Shida sitanesco,nimatatizo yakuwa na wabunge ambao wapo kwamaslai ya obinafsi.Kifupi Kodi hii inalipwa na wapangaji na siwamiliki wa nyumba.Naiwapo utaanza kuhoji mmiliki atakupatangazo la kuhama utakapo maliza mkataba.Kwahiyo hatuna watetezi na sibusala kulaumu tenesco.Sisi watanzania tulichokipanda na haya ndio mavunoyetu.Tenesco endeleakukusanya mpaka wantanzania watakopo chukua hatua ya kuwasimamia wabunge wao.Mungu huwaabadili jambo mpaka muhusika alikatae.Tanasco kusanya madeni na watanzania watakapo kataahuduma yako msaada wa Mungu utaletwa
@ngulathfundikira42052 күн бұрын
Wanazingua sana tanesco aisee
@geoufo28582 күн бұрын
Uzembe wao wenyewe wanahusisha had wapangaji huu ni uonevu kwakweli
@babymanka6466Күн бұрын
Ivi kama mpangaji akinunua umeme alafu anakatwa inakuwaje kwasasababu anatakiwa alipe mwenye nyumba sio mpangaji sii ndio.
@user-ii4ek1in9qКүн бұрын
Hao tanesco hawana cha kujitetea ila hiii nchiii na mwakani wakinifanyia ivyo tena watanifunga tu kwa miezi yote kwann wasikate ni matapeli tu Kenya oyeeeee
@Ibrahim-ne3in2 күн бұрын
Haya n majambazi...nchi ngumu hiii
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sdКүн бұрын
Hii nchi ya ajabu sana wanatuchulia wananchi ni mazombi kila wanacho tuambia na sisi ni kulalamika chini chini tu upumabavu umetujaa wanachi .... AMKENI WA TZ MAISHA YANAZID KUWA MAGUMU TU KILASIKU
@bongomastory7912 күн бұрын
Waongoooo wanakata alafu wanaandika cost
@lisawilliam2491Күн бұрын
Hii inch ngumu sn dah
@domymerinyo816512 сағат бұрын
Huo ni wizi tu kama wizi Tanesco mmepewa kazi si yenu
@jacksongidione-yo8vg2 күн бұрын
Wizii tu
@salumobed5980Күн бұрын
R. P Magufuli.... Kwel tutakukumbuka
@alcadoathumani99572 күн бұрын
Kwanza huo ufafanuzi alioutoa siyo kweli au labda mimi ndiyo sijaelewa kwasababu kama hawajapandisha kodi basi tanesco mmetuibia hela zatu kwasababu kila tunapoanza mwezi mpya tunakwata kodi kupitia luku Sasa hayo madeni yanatoka wapi ?inamana hapo kwamaelezo hayo nikama tunalipa kodi mara mbili tunaulipia mwaka wa fedha na kila mwezi tunalipa tena au sivyo
@wadantz1232 күн бұрын
Utapeli ty
@zebedayobiswalo19242 күн бұрын
Sijaelewa tanesco na Wana deal na umeme na housing or?
@EmmanuelSima-qz1gd2 күн бұрын
Me nauliza je nyumba moja yenye mita mbili na kuendelea inakuaje mana kila mita lazima ukatwe hela ya pango kila mwez
@seriesplus2552 күн бұрын
Hayaaa sasa wengine tumelala gizaa😂
@allymaulid9391Күн бұрын
Sasa hapo mpangaji anausikaje
@DewGroupTech2 күн бұрын
Uonevu huo
@user-es7jn7cp5d2 күн бұрын
Maisha magumu sanaa aise basi tu
@jacksongidione-yo8vg2 күн бұрын
Mm nimepanga nyumba sihish na mwenye nyumba ninapo lipa kod ya jengo apo sinaonewa😊
@ivankadaudi81612 күн бұрын
Linapenda kuongelewa kila siku mvua zmekata limeanza kutukatia umeme wakat juzi tu lilisema kuna umeme mwingi
@stivertz7014Күн бұрын
Agh hawa jamaa hawa
@FgldesignsКүн бұрын
Kama mnashindwa kujifunza kwa Kenya haya subilini nasisi tuzame mtaani ndo mtakiona
@babymanka6466Күн бұрын
Aaa sio kwa ss watanzania ss hatupendi maugomvi tumezoeya kuishi kwa aman hata kama inatugarimu aman ndo urithi wa mtanzania.
@simonmartin53582 күн бұрын
Majambazi
@jeremiahevodius9252 күн бұрын
Tatizo tuna shilikw moja la umeme litafanya linavyo taka walikuwa wap kukata mpaka waje wakate wakati hu hi mchi inakwenda wap umeme wenyewe upo ju umeme unakatika katika bado makato ju na mimi mpangaji nimecode nyumba nikilipa code kupitia umeme uwon me ndo nitakuwa namlipia mwenye nyumba code apo si nitakuwa naonewa mimi
@OmariNgurangwa2 күн бұрын
Wezi
@DewGroupTech2 күн бұрын
Nchi hii imefika kubaya
@ashurajengela39262 күн бұрын
Uo ni wizi kama wizi Mwingine pumbavu zao madeni gani wakati kila mwezi unakatwa kulanina zao 😢
@melanialeonard4031Күн бұрын
Ndo mkate elfu3 kufatilia kwenyewe hamuwezi kazi kukata tu ela watu wameunga umeme direct mwaka wa3 eti hayajui au mnajua ela mnakozitolea umeme wa elfu10 ni unit19? Na hapo umepanga kweli umasikini mbaya
@MajutoElliasi2 күн бұрын
Daa atuna ra kuogea ira inauma basi tu kwakuwa nimezariwa tanzania bas😂😂😂
@allymaulid9391Күн бұрын
Ni wizi tu amna lolote hapo
@mlelwatv5831Күн бұрын
Mbona mnakata 2 000😢😢😢
@festomassawe9539Күн бұрын
Ata mm nimekatwa 2000
@AmonMeshackКүн бұрын
Kama vipi wazme umm wao tutumie vumuli vya kuni 😡😡