Gb64 uko vzr,maombi ya kuharibu ulimwengu wa giza,ili kupangilia hatma mpya ya simba mighty power
@HalimaMaulidi-sv7le3 күн бұрын
Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu
@emmanuelthomas10783 күн бұрын
We fala c ulisema Chama aksajiliwa Yanga unahamia AZAM! Sasa- ikawaje bado hujahama?😮😮😮
@HildaRugee3 күн бұрын
Sheria ziliwekwa ili zivunjwe! Seuze maneno ya GB64.
@EdwinAmbakisye-li4zq2 күн бұрын
Simba usajili wake ni .mzuri.unanifurahisha
@mwemajulius50363 күн бұрын
❤the best
@benjaminnelson48343 күн бұрын
Mpo karibu na viongozi muwaambie wawalinde wachezaji
@user-ui4vt9vl6h3 күн бұрын
Ww gb 64 si ndy umesema chama ameogez miak 2 simb sasa iv umekua chiz tuh
@aminaomary55673 күн бұрын
Kweli kaka yanga wanatumia sana uchawi hata funga funga yao. Lakini mimi sipendi sana hawa Makocha wa nje hawa. Maana wanakuja tu kuchukua fedha zentu mwisho wa siku hao. Tunaanza kumwita Mgunda. Tunamsubiri Michezo ianze tuwaone wanakidhi utahitaji wetu.Simba nguvu moja❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-bt6ep3yb2h3 күн бұрын
Kiingereza kila siku hichohicho, commitment, responsibility, ability, space, umekariri?.
@user-ii6sp2nn1m3 күн бұрын
Sawa amekalili we kinakuwasha nn sasa
@jaffjeff69122 күн бұрын
😂😂😂😂
@SultanSuleiman-qf7cx3 күн бұрын
Hifadhi maneno yko mdomo mrefu kama njiwa pori
@cynthiapwani13833 күн бұрын
😂😂😂😂
@MohamediMtuya3 күн бұрын
gb64nakubaliana usemalo ju ya kumuahidi mtumikia timu pesa tofaut na mshahara ni udhaifu mkubwa sana umenena viongozi wajifunze
@user-qv8sv6hv7m3 күн бұрын
Viongozi wetu wawalinde wachezaji yanga wana watia pini
@Masinga-l1n2 күн бұрын
IVI MNALIPWAAA...!AU MNAPIGA MIDOMOTU" YANI ADI MISHIPA YA SHINGO INAKUTOKA ""KHA"
@nzegulagkofficialaccount34963 күн бұрын
Tangaza Matawi yote kwamba wachezaji wetu wanalongwa
@user-tc3vb8pm5v2 күн бұрын
Hapo sio yanga waroga hata wachezaji WENYEWE wanarogana sana wasipo soma harba diri hujuma Zita enderea
@user-md7sd3hk6l3 күн бұрын
ngunvu moja kaka tupamba nie mwamba
@OS-pf6op3 күн бұрын
We mbona una makunyanzi kama Mzee? Shikamoo visungura😂😂😂
@user-ld6fy2fi5s2 күн бұрын
Leo nimekwelewa sanaa
@khamisshehe91872 күн бұрын
Ww tuna namb yako ya sim ili nikutumie salio, leo umesema ukweli mtupu, tofauti na hapi nyuma, nimekuwa nikikufuatikia Sana hoja zako umekuwa ukiwasema Sana vibaya viongozi, lkn Hilo halikuwa kosa la viongozi wLa wachezaji tatizo ni marogo, na Hilo watengenezaji sio viongozi watengenezaji ni wanachama na wapenzi viongozi tayari wametimiza wajibu wao
@IssaAbdallah-rt2sh3 күн бұрын
Lakini mangungu aondoke
@saidsalum25463 күн бұрын
Safi sana
@muhidiniharuna37353 күн бұрын
Ktk siku umeongea ukweli Leo umeona mbali ❤❤❤❤
@georgelyimo21383 күн бұрын
Mwalimu wa wapi huyu?
