TAJIRI KOBOKO ALIEKUBALI SHARTI LA KUISHI MIAKA 7 NA UTAJIRI KISHA KUFA/NILIANZA KUWA MCHAWI

  Рет қаралды 15,723

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

10 күн бұрын

Пікірлер: 80
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen 8 күн бұрын
Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️
@DavistarMataMediaDM
@DavistarMataMediaDM 8 күн бұрын
Amen ahsante tupo pamoja
@sophiebanga9533
@sophiebanga9533 8 күн бұрын
Welcome back umenona saana mtu makini
@jumayusuph9609
@jumayusuph9609 6 күн бұрын
​@@DavistarMataMediaDMasate sana tumekumic kaka mpka tumekonda ukipotea uwe unatuambia tusiwe na wasi wasi
@josephmulli37
@josephmulli37 5 күн бұрын
​@@DavistarMataMediaDM28:04
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 8 күн бұрын
Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 8 күн бұрын
Davista kanyong'onyea sana. I fell something bad had been going through him. Mungu akutie nguvu tuko pamoja.
@nalandayusuf641
@nalandayusuf641 3 күн бұрын
karibu sana Davimastar kazi zako tuli kuwa tumesha zi kumbuka
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz Күн бұрын
Mbona hawezikujielezea vizuri anatafunatafuna kama mbuzi tu yani anaboa sanaa
@mwami_the_don_
@mwami_the_don_ 8 күн бұрын
Jamani tumchangieni davista tujiongeze kaaah mpak aseme wakat katutoa mbal na katoa sana matongo tongo juu ya hii dunia
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 7 күн бұрын
Awake namba tumsapoti davista ata elfu 5 to kwa kazi nzuri anayo fanya
@paustephano
@paustephano 6 күн бұрын
Tunaanzia wap Sasa?
@paustephano
@paustephano 6 күн бұрын
Mnaonaje tukatengeneza group whatsup na tutume humu link anataka atajiunga na mwenyew davista awepo then tuanze michango hapo
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 5 күн бұрын
Davista anapitiaga comment kwahyo aweke namba yke tumchangie
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 8 күн бұрын
Karibu sana Mtu makini ulitugaya ila ulipo tuacha hatujasogea tumekusubri kwa uaminifu mkubwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jkkim3848
@jkkim3848 10 сағат бұрын
Davister amerudi mtandao 💪🏾karibu tena
@reisezone4574
@reisezone4574 8 күн бұрын
DAVISTA Tunaomba utuambie wafuatiliaji wako tulio nje ya nchi nini kilikukuta mbona muda mrefu sana ulipotea tulipata wasiwasi tuambie
@elochoyakobo7809
@elochoyakobo7809 2 күн бұрын
Oya davistar piga kibao Huyo jamaaa,Mtu anahojiwa anacheua Cheua na kutafuna tafuna kama mbuzi haipendezi
@judithpraisesmusic
@judithpraisesmusic 8 күн бұрын
We have missed davistar....welcome back I am so much blessed with your work and have known a lot spiritually
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 7 күн бұрын
Mda mlefu kweli mdogo wangu devistar sijaingia kwenye program mungu Akuongoze vizuri Ameen
@joymkenya2359
@joymkenya2359 8 күн бұрын
Welcome back😊🎉from Kenya we love you TZ ❤
@mundhirsalum21
@mundhirsalum21 6 күн бұрын
Story nzuri ila msimuliaji ana semulia kama ana soma gazeti Kama huyu story yake inafika hadi part 5 achana nayo tuwekee mtu mwengine
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 5 күн бұрын
Yaan bila davista nlikua naona ata youtube haina maana una nafasi katika mioyo yetu kwa kwel🎉🎉
@rerisamba
@rerisamba 8 күн бұрын
Michawi .mnao turogea Davistar mshindwe kabisa katika jina la Yesu
@cheddarman8436
@cheddarman8436 8 күн бұрын
Kiukweli Davistar anapitia changamoto, hii sura sio yake.
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 2 күн бұрын
Amen
@ambassadorkatemeambassador2840
@ambassadorkatemeambassador2840 8 күн бұрын
Awali ya yote nipende kumshukuru Mungu, niokuona tena Mr Dm karibu
@James-Jabari
@James-Jabari 8 күн бұрын
Mr. Facts great to see you brother.
@salngas902
@salngas902 7 күн бұрын
Welcome back mr everything,,we missed you❤❤❤❤
@cyantess8423
@cyantess8423 8 күн бұрын
glad your back
@mgalulamatongo4079
@mgalulamatongo4079 7 күн бұрын
Since 2019 nafatilia story zako..wlcm again ninja
@emmyrobert1061
@emmyrobert1061 7 күн бұрын
Welcome back davistar mata we love you.🎉
@user-uc1tc7jf9q
@user-uc1tc7jf9q 7 күн бұрын
Mungu ni mwema nimefurai kukuona tena❤❤
@user-op4ue1sm9x
@user-op4ue1sm9x 6 күн бұрын
Asante kwa kurudi hewani davista
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 8 күн бұрын
welcome back mr davi...we missed u
@philipomponeja2457
