TABIA 6 ZA MAFANIKIO YA PESA

  Рет қаралды 132,231

Success Path Network

Success Path Network

4 жыл бұрын

Mafanikio ya kifedha au pesa zina namna yake maalum ambayo kama ukiielewa vizuri basi huenda kwako wewe zoezi la kuzitafuta na kuzipata likwa rahisi sana na wakati wote waweza kuwa nazo na hayo ndio mafanikio au uhuru wa kifedha, endapo kila tatizo likitokea na wewe utakuwa na wa uwezo wa kutatua bila wasiwasi.
Sasa kuna tabia kadhaa ambazo ukifuatilia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kifedha na kama utapuuzia mambo haya sita basi huenda ukawa na matokeo ya wastani katika kumiliki fedha au kupata uhuru kamili kabisa wa kifedha.
Karibu darasani, baada ya kutazama somo hili tafadhali nitapenda sana uniongezee tabia nyingine au mambo mengine ambayo nami nitajifunza kwako katika comments.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Tabia6 #Mafanikio #pesa

Пікірлер: 268
@mohamedmiraj3117
@mohamedmiraj3117 4 жыл бұрын
1 kipato kisizidi matumizi 2 matumizi yasiyo sahihi 3 epuka mikopo isiyo ya lazima 4 tumia pesa uliyonayo tu si uliyoahidiwa 5 kuhakikisha kuwa na bajeti💪 6 kuepuka matumizi ya kutumia credit card Kama umemuelewa Ezden bin J4 gonga like
@petertemu6103
@petertemu6103 4 жыл бұрын
Kwenye kutumia fedha kwa kutumia cm huko ndiko dunia inakoelekea hatuwezi kwenye kuepuka
@abdulkisoma6305
@abdulkisoma6305 4 жыл бұрын
Ebana bro mm naitwa Abdul shida yangu mm ni mtafutaji yani wakipato cha kila kila siku sasa mimi nacheza mchezo wa upatu ule wakila siku anatoka mtu nalipia shilingi elfu kumi kwa siku lakini naona kama natoa pesa nyingi kisha sioni faida na nikisema niache mchezo ndio siwezi kabisa kuhifadhi iyo pesa sasa sijui nifanye nn kaka EZDEN naomba ushauri wako
@brightonngowo5629
@brightonngowo5629 4 жыл бұрын
Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa
@brightonngowo5629
@brightonngowo5629 4 жыл бұрын
Abdul una tumia benki nenda benki Kama crdb au nmb alaf waaereze Hilo swala .Kisha mwisho mwa maerezo yako waambie unaitaji black account au reserve account itakufaaa
@kelvinsaimon2513
@kelvinsaimon2513 3 жыл бұрын
Safi
@user-im4lf4qc5l
@user-im4lf4qc5l 5 ай бұрын
Shukrun kwa funzo. Nzuri
@jasminepeter7598
@jasminepeter7598 2 жыл бұрын
Najifunza sana
@sebastiansikujua298
@sebastiansikujua298 Жыл бұрын
Ushauri wako uko vizuri unatija kwangu mm ushauri wako tunaendana nakuombea mungu akubariki katika kkazi yako nakutakia maisha mema nakaz njema yenye tija
@FistonNdayisenga-yi9wz
@FistonNdayisenga-yi9wz 7 ай бұрын
Mungu akujaliy Kakayangu kwamafunzoyako anatumika kbx
@deusjohn1107
@deusjohn1107 4 жыл бұрын
Nimekuelewa bro nizamu ya fetha ni muhimu sana eti mnafungua dirisha langine la mr kuku limited mwezi wa ngapi maana niliweka matumaini yangu kwa mr kuku lakini napiga simu ofisini naambiwa wameshafunga hawapokei tena wawekezaji tokea nimeambiwa ivo sina raha tena nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana nitafanyaje nilitegemea lakini mwisho wa siku ndio ivo uliwahi kusema mtu usiweke furaha katika vitu lakini furaha yangu kuu ninayo ila hii ya mr kuku pia ili kuwa furaha kwangu maana ilikuwa ni fursa nzuri basi hakuna namna bay Deus john Mimi napenda sana kusubutu jambo sinaga uwongo wa kufeli wala hasara pindi dirisha langine mtakapofungua nitakuwa wa kwanza kushea
