GB64:HUYU MWAMBA ALIYETUA LEO REKODI ZAKE MYAKIMBIA WENYEWE

  Рет қаралды 45,127

SPORTS MAX

SPORTS MAX

5 күн бұрын

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 91
@barakamapayu2850
@barakamapayu2850 3 күн бұрын
Hongera gb64 upovizuri tunakuelewa
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 3 күн бұрын
Gb 64 kazi kazi brother
@user-kn7bo6iz4n
@user-kn7bo6iz4n 3 күн бұрын
GB nakukubali
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 3 күн бұрын
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
@barakaPaulo-ei8zp
@barakaPaulo-ei8zp 3 күн бұрын
Pamoja sanaa
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 күн бұрын
Tunakwenda na timu na boss tunamkubali.
@drizyMg
@drizyMg 3 күн бұрын
nakukubali bro GB 64 endelea kutuwakilisha ndugu zako tusiokuwa na sauti.
@user-xh8sh9pu4s
@user-xh8sh9pu4s 3 күн бұрын
Kaka nakuelewa
@JohnKulwa-c9v
@JohnKulwa-c9v 3 күн бұрын
Gb nimekuelewa kaka
@Dastanikasanda
@Dastanikasanda 3 күн бұрын
Kwahiyo ulitaka akwambie vp. Mfuate
@emanuerchrsimas5151
@emanuerchrsimas5151 3 күн бұрын
bro kuwa na msimamo juzi ulimsifia ila baada ya kutambulishwa yanga unamuita mchochezi wa migomo
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 3 күн бұрын
Wamerithi kwa Ahmed Ally Gundu Kiroporopo Uongo Huyo ni Kigeugeu.
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 күн бұрын
Achana na sisi kaiongelee timu ya wachawi yanga
@AdhamAlliy-mg5py
@AdhamAlliy-mg5py 2 күн бұрын
Ulitaka aiponde Simba ndio mumsifie
@user-gp3pm4qp5y
@user-gp3pm4qp5y 3 күн бұрын
Uko vizuri kaka
@AndrewShayo-np1sy
@AndrewShayo-np1sy 3 күн бұрын
Siyo Shomari lawi ni Lamek Lawi
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 күн бұрын
😅😅na huwa anapenda kwel kusema shamari lawi
@emmanuelibrahim4556
@emmanuelibrahim4556 3 күн бұрын
Sawa ata kama nikupunguza umri ndo mtale awe na miaka 22 kweli?😅
@KirishwaRashid
@KirishwaRashid 3 күн бұрын
Asante.. Gb.. 64
@fatherjaytz
@fatherjaytz 3 күн бұрын
Ahadi yako kuhama team akiondoka Chama sasa unasubiri nini
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 3 күн бұрын
Ebu search video za chama apo alaf uringanishe na pumba za gb64😂😂
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 3 күн бұрын
Ata uyo chama kapata jina simba bisha tuone nauyo ata pata jina unya mani shika iyoo
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 3 күн бұрын
@@user-md7sd3hk6l mbona povu sheikh 😁😁😁 kama chama kakuuma nenda kashtaki kw mangungu😂😂😂😂😂💚💛.. simba nguvu moyaaaaaaaa
@user-oq6to7pf2u
@user-oq6to7pf2u 3 күн бұрын
sana kaka upo sawa
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 Күн бұрын
Nilikuwa najiuliza kwanini uliondolewa kwenye ualimu? Tayari nimejua maana halisi ya vyeti feki.
@gulamjuma8939
@gulamjuma8939 2 күн бұрын
Piga kazi kaka
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 Күн бұрын
Tayari gb 64 umeitwa na kupigwa noti umeanza kuwasafisha viongozi uliokuwa unawatukana hadi ukafungwa rockup ya polisi!?
@AsiaBakari-k4k
@AsiaBakari-k4k 3 күн бұрын
bado mmoja kaka
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 3 күн бұрын
Kumbe viongozi wako vzuri ila unadanganya sana
@FrankMaiko-xb5fn
@FrankMaiko-xb5fn 3 күн бұрын
Nakuami bloo maneno yakishujaa
@OmallyAlly-cy3yt
@OmallyAlly-cy3yt 3 күн бұрын
Sina imani nauyujamaa anawadanganya ndugu zake wa simba
@elirahammwiri6519
@elirahammwiri6519 3 күн бұрын
Amepoteza mvuto tokana na ahadi ambazo hazitimiii!!!
@jamesgeorge8279
@jamesgeorge8279 3 күн бұрын
Uliniaminisha kuwa chama haondoki popote mo keshamalizana nae mwisho wa cku chama anatambulishwa yanga kikweli ww ni mkundu tu chawa tu.
@AllyShaban-ms7ot
@AllyShaban-ms7ot 3 күн бұрын
Uko xawa
@AdijaSurutan
@AdijaSurutan 3 күн бұрын
Maneno. Saii
@raybirry3816
@raybirry3816 3 күн бұрын
JAMAA MUONGOOOO! UNAGUNDUA HUA HANA ZA NDANI,ANAROPOKA TU.
@user-xv2zm5ec9y
@user-xv2zm5ec9y 3 күн бұрын
Mimi nime fulai kuondoka mana Kila siku migogolo na kosha
@selemanidando298
@selemanidando298 2 күн бұрын
Msije mkawasema tena viongozi wenu tena hizi clip zinaishi
@FumaoFumao-d8w
@FumaoFumao-d8w 3 күн бұрын
Naona hurumà kwa wale watakaokùtanao simba
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 күн бұрын
Wakati unaongelea simba usimtaje samia utafanya nitapike
@Shinarambod
@Shinarambod 3 күн бұрын
Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti
@user-ji1mq4sk1n
@user-ji1mq4sk1n 2 күн бұрын
Niswala la muda kuwa kataa
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 3 күн бұрын
Hawa wachezaji tunawasifia Sana,ligi ikianza,misumari,mauzauza vinaanza.Viongozi wawe makini asee.