@philipomponeja2457 7 күн бұрын
Davistar kimya sana! najuwa unamambo mengi! so tulikumic karibu
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 8 күн бұрын
Well come back Mr. facts!!!
@patrickmaina5459
@patrickmaina5459 8 күн бұрын
Welcome Mr Devistar 🤝
@mysskibe
@mysskibe 7 күн бұрын
Welcome back Davistar 😊😊 Hope you know you are appreciated by your online family, endelea kum expose shetani kabisa
@dozbilavipimocr7bilavipimo218
@dozbilavipimocr7bilavipimo218 4 күн бұрын
Angela sana kaka🎉🎉🎉🎉😂❤
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 7 күн бұрын
❤❤ Glad to see you...you're welcome....
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 күн бұрын
Duh ulipoteaga sana mkuu
@athumanmakale8221
@athumanmakale8221 7 күн бұрын
Binafsi nilikumiss sana Davista. Tuendeelee tulipoishia..
@MawaddaKhamis-zh3kc
@MawaddaKhamis-zh3kc 8 күн бұрын
Wa kwanza 🎉
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 8 күн бұрын
2024
@marryjoely8091
@marryjoely8091 8 күн бұрын
Aaaah hatimaye ❤
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 6 күн бұрын
Umepotea Sana davista
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 3 күн бұрын
Kwanini anakula wakati wa mahojiano?
@bakari-si1pw
@bakari-si1pw 8 күн бұрын
Safi sana
@aryanamendes8700
@aryanamendes8700 4 күн бұрын
Ulikuwagaa wapi kaka
@happymrema7487
@happymrema7487 8 күн бұрын
Bora umerud
@user-ho2qk6oj3w
@user-ho2qk6oj3w 5 күн бұрын
Davister jaribu kutoa vipande hata vitatu kwa sku tuna hamu na hyo ctr.. Lkn utoaji wa kipande kmoja kwa siku hauridhish
@user-bd6nt4yq3m
@user-bd6nt4yq3m 6 күн бұрын
Mkuu unatukosea sana hatukupati
@user-fo5ox5wq6l
@user-fo5ox5wq6l 8 күн бұрын
Wa 3
@GodwillMasige
@GodwillMasige 8 күн бұрын
Mtumishi kupotea kwako kumenifanya hata cm kubwa nione aina maana aisee mungu akkumbe kwa yote ktk maish yak
@Cossan-hp6un
@Cossan-hp6un 3 күн бұрын
❤❤🙏
@shashemuzyo4537
@shashemuzyo4537 5 күн бұрын
Mzee ulipotea. Nikawa narudia story nilizokuwa tayar nimecheki..
@mustaphasegeja1712
@mustaphasegeja1712 8 күн бұрын
Ha unashangaa mzazi kumlipia mahali kijana wake
@user-nt4bl1hn9w
@user-nt4bl1hn9w 8 күн бұрын
Ngoja niskilize story kabla cja comment kitu🎉
@florencerose859
@florencerose859 8 күн бұрын
Mr facts karibu tena 💃💃💃🇰🇪
@getrudeliyayi8050
@getrudeliyayi8050 5 күн бұрын
Kuna jama huko kwenu amefufuka mara 5 please can you check on her ,bring her story too nimeon afri lakini si yote
@davidbatista7882
@davidbatista7882 8 күн бұрын
Wachawi walikupoteza kwa kutoa sir zaooo chezea wachawi nn duuu aiseee na hii inawezekana isiendelee tena
@danielsteven5440
@danielsteven5440 8 күн бұрын
Karb kaka
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 7 күн бұрын
davi karibu shinyanga hapa story zipo kibao
@donathamwangobe2776
@donathamwangobe2776 8 күн бұрын
Davista Mungu akutunze akuepushe na mabaya
@adamjonasi8078
@adamjonasi8078 8 күн бұрын
Eeeeh afadhali aise maisha yalisha kuwa magumu alo 😅😅😅😅
@user-nu3ud7ws9b
@user-nu3ud7ws9b 8 күн бұрын
Ndoa imeisha apa amaa
@jesusislord9190
@jesusislord9190 8 күн бұрын
Sema nn? Dav fanya mazoezi
@tututz100
@tututz100 8 күн бұрын
J.B.B.1999
@User92.invisible
@User92.invisible 8 күн бұрын
Twende mbele.
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 8 күн бұрын
Nyingine saa ngap
@davidbatista7882
@davidbatista7882 8 күн бұрын
Aiseee jamaa wewe umerudi duuu simchezo
@davidbatista7882
@davidbatista7882 8 күн бұрын
Umetoa sana siri za wachawi wakakupotezaaa daaa ukuonekana tena
@NajimaNichole-oz3zv
@NajimaNichole-oz3zv 4 сағат бұрын
Anatafuna maneno au ndo uko gamboshi walikula nyama wa watu Na pumba za kuku ulimi mzito anaboa
@rachelmsekena603
@rachelmsekena603 8 күн бұрын
Mpaka tuliwamiss kwakweli karibuni mjengoni
@DavistarMataMediaDM
@DavistarMataMediaDM 8 күн бұрын
Ahsante
@chuchetresha
@chuchetresha 7 күн бұрын
Back once again 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 8 күн бұрын
We jamaa ulitutupa sana saizi nipo sehemu ya 35 ya Wamayo aisee alijua kusimulia kama kitabu
@rerisamba
@rerisamba 7 күн бұрын
Msalimie baby wetu wamayo
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 7 күн бұрын
Mzee wa nikaingiamo
Is it Cake or Fake ? 🍰
00:53
A4
Рет қаралды 20 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
0:17
OKUNJATA
Рет қаралды 3 МЛН
Blue🩵+Yellow💛=
0:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 50 МЛН