@philimonijems5724
@philimonijems5724 3 жыл бұрын
Amen kak nahid kubadilika somo nzur san
@user-dv9ql8yl7q
@user-dv9ql8yl7q 3 ай бұрын
Asate😢😮😅😊 nimejifunza meng kwako
@jafarighuli696
@jafarighuli696 4 жыл бұрын
Masha Allah, may Almighty Allah give which deserve to be upon you
@alfreddominick7463
@alfreddominick7463 3 жыл бұрын
Mafunzo yako yapo vizur na mungu akabaliki
@robertluge4263
@robertluge4263 4 жыл бұрын
Asante kwa kufundisha somo zuri mimi nnatatizo hilo la bajeti tena linanisumbua sana ndugu yangu naomba msaada wako
@shamsiamsaghati
@shamsiamsaghati Жыл бұрын
Hapa kwenye matumizi hapa sasa Itabidi nijitahidi kila ninachonunua niandike ili nione natumia kiasi gani ili niweze kujibajeti Nijue naingiza sh ngapi na kutumia sh ngapi kwa mwezi Shukran broo much love to you😍
@ndaganimutera5114
@ndaganimutera5114 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana unanisaidiya sana kwama fundisho yako kaka ubarikiwe sana
@darlinmandwanga6801
@darlinmandwanga6801 3 жыл бұрын
Alhamdulillah umetufungua macho maana nafanya kazi kwa bidii Ila pesa aiwekeki I don't know why but now nimepata jibu nifanye Nini
@amanimanase5794
@amanimanase5794 4 жыл бұрын
Hahahaaaa asante kwa hili maana mi naliweza sana mpk marafiki zangu wakiwa sehem zao za starehe huwa wananikimbia but mm nasema its fine coz this is my life broo,hasa mm kinachonifanya nisitumie pesa ovyo nakumbuka nilipotoka na pia nina kiu na kuwa na pesa nyingi (utajiri) Niishi life flan ivi la kinyamwezi na family yangu
@marizonogola3725
@marizonogola3725 4 жыл бұрын
Nimependa sana somo lako.
@moseskipkemboi9884
@moseskipkemboi9884 4 жыл бұрын
Mashaallah tabarkaallah elimu nzuri
@albanusmbithi3486
@albanusmbithi3486 3 жыл бұрын
HONGERA sana wew unatujenga kimaisha
@seurimollel607
@seurimollel607 2 жыл бұрын
Somo nzuri sana
@salmahanai3601
@salmahanai3601 2 жыл бұрын
umenifungua kaka asante sana ndio maana nashindwa kusonga mbele kumbe niko rafu sana na pesa
@kijanamstarabu3607
@kijanamstarabu3607 3 жыл бұрын
Ahsantee Sana mpendwa
@kalmerystephan8881
@kalmerystephan8881 4 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo nzuri nimejifunza kitu
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 жыл бұрын
It's a very important Lesson in our society nowadays shukran My Brother Ezden nakielewa miaka yote 🙏🙏🙏
@jamesjustinian4863
@jamesjustinian4863 3 жыл бұрын
Ya 7 ni kujiepusha na marafiki wenye kupelekea matumizi mabaya ya fedha
@twalibjabey7919
@twalibjabey7919 4 жыл бұрын
Soma zuri sana. Nimeelewa
@MonaMona-qt5ef
@MonaMona-qt5ef 4 жыл бұрын
Nimeilimika kwa hilo shukran allah akujaze kheri
@atanasimbalinga1088
