Kweli sugu upo vizuri kaka yangu,me nakuaminia,kumbe sugu uliona huyo Mzee anaenda kuindoka,saafi sana sugu
@aloycemisigalo3983Ай бұрын
Hapo mmeonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa, ila kiukwel wote mko vizuri, nimependa sana hii.
@shinjemsuka1822Ай бұрын
Sugu ana hoja za kitoto sana, comedians
@TegemeaFutemakatifuАй бұрын
Sio kweli ila nimependa mdahalo huu
@FesaryАй бұрын
Na ameshibda; Sugu anaongea simple lakini strong
@TegemeaFutemakatifuАй бұрын
Hoja za Kitoto kama??
@user-uz9mw1ie6zАй бұрын
Tuache makundi ya hivyo ili tushinde uchaguzi wa serikali za mitaa mwako 2024 na uchaguzi mkuu 2025. God Bless Us - CHADEMA
@samwelnevele7796Ай бұрын
Mdahalo huu kwa kweli ni meupenda hongera sana
@leocadianjau7410Ай бұрын
Natamani hii midahalo ifanyike kwa viongozi wote wa kanda tutapata watu wazuri sana kuinua utawala bora hadi level ya chini kabisa
@jumakapilima7295Ай бұрын
Mjadala haukuwa wa afya
@bahatadof55437 күн бұрын
Waooooh kaka,we ni mtu na nusu sugu.
@frankSamwel-rg3lzАй бұрын
Midahalo kama hii ina stimuleti thinking. Big up chadema na Act wazalendo kwa kuliona hilo
@user-jt4lo1og8wАй бұрын
Hii ndiyo demokrasia ya kweli, big up chadema❤❤❤❤❤
@mcongomakete1664Ай бұрын
Asante sana kwakufafanua hapo maana mh msigwa anapotosha uma
@user-un8si7wk1zАй бұрын
Hii debate ni excellent. Wamefanya vinzuri ĝ
@pirminmatumizi5464Ай бұрын
Ni mapema mno. Lazima uzijue siasa za Africa ndugu yangu. Tusiige wamagharibi kila kitu.
@noeljacob9644Ай бұрын
Ila maswali ya Odemba yamenyoka sana🙌🙌🙌🙌
@alphoncewilliam4325Ай бұрын
😂😂
@nzagiherman1628Ай бұрын
Mdahalo mzuri sana. Tunapata wasaa wa kuelewa thinking, goals na the end... Nafurahi sana kuwasikiliza mnavyorespond hoja na maswali.
@thomaskiponda6079Ай бұрын
ÌNGEKUWA CCM WANAJIGEUZA CHAWA KWA MTU MMOJA HII NDIYO CHADEMA TUNAYOIJUA❤❤❤
@respiciusmugezi8645Ай бұрын
Mimi sijui sana siasa lkn ninachokiona kwa Msigwa ni mtu ambaye anajua kujieleza vizuri na kujitetea ya wezekana hiyo ni kalama yake,ila kwa utendaji sio mzuri
@lusajomwaipopo5042Ай бұрын
Uko vzuri
@TegemeaFutemakatifuАй бұрын
Uko Sahihi Msigwa anakipaji Chakujieleza Vizuri sana
@faustinombilinyi9809Ай бұрын
Kweli ndugu msigwa anajua SN kujieleza kujibu hoja lkn UTENDAJI hajui sn pili huwa anajua yy yupo superior than others tatu hajui miiko na mipaka na yake na viongozi wake alinukuliwa akipingana na makamu mwenyekiti hadharani ni kosa lile
@user-ig7tb1cf8zАй бұрын
Chadema bigup sana kwa njia hii inawajengea uwezo zaidi chadema
@isayakihongile4921Ай бұрын
Haya ndiyo mawazo huru ninayoyataka yanajenga yanamuamsha kiongozi asibweteke nipo na Sugu
@PelleSamkyАй бұрын
Hongera sana Naiona Nuru Chadema Mungu awabariki sana na wakubali
@AronsMugisha55Ай бұрын
Mko vzr sana Chadema
@user-so9fo5tv3jАй бұрын
Mdahalo mzuri sana
@wemakyagunya1895Ай бұрын
Uongozi ni kazi sana aisee inataka roho ya Bwana wa Mungu iwe juu yako. Hapa Sugu na Msigwa wanapamhana kupata tu nafasi ya Uenyekiti wa kanda tu aisee kwa kweli ni kazi saana.
