Mimi nimeota naolewa na mume wangu ila hakufika nilikuwa najiandaa lakini naelewa km ni yy atakuja nikapita nashtuka hajafika naomba unijibu shekh
@HellenTjАй бұрын
Hata mm
@mwanasitimohammed55653 ай бұрын
Mm nimeota naolewa na mpenzi wangu ..na cha zaidi nina mimba
@dmshana424210 ай бұрын
Mim nimeota naolewa lakin anaenioa hayupo Ila nimevaa shela kabisa na viatu na naenda kurembwa Ila hakuna muziki Tena na sijamaliziwa kusiukwa sijui inamaan gani
@januzajmust35527 ай бұрын
Bado upo hai mpaka saiv
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
Shukraan
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
Nimeolerewa arafu nikaondok
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
Napia nimeota nacheza na simba na namchezea simba simba anacheka
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
Na anizulu
@user-oy5lt8xt5d10 ай бұрын
Mimi nimeota nauzuria harusi
@maggnyaboke62099 ай бұрын
Mm sina mume but Niko na boyfriend na nikaota nikiwa kanizani nikifanya harusi watu walishangilia sana na tulikua pamoja na my boyfriend i thank God for that ❤
Na vip ukiota kunamtu anataka akuoe lakini ukakata kwa kusema nampenda mtu fulani ambaye nd mpenzi wako unamaana gan
@MuasitiAboBakri-ew5mu2 күн бұрын
Je umeota upo Kwenye shamrashara umechorwa piko, ila mume hakuwepo, ila hapo hapo ikajiendeleza nipo kwenye huba zito na tunapendana sana na mtu mwenye cheo kikubwa na tunapendana na tupo Kwenye huba na mama akaja akasema umempendea nini huyo mwanaume, ila tukaendelea na upendo je inamaana gani shekhe na nimeota huo upendo wetu tupo Kwenye mazingila ya kifahar huku uarabuni ukiangalia sijaolewa
@user-jm2uh6mk3g2 ай бұрын
Mmi mmetoa mume alioniacha kaniowa ten pia yup
@user-jz8sj5us1h Жыл бұрын
Sheikhe mm nimeota naorewa ila ndoa iyo tupo wawil ty
@user-jm2uh6mk3g2 ай бұрын
Mim mmeota nimeolew n mume alionicha uyo uy lkn yup anatk kuozeshwa
@user-wu1nb1wv2w6 ай бұрын
Asalam alaikum shekh naomba namba ya wastap
@Mundhir1111Ай бұрын
Shekh rafik yang kanambia kamuota mama yak mdogo lkn keshakufa zaman alafu anamuota mzm alafu anasema kaota yy anasukuma juu ya horofa alafu anakufa shekh hii ndoto ina maana gn
@SwafaaHussen7 күн бұрын
Maan mm nimeolew mke wa pil bt nimeota ninaolew tena n mtu ninayemjua na anamke namwanaume yupo bt nkakataa nkasem cwez kuolew mke wa pil tena then nkaondoka nn maan yake
@nishawangaiwangai97656 ай бұрын
Mimi niliota nataka kuolewa lakini kuna watu waniambia huolewi naule alikua ataka kunioa alikua amenioa natukatemgana zamani hiyo ina maana gani ustadhi
@AlhajalaNilongo-pe5jd10 ай бұрын
Mimi nimeota Niko kwenye harusii ya rafikiangu wako wote wawili. Alafu mamdogo ameniota mm Niko naolewa na mume uko. Inamaana gani?
@user-fe8cx8fj9o5 ай бұрын
Samahan shekh mume wangu kaota naolewa na mume mwingine inamaan gani
@officialcandleboy69232 ай бұрын
Na mimi pia nimeotaga ndoto hiyo mke wangu kaolewa na mtu mwengine nika hizarau cause nilikua nampenda sana , na Leo hatupo pamoja tena
@Annalisejg2urАй бұрын
@@officialcandleboy6923mmeachana au
@user-sf8cw7zl2d6 ай бұрын
Nimeota natolewa posa lakini nimekabiziwa mwenyewe nilivyokemea nikashtuka
@SwafaaHussen7 күн бұрын
Km je umeota unaolewa bt ukakataa hiyo ndoa baad yakubembelezw sab bd umesimamia msimamo haiwezekan nn maan yake
@fatnaharerimana20307 ай бұрын
jameni mimi nimena ndoto naolewa mumu yupo lkn hatuonani n pia baba harusi alikuwa ameongea n wazazi wangu sikuelewa hiyi ndoto nisaidieni kw hili naomba