@atanasimbalinga1088 4 жыл бұрын
Respect
@donathkimaro1931
@donathkimaro1931 4 жыл бұрын
Ushauri wako mzuri sana tutaendelea kukusapoti na kutoa mawazo hendelevu
@sarahlenny1118
@sarahlenny1118 Жыл бұрын
Thanks nimejifunza kupitia ilisomo laleo na nitajifunza zaid🙏
@mugaberobertmugaberobert1343
@mugaberobertmugaberobert1343 2 жыл бұрын
NC advance Bro
@francomgaya9847
@francomgaya9847 Жыл бұрын
Kaka nimekuelewa kweli God bless you and me
@aisackkandonga6686
@aisackkandonga6686 Жыл бұрын
Asant brother atakama ni mechelew nimejifuza asant
@elihurumamaiko1669
@elihurumamaiko1669 3 жыл бұрын
Uko vizuri
@tumajunior6080
@tumajunior6080 4 жыл бұрын
Nimekuelewa vizuri tu kbs shukran
@stingagency1748
@stingagency1748 11 ай бұрын
Shukran kwa ilimu Allah barik
@khadijatamimi2495
@khadijatamimi2495 3 жыл бұрын
Shukran sana nakufwatilia sana masomo yako yananipa mafunzo na akili ya kutulia nakusoma ni kiwa Dubai asante kaka ALLAH akuzidishie ilmu
@msafirimponda1719
@msafirimponda1719 3 жыл бұрын
Habari Ezden Jumanne,asante Kwa kutuelimisha naomba unielimishe kuhusu bajeti Kwa upana zaidi,asnt
@elizashirima5986
@elizashirima5986 3 жыл бұрын
Nimekuelewa brother
@barakaezekia3382
@barakaezekia3382 3 жыл бұрын
Mungu akubaliki
@zaitunimchomvu3574
@zaitunimchomvu3574 3 жыл бұрын
Nakuelewa vizuri Sana unanifunza vitu bingi mungu akulipe
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 жыл бұрын
May ALLAH bless you my brother,umeniokoa ktk Giza Alhamdulillah.
@musinguzufred8315
@musinguzufred8315 Жыл бұрын
Nikwell mafundishoyakonimazu asantsan
@nataliasr3013
@nataliasr3013 3 ай бұрын
Asante sana ubarikiwe
@abuukajembe85
@abuukajembe85 3 жыл бұрын
Vizuri kaka
@charlesmoore3615
@charlesmoore3615 4 жыл бұрын
Free class big up bro kwa mawazo yanayoishi na yenye faida!!!!!
@abdullali9811
@abdullali9811 2 жыл бұрын
Nime kuelewa br bgp sana
@bupedaudi8095
@bupedaudi8095 3 жыл бұрын
Jamani mimi nabalikiwa sana namafundisho yako. Asante sana kaka.
@katanaali5083
@katanaali5083 4 жыл бұрын
Worthy practices that can indeed change the status of life. Quality staff brother,
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana,kwa somo. La maana
@sarahlenny1118
@sarahlenny1118 Жыл бұрын
Thanks mimejifunza sana kupitia ilisomo lako la Leo na nitajitaidi kujifunza zaidi.🙏
@benedictmangoo4222
@benedictmangoo4222 3 жыл бұрын
Asante sana kwa mawaidha yako
@saidkamus9169
@saidkamus9169 4 жыл бұрын
Thanks bro Allah akubarik sana
@irenemziwanda3312
@irenemziwanda3312 3 жыл бұрын
Nashukur sana
@khadijajuma3887
@khadijajuma3887 3 жыл бұрын
Shukran sana nimejifunza
@shabaniramadhani9817
@shabaniramadhani9817 4 жыл бұрын
Asante kwa somo
@hudaally2599
@hudaally2599 3 жыл бұрын
Nimekuelewa vizuri kaka ilaongeongelea pia swala la kuridhisha marafiki katika matumizi ya fedha
@thobiaslameck4430
@thobiaslameck4430 4 жыл бұрын
Nilichelewa sana kukufuatilia kaka wew ni zaid ya mwalim mungu akubariki uzidi kutoa elimu muhim kama hizi.