@user-ig7tb1cf8zАй бұрын
Kanda ya Nyasa mnawatu wazuri sana mimi nawashauri wajumbe wawape wote, maana simwoni wakumwacha.
@illomowerner7690Ай бұрын
hahahaaaas
@ignasmwamwenda3154Ай бұрын
Msigwa, kwenye ngorongoro mmmmh, ulijikwaa
@sebastianmwantuge5597Ай бұрын
Huko ndiyo kushindana kwa hoja,mwisho wa siku mmoja akishinda mnapongezana. CHADEMA safi sana.
@gaspercharles2244Ай бұрын
Ndg yangu hapa ni kuangushana sio kushindana ndani ya Chama halipaswi hili maana baada ya huu uchaguzi mmoja Kati Yao ataanguka kisiasa sayansi ya siasa haitakiwi Chama kimoja viongozi wawili tena wa ngazi za juu kufanya hayo madhara yake ni makubwa Sana ndani ya Chama kisiasa
@jamessoke4454Ай бұрын
Safi Sana kwa mdahalo mzuri
@AronsMugisha55Ай бұрын
Chadema mmekuwa mfano mfano mzr one mnavyofanya mdahalo live ili kumpata kiongozi bila mizengwe aise hii ni demokrasia ya hali ya juu sn. Safi sana vyama vingine viige mchakato huu wa kupata viongozi
@user-xi2mf4xh7rАй бұрын
Nyie ni maswaiba nawajua na kiukweli mko vizuri maana tunhitaji hoja kamili kama hizi,wote mko vizuri kimawazo tunawatakia heri ktk uchaguzi.
@illomowerner7690Ай бұрын
Bonge la hoja, unajitambua
@dismasmtui729Ай бұрын
Safi sana CDM
@user-vz4xv7lg3xАй бұрын
Hii ni nzuri sana....hata atakaeshinda atajua ana kazi ya kufanya na si kujibweteka tu!!
@illomowerner7690Ай бұрын
Sana, walioshinda watimize majukumu yao kwa bidii na ubunifu mkubwa kwa mujibu wa katiba. Congratulations for the voted leaders, all are winners
@user-vz4xv7lg3xАй бұрын
@illomowerner7690 sure, they have a great job to do!!
@geraldgedi4657Ай бұрын
Kweli kabisa hata wakati wa ukoloni shule zilikuwepo chini ya miembe na watu walipata elimu ndo waliopata elimu wamejenga shule
@user-so9fo5tv3jАй бұрын
Well said Mchungaji Peter Msigwa.
@josephmchila6467Ай бұрын
Moderater anamuataki Msigwa
@johnjohnkipokola5077Ай бұрын
Msigwa ndiye anamkatisha mwenzake na kupelekea moderator kuingilia kati.
@JoseHaule-tx7luАй бұрын
Safii kabisa hiyo ndio democrasia
@deodathsilayo3639Ай бұрын
Chama kingine kiige hiv Kama wataweza
@conradjunior5940Ай бұрын
walianza ACT hii
@V24hrsАй бұрын
Kumbe waliokimbia walikosea sana
@johnmakundi9877Ай бұрын
Chadema mko vzur hongera kwa mabadiliko
@illomowerner7690Ай бұрын
Big post
@othannmpoli9896Ай бұрын
You have show us, the meaning of democracy keep it up !!! May be next time….,.!
@user-zg4yz7je8dАй бұрын
Chama kinakuwa sasa zamani chama wanachaguaana tu sasa ivi mtifuano
@wilfredmdemu61129 күн бұрын
Cm nao wafanye mdahalo kama huu tutaona vioja kwa kweli
@dunstankihaa2383Ай бұрын
Chief Odemba ni hbar nyingne kwa wanahabar
@user-oo3qw8ns7gАй бұрын
Congrats msigwa, freedom of opinion
@PaulKabungoАй бұрын
Safi Sana
@costamasuba1099Ай бұрын
Pamoja siyo mzoefu wa siasa ,ila mfumo wa kifikiri ndio engine ya Kila jambo,wote hao wanamazuri na madhaifu ,ila mchungaji ni mbobevu kwenye leadership,sugu ni hodari wa kumobilize watu,sugu he have to lean more.