@AdijaSurutan3 күн бұрын
Fanya. Kazi. Kaka. Usiogope
@onesmothimos26352 күн бұрын
Kwa lugha nyepesi ni mbwa wala matapishi utopolo
@SultanSuleiman-qf7cx3 күн бұрын
Shenzi wabana makalio mechi bado
@geraldbagole44942 күн бұрын
Gb64 tunza maneno,hao vijana hawana chemistry,skills zao hatujui changanya na uswahili wetu.Chasambi tunamjua,Kibu tunamjua,Lameck tunamjua,hao wengine tusubiri mechi walau 6 za ligi home and away.D2 zinatosha kufahamu.
@Mansurhamis3 күн бұрын
nakukubali sana kak Niko kenya
@Stevmwamba20903 күн бұрын
Wew jamaaa muongo unatupotosha 😅😅
@MariamNzowa-k2x3 күн бұрын
Kama anatupotosha je wakina max zengere wakowapi saiv
@WilliamCharles-iq8ym3 күн бұрын
Bwabwaja tu.tunawasubili Ngao
@albamwanja43043 күн бұрын
mnakutana na azam sio simba
@HalimaMaulidi-sv7le3 күн бұрын
Yanga wanatumia xana uchawi mbona liko wazi hili washirikina xana
@user-ek6uh7tt7j3 күн бұрын
Respect familia
@SalimRamsei-ok9el3 күн бұрын
Pmj baba mzee wa kazi
@abubakarishariff84893 күн бұрын
Wakina Mzee mpili wachawi😂😂😂
@OBSGroup-ps9es3 күн бұрын
Daaa mpira wa tz unaavituko sana.
@Stevmwamba20903 күн бұрын
Ahadi zako za uwongo bhana ulisema utahamia azam chama akienda yanga,,, wew kajamaaa kaongo sawa😂😂 sijawahi kukuamin,,,, ata hao vijana wako mbona wanavipara 24 gan yenye vipara😂😂😂
@MrishoMindu-zq7mz3 күн бұрын
Endelea kukaa bush huko. Shabikia Tukuyu Stars. Ya mjini waachie wa mjini vya mjini vina wenyewe.
GB 64 ni muongo haijawahi kutokea 🤣🤣🤣🤣 yani hayuko professional hata kdg ana ushabiki maandazi sio mtu wa mpira ni mpenda timu sio mpenda mpira
@kefangendwa33363 күн бұрын
Yaan mwamb unajua sana😅😅😅😅😂😂😂 zoazoa
@suleimansuwed18463 күн бұрын
Kamawachezaji wanarogwa aoziongozi kuwambalinatim waovipi mpirawetu afrika ushindi njeyauwanja asilimiya kubwa
@SultanSuleiman-qf7cx3 күн бұрын
Kwahyo umekuwa ww ndo msemaji huna kazi ya kutafta kula pga kelele ununuliwe chai mkundu mwekundu
@Mohd-wl1tc2 күн бұрын
Yanga wanatabia za ccm
@user-cp2do9pd5k2 күн бұрын
Ila dua isomweeeeee mashetani wengiiii
@user-dt5wf8rx4k3 күн бұрын
Vingozi jamani mwasajili damu changa vizuri sana.ila mkiwasahau wazee wote magalasa.marana mchawi sana anawatia wachezaji kwenye chupa anatupa baharini jamani jamani wazee muhimu mi nakumbuka clipu ya yule mzee aliongea sana walikuwa wanakwenda na huyo mzee kisarawe wakati yuko marana aliwaua wachezaji wa yanga vipaji jamani wazee muhimu jamani jamani
@hassanomarhassan77742 күн бұрын
Niko Kenya nguvu moja gb64
@EdwinAmbakisye-li4zq2 күн бұрын
Ebuniambie kapombe yeyé anabaki
@Mansurhamis3 күн бұрын
watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba
@onesmothimos26352 күн бұрын
Waaa mbie wote Kuma la mama zao wachawi
@NassoroMbaullah3 күн бұрын
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji. 3:21
@nzegulagkofficialaccount34963 күн бұрын
Naomba watangazie Matawi yote wajue
@cynthiapwani13833 күн бұрын
Yani izo maik zitakuwa zimelowa mate mbaba unaongea ww kha kma umekunywa maji ya chooni loh unalipwaaaaaa? Mh😏
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Uyu gb kweli o nyeusi anaonyesha kweli ni mwl felia
@user-cp2do9pd5k2 күн бұрын
Wanalogwaaaaaaa
@EliasSimkonda3 күн бұрын
Mm ni simba lialia lakini naomba wenzangu tuwashauri viongozi kuwa ile kamati muhimu ya wazee mbona haihusishwi na chochote na haina budget na yoyoyte. ?
