No video

SUGU afunguka alivyoishi JELA, Kumiliki HOTEL ya kifahari, safari yake ya muziki,Kifo cha mama yake

  Рет қаралды 73,247

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

#Sugu

Пікірлер: 130
@sarahmichael7538
@sarahmichael7538 3 жыл бұрын
Salute kwako muheshimiwa Sugu
@olivernathereth8088
@olivernathereth8088 3 жыл бұрын
Nampenda mbunge wangu mpk naumwa
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 3 жыл бұрын
Naona wengi mnamwaga sifa kwa sugu mwaka Jana tu wengi mlikuwa mnamdis wabongo wanakera sana!!!! Mr ii nakuelewaaaa since nakuckia kwenye hip hop
@peterpanyika6810
@peterpanyika6810 3 жыл бұрын
Sugu Hongera,I have witnessed u from scratch. --sinza palestina
@dominicfrancis8669
@dominicfrancis8669 3 жыл бұрын
Respect kaka mkubwa sugu
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni hustler sana!
@zakariamufuruki1725
@zakariamufuruki1725 3 жыл бұрын
big up saluteeee me nimekubali na siii kuwa tajili salute bro
@farijimwangosi8202
@farijimwangosi8202 3 жыл бұрын
I really Appreciate you my MP JONGWE your always my Icon ,Be Gloryfied by God's Grace🙏🤝❤️
@smartnyengo725
@smartnyengo725 3 жыл бұрын
Legendary the big man
@USTAWIWAJAMIITZ
@USTAWIWAJAMIITZ 3 жыл бұрын
Daaaah This guy anan inspire sana
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 3 жыл бұрын
mmh kweli nimeamini mlikuwa mko kifungoni...SNS walikuwa wanaogopa kabisa swala la siasa hasa wapinzani😀😀😀...mwenda zake mungu akurehemu🙌🙌
@shanawilliam1050
@shanawilliam1050 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 3 жыл бұрын
Kweli mwenda zake akwende huko
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 жыл бұрын
Samahani kwa usumbufu kzfaq.info/get/bejne/kMqolrWBqci6eZc.html 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
@ozaneetanzania5211
@ozaneetanzania5211 3 жыл бұрын
Nifuraha isiyo kifani 🤣🤣
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 3 жыл бұрын
Dah sugu mbuge Bomba sana
@ezrashukuru7511
@ezrashukuru7511 3 жыл бұрын
Hiii ni interview bora sana kwa Tanzania kuliko zote toka tuingie 2021
@dullasakume7902
@dullasakume7902 3 жыл бұрын
Mnyamwez mmoja namic kukuona mjengon mzeh wang
@enockvittus9755
@enockvittus9755 3 жыл бұрын
Big up jongwe
@ivaniavianarodrigo7201
@ivaniavianarodrigo7201 3 жыл бұрын
upo simpo sana, my niga sugu.
@lowkeybongo
@lowkeybongo 3 жыл бұрын
Sugu ndo definition ya G.O.A.T always siwezi kukosa interviews zake
@adsonjoseph8933
@adsonjoseph8933 3 жыл бұрын
Too proud
@josephlyanzile1534
@josephlyanzile1534 7 ай бұрын
Big up mbilinyi
@josephmlelwa3175
@josephmlelwa3175 3 жыл бұрын
Day waka nakukubali sana nakumbuka uzinduzi nilikuwepo ilikuwa poa sana
@theceefamily7764
@theceefamily7764 3 жыл бұрын
Congrats sugu,well done job💯💝💪🌞🙏🇰🇪.
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 2 жыл бұрын
Sugu the Legend
@alfinmbilinyi1326
@alfinmbilinyi1326 2 жыл бұрын
Yeah!sugu anaongea ukweli 90s nishakutana na raia wazambia pale sinde mbeya walikuwa wakimtafuta msanii Mr 2 nikawajibu yuko dar wakati huo.big up Kaka yangu sugu .