@allfaeliasi7440
@allfaeliasi7440 4 жыл бұрын
Nimekusoma brother thanks
@nasranassor6796
@nasranassor6796 4 жыл бұрын
Asante hilo la 6 nilinotice kitambo Thnx alot
@mj.100onlinetz.2
@mj.100onlinetz.2 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana bro
@sarahsarah4919
@sarahsarah4919 4 жыл бұрын
Asate sana kaka hap nimejifuza kitu mana sijuwi kutuza hela
@joycengatunga3052
@joycengatunga3052 4 жыл бұрын
Kaka, shukrani sana kwa elimu hii, ingawa nimechelewa kupata darasa, lkn nimejifunza kitu, asante sana
@darlinmandwanga6801
@darlinmandwanga6801 3 жыл бұрын
Asante Sana Kaka ezden jumanne
@othmanhamad2078
@othmanhamad2078 3 жыл бұрын
Like it broo
@ernestermpunza5252
@ernestermpunza5252 4 жыл бұрын
Nafurahia sana somo nzur
@justinedaudi9396
@justinedaudi9396 3 жыл бұрын
Mm nimekupenda sana hii
@mkibandulo1231
@mkibandulo1231 3 жыл бұрын
Asante nimekuelewa vzr Allah akujaze kheri ishaallah
@johnmwaikambo8623
@johnmwaikambo8623 4 жыл бұрын
Safi sana nimeipenda hii
@hawamitigo6055
@hawamitigo6055 4 жыл бұрын
Thanks a lot nimejifunza kitu
@maishatzmartin5468
@maishatzmartin5468 4 жыл бұрын
Asante sana kk
@kalundepeter2606
@kalundepeter2606 2 жыл бұрын
Nashukuru Sana broo unanirudisha kwenye njia🙏🙏
@halimahalima7544
@halimahalima7544 3 жыл бұрын
Asantee Kaka nimekupenda buree
@madownloadionlinetv759
@madownloadionlinetv759 3 жыл бұрын
thanks you for your geet thinking bro ww upo sawa sana pne nikifaniwa ww ni mchango kwangu usihofu sicomment muda mwingi but naku appreciate sana ww in term pf your topical in examinining knowledge
@chrismassawe326
@chrismassawe326 4 жыл бұрын
Elimu nzuri kuliko ya darasan
@faidhalshundi977
@faidhalshundi977 4 жыл бұрын
realy perfect successfuly
@josemgalilaya1439
@josemgalilaya1439 4 жыл бұрын
Nimejifunza pia. Kuna maeneo mengi nimekwama! Lkn taratibu nitafunguka
@alfredjoshua8625
@alfredjoshua8625 4 жыл бұрын
somo zuri sana nikupata vyema.
@medsonstarlon1781
@medsonstarlon1781 4 жыл бұрын
Shukrani sana sana
@kenydeclassic1577
@kenydeclassic1577 2 жыл бұрын
,Nice. Bro
@paskalmaganga9225
@paskalmaganga9225 4 жыл бұрын
Nimekusoma vyema brother 🤜
@amanimakumbi6611
@amanimakumbi6611 3 жыл бұрын
Safi sana homie thank you somo limeniingia sana . Umenisaidia sana kwenye hili somo
@aletiusierasimusi4504
@aletiusierasimusi4504 4 жыл бұрын
nimekukubali sana yani ntakufatilia broo umenifunza kitu
@khalifalutonja6125
@khalifalutonja6125 4 жыл бұрын
Somo zuri sana brother. May Allah bless you.
@husseinbakari9618
@husseinbakari9618 4 жыл бұрын
Ramadhan qarim brother Asante
@kingssimbahh932
@kingssimbahh932 4 жыл бұрын
Nimeipenda shukran san broo
@khadijajuma3887
@khadijajuma3887 3 жыл бұрын
Allah akubariq kaka najifunza mengi kupitia wewe
@titomhagama5545
@titomhagama5545 4 жыл бұрын
Safi sana
@brianpig8299
@brianpig8299 3 жыл бұрын
Asante kwa msaada maana ni kweli tunamatumizi makubwa kuliko kipato.
