күн бұрын
Daaa jamani daa bhasi tu tujifunze kitu wa ndugu usiende mahali Kwa mihemuko ,nenda wewe kaka wewe
@sophiahashimu2421
@sophiahashimu2421 Жыл бұрын
Natamani kushiriki maana nimepitia au wanaoshirik ni wenye mitaji ya kuanzia million kum tu
@DonSompo
@DonSompo Жыл бұрын
Keep this show going Sky
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Sky Hakuna alofanikiwa bila kufail hakuna
@suzancharles1639
@suzancharles1639 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa hawasemi biashara ina mambo mengi sana
@glorylema
@glorylema Жыл бұрын
kuna dada alikua anaenda uko china basi watu tukamuagiza yale makabati ya plastic yale na yale ya zipu aisee mafamba alo leta yeye analia na sisi tunalia aisee usiombe😢
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 11 ай бұрын
Nimecheka hadi machozi yametoka😂😂
@hajirarashidi1999
@hajirarashidi1999 9 ай бұрын
😂😂😂😂nyie nimecheka kama tahira😂
@shibalubela6500
@shibalubela6500 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fredrickyayambo206
@fredrickyayambo206 Жыл бұрын
M15 haitoshi kulingana na biashara unayoifata uwez kua na 15 unaenda kufata spare za magari lkn zipo biashara inatoka kabsaaaa
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 Жыл бұрын
Kweli kabisa mtu anafuata heren 15m ni mzigo mkubwa au anafuata glass protector na macover ya bei rahis 15m inatosha tu
@fredrickyayambo206
@fredrickyayambo206 Жыл бұрын
isaac kabsaaa mtaji unategemea na biashara huo mwaka anaousema 2019 yeye alienda wa 4 mimi nilienda mwez wa 10 mwaka huo huo alivyovisema ving ni sahihi wafanyabiashara weng kkoo au popote kma unanunua vtu kwake kwa jumla ukianza kumletea habar ya eti uende china na wew lazma achukie cz anajua anampoteza mteja so hatokwambia ukweli
@joycephilipo
@joycephilipo Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@joycephilipo
@joycephilipo Жыл бұрын
Kama japan nilipo biashara tofauti inategemea utakutana na nani wakuonyesha machimbo
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
Hamu sina niliisha 2020 mambo yakuambiwa na watu unaweka miln zako 30 pa kwa business nguo niligawa mimi adi kesho yapo ndani nina hasira kweli na sijanyanyuka adi leo yaani ninaunga unga life 😢
@Lambor_2023
@Lambor_2023 Жыл бұрын
Pole tuamke tena lazima maisha yaende
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
@@Lambor_2023 natamani nikudma ndugu yangu
@ericfelician7996
@ericfelician7996 10 күн бұрын
Wabongo wengi wachawi ndo maana nchi masikini,pumbufu bongo
@stejasatv7349
@stejasatv7349 Жыл бұрын
Hata kila biashara huku bongo
@joelnkwama6402
@joelnkwama6402 Жыл бұрын
Mafanikio ni vita.. asilimia kubwa huwa hawapendi kuona mtu ananyanyuka ... huyu dada big up kwa kufunza wengine
@yekinmaninga710
@yekinmaninga710 Жыл бұрын
Darasa Tosha 🤘
@olivemwamengonakilimombeya6951
@olivemwamengonakilimombeya6951 10 ай бұрын
Bro sky ,mwambie huyo dada nimemshukuru sana
@salimsuleiman6969
@salimsuleiman6969 7 ай бұрын
KITU MUHIMU PEKEE NI KUONDOKA BILA KUJIPANGA. SAFARI YAKO ILIANZA UGUMU KABLA HUJAFIKA CHINA
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 26 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
LIVE# NILIACHA CHUO NA KUKIMBILIA BIASHARA YA GENGE !
15:19
Agha Media
Рет қаралды 10 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН