►Instagram / stbongotv ►TikTok / stbongotv.tz ►Facebook / stbongotv ►Twitter / stbongotv ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 590
@EudoziaKichomiАй бұрын
Jamaan Dr. Alya unavaa vidhuurii unapendezaa Sanaa nakupendaa buree🥰🥰🥰
@elvisbabu13246 ай бұрын
I like the way Tanzanians do there Mr right, hii yetu ya kenya waa..very short episodes in KZfaq as if they don't want us to see what happened. Anyway congrats guys
@Ann-Strong6 ай бұрын
I stopped watching kenyan show, nilihamia huku au Nigeria
@DaughterofUbuntu19886 ай бұрын
Zalast year ndio ziko full, though inachangamsha na ofweneke 😂😂😂😂😂😂😂😂 titavumilia tuu
@shakilamasoud29836 ай бұрын
Karibu sana Tanzania hatuna mbamba wa choyo❤
@jeremymakis17156 ай бұрын
Hata Mimi nilihama.... Kenya Mr right ni za tene😅
@stephenngala10485 ай бұрын
and kelele mingi sanaaa
@FaithSamuel-yc7dwАй бұрын
IlaMc gara b nakupenda bure, hata me mmewangu ni muhaya of course ❤❤❤❤
Uyo anaetaka makabila amchonge wa kwake ampe na kabila la kwake mshamba huyo dem😂
@SmilingDeer-kg5vt4 ай бұрын
Uyu dada msenge kwer wakutia bazi
@musicheals15456 ай бұрын
Muwe mnatupatia update baada ya hapo mambo zinaendaga vipi huko njeeee😂😂😂
@user-jz7td8kb6n6 ай бұрын
Yaan mwenyewe nataman kujua.. ikiwezekana wawe wanatupa na kad za harusi
@mathewbundu2356 ай бұрын
😂😂😂😂
@foumshaaban59496 ай бұрын
😄🤣😂
@PatsonSimpito6 ай бұрын
Kabisa ani
@nahimanamayassa83056 ай бұрын
Hahaha,apo Niku date tu one-way namwishoni wanamwagana😅
@faithfaith-zr6gz6 ай бұрын
Johari we ni mpumbavu, kama umtaki siusepe!! Na wewe mbona umeenda kujitangaza kutafuta bwana hadharani!!! Kama we mzuri cungekuwa ushaolewa...Na utakuja kupata koromaaa ulie, Na ulivyo na sura ngumu kama sinki la choo.
@RachelRachel-zx6dx6 ай бұрын
Haaaa
@user-is3og1hc8r6 ай бұрын
Apo sasa😂😂😂😂
@zuenakhassim6 ай бұрын
Anajikuta haendi choon😅😅😅
@metrineomega16356 ай бұрын
😂😂😂😂😂nabaki TU hapo pa sura ngumu kama sink ya chooo, walai uyo apigie hii coment,
@subrynerysegerow13236 ай бұрын
Sema wewe tena kwa sauti😂😂😂😂😂
@user-qh2ij3kj8s6 ай бұрын
Hbu n mm nipate mr right wakihaya ❤
@gracelazaro6 ай бұрын
Yarabi naomba uniambie huo wimbo Kanumba nan na upenda sana❤❤❤❤❤❤❤
@josephinemhina12466 ай бұрын
Kaimba Barnabas
@Heartbrown16 ай бұрын
Kaimba barnaba ila auwez kuupata ni special kwa hiyo show
@masudiamani45016 ай бұрын
mbna mie ninao
@LeonardGeorge-jj4bu6 ай бұрын
Upo bana acha uongo .... Nenda google andika Mr Right by barnaba utaupata....