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343 3 жыл бұрын
Kuna vichwa vingi Sana bongo. Ila sijui tunafeli wapi
@mcdee007justitbro6
@mcdee007justitbro6 3 жыл бұрын
Legendery Tuff gong
@vlogvlog8522
@vlogvlog8522 3 жыл бұрын
Nalikubali ili li jamaaa balaaaaaaa ni jongwe jiwe suguuu noma sana
@allysalum1112
@allysalum1112 Жыл бұрын
Safi seraa raaa kweri
@serijofesto9068
@serijofesto9068 3 жыл бұрын
The man himself Moto chini IQ kubwa kabisa
@michaell8566
@michaell8566 3 жыл бұрын
Jongwe 💪🏽
@pascalsamson4721
@pascalsamson4721 3 жыл бұрын
Safii
@oneecha5790
@oneecha5790 3 жыл бұрын
Criss you are amaizing bro
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 11 ай бұрын
Contents ndio zinamata sio jina❤
@gilbertmunga5351
@gilbertmunga5351 3 жыл бұрын
Good presentation man
@everlastthebad4441
@everlastthebad4441 3 жыл бұрын
bonge la interiew,,,,stories life entertaiments yan waoh interview
@alphankilenga6209
@alphankilenga6209 3 жыл бұрын
Mzee wa untivirus. Kubali sana dingi la madingi
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 3 жыл бұрын
wow upo mbeya creez favours jamani ningekuwepo ungekuja home ule lunch :) jirani na desderia. Enjoyyy!
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 3 жыл бұрын
Nakukubali sana sugu
@ibrahimngurungu5607
@ibrahimngurungu5607 3 жыл бұрын
Wa kwanza kucoment
@hassaniissa9444
@hassaniissa9444 3 жыл бұрын
Wana sns mpo vzr sana
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 жыл бұрын
Mbeya Moja👆
@erickzephania1030
@erickzephania1030 3 жыл бұрын
Hawa ndio watu wa kuwaoji maisha yao ni elimu tosha kwa vijana wengi. Sio kwenda kuhoji wadangaji na wasanii watafuta Kiki
@habibukilango7738
@habibukilango7738 3 жыл бұрын
Kwel kabisa ingekua wabana pua hapo ingekua kiki tu hawana lolote
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 11 ай бұрын
Eti unaenda kuhoji mijinga kama mwijaku, baba levo, masha love, harmorapa shenzi kabisa😢
@coolruler6820
@coolruler6820 3 жыл бұрын
Kuna laana hapa bongo,,najiuliza kwanini watu makini kama hawa hatuwatumii?
@georgethomasi3741
@georgethomasi3741 3 жыл бұрын
Kwasababu wanaporwa kwa mtutu wa bunduki
@mtaninjegere6060
@mtaninjegere6060 2 жыл бұрын
Hata mimi sielewi kabisa. Huyu mtu, Msigwa, Heche na Lema nawamiss sana
@amanungamba7526
@amanungamba7526 2 жыл бұрын
Nakukubali sn brother sugu
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 3 жыл бұрын
nom
@nicksonchondo8633
@nicksonchondo8633 10 ай бұрын
😂😂😂 was a G hahaha sugu mwamba
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 11 ай бұрын
Godfather of hip hop in Tanzania
@kingkigumi9483
@kingkigumi9483 2 жыл бұрын
Suguuu daaa ckupingii mkuu wang , ile ngoma mikonon mwa polic aipingwi
@alphankilenga6209
@alphankilenga6209 3 жыл бұрын
Nakubali sana mzee. Ile ngoma yako ya miss tz. Wabongo kibao hawajawah kuielewa
@afyandogo
@afyandogo 9 ай бұрын
Miss tanzania ni ya solo thang
@denesingogo2622
@denesingogo2622 2 жыл бұрын
Sanaaaaaa t7uuu
@mzeekitambazi4707
@mzeekitambazi4707 3 жыл бұрын
mkinga kama mkinga
@dannytiggy8610
@dannytiggy8610 3 жыл бұрын
Wewe ni icon tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@allymsuya6655
@allymsuya6655 3 жыл бұрын
Nice interview! Big up my MP
@elninothetragedy3121
@elninothetragedy3121 3 жыл бұрын
I fucking like u ma nigga Mr.2Proud!! Gonga like kama ushawahi kuskiliza Nje ya Bongo ukiwa dogo
@irakozeabubakar3223
@irakozeabubakar3223 3 жыл бұрын
Nimefurahi sana sugu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Baba sasha on the Simulizi Na sauti, 2 Years ago
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 жыл бұрын
Baba freeman
@ibugharib389
@ibugharib389 3 жыл бұрын
SUGU amenikumbusha mbali enzi hizo mitaa ya kinondoni kona ya mwananyamala huwa tulikuwa tunakutana sana pale kwa EDDY BABA CHIPS usiku saa tatu hiyo tumetoka mbali
@mo_8712
@mo_8712 3 жыл бұрын
Wananiita sugu, sugu, sugu, sugu Naani? Wananiita sugu, sugu sugu, sugu🎵🎶
@pettyjongera1295
@pettyjongera1295 3 жыл бұрын
Hata mtt wa demu ananiita uncle Sugu💃💃
@josendaki2321
@josendaki2321 3 жыл бұрын
😍😍
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 жыл бұрын
Jina la mheshimiwa haliishagi mkuu!
