►Instagram / stbongotv ►TikTok / stbongotv.tz ►Facebook / stbongotv ►Twitter / stbongotv ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 962
@mathiwabusia18366 ай бұрын
❤❤❤huyu kaka ni mpole saana na anaheshima zake. Am a Kenyan and i want him ,am ready to have hime , yaani namtakaaa❤❤❤❤
@choroboy13676 ай бұрын
Njoo tupo sisi😄😀
@SerenakaremboDzombo5 ай бұрын
Si pia napenda sana mwanaume anakuwanga simple alafu Tz men are gud if u get matured man sijui niishie huko😂😂😂😂
@bettiejoy-mtotowamama6 ай бұрын
Huyo kijana ningekuwa hapo namchagua anaonekana mtu simple sana , all the best Kaka❤
@user-ep7pd4rv8f4 ай бұрын
😂😂😂😂 mm ningebeba nkasepa
@greggoryisaac84853 ай бұрын
Pliz bety naitaji kuwa Mr right
@bettiejoy-mtotowamama3 ай бұрын
@@greggoryisaac8485 kwa hio wataka nikusaindie aje kaka?
@bettiejoy-mtotowamama3 ай бұрын
@@greggoryisaac8485nikusaindie aje Babaa?
@alicedamas4843 ай бұрын
Wapare ni wabahili kweli jamani
@hodgebukaya51124 ай бұрын
Kila mwanada Amepewa zawadi ya mafanikio hapa duniani, (is Up t you) kugundua kile mwenyezimungu alichokubariki nacho. Waswahili wanasema kufeli shule sio kufeli kimaisha, najitolea mafano Mimi, sijapata leli ya juu lakini mungu amenijalia naishi US na namiliki magari 3 yakubeba mizigo ( Semi-Track 53ft) maiya yanaenda na riski inapatikan, Tumuweke mungu mbele na jiamini katika kutafuta.
@user-ti3ui6ql9i4 ай бұрын
Acha uongo ww siunaka bonyokwa Kwa mama Amina bonge mchoma vitumbua
@bhokesamo63696 ай бұрын
Kipindi kizuri ila wadada kauli zao sio Nzuri hata kama kaka ujampenda tafuta lugha Nzuri ya kumwambia, wenyewe mmeenda kutafuta wachumba imagine mwanaume anapata picha gani mnakosa wachumba kwa kauli zenu mbaya.
@JosephKingwere3 ай бұрын
Wewe johari utaishia pabaya kila mtu kwako mubaya
@hurumamlawa52532 ай бұрын
Halafu kipind chote yupo chuo hajakutana na wasomi wenzieee. Pyeeee
@zenababdalla53806 ай бұрын
Mungu wangu madem jmn munapoteza bahati hivi for real munaboa kwa kwel
@Grace_Ministry_International6 ай бұрын
Let me advice women one thing a man is not about school its about how he makes decisions and he stands on his responsibility
@elizabethkalinga08226 ай бұрын
You are very Right
@janetnyanchera12526 ай бұрын
Shout it again dogo 😢
@manish-fp1fb6 ай бұрын
Bro, mwanamke akikuzidi elimu pana changamoto kina namna fulani labda huyo mwanamke awe na misingi fulani, wengi watazingua.
@arolamuganyizi59725 ай бұрын
That's all wamesoma hawajui wamesoma nini Kuko na tofauti kati ya elimu na shule mmoja anadai anataka elimu kubwa elimu kubwa Iko Kwa mwenye mafanikio makubwa shule kubwa labda ndo wanataka kina Glad asome university waje kuuza mchicha sokoni we no job
@JMMM77885 ай бұрын
He is not a man who can stay with one woman for long ..