@dicksonstephen3320
@dicksonstephen3320 4 жыл бұрын
Asante Sana bro
@gabrielkikwanga4559
@gabrielkikwanga4559 3 жыл бұрын
Mr Jumanne, am very inspired by your advices. kiukweli hiyo ndio changamoto kwangu. kila nikipata hela bhana, hujui inaisha je gafla tu. lakini kupitia ushauri wako leo hii , nimejifunza mengi sanaa
@brunomusphany8428
@brunomusphany8428 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka
@freddyngabonziza5864
@freddyngabonziza5864 4 жыл бұрын
Mashallah Allah akubariki shukran sana
@hajimkandi9070
@hajimkandi9070 4 жыл бұрын
tupo pamoja
@samsonlucas2880
@samsonlucas2880 4 жыл бұрын
Hiyo ni Sawa kabisa Kwa kuomgeza bro me naweza sema pia kukosa ubunifu Wengi wapo kwenye Ajira na tatizo linakuwa kwenye ubunifu wa wao kutumia kidogo wanachopata Hivyo hujikuta mshahara wote kuishia kwenye nauli chakula na matumizi mengine yasio Rasmi Hivyo me naona kama ni vyema kuwa na ubunifu wa kufanya plan B ya kujikimu ili kuwa zaidi kwenye kipatao
@erickpeter6558
@erickpeter6558 2 жыл бұрын
Am.happy for.sorty you.
@masesakipara7018
@masesakipara7018 2 жыл бұрын
Asante Kaka kwa kutuelimisha hii ya kutembea na pesa nyingi nimesha iacha ilikuwa inanipa matumizi siyo
@KatemboMakata-vd1ho
@KatemboMakata-vd1ho 11 ай бұрын
Asante ndugu,
@emilitemba1984
@emilitemba1984 4 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa somohili.Namuomba mungu akupe afya njema na umri mrefu
@shakiikwalo7265
@shakiikwalo7265 4 жыл бұрын
Duuu ww ni noma bro
@dogoroma1921
@dogoroma1921 3 жыл бұрын
Mkn brother nimeelewq
@abubakarimuhamedi8053
@abubakarimuhamedi8053 4 жыл бұрын
Huaga nakukubali sana kaka
@fabianfedias86
@fabianfedias86 4 жыл бұрын
Hongera bro najifunza mengi namna unavyo tuelimisha
@teflonloya228
@teflonloya228 4 жыл бұрын
I got you brother.
@lreneauma1762
@lreneauma1762 3 жыл бұрын
asante kwa somo
UTAFANIKIWA SANA UKIELEWA JAMBO HILI
9:16
Success Path Network
Рет қаралды 7 М.
Mambo 7 Ya Kuacha Ili Ufanikiwe
22:00
Success Path Network
Рет қаралды 2,1 МЛН
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 169 МЛН
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 57 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 3,2 МЛН
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 376 М.
SIRI KUBWA 6 ZA KUFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
23:41
Victor Mwambene
Рет қаралды 6 М.
Kanuni Moja Muhimu Itakayokupa Mafanikio Kwenye Maisha.
8:08
Hamasika Tv
Рет қаралды 170 М.
FAHAMU HILI KABLA HUJACHUKUA MKOPO
9:56
Success Path Network
Рет қаралды 16 М.
SABABU 9 ZA KUTOWASIKILIZA WATU HAWA
20:59
Success Path Network
Рет қаралды 37 М.
Mbinu 7 za Kushinda Hofu na Kuongea kwa Ujasiri
13:10
Success Path Network
Рет қаралды 2,2 М.
KUFIKIA MALENGO YAKO/ MAFANIKIO YAKO
12:15
Success Path Network
Рет қаралды 64 М.
MBINU 6 ZA KUHARAKISHA MAFANIKIO YAKO | Victor Mwambene.
15:33
Victor Mwambene
Рет қаралды 5 М.