@dullahsimbaulanga6472
@dullahsimbaulanga6472 2 жыл бұрын
>>>Dah Sugu anasema Kupewa Heshima Mapema Ni Mzuka Sana 😅😅
@kimdolidoli6833
@kimdolidoli6833 3 жыл бұрын
Uyu sugu ninkichwa nimesikiliza interview yake ana akili Sana
@richinda4799
@richinda4799 3 жыл бұрын
WANAMWITA SUGU.
@mwalimu1520
@mwalimu1520 3 жыл бұрын
Done
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌..
@joycemagessa350
@joycemagessa350 3 жыл бұрын
✌✌👍
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 3 жыл бұрын
Daa!! Mafanikio
@asueddy1465
@asueddy1465 3 жыл бұрын
Sure, 1992 biashara ya magunia ilihit Sana Mbeya, nakumbuka mzazi wangu ni Business iliyomtoa...alikuwa anatoa magunia Zambia analeta Mbeya
@davidmziray2048
@davidmziray2048 3 жыл бұрын
Sugu ni sugu kweli
@saidiphily4964
@saidiphily4964 3 жыл бұрын
Hii ndio enteview yangu bola 2021 ASANTE NSN KUTULETEA REGENT
@christianolyehe6149
@christianolyehe6149 3 жыл бұрын
Wana kwita sugu nani
@alphankilenga6209
@alphankilenga6209 3 жыл бұрын
Sugu sugu . sugu . naniiiiii
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 жыл бұрын
Samahani kwa usumbufu kzfaq.info/get/bejne/kMqolrWBqci6eZc.html 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
@dianamasha1006
@dianamasha1006 3 жыл бұрын
🐐
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 3 жыл бұрын
Hii interviw angeifanya sky walker mwenyewe ingekua tamu saana kiukweli, sijaenjoi kabisa huyu jamaa anavomhoji sugu
@goalcoam5619
@goalcoam5619 3 жыл бұрын
Tuliza mshono wewe
@kedrickbosskubwa5743
@kedrickbosskubwa5743 3 жыл бұрын
Huna akili
@hassanchauluwa7308
@hassanchauluwa7308 3 жыл бұрын
Naunga mkono hoja
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 жыл бұрын
Samahani kwa usumbufu kzfaq.info/get/bejne/kMqolrWBqci6eZc.html 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
@habibukilango7738
@habibukilango7738 3 жыл бұрын
Wanamuita SUGUU
@princeshamamba
@princeshamamba 3 жыл бұрын
Kali sana
@wazirmasokola5951
@wazirmasokola5951 3 жыл бұрын
SUGU
@salumumuhijai1913
@salumumuhijai1913 3 жыл бұрын
jamaa kichwa sana
@bushzerahamusic4762
@bushzerahamusic4762 10 ай бұрын
Sugu umengea maneno kama mtu mzima
@mwalimu1520
@mwalimu1520 3 жыл бұрын
Done Done
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 3 жыл бұрын
Mmgempa sky uyu bingwa
@djdondullah8215
@djdondullah8215 3 жыл бұрын
Hahah sema Chriss pia amefanya vizuri
@nicholauslwena3189
@nicholauslwena3189 3 жыл бұрын
Sure ila not bad
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 3 жыл бұрын
Samahani kwa usumbufu kzfaq.info/get/bejne/kMqolrWBqci6eZc.html 👆Tafadhali naomba unisaidie kubariki Safari yangu ya Sanaa Kwa kunipa maoni yako juu ya wimbo wangu huo mpya UbArikiwe Thanks
@erickendrick3330
@erickendrick3330 3 жыл бұрын
Jongwe
@binamutawa9637
@binamutawa9637 3 жыл бұрын
Mpambanaji
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 3 жыл бұрын
Wapinzani jipangeni kwa sera nzri mjaribu tena 2025,acheni Mambo ya kususa uchaguzi ndiyo kipimo chenu,kuwa tunakubarika au tumefeli wapi mrekebishe
@hassansalum5362
@hassansalum5362 3 жыл бұрын