@mwanangusana
@mwanangusana 3 күн бұрын
😂😂😂 acha kuamini mauzauza ..... Mpira ni science ukileta mbugila mbugila mtashikana mashati buree
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 3 күн бұрын
@@mwanangusana Sisi wenye D2 tunajua,Simba wanasifia Sana usajili kabla ya ligi,matokeo mnahatarisha wachezaji bureee.
@makoreremakorere4212
@makoreremakorere4212 3 күн бұрын
Heeee nimekukubali chuma Cha Simba
@saidismail6676
@saidismail6676 3 күн бұрын
Gb 64 ww ni kichwa unajua unacho kisema
@user-sm1zu2mo4b
@user-sm1zu2mo4b 3 күн бұрын
Mmm mtaani wanalia hukuuu schama
@MakarotiKamugisha
@MakarotiKamugisha 3 күн бұрын
100
@othmanhamad7887
@othmanhamad7887 3 күн бұрын
GB64 yule ni Lameck Lawi,yule Shomari Lawi ni refarii
@OmaryAlly-h1j
@OmaryAlly-h1j 3 күн бұрын
Kaka unatisha nguv moja
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 3 күн бұрын
Mbona ulisema unahamia Azam na uhame basi
@georgebetram63
@georgebetram63 3 күн бұрын
😂
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 3 күн бұрын
Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama, Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu, Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?
@georgecuthbert5230
@georgecuthbert5230 3 күн бұрын
Sawa hawamuitaji Chama basi wampe thank-you
@JustineMasele
@JustineMasele Күн бұрын
❤❤❤😂
@eliashagai7920
@eliashagai7920 3 күн бұрын
Chawa
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l 3 күн бұрын
Aliyepunguza miaka nani ?hata hivyo haiwahusu, pakome azizi wanamiaka mingapi famyeni yenu mikundu wekeni keki mikunduni mwenu tuacheni
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 3 күн бұрын
Haaaa matusi Tena
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 3 күн бұрын
Unahamia lini azamu
@bobbyfiasco4311
@bobbyfiasco4311 3 күн бұрын
Chawa 😂
@fatherjaytz
@fatherjaytz 3 күн бұрын
ACHA UONGO PSYCHOLOGY GANI ULITUMIA BWANA,,, WEW ULIKUW UNAMAANISHA UNAJIONA UNA AKILI SANA SIO
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 күн бұрын
Fala huyo anavunga mjanja
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 3 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 jamaa ni mnafki uyuuu
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 3 күн бұрын
Ulitudanganya umeongea na mo kuwa issue ya chama ameimaliza, wewe siyo mkweli.
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 3 күн бұрын
Weunategemea ukweli kupitia hawa 😂😂😂😂😂
@user-sq3cu7dv7c
@user-sq3cu7dv7c 3 күн бұрын
Tena uyu fala kwan ajuw kma watu tunamfuatilia sana
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 күн бұрын
Mpuuzi wewe si ulisema chama akihama utaacha kushabikia simba madako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 күн бұрын
Matako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer
@Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 күн бұрын
Hama team kama ulivyo sema
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 күн бұрын
Huyu mwehu msiwe mnamhoji, ni mjuaji halafu hajui, nahisi ni tapeli wa dar
@deniskangombe7442
@deniskangombe7442 3 күн бұрын
Hivi unapataje jeuri ya kuandika maneno kama hayo Aya Sasa ngoja wakuhoji ww usiejua lolote unajua some time mnakera eti
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Күн бұрын
@@deniskangombe7442 peleka ujinga huko
@isayamneja7020
@isayamneja7020 3 күн бұрын
We mlopokaji sana, hata usivyovijua unaropoka tu
@RashidOmary-bd5oz
@RashidOmary-bd5oz 3 күн бұрын
Wacha chama aende zake tunashusha vifaa watakoma mwaka huu.
@georgebetram63
@georgebetram63 3 күн бұрын
Kubwa kuliko😂😂😂😂 namkumbuka Bugatti
@mzugigizzlelife6229
@mzugigizzlelife6229 3 күн бұрын
Kwani nawe si mmoja wapo aliyehitaji maandamano
@mwanangusana
@mwanangusana 3 күн бұрын
Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....
@januarysungura8119
@januarysungura8119 3 күн бұрын
@@mwanangusana wewe ulimchangia nini wewe kaa kule..
@mwanangusana
@mwanangusana 3 күн бұрын
@@januarysungura8119 nilichangia elfu 2 kwenye mchango. Au Imekuumiza Moyo kuwa asiambiwe ukwel kuwa ni bumundaaa ndumilakuwili
@user-dw5ce3ht6c
@user-dw5ce3ht6c 3 күн бұрын
Gb 64 nakuelewa sana
@kassimmwawado7002
@kassimmwawado7002 3 күн бұрын
Kichapo kiko pale pale!
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 18 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 11 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 15 МЛН
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 82 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 18 МЛН