@jamilajamila45726 ай бұрын
Mashaallaah kijana mdogo amejitahidi kimaisha pongez broo❤❤
@grace7356 ай бұрын
Agreed
@user-vd2lm9ng1g5 ай бұрын
Glagy ni msenge
@aud5486 ай бұрын
"Degreeee in loooouw" 😂😂😂😂😂😂😂😂 LMAO
@user-mb6zr7gg9u6 ай бұрын
Nimecheka
@EvaGwasma5 ай бұрын
😂😂😂😂 ata kama angeishia darasa la piliii
@bhokejaqulineelias41973 ай бұрын
😂😂😂😂😂huyu Dem vipi😂😂😂😂
@leilasarai6 ай бұрын
All the presenters speak fluent English wow...Kiingereza chao kinakaa tofauti sana na watanzania wengine and I love it..Keep it up guys show yenu n moto kuliko ya apa kwetu Kenya😂
@ameenaameena49076 ай бұрын
We ni mkwel love
@CharlesLeoMgaya6 ай бұрын
Watanzania gani hao unaokutananao ambao hawaongei vizuri, tatizo mmeclem. English is our second language and used for instruction in many areas. So sio kila mtu anakitumia na sio kipaumbele cha kila mtu kulingana na mazingira au au aina ya kazi yake
@jofreykabobe6 ай бұрын
We jinga kweli kwan hao wanaoongea hicho kiingereza kizuri siniwa Tanzania au unahisi ni wakenya? Tatizo makenya huwa mnamadharau sana nioko nyie 🚮
@leilasarai6 ай бұрын
@@jofreykabobe Pressure will kill you bure bro..elewa comment plz and stop barking like a pregnant dog😁😁😁😁
@leilasarai6 ай бұрын
@@CharlesLeoMgaya I'm not here to answer silly questions..my mind is busy
@marthalohay43546 ай бұрын
Diva , allya na Gara B nimewapenda bure endeleeni kuwapa shule hao wadada bado wanaakili za kitoto sana
@user-zb2mj5nd5g6 ай бұрын
Jitihada huzidi elimu, wow what a point👍👍👍👍
@FaithSamuel-yc7dwАй бұрын
Shout-out to all chuga girl's, Aliyah your the best ever lovely 🌹🌹🌹
@hellendaniel38096 ай бұрын
Degree in law😂😂😂. Angesema Bachelor of Law. Akili hana hata moja
@mosesmligo96146 ай бұрын
Me mwenyewe nimemchora hatar😂
@GraceKanu-lr6yv6 ай бұрын
Namshangaa pia 😂😂😂
@naturelle10976 ай бұрын
Bachelor's Degree in Law
@alfredrweyemamu78076 ай бұрын
Hmn elimu ni peace of ppr tu bt maisha anayo so ww ishi nae tu kikubwa anajishughulisha
@razoindeed82286 ай бұрын
hamna kitu mle kipa katoka😅
@DismasRomani2 ай бұрын
Kikubwa ni kufanya maisha yaende poa sio level ya elimu ingekuw hivo hata wazaz wet wadingekuwa na familia.......🎉
@emilianalupenza39776 ай бұрын
Watu wanaangalia hard working person kumbe wengne wanaangalia education level okeeeeeeee
@user-wm1yg7xt3j6 ай бұрын
Umechemka sana best,Pole sana tena hao wasomi ndio mapuuzi balaa japo siyo wote ila wengi ni matatizo matupu
@pendogodson98805 ай бұрын
Nimempenda uyo kaka yuko very cool🥰
@user-fb2dh2vx5h6 ай бұрын
Mnakuwa na vigezo visivyonamaana mtakaa sana apo adii mchunde sasa uyoo glad si ungepata uyoo msomi mwenzio uko chuo lohhh
@shangweyussuf6406 ай бұрын
Huyu ni mwanaume wa nguvu!!! Pole kwao. Kwani hayo.makabila mengine hayana wachoyo? Waongo? Wahuni? Wenye gubu? Mahusiano ni risks. Wachagueee
@joycehaule97176 ай бұрын
Wapare hawafai hatatone
@alisonikihedu96145 ай бұрын
Ninajivunia kua mpare nahata kama mnatuhukumu Hainan shida ndio maana Yesu alikufa kwa ajili yetu
@user-qx6th5xq3p3 ай бұрын
Japo me mbulu lakn so wapare wabahil na wachoyo wapo kila kabila
@lucasmalale6 ай бұрын
Hakika hakuna mwanamke mjinga kama mwenye elimu sababu hawez ishi na mtu ambaye hana elimu ila nwanaume anaweza kuishi na mwanamke ambaye hanaelimu na maisha yakaenda vizur tu
@maimunaussi-lr3ze6 ай бұрын
sio wote rafiki
@manish-fp1fb6 ай бұрын
Ukiandika hana akili... unakosea. Akili sio ya darasani, ni kile linachobaki ukiondoa ulivyojifunza. Kuna watu wana akili lakini hawajapata nafasi ya kujifunza yaan kwenda shule.