Wewe umekaa kama hukai bongo ivo unavoongea au siasa za bongo huzijuii
@georgethomasi3741
@georgethomasi3741 3 жыл бұрын
Uwezi kushindana na mtu anaetumia silaha kupata ushindi alafu kesho unakuja tena kupambana kwa mbinu ileile utegemee kushinda
@mbarakharuna9156
@mbarakharuna9156 3 жыл бұрын
Ssa huogopi corona ww sugu mwehu kweli
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
We huogopi mbwa wewe
@georgethomasi3741
@georgethomasi3741 3 жыл бұрын
We umekosa oja wivu unakutesa nenda kalime
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 3 жыл бұрын
Ila brother men Sugu kwetu ILEMI hujafanya lolote ILEMI kwetu kwenye uongozi wako hujafanya lolote
@alphankilenga6209
@alphankilenga6209 3 жыл бұрын
Angefanyaje sasa kwa namna ya uongoz ule. Ukiongea2 poin. Ndugai. KAA CHINI muda wako umekutupa mkono. Mara dk . nje. Yaaani. Mung amlaze yule jamaa na moto wa milele . pumbavu yule ameua demokrasia
@shadyrich2143
@shadyrich2143 3 жыл бұрын
Mbona aliomba sana Barabara ya mapelele Magu ndo alizingua,
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 жыл бұрын
Nakumbka gari la kwanza lilikuwa model ya Honda
@collyalinani2407
@collyalinani2407 2 жыл бұрын
TAITA kama TAITA
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 жыл бұрын
Kwa bi husna ulikaa nkumbka
@gresitimoth4142
@gresitimoth4142 3 жыл бұрын
M
@michaelsikorey4854
@michaelsikorey4854 3 жыл бұрын
Hayo ni majigambo sugu, tuambie mchango chanya ulioimpact jamii Na siyo alivyovichuma kiujanja kama siyo kifisadi. Wewe ni msomi toa mchango kisomi. Joseph Msukuma siyo msomi ni darasa la Saba tu. MCHONGO WAKE KITAIFA FAIDA ZAKE NI KUBWA MNO TE ULIOOKOA TAIFA. TUTAENDELEA KUFAIDI MCHANGO WAKE KWA MIAKA MNGI
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 3 жыл бұрын
Nimoja yawabunge wanao jielewa xana
@hassanosman3824
@hassanosman3824 3 жыл бұрын
Achaaaaaa uwooongo hmna aliyekufunga tafuta mambo menngie huoo Ni ujimga!!!!!
@kelvincrasious2500
@kelvincrasious2500 3 жыл бұрын
Ata Kuandk ujui unakuja comments idiot
@serijofesto9068
@serijofesto9068 3 жыл бұрын
Mwandiko umepinda
@saidsuluo6190
@saidsuluo6190 3 жыл бұрын
Unambonji na madog wa mitaa
@jumamalekela463
@jumamalekela463 3 жыл бұрын
Big up sana sugu, nakukubali sana unamawazo yenyekuleta mafanikio tokazamaizo nandomaana umeweza💪
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 3 жыл бұрын
We Osman jinga two unawivu binafsi naujapitia magum acha mtu aongee mapitio yake
@visentmwanga9880
@visentmwanga9880 3 жыл бұрын
Tuna kuelewa Sana jongwe
@papamukulu1045
@papamukulu1045 3 жыл бұрын
🐐
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 24 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 29 МЛН
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 6 МЛН
Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1
32:38
YahStoneTown
Рет қаралды 110 М.
Soggy Doggy: Ni mimi tu ndo sikuwahi kunaswa kibao na Majani
34:46
Dizzim Online
Рет қаралды 18 М.
The Arena | Challenge Islam | Defend your Beliefs - Episode 46
3:53:14
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 24 МЛН