@shabaniramadhani80263 күн бұрын
Waluguru tunaita kolo wa mwari
@user-nm1tq5bx5o3 күн бұрын
Gb pamoja baba
@WaziriSimwe-zn8lb3 күн бұрын
Usiongee sana kisajili kitu kimoja lakini tukutane kwa mkapa mwanaume atajulikana mpumbavu wewe
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Baleke alikuwaa makolo kwa mkopo usindanganye
@yayananajota58383 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏🇫🇯🇫🇯
@binqalid98013 күн бұрын
GB 64 mtu sana
@nzegulagkofficialaccount34963 күн бұрын
Waambie sasa viongozi wasilale
@JuhudiKasanga-yq5ks3 күн бұрын
Wewe ndiye mchawi wa Simba njaa mbaya unasifu kweli ligi ikianza hutaonekana wanaoipigani timu akina kisugu TU wewe ni embe dodo TU kwenye michongo
@user-hf1wo3zd2m3 күн бұрын
Nipe namba ya gb
@DeogratusiMlaly3 күн бұрын
Ukopoa
@bashirjama82253 күн бұрын
Sawasawa gb64 upended wapili wataipata
@abubakarishariff84893 күн бұрын
Usinene ukamara 😂
@hafidhnzota21423 күн бұрын
VIONGOZI WA SIMBA WACHEZAJI WOTE MUWAPE TAARIFA ZA USHIRIKINA WA HAPA KWETU WAJE KAMILI
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.
@smithwasonka84643 күн бұрын
Wewe muongo Makolo ni wazazi kwa kizambia kama pv muulizeni chama ata ajibu
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Oswade nayooooo
@KenesiKomba3 күн бұрын
Wamby hawo
@ArseneMohamed3 күн бұрын
Ukalili maneno yako ikosiku utakuponza wewe
@majimototv56703 күн бұрын
😂😂😂😂
@SultanSuleiman-qf7cx3 күн бұрын
Kick tupu ili upate uchawa
@nzegulagkofficialaccount34963 күн бұрын
Tawile baba
@muhamedjaffar56533 күн бұрын
Gb528
@ALBERTNyemba-uk3fr3 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢haibu naona mm.
@yustodonald97723 күн бұрын
Uyu bwana gb 64 by professional ni nani
@AlexrobertGasperly2 күн бұрын
Huyu ni mwalimu by professional
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Ndio maana Magufuli alikutumbua ufahi kabisa frassh imejaa vilus vya kutosha
@KasukuluMwenbungu3 күн бұрын
Unalolote wwe namacho yako
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Ulisema Chama akienda Young Africans utahama sasa nimekubali wewe chawa kweli .
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Ndio maana unaongwa cm Dubai amnaga Mpira labda majengo malefu tu
@moviccreativestudio3 күн бұрын
Modric,messi,Ronaldo na Ramos si vijana acha ujinga kwanza hama simba kama ulivyo ahidi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@ThomasAssey-uq2ur3 күн бұрын
Huyu mwenzangu ni shabiki na anaongeaga kishabiki bila uhalisia hata wakati wa jobe alishangilia sana Leo jobe ni garasa tupu
@SultanSuleiman-qf7cx3 күн бұрын
Unaongea sana kama kungwi wa kitanga lkn mpira uwanjani hifadhi upumbavu huo usemao ngoja muda ufke meno mengi mdomoni sio uwezo wa kutafuna bwrge wewe
@NassoroMbaullah3 күн бұрын
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.
@HalimaMaulidi-sv7le3 күн бұрын
Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu
@user-ld6fy2fi5s2 күн бұрын
Hatumtaki mangungu ni shetani katika timu yetu aondoke
@HABIBHASSAN-wf5mr3 күн бұрын
HUYU KWSS NI BONGE LA BWEGE.. ALIKUWA ANAAPIA MIUNGU ETI CHAMA AWEZI KWENDA YANGA LEO KIKO WAPI ?
@Mansurhamis3 күн бұрын
watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba
@Vedsastomutalemwa19803 күн бұрын
Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.