@NeemaShirima-ws8nf6 ай бұрын
I presume that men & women ni tofauti sana, a man anaeza oa mwanamke ambae hajasoma kabisa coz maybe labda huyu mwanaume anafeel great coz mkewe yupo chini yake in education n stuff but for the case of respects and blabla it's better tu mwanamke aliesoma aolewe na mwanaume aliesoma kama yeye au awe amemzidi........sometimes wanawake waliosoma wanakataa wanaume ambao hawajasoma coz maybe ya inferiority complex I don't know 😔
@faidhacute6 ай бұрын
Huyo glad ana kingereza kigumu na kizito et advocate to be ovyooo😂
@motivationalitАй бұрын
They don't know what they want. Nkt! Hiki kipindi tu, hamna msisimko wa kimapenzi haswa kutoka kwa wanadada. 🇰🇪 Kama wapenda Kiswahili changu gonga like 😛
@linatasks48374 ай бұрын
Big up sana dada dressed in red (Aelia)....una uelewa saana wa maisha-.....nimependa comments zako sana especially on level of education
@ellymwampashe89276 ай бұрын
Kwa kauli hizi na dharau hizi ni halali waje hapo, huku mtaani hawatoboi😢
@swaibamrutu56 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-cu3dg8xd7q6 ай бұрын
😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@witnessmallya51145 ай бұрын
😂😂😂😂
@beathaambrose11905 ай бұрын
Kabisa
@samsonzablon6 ай бұрын
Huyo dada anayejiita mwanasheria to be hana elimu yoyote, na ndiyo maana hajui aseme nini na asiseme nini. Kuelimika ni zaidi ya makaratasi
@christineneema30086 ай бұрын
Alivyo vaa ubuzi tayari
@razoindeed82286 ай бұрын
hao ndo wale wanodanganywa wakachezewa😅😅
@David-if6nk2 ай бұрын
@@razoindeed8228ndo alishachezwa
@abigaelmosi4524 ай бұрын
Aki huyu jamaa ako Sawa l am from Kenya... Nimemlike
@FaithSamuel-yc7dwАй бұрын
Mc garab una uelewa mkubwa sana shout-out kwako❤❤❤
@faridalihondo33226 ай бұрын
Aseee uyu dada mbona hajielewi hivi yan anajiona mzur sana😂😂😂 wallah atasugua sana gaga apo na hata akipata mtu hawezi dumu nae kama mambo yenyew ndo hayo
@user-ep7pd4rv8f4 ай бұрын
Ak sjui anajionaj uy Johar 😂😂😂😂 anajiona mzur ht haoni km sura n ya kizee mungu nisamehee
@Joyrah6 ай бұрын
Hawa wadada ndo mana hawana wachumba wanajaji sanaaa
@GiftAbduly6 ай бұрын
Vidadz vya humu mnavitoa wapi mbona havijielewi kabisa
@user-dl2pn8lf4i6 ай бұрын
😂😂😂😂eti mwanasheria sa mbna ukupata mchumba uko Kwa wenye elim wezako ukaja kujionyesha uku
@collinsbella83606 ай бұрын
Huyu demu hajitambui
@hellenjulius77905 ай бұрын
Kabisaa nivijingaa ivyo vidada
@janethmbaga35155 ай бұрын
Hajitambui Kweliii
@David-if6nk2 ай бұрын
Waliishia kumgonga tu na kusepa
@liliankay54246 ай бұрын
Kizungu anaongea ya class one apa Kenya alafu anaringa 😂
@hellendaniel38096 ай бұрын
Heeee huyu Glad kiazi kweli. Johari ndio tahira kabisa
@zanurahmaulid26656 ай бұрын
😅😅😅😅 yaan tena kiazi mbatata
@agnesjohn93826 ай бұрын
Tena kiazi mviringo yaani sifuri kabisa
@janetnyanchera12526 ай бұрын
😂😂tz simna mambo
@hellendaniel38095 ай бұрын
@@zanurahmaulid2665😂😂😂😂
@hellendaniel38095 ай бұрын
@@agnesjohn9382😂😂😂
@ezekiamwasanyila72795 ай бұрын
Hapo hakuna mwamamke wa kujenga familia pamoja na kutafut maisha wote hao ni wanawake wa starehe
@olympiamtenga87616 ай бұрын