@user-fe9op5yn3t6 ай бұрын
Kaimba barnaba kipenz
@diva_201622 ай бұрын
Mimi mwenyew nimezaliwa na kukulia kanda ya ziwa ila johari kazingua sana unaleta ushamba sana wewe mambo ya kabila ya nn tena😊😊😊
@MwanaidiSalehe6 ай бұрын
😢jmn ponguzeni hivo nyimbo jmni mnaboa
@adamomondi63596 ай бұрын
Hongera sharon ❤Mapenzi matamu
@elnecemily13066 ай бұрын
kumbe muhaya mwenzangu wao
@hildephonceerasmus81782 ай бұрын
Bita
@Maryam-vj1rb6 ай бұрын
Alya ni me ku miss AlhamdulliAh umerudi tre jolie fille
@alexndihokubwayo80106 ай бұрын
Johari ajiowe mwenyewe
@user-ne8zu9vs8y6 ай бұрын
Johari simpendi makabila yanahusiana nn na mapenz ovyooo sula yenyewe mbaya😏😏
@user-vb2co6cs9k6 ай бұрын
Hahaha
@GraceLeonard-ip5fk6 ай бұрын
mpuuzi huyo
@Mariah28.pretty6 ай бұрын
Punguzeni sauti ya mziki unaocheza huko nyuma kiasi tafadhali yafanya tusisikie vizuri
@abdibilali41866 ай бұрын
Kiukweli mm ni mtu wa Tanga ila wahaya wapo smart sana na wanajitamvus sijui kwa nn watu wanawachukulia negative ,oky Johari endelea na jazba zako
@hildephonceerasmus81782 ай бұрын
Ana stress huyo kama sio kisiran
@richardmaxwell39916 ай бұрын
mbona kama wadada mnawaleta ambao madish yao yameyumba🤣🤣🤣🤣🤣
@user-qg7el6gc5j21 күн бұрын
Nyieee.... hii ni kweli au wanatuigiziaga... Embu walopitia hapo wanipe ushuhuda
@FraviusEmilian4 күн бұрын
Safiii broh wahaya hatuna baya
@ReganMaliyatabu6 ай бұрын
namchukia johari sanaaaaaa
@daineszephrinedaineszephrine6 ай бұрын
Wahaya oyeee
@JudyLee-hf9cy6 ай бұрын
Huyo johari ni msenge mbwa
@ddsmchau17126 ай бұрын
Huyu JOHARI sio mzima, hii ni shida nyingine na atasubiri sana!
@sophiekivuyo60286 ай бұрын
cheki mtt huyoooo tena kazuriiiii joharii kabakiaa kutoaa macho kama fundi saaa 😊😮 😂
@SerenakaremboDzombo5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@halimahassan19306 ай бұрын
Mim simpendi uyu joari atabaki uyu atopata bwana ndio mana alishindikana akakosa bwana😂😂😂😂😂😢chefu
@user-cw1jh2yd9gАй бұрын
Jamani hico kipindi nakipenda sana tatizo nipo mbali natamani mimi pia ninge ingia apo.😢😢
@Huncho_taitan_breezy6 ай бұрын
Huyo johari mshamba sana
@daviccharles2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@VivianKimathАй бұрын
🤣🤣😅😅😅
@NuruNgole6 ай бұрын
NIKWELI WAHAYA NOMA KWELI
@DaughterofUbuntu19886 ай бұрын
I will love if yhy can mix this three countries Kenya Uganda and Tanzania maze 😂😂😂😂😂😂😂
@Jackmushil6 ай бұрын
Huyo Johari mtaani hawajaweza kumchagua mpaka akaamua kuja kujinadi alivyo na sura nzito haswa anapoongea kwa jaziba lisura sijui linakuwaje. Tupo hapa huyo Johari ni ngumu sana kumpata mwanaume asubiri akifika 30 aanze kuzunguka kwa makanisa kuombewa apate mume. Libaya huku anaponda hajui hata kujibu kwa nidhamu unampondaje binadamu mwenzio hivyo bila kujali hisia zake, eti wapare sijui wahaya, akija mchaga si ndo atatuponda mpaka basi. Kwani huko mtaani kwake hamna wa kabila lake mpaka aje humu?