@finiasmaengela2996Ай бұрын
Mjadala mzuri Sana
@Aminmwansile-we8vnАй бұрын
Mpeni ushindi sugu sugu ameshinda huu mdahalo
@karenstephen8738Ай бұрын
Nilikuwa najua yale ya wamasai yatamfuata Msigwa pole hili litakuangusha trust me bro check your arrogance
@illomowerner7690Ай бұрын
Great prediction @karestephen
@edomukiluswa2262Ай бұрын
Msigwa kuhusu jambo la ngorongoro ni kama ulikuwa CCM, Jaribu Tena kujisahihisha kulingana na Imani ya Chama chako, Kuhusu lugha jaribu kupunguza kingereza, Watanzania walio wengi utawaacha nyuma hivyo ujumbe wako kutowafikia Sawa sawa
@illomowerner7690Ай бұрын
Muungwana ni vitendo, hoja nzuri @edomukiruswa
@elishampoki8751Ай бұрын
Nakubali
@user-gy3bv7nm7d5 күн бұрын
Msigwa mjanja mjanja tu hana jipya atulie tu amuache sugu nae
@YaeLondon-xy7shАй бұрын
Msigwa apishe nainatosha kama amejenga chama na mboye
@karenstephen8738Ай бұрын
Good! Hiki ndicho chama cha siasa bhana
@illomowerner7690Ай бұрын
Kweli kabisa kamanda, umehoji na kutoa mawazo yako kizalendo... materialistic
@cyprianboniphace-oz5lwАй бұрын
Mh Msigwa nakukubali sana ila hapa naona Mh Sugu ana nafasi kubwa ya kushinda.
@josephmantago2837Ай бұрын
Nawaomba viongozi wangu wapongezane wao kwa wao mi nawakubari wako vzr hawawezi kufanana ndo maana ya democrasia atakaeshinda tumeshinda wote chadema kizazi kipya cha kuhoji Mungu ibariki chadema na watu wake
@komboarts711012 күн бұрын
Sugu swala la kilimo umejibu kwa Utulivu wa maono
@safarimashimba5080Ай бұрын
Hot soup!
@ambitiousholyspirit395Ай бұрын
Chadema ni chama kikubwa sana kinakuabsiku Hadi siku.
@Aminmwansile-we8vnАй бұрын
Msigwa umeferi kwenye huu mdahalo
@NyangiMarwaАй бұрын
Mdaharo mzuri sana ila siku nyingine boresheni sauti
@AnithaQueen-jc6wtАй бұрын
Msigwa yuko vizuri sugu akae pembeni kwa heshima ya chama
@omegamwasenga9823Ай бұрын
Msigwa anapaniki, twende na Sugu nyasa.
@Aminmwansile-we8vnАй бұрын
Msigwa mdahalo umekushinda yaan hauleeweki
@V24hrsАй бұрын
Aliwaita nyumbu kwakuwa nyie ni nyumbu kweli. 😂😂
@illomowerner7690Ай бұрын
Huna akili
@1xbetagent24hrsnicolous3Ай бұрын
Msigwa kujipa sifa umekwama acha watu wakupe sifa Pili tuhuma simekuchafua Pili unajibu kwa hasira ambayo na jaziba usilazimishe mambo wakati umebugi stape Nipo nasugu
@HenryKasaje-on4xqАй бұрын
Safi sana
@Aminmwansile-we8vnАй бұрын
Katika huu mdahalo nimeamini sasa kuwa sugu ni mwanasiasa mkubwa sugu ameshinda huu mdahalo
@DenisKagineАй бұрын
Msigwa very nice,
@mkambamaulid447Ай бұрын
Kama Naona mpasuko furani hivi but is good for Chadema ✌️
@LuciaAgustino-pt5mgАй бұрын
Muzingwa uko vizuri sana
@MsifuniMahengeАй бұрын
Tumpe sugu Kwa Sasa nyasa msigwa miaka kumi imetosha
@leodgardotmar7198Ай бұрын
Sugu nchi haijengwi kwa connection ni policy
@user-ig7tb1cf8zАй бұрын
Wana ccm tuingie tujifunze Chadema mambo mema si vibaya kuviiga.