There is a big difference between going to school and being Educated. Dear ladies.. Marriages has nothing to do with education rather than skills,and capacity to work and make the life together. And if you don't like someone don't crush anyone based on kabila... Tanzania ni moja na hata kabila lako sio kamilifu vinginevyo ungeshapata mwanaume wa kabila lako Ukaolewa usije kwenye podium. Period
@DaughterofUbuntu19886 ай бұрын
Exactly, 💯
@janetnyanchera12526 ай бұрын
Speak louder dear❤
@happylnmerere58112 ай бұрын
Exactly 💯
@adelamartin13206 ай бұрын
Thank you alliya 💜💜💜💜💜💜
@giddie_barnabas6 ай бұрын
Saiv namuelewa mzee wangu aliniambia nioe mwanamke mwenye akili na c mwenye elim
@enockabumba75136 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa elimu ako nimejifunza mengi kwako kweriiiiiii
@Grace_Ministry_International6 ай бұрын
Huyu dada anataka wa diploma hata kiingereza hajui bure kabisaaa
@witnessnorbert22105 ай бұрын
Hahaha😂
@UpendoWill15 күн бұрын
❤ Jmn ngeondoka nae jaman daah ao wadada wengine bhana washenz daah😂😂😊
Mbona Yesu alisahau kututonya kama degree tutaendanazo ktk uzima wa milele .....!!!😮😮
@dgochuibra5886 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@honorykwahhay43646 ай бұрын
Sio vizuri kumjudge mtu kwa kabila analotoka, sio sawa, @Johari huyu dada hapo anapoteza muda tu, hakuna mwanaume atapenda attitude yake.
@UpendoWill15 күн бұрын
Aaliya you're right my sister I like your point I perfect 🎉❤#aliya
@fayzahra83276 ай бұрын
Muhimu nikuwa na mtu anae jua kutafuta coz ukimpata anajua kutafuta hauwezi lala njaa na kufa maskini bt unaweza fuata alie soma lkn awe fool, lazzy na hajui kutafuta pia. Elimu humpa mtu ufahamu lkn jitihada humfanya mtu atimize ndoto zake.
@faridalihondo33226 ай бұрын
True kabsa wadada wa saiv wanapenda sana pesa na kuslay hawana jipya
@David-if6nk2 ай бұрын
Yeye anataka elimu hajasema anataka hela
@user-od9jk1yq1e6 ай бұрын
Huyu mdada hana akiri atasubili sana kumpata anaye mtaka kwanza sura yake mbaya kwakwel vibaya vinalinga daaah
@BintiGMnini-gv6by6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Realme-xm3sh6 ай бұрын
Zariiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anataka wenye kifuw alafu mwembamba😂😂😂😂😂😂
@lareineminah13536 ай бұрын
😂😂😂😂 ye mwenyew hajuw anataka nini😂😂😂😂😂
@AngelinaGabriel-ie5yq5 ай бұрын
Me nimempenda Sana
@loner_wolf6 ай бұрын
Mc hakikisha Johari asipatwe mpk nifike Mimi hapo....keep her for me ,keep her on the shelf per me brethren .❤❤❤❤❤
@user-mr7gl5ox6u6 ай бұрын
Na hiko kicroptop cha glady 😂😂😂😂 na anavyojishajishaua sasa
@kalundehassan91216 ай бұрын
😂😂😂😂advocate na uvaaji huo hata elimu haijamkomboa😅
@Officialmonah44752 ай бұрын
Ila jmn uyo glad ndio kasabish wenzie wazime taa ila kiukweli uyo mkk ni mzr mpole mstarabu mpk raha mrefu afu mfanya biashara mm nampnda kbs🥰🥰💋💋kaka krb kwangu
@Ostadhatnasma6 ай бұрын
Kusema kwel bhana Mrs Right wabongo wanalinga sana yaan sababu zao hazina maana kwakwel hawa wanashida kweli ya mume? Yaan wa kenya wapopoa sana
@fidesbernard48355 ай бұрын
Dah pole kijana Mungu atakupa aliekua wako.