@user-li1fl4jp3r6 ай бұрын
😂😂😂 Naomba nitabasam tu umeongea kwer best Johar atachina hapo
@makrinaibinga-on2qx6 ай бұрын
Yaan huyu johari ni km Maggie kenya hawawez pata wenza😅
@emmanuelmayunga15186 ай бұрын
😂😂
@danielmichael27555 ай бұрын
Kahaba hao wengi wao wanajiuza nshawaona
@hadijahashim8095 ай бұрын
Ha ha ha Wee mushi wewe😂😂😂😂
@Jay419962 ай бұрын
Naombeni mawasiliano ya huyo jenipher mke mzuri sana, nimemuelewa
@user-jr3mo3je3k6 ай бұрын
Johari wamtoe aiseeeee anaropokaaaaa tu sura lenyewe la hovyo
@ZulekhaMohamed-st2vu2 ай бұрын
Ahaha jaman 😂
@faizaahamd20526 ай бұрын
Johari anazingua sana
@SalvinJastin6 ай бұрын
Background inazingua
@anajoycejoseph33136 ай бұрын
Kwanza uzungumzaji wa Johari ni dhairi kuwa sio wife material ni mbabe sana hongera kijana kutuletea wifi mpende usimletee makasiriko ya mke wa kwanza kuwa naye karibu maana mke anachepuka kufuata na umbali wa mapenzi kwake
@faridalihondo33226 ай бұрын
Uyu johari jaman simpendi mim Yan halinaga hata point za maana endelea kudoda apo kwenye podium mwaya na ukiendelea ivo utapata koroma
@metrineomega16356 ай бұрын
Johari ana nini ukimuona hafai uyo,anasahau anakunia kama watu wengine, yake mwanzo yanuka kama sewage ya nchi
@@faridalihondo3322 ana nyali sana pia yaan ananiumiza kwakweli 😢😢
@user-di8hg8ri4h6 ай бұрын
Johari ni bongolala😂😂
@ElishaJoakim-ir2qf6 ай бұрын
❤❤❤❤hayo ndo mapenzi
@stellahwilfred57626 ай бұрын
Congratulations 🎊
@ziporaa85706 ай бұрын
Mwijaku alienda wapi
@user-iv4eg1cv2f6 ай бұрын
Johari acha kelel bhana sura yenyewe mbaya😋😛
@danstanamwtata1866Ай бұрын
Jennifer iwapo utasoma hii comment, nimevutiwa na urembo wako na upole wako🌹🌹🌹
@floraflora59646 ай бұрын
Hongera sana muhaya mwenzangu wifi tunae❤❤
@charles234366 ай бұрын
Hapo kwenye kulea ujauzito sio wako had siku ya mwisho ya kujifungua ntaungana na wew maana yamenikuta piaa ivo ivo
@RoseKesi-zj4yy6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 nikikumbuka ex wangu alininyang'anya mwanangu kwamba atamlea mwenyewe na akati sio wake 😂😂😂😂😂 Yuko anakazana kulea
@Preciousamaya6 ай бұрын
Rose wewe chizi kweli nimecheka km fala😂😂😂😂😂
@GraceLeonard-ip5fk6 ай бұрын
@@RoseKesi-zj4yyNawe ukampatia😂😂😂
@babychiishinaa84736 ай бұрын
😂johari kampenda ila anawazingua😂😂
@shedrackjoshua8346 ай бұрын
Kuna vitu kwenye maisha vinatisha sana yaani huyu johari ukija kuangalia maisha yake halisi unaweza kumuonea huruma..na hivi alivyo zinazoumia ni sehemu za siri.
@janetnyanchera12526 ай бұрын
🤣🤣🤣me laughing in a manner that pleases My God 😅
@PrincessHellen-pg1oy6 ай бұрын
Huyo kaka 😊
@khalsaalrawahy3916 ай бұрын
Punguzeni mziki hatusikii kitu
@RayyanRayyan-rt9cg6 ай бұрын
Yani kati ya madem 12 mie nilimuona jack ni bonge la dem yan mke kabsa yule dada
@Joyrah6 ай бұрын
Johari kila kabila halitaki🤣🤣🤣🤣
@user-xu5rh6ub5j6 ай бұрын
Congratulations
@jamilajamila45726 ай бұрын
😂😂 Mmenichekesha lulu diva na wenzakp😂😂😂❤
@MusaPaul-te6kp6 ай бұрын
Johar punguza jaziba dada bado hujasema na utasema yaan mpaka useme😂😂😂😂😂
@AmadiusNgongi22 күн бұрын
🤣
@jayommy36325 ай бұрын
nice
@MagrethMallya-we8ui6 ай бұрын
Punguzeni sauti ya kawimbo tafadhal, ni kaziri lakini ni kakubwa mnoo.
@magreciousthomas35276 ай бұрын
Uyo johari ni box yan ataganda apo mpk 2030😂
@user-fs2lb3cs7z5 ай бұрын
Akhiii shaban umejua kunifurahishaaa...hongeraa
@bhokesaid32646 ай бұрын
Johari anadanganywa na tako lake yani anaamini tako ndio kila kitu basi wait tuko hapa atasugua gaga had ajute
@janetakinyi29686 ай бұрын
Watching live from kenya❤❤ l think Johari should be cancelled she doesn't know what she want...kama angekua mzuri sanaaa asingekua hapo angekua kwenye ndoa sasa hivi...nkt!!!!!