@mcongomakete1664Ай бұрын
Mbona anajikanusha miaka 10 sio mzaha kama hakuna sampo ya miaka 10 umeshindwa
@raphaelmchilo-kx4ttАй бұрын
Jamani msigombane ndani yachama
@success-onlyАй бұрын
Kipepeo msigwa mbona anapanic ? Kuna wakati msiwa ataisaliti chadema Ulishabikia na kuungana na ccm kuwafukuza wamasai ngorongoro
@user-ne1ni8cp4bАй бұрын
Chill bro msigwa
@LuciaAgustino-pt5mgАй бұрын
Musikwazane wote moo vizuri kisiasa katika taifa letu
@mwl.elishafredrickmwambeng8921Ай бұрын
Msigwa ni genius sana.... I wish angekuwa ndani ya CCM tushuhudie potential yake ikiwa full taped
@lusajomwaipopo5042Ай бұрын
Ccm hamuwapi watu wenye pontetiol nafasi
@mwl.elishafredrickmwambeng8921Ай бұрын
@@lusajomwaipopo5042 ni kweli mkuu ndipo tunapofeli kama Chama.... Tunaenda Kwa kujuana zaidi kuliko Nini mtu anajua....
@bahatadof55437 күн бұрын
Kwa hiyo ofisi hazina maana,wakitaka kukuona watakukuta wapu sema mchungaji unachemsha
@clarencelazaro9600Ай бұрын
In fact Msigwa tena
@SimulizitulivuuАй бұрын
Daaah ila Msigwa 💪💪💪💪💪
@gaspercharles2244Ай бұрын
Kweli hichi Chama Sasa ni kama cha chadema kugonganisha viongozi na kukosoana namna hii mbele ya watu ni kuangushana kisiasa au Kuna agenda? Maana sijabarikiwa na ukosoanaji wa namna hii viongozi wa Chama kimoja maana hadi Sasa kwa mtu mwelewa ameshamwona mmoja hapo kuwa hafai Sasa kesho yake kisiasa ndani ya Chama ni nn?
@cyprianboniphace-oz5lwАй бұрын
Umesahau wakati wa kura za maoni za ubunge CCM majimboni watu mpaka wanagombana kama sio wa chama kimoja.
@williamshehemba7224Ай бұрын
Hii ni kitu nzuri sana CCM WAIGE HILI KWA ULIMWENGU WA SASA
@geraldgedi4657Ай бұрын
Msigwa P. you are so strong you deserve what you have and you will win this battle on 29.5.24
@illomowerner7690Ай бұрын
UKO wapi @regnald Let's know about your prediction whether is has gone okay or not😂
@user-sm7gj4mn5nАй бұрын
Mdahalo mzuri ila chama changu chadema muoache kutumia mabavu pia tumia maoni ya watu nawakumbusha kwa lowasa pia naona chama kingefumliwa juu
@shukuruphanuel1729Ай бұрын
Msingwa ni Kiongozi, Wanachama wa CHADEMA waamue vizuri. Wakichagua vibaya watapotea
@illomowerner7690Ай бұрын
Acha kuwapangia wajumbe nani achaguliwe, wapigakura watachagua kiongozi wao kutokana na mahitaji yao ikiwepo vipaumbele vyao. Isitoshe wote bado wataendelea kufanya kazi za chama hata kama si viongozi, aliyekwambia mtu akidondoka kwenye kura hafanyi kazi za chama? Acha akili mgando
@onesmomasala-rg2wdАй бұрын
Mdaahalo mhim kati msigwa na mbilinyi
@user-lw3tg3yg5bАй бұрын
Mimi si chadema lakini nawaunga mkono kwa mjadala mnaofanya hii itasaidia wananchi kuchagua viongozi makini
@illomowerner7690Ай бұрын
Bonge la hoja @user
@Aminmwansile-we8vnАй бұрын
Msigwa tayari umetumika mwachie sugu aongoze nyasa
@finiasmaengela2996Ай бұрын
Nimegundua msigwa kinachomsumbua ni suala la wamasai 😂
@davidndaha9607Ай бұрын
Apa nakubali kiongozi sio kuchaguliwa tuu ila kupewa charenge kesho akishindwa wanamwacha!.
@GeraldNyasembe-q2d5 күн бұрын
Mmhh kumbe msigwa alisapoti CCM kufukuzwa kwa masai
@user-uz9mw1ie6zАй бұрын
Level ya mh. Msigwa ni level ya mh. Lema ; mh. J. Heche lkn mh. Sugu Bado una muda kujifunza na kukomaa ili ifike hapo alipo mh. Msigwa. Ombi langu kwa mh. Msigwa endapo Chama kitakupitisha usiwe na kinyongo juu ya kundi la sugu. Mh. Sugu ana hasira na na tamaa ya Uongozi nadhani Kuna watu wanachama wanamdanganya kua anaweza kuvaa viatu vya mh. Msigwa Imani yangu km mpenzi wa CHADEMA Bado mh. Sugu anahitaji kujifunza mengi kupitia kwa mh. Msigwa. Maswali mengi kwa mh. Msigwa wamekua na hoja dhaifu zinazoweza Jenga mgawanyiko ndani ya taasisi tunayoipenda tuipendayo CHADEMA na kua mh. Sugu alipanga watu kumsaidia ktk mdahalo huo. Mm ni miongoni mwa wa-tz na wapenzi wengi wa CHADEMA tunaoamini kua mh . Msigwa Bado ana uwezo ; na anafaa kuendelea kua m/kiti wa Kanda ya NYASA. Mh. Sugu endelea kumuomba MUNGU akupe hekima. Uongozi hautaki fitina Bali hekima ya MUNGU inahitajika. Mh. Sugu na kundi lako ktk mdahalo huo mmetusononesha sn wapenzi wa demokrasia. Kuna watu nawaheshimu na wameshiriki ktk mdahalo huo lkn kwa hiki kilichotokea Leo ktk michango Yao ilijipanga km ngome ya mh. Sugu nadhani wengi tumekua na mashaka km kesho wanaweza kufikiliwa kua VIONGOZI wetu !
@frankatilioАй бұрын
Kabisa Yan mpka nimeshangaa msigwa ana hoja lakin nimeaamin alichosema lissu
@user-cu9mj3xj8xАй бұрын
hapa hakunademocrasia wamepangana kumung,oa kumbukeni.mhemko si utendaji ,dhambi hii haitawawachasalama, msigwatokahuko. hufananinao,
@samsonsanga4368Ай бұрын
Kweny jibu la nyumbu mch umejib vzr san.
@HaryPoter-zw7vrАй бұрын
Tumpe Sugu kura Zetu, Mchungaji msigwa aeleweki,mmetutukana,pili ameunga mkono kufukuzwa Kwa wamasai
Tuseme kweli ila njululuu ina nguvu sana.Kusema kweli ktk fikra za wagombea hawa 2 Mchungaji Msigwa alistahili ushindi asubuhi kabisa.Naliona anguko kuu la chama hiki in the near future
@illomowerner7690Ай бұрын
Wewe kijana Abdallah akili yako iko likizo, na MUDA mwingine ili kujitunzia heshima si lazima uropoke kwenye kila jambo au topic hata usiyojua. Unakera
@onesmomasala-rg2wdАй бұрын
Haya ndio mambo
@MohamedAli-kq2zcАй бұрын
Moderator mwenyewe mhhhhh.Mungu mwema
@boniphace1Ай бұрын
Hii dhana ya kusema maendeleo siyo vitu bali ni watu ni mtego utakao toa good excuse ya kutowajibika. Ni kweli hatuhitaji vitu kama majengo, miundo mbinu n.k?
@SimulizitulivuuАй бұрын
Kwa hoja nilijuatu Msigwa hashindwi. Sasa kwenye utendaji huko sijui sanaa
@ThobiasMaranduАй бұрын
indigenous • \in-DIJ-uh-nuss\ • adjective. 1 : having originated in and being produced, growing, living, or occurring naturally in a particular region or environment 2 : innate, inborn.May 12, 2024 Msigwa Hapo au hajui au Kapotosha, Indignous Haina Maana ya Suti au Nyumba Ina Maana (Watu wa Asili wa Mahali, Iwe wana Suti au rubega) Wamasai ni Indiginous wa Maeneo hayo.