@user-ss5xl9ll5l6 ай бұрын
❤❤ mwa naume wa kwenda😊
@GiftAbduly6 ай бұрын
Uyo grad n fala hujui ambao hawajasoma ndio wako na Hela na ndio wanawaajiri khee uyo n tahira nakaadhirisha kabisa 😂😂
@fayzahra83276 ай бұрын
Mr right ya Kenya ndo kumejaa vituko. Mr right unachanwa na kuchanika😂😂😂😂😂😂😂
@asheri-he6nh6 ай бұрын
😂😂😂😂
@beatricemalisa31325 ай бұрын
😂😂😂😂
@bmtv77906 ай бұрын
Mwanasheria kingeleza kibovu, mentality na reasons za wanawake mbovu, wanawake wenyewe wabovu si wakaumbe wanaume wao😂
@faithfaith-zr6gz6 ай бұрын
😅Wakanunue midoli wamalize haja zao.
@salomemwango18155 ай бұрын
Hahaha 😆 😂 😆 mdoli tena
@SashaOscar6 ай бұрын
Kwanza Saiz kinachoangaliw ni maokoto tu, kina baba levo wameishia la saba B lkn kimaisha wanaendelea pw, ila hako nahisi kwanz hakajaanz ata kujitegemea bd kanaish kwao na maisha hakajayajua bd
@user-gf3vp1pz9c6 ай бұрын
Yan kama huyo anaesema nahitaj educated huko chuon hakuona wanaume 😂😂
@glorytarimo11035 ай бұрын
🤣🤣🤣kazi iko
@salmakivo40734 ай бұрын
Hapo sasa
@David-if6nk2 ай бұрын
Walimla na kumuacha
@hanifa91536 ай бұрын
Aki hio kizungu imeongewa na anae jiita mwana sheria inatia huzuni nikama form 1 kwanza kama mwanangu wa class 5 ndo anaongea ivo🤣🤣🤣🤣🤣
@faithmwangosi166 ай бұрын
😂
@aika30245 ай бұрын
Nipeni namba ya uyu Kaka ananifaa sana😍 Mtani wangu jamani❤️
@user-jd8lu1bk8k6 ай бұрын
Ila wapare kweli ni bahili sana wala siwashau.jaman wanaume wa kipare punguzeni ubahili
@danielljohn6 ай бұрын
Hahahahaaaa sio kwelii😅😅
@aud5486 ай бұрын
Wakuu nyie mnaenda huku kudhalilishwa kwenye National Tv ...aseee 😂😂😂😂
@user-ly2mj6od3v6 ай бұрын
Wadada ebu tujiheshimu jamani,tue na kiasi,nakuwaje mnongea sanaa kwenye macho ya watu ivoo,,mmh
@adelamartin13206 ай бұрын
Thank you 🙏 alliya na diva ❤❤❤
@emarsonjuma90456 ай бұрын
Hivi huyu dada anaitwa Johari mbona ako na maringo ivi😏
@HappyJohn-rj8co6 ай бұрын
Aliya kweli Leo mmeona kitu kaka ht mm niliona Hana njaa
@rebecca-op7mx6 ай бұрын
Gladys Glady Glady nimekuita mara tatu dada litakukuta jambo walah omba Mungu akusaidie hao wasomi unaowasema wanaakili tuko nao hapa wanakusubir wakupe unachostahili mwehu wewe na raha ya elimu ikukomboe wewe umegraduate dada hatukatai ila huna akili elimu haijakukomboa
@empressdamahshow5 ай бұрын
Nipeni number YA huyo kijana mtanashati Ramson😂❤
@nishaabdula50156 ай бұрын
Yn wnajishauwa alafubsura chafu ss si ungeebda uko chuoni ukatafute msomiwenzako kwnn unakuja hp kuvhagulwa km mandazi kenge ww ungemzur au iyo elim yk ndo kuoendwa ungefika hp
@faridalihondo33226 ай бұрын
Hawa yan kupata wanaume wa maana hawatapata wataishia kuchezewa tu
@user-mr7gl5ox6u6 ай бұрын
Kabisa
@london15865 ай бұрын
Huyu johari jmn akiolewa ni bahati aiseeeeh😂😂😂
@jescahawino46016 ай бұрын
Jamani huyo jamaa Ako sawa na mm ubaya Niko kenya😢😢
@neemaberny35986 ай бұрын
Advocate tu bi 😂 huyu mbona kama yupo debate ya primary ..English gani sasa 😂huyu akiwa mwanasheria wako waandae ndugu zako wachange mzigo wa dhamana😂😂
@philemonmagesa55486 ай бұрын
Tena debate za darasa la nne nazikumbuka tulikuwa tunaongea english kama yake mada za water is better than fire
@neemaberny35986 ай бұрын
@@philemonmagesa5548 mule mule🤣 Yani hata nguvu ya kumhoji huyo kaka kwa hiyo English katoa wapi..
