TANESCO yatolea ufafanuzi MKANGANYIKO kuhusu viwango vya KODI ya Majengo inayotozwa kwenye LUKU

  Рет қаралды 3,464

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

4 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 38
@KarumeKindamba-lk1px
@KarumeKindamba-lk1px 2 күн бұрын
Shida sitanesco,nimatatizo yakuwa na wabunge ambao wapo kwamaslai ya obinafsi.Kifupi Kodi hii inalipwa na wapangaji na siwamiliki wa nyumba.Naiwapo utaanza kuhoji mmiliki atakupatangazo la kuhama utakapo maliza mkataba.Kwahiyo hatuna watetezi na sibusala kulaumu tenesco.Sisi watanzania tulichokipanda na haya ndio mavunoyetu.Tenesco endeleakukusanya mpaka wantanzania watakopo chukua hatua ya kuwasimamia wabunge wao.Mungu huwaabadili jambo mpaka muhusika alikatae.Tanasco kusanya madeni na watanzania watakapo kataahuduma yako msaada wa Mungu utaletwa
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 2 күн бұрын
Wanazingua sana tanesco aisee
@geoufo2858
@geoufo2858 2 күн бұрын
Uzembe wao wenyewe wanahusisha had wapangaji huu ni uonevu kwakweli
@babymanka6466
@babymanka6466 Күн бұрын
Ivi kama mpangaji akinunua umeme alafu anakatwa inakuwaje kwasasababu anatakiwa alipe mwenye nyumba sio mpangaji sii ndio.
@user-ii4ek1in9q
@user-ii4ek1in9q Күн бұрын
Hao tanesco hawana cha kujitetea ila hiii nchiii na mwakani wakinifanyia ivyo tena watanifunga tu kwa miezi yote kwann wasikate ni matapeli tu Kenya oyeeeee
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 2 күн бұрын
Haya n majambazi...nchi ngumu hiii
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Күн бұрын
Hii nchi ya ajabu sana wanatuchulia wananchi ni mazombi kila wanacho tuambia na sisi ni kulalamika chini chini tu upumabavu umetujaa wanachi .... AMKENI WA TZ MAISHA YANAZID KUWA MAGUMU TU KILASIKU
@bongomastory791
@bongomastory791 2 күн бұрын
Waongoooo wanakata alafu wanaandika cost
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 Күн бұрын
Hii inch ngumu sn dah
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 12 сағат бұрын
Huo ni wizi tu kama wizi Tanesco mmepewa kazi si yenu
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 2 күн бұрын
Wizii tu
@salumobed5980
@salumobed5980 Күн бұрын
R. P Magufuli.... Kwel tutakukumbuka
@alcadoathumani9957
@alcadoathumani9957 2 күн бұрын
Kwanza huo ufafanuzi alioutoa siyo kweli au labda mimi ndiyo sijaelewa kwasababu kama hawajapandisha kodi basi tanesco mmetuibia hela zatu kwasababu kila tunapoanza mwezi mpya tunakwata kodi kupitia luku Sasa hayo madeni yanatoka wapi ?inamana hapo kwamaelezo hayo nikama tunalipa kodi mara mbili tunaulipia mwaka wa fedha na kila mwezi tunalipa tena au sivyo
@wadantz123
@wadantz123 2 күн бұрын
Utapeli ty
@zebedayobiswalo1924
@zebedayobiswalo1924 2 күн бұрын
Sijaelewa tanesco na Wana deal na umeme na housing or?
@EmmanuelSima-qz1gd
@EmmanuelSima-qz1gd 2 күн бұрын
Me nauliza je nyumba moja yenye mita mbili na kuendelea inakuaje mana kila mita lazima ukatwe hela ya pango kila mwez
@seriesplus255
@seriesplus255 2 күн бұрын
Hayaaa sasa wengine tumelala gizaa😂
@allymaulid9391
@allymaulid9391 Күн бұрын
Sasa hapo mpangaji anausikaje
@DewGroupTech
@DewGroupTech 2 күн бұрын
Uonevu huo
@user-es7jn7cp5d
@user-es7jn7cp5d 2 күн бұрын
Maisha magumu sanaa aise basi tu
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 2 күн бұрын
Mm nimepanga nyumba sihish na mwenye nyumba ninapo lipa kod ya jengo apo sinaonewa😊
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 2 күн бұрын
Linapenda kuongelewa kila siku mvua zmekata limeanza kutukatia umeme wakat juzi tu lilisema kuna umeme mwingi
@stivertz7014
@stivertz7014 Күн бұрын
Agh hawa jamaa hawa
@Fgldesigns
@Fgldesigns Күн бұрын
Kama mnashindwa kujifunza kwa Kenya haya subilini nasisi tuzame mtaani ndo mtakiona
@babymanka6466
@babymanka6466 Күн бұрын
Aaa sio kwa ss watanzania ss hatupendi maugomvi tumezoeya kuishi kwa aman hata kama inatugarimu aman ndo urithi wa mtanzania.
@simonmartin5358
@simonmartin5358 2 күн бұрын
Majambazi
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 2 күн бұрын
Tatizo tuna shilikw moja la umeme litafanya linavyo taka walikuwa wap kukata mpaka waje wakate wakati hu hi mchi inakwenda wap umeme wenyewe upo ju umeme unakatika katika bado makato ju na mimi mpangaji nimecode nyumba nikilipa code kupitia umeme uwon me ndo nitakuwa namlipia mwenye nyumba code apo si nitakuwa naonewa mimi
@OmariNgurangwa
@OmariNgurangwa 2 күн бұрын
Wezi
@DewGroupTech
@DewGroupTech 2 