@user-eg6ml8wn7i6 ай бұрын
Huyo dada boya sana tuachie kabila letu
@boashamah36426 ай бұрын
Bro mwambie kabisa aache shobo na kabila yetu Watching from Australia 🇦🇺
@EstherElisaThomas3 ай бұрын
Tena akae Kwa kutulia😂😂😂😂🤣
@hildephonceerasmus81782 ай бұрын
Tautumanya ogu😅😅
@SashaOscar6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 kwa wahaya ni kwl wana sifa ila xx utafanyaje inabd uangalie ww unatak wa kabil gn ikiw ni kabila ambalo hulitak unakaa kimya tu unaendelea kusubr
@angelaschwarz-f1r10 күн бұрын
za kenya ndizo zinabamba jameni
@santinosabugo21146 ай бұрын
huyo dada siyo muolewaji muhaya mbona hana shida
@delvinmoraa48836 ай бұрын
Nimependa tz sijui mbona❤
@bantu5735 ай бұрын
Wewe
@happynazalenonazalenomndew59904 ай бұрын
Huo niukwl kbsaaa nakusuport my dear johari
@suleOficialtz84516 ай бұрын
Huyu dada hana hakili yeye anadili na makabila au anatafuta wa kuendana nae mbona mambo ya makabila yalisha pitwaga na wakati
@OlyUpowerfuljesus6 ай бұрын
Atapitwa na wote
@mziwandamziwanda6 ай бұрын
mtoen johari jmani 🙌🙌
@user-fh3ev5ly8n6 ай бұрын
Wewe johari utasubiri Sana na kupata kwako mtu ni shida,mtaani umeshidwa na huko utashidwa mpumbavu mmoja
@rosemahenge90716 ай бұрын
Halafu ukimwangalia ni kijeba kabisa yani ni age go angalia kono lake linavyo ning'inia😂😂
@user-sq4mo3mg2q4 ай бұрын
Mungu atusamehe wanawake wote
@charlesopudo71926 ай бұрын
Follow up required before and after the show please.
@najmasalim-rg6ow6 ай бұрын
Huyo johar nikiangalia vinyonyo vyake mi hoi
@zainablove226 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Monaish___mooon6 ай бұрын
Baba yangu rafiki yake muhaya yani yule baba anamauwa yake kweli yani msikalili kbs
@user-sj7wt8mn1j6 ай бұрын
No comment nainjoy tu
@user-ev9sv3ik8e5 ай бұрын
😮😂😂 amsubili babu yake.
@mfungonishauri4234Ай бұрын
Huyo alosema kuhusu dini... A akaa very mature
@Geshilali2 ай бұрын
Siku moja napenda kuja kuona live mr right
@teddymboya14376 ай бұрын
Nipo marangu kilmanjaro naenjoy asanteeeeni sana
@aminahhuawei11336 ай бұрын
Huyu johari anajiona chipis kuku kweli mtu lisura kama ukwaju kama mtu humtaki unatuliza makaliyoo wacha shopoooo
@azizaaziz92616 ай бұрын
Mbona ukwajuu
@FloraKamanzi6 ай бұрын
Johari we Mshamba sana, ndo maana upo hapo kutafuta soko na hutapata mtu. Utarudi kama ulivyokuja
@itanzaniaAS5 ай бұрын
Kwa soksi hizi asivae tena😂😂😂
@KulwaRichard-hs4ew5 күн бұрын
wote hapo sio bikra washachezewa na wahuni af wanataka tuwaoe mmmh, muhaya umetisha san achana nao
@muhammadmuhammad50436 ай бұрын
Ndio Hivyo Mungu Awasamehe Tuu Wanawake Ndio Wakaabiwa Wengi Wanaenda Motoni Kwa Mambo Kama Hayo...
@shangwefisima39935 ай бұрын
Nampenda sana Lulu
@user-lw4iw2vq5m6 ай бұрын
Ahhh www umpumbav sanaaaa johar um
@ellymwampashe89276 ай бұрын
Nasubiri mpaka siku Johari apate mr right. Ila naona ntasubiri sana......huyu dada Mungu amsaidie😅😅😅😅
@lareineminah13536 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 Tuta choka
@user-lr5jo6vs5l5 ай бұрын
😂😂😂yaan me had ananikera,,,
@NeemaLivingstoneMichael5 ай бұрын
Wapo wapi wahaya jamani me nawataka
@MourineMushie6 ай бұрын
Johariii johari johari nakuitaa mara tatu pungu ww mbonaa umenyataa ww mwenyw mbayaaaaaa afu unasema kaka wawatu mbay ovyooooo msengeee sana ww mamaeee
@yusuphvicent41756 ай бұрын
We doctor noma sana unajua kucheza na vichwa vya watu kwa kwel nimekusoma maqnq cna uhakika km aliechaguliwa yupo hapo aiseee sema umejenga vzr sana ndo inatakiwa hvyo