Alliya una akili sana! Elimu sio akili, kila mqanadamu ana utashi wake. Matajiri wengi na wafanyabiashara wakubwa elimu zao ni ndogo lakn kwa vile wana vision maisha yanaendalelea💪
@Bigger.996 ай бұрын
Jaman mwakahuu tofaut sana mamisi right wengi pisi mbovu😂😂 na Wana dharau sanA😮😢😮😢
@user-is3og1hc8r6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣yan dada johar Mmmh mtihani nilimuona toka kwa yule jamaa wa salon na bajaji lol.
@agnesgeorge68186 ай бұрын
Wapare wabahili ndio😂😂😂😂uchune tuu bila mpangilio iyo kwioo,,utuache wapare tuliza komwe lako apo
Unaweza ukawa umesoma lkn huna mafanikio so wanawake acheni kukariri siku hz elimu sio ishu tena ishu ni mafanikio success so Mr. right no 3 asee upo vzr elimu yako sio mbaya hayo mengine mshkuru Mungu
@GiftAbduly6 ай бұрын
Johar nae ni tahira aisee maisha rafik zako ukalinganishe nayo hovyo😏
@fayverenah6 ай бұрын
Mbona mr.Right wanakataliwa jamani😢
@SumayyaahMuzzammil6 ай бұрын
Kwa7bu hao wadada hawana akili
@celinapeter94746 ай бұрын
Nipeni uyo ramso🔊🔊🔊🔊🔊📢📢📢👌
@lovenessrashid6 ай бұрын
Si kila tajiri amesoma ndoo maana. Maisha yangu mimi nawachukia sana walio soma maana maisha yao ni magumu sana maana wanaishi maisha ya kuigiza sana
@salscommunication19106 ай бұрын
Kweliii Kabisa
@ReginaAtilio6 ай бұрын
Kweli
@user-xg2ld2qr7y6 ай бұрын
All the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-yj2rp5gm7p6 ай бұрын
Huyo mwanasheria Ana kingereza kibaaauaaa😂
@merryaugustin88146 ай бұрын
😂😂😂😂😂kingereza cha kudekia choo Pumbavu kbsa na sura yake mbaya❤ka chuchunde
@cobrachristian36856 ай бұрын
Kwani diamond au Alikiba au harmonize wana elimu gani hawa madada hawajielewi kbsa
@shabanizubery34126 ай бұрын
Glad na johar ni micharakaa mwanasheria hawez kuwa na akili fupi hivyoo
@BalakaYohana-cw3di6 ай бұрын
Sura bati kwamba elimu elimu inkundo😂😂😂
@aminamwivita76906 ай бұрын
Mashaallah ❤❤❤❤❤❤
@nishaabdula50156 ай бұрын
Yn videmu vyenyewe vibaya
@Rogathe-Rogathe6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hizi morning speech za form 1🙌🙌🙌🙌 ....poor English ma gal
@neemamuhoja21286 ай бұрын
Yaan jinga kweli
@Aisha-wq1he6 ай бұрын
Mpare mwenzangu ww😂😂😂
@maimunaussi-lr3ze6 ай бұрын
mm uyu ningechagua nimempend sana ❤❤❤❤
@directorgamba6 ай бұрын
mamb
@maimunaussi-lr3ze6 ай бұрын
pw
@dorcaskidoti2496 ай бұрын
Glady Sasaa anavyoringa sura ngumu kama uvungu waa......Akafie uko hana mvuto😂😂
@asiasaidi-zc5gq6 ай бұрын
Ila wewe mungu anakuona walaah 😂😂😂
@tulahaule90756 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mwanaidimussa6 ай бұрын
😂😂😂😂
@SashaOscar6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 yaani haka kadada na mashauzi yake na icho kizungu cha mtt wa form one kimenichekesha, kwnza hakaendan na huyo kaka pumbaaaav kbxa kapite kule 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