bro kuwa na msimamo juzi ulimsifia ila baada ya kutambulishwa yanga unamuita mchochezi wa migomo
@simonndunguru16293 күн бұрын
Wamerithi kwa Ahmed Ally Gundu Kiroporopo Uongo Huyo ni Kigeugeu.
@MACHOYATAI-jk6fu3 күн бұрын
Achana na sisi kaiongelee timu ya wachawi yanga
@AdhamAlliy-mg5py2 күн бұрын
Ulitaka aiponde Simba ndio mumsifie
@user-gp3pm4qp5y3 күн бұрын
Uko vizuri kaka
@AndrewShayo-np1sy3 күн бұрын
Siyo Shomari lawi ni Lamek Lawi
@emmanuelmayunga15183 күн бұрын
😅😅na huwa anapenda kwel kusema shamari lawi
@emmanuelibrahim45563 күн бұрын
Sawa ata kama nikupunguza umri ndo mtale awe na miaka 22 kweli?😅
@KirishwaRashid3 күн бұрын
Asante.. Gb.. 64
@fatherjaytz3 күн бұрын
Ahadi yako kuhama team akiondoka Chama sasa unasubiri nini
@BenPeter-vp2cy3 күн бұрын
Ebu search video za chama apo alaf uringanishe na pumba za gb64😂😂
@user-md7sd3hk6l3 күн бұрын
Ata uyo chama kapata jina simba bisha tuone nauyo ata pata jina unya mani shika iyoo
@BenPeter-vp2cy3 күн бұрын
@@user-md7sd3hk6l mbona povu sheikh 😁😁😁 kama chama kakuuma nenda kashtaki kw mangungu😂😂😂😂😂💚💛.. simba nguvu moyaaaaaaaa
@user-oq6to7pf2u3 күн бұрын
sana kaka upo sawa
@musamwakalibule3383Күн бұрын
Nilikuwa najiuliza kwanini uliondolewa kwenye ualimu? Tayari nimejua maana halisi ya vyeti feki.
@gulamjuma89392 күн бұрын
Piga kazi kaka
@musamwakalibule3383Күн бұрын
Tayari gb 64 umeitwa na kupigwa noti umeanza kuwasafisha viongozi uliokuwa unawatukana hadi ukafungwa rockup ya polisi!?
@AsiaBakari-k4k3 күн бұрын
bado mmoja kaka
@user-up4kd4di7h3 күн бұрын
Kumbe viongozi wako vzuri ila unadanganya sana
@FrankMaiko-xb5fn3 күн бұрын
Nakuami bloo maneno yakishujaa
@OmallyAlly-cy3yt3 күн бұрын
Sina imani nauyujamaa anawadanganya ndugu zake wa simba
@elirahammwiri65193 күн бұрын
Amepoteza mvuto tokana na ahadi ambazo hazitimiii!!!
@jamesgeorge82793 күн бұрын
Uliniaminisha kuwa chama haondoki popote mo keshamalizana nae mwisho wa cku chama anatambulishwa yanga kikweli ww ni mkundu tu chawa tu.
@AllyShaban-ms7ot3 күн бұрын
Uko xawa
@AdijaSurutan3 күн бұрын
Maneno. Saii
@raybirry38163 күн бұрын
JAMAA MUONGOOOO! UNAGUNDUA HUA HANA ZA NDANI,ANAROPOKA TU.
@user-xv2zm5ec9y3 күн бұрын
Mimi nime fulai kuondoka mana Kila siku migogolo na kosha
@selemanidando2982 күн бұрын
Msije mkawasema tena viongozi wenu tena hizi clip zinaishi
@FumaoFumao-d8w3 күн бұрын
Naona hurumà kwa wale watakaokùtanao simba
@MACHOYATAI-jk6fu3 күн бұрын
Wakati unaongelea simba usimtaje samia utafanya nitapike
@Shinarambod3 күн бұрын
Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti
@user-ji1mq4sk1n2 күн бұрын
Niswala la muda kuwa kataa
@geraldbagole44943 күн бұрын
Hawa wachezaji tunawasifia Sana,ligi ikianza,misumari,mauzauza vinaanza.Viongozi wawe makini asee.
@@mwanangusana Sisi wenye D2 tunajua,Simba wanasifia Sana usajili kabla ya ligi,matokeo mnahatarisha wachezaji bureee.
@makoreremakorere42123 күн бұрын
Heeee nimekukubali chuma Cha Simba
@saidismail66763 күн бұрын
Gb 64 ww ni kichwa unajua unacho kisema
@user-sm1zu2mo4b3 күн бұрын
Mmm mtaani wanalia hukuuu schama
@MakarotiKamugisha3 күн бұрын
100
@othmanhamad78873 күн бұрын
GB64 yule ni Lameck Lawi,yule Shomari Lawi ni refarii
@OmaryAlly-h1j3 күн бұрын
Kaka unatisha nguv moja
@user-up4kd4di7h3 күн бұрын
Mbona ulisema unahamia Azam na uhame basi
@georgebetram633 күн бұрын
😂
@loishiyesamwel13743 күн бұрын
Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama, Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu, Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?
@georgecuthbert52303 күн бұрын
Sawa hawamuitaji Chama basi wampe thank-you
@JustineMaseleКүн бұрын
❤❤❤😂
@eliashagai79203 күн бұрын
Chawa
@user-yz6ds9hn9l3 күн бұрын
Aliyepunguza miaka nani ?hata hivyo haiwahusu, pakome azizi wanamiaka mingapi famyeni yenu mikundu wekeni keki mikunduni mwenu tuacheni
@fatumasophu58553 күн бұрын
Haaaa matusi Tena
@user-up4kd4di7h3 күн бұрын
Unahamia lini azamu
@bobbyfiasco43113 күн бұрын
Chawa 😂
@fatherjaytz3 күн бұрын
ACHA UONGO PSYCHOLOGY GANI ULITUMIA BWANA,,, WEW ULIKUW UNAMAANISHA UNAJIONA UNA AKILI SANA SIO
@avitusmichael53 күн бұрын
Fala huyo anavunga mjanja
@BenPeter-vp2cy3 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 jamaa ni mnafki uyuuu
@user-bt6ep3yb2h3 күн бұрын
Ulitudanganya umeongea na mo kuwa issue ya chama ameimaliza, wewe siyo mkweli.
@DarliotonTumaini3 күн бұрын
Weunategemea ukweli kupitia hawa 😂😂😂😂😂
@user-sq3cu7dv7c3 күн бұрын
Tena uyu fala kwan ajuw kma watu tunamfuatilia sana
@Oscarmarwa-fitnesstrainer3 күн бұрын
Mpuuzi wewe si ulisema chama akihama utaacha kushabikia simba madako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer3 күн бұрын
Matako wewe
@Oscarmarwa-fitnesstrainer3 күн бұрын
Hama team kama ulivyo sema
@avitusmichael53 күн бұрын
Huyu mwehu msiwe mnamhoji, ni mjuaji halafu hajui, nahisi ni tapeli wa dar
@deniskangombe74423 күн бұрын
Hivi unapataje jeuri ya kuandika maneno kama hayo Aya Sasa ngoja wakuhoji ww usiejua lolote unajua some time mnakera eti
@avitusmichael5Күн бұрын
@@deniskangombe7442 peleka ujinga huko
@isayamneja70203 күн бұрын
We mlopokaji sana, hata usivyovijua unaropoka tu
@RashidOmary-bd5oz3 күн бұрын
Wacha chama aende zake tunashusha vifaa watakoma mwaka huu.
@georgebetram633 күн бұрын
Kubwa kuliko😂😂😂😂 namkumbuka Bugatti
@mzugigizzlelife62293 күн бұрын
Kwani nawe si mmoja wapo aliyehitaji maandamano
@mwanangusana3 күн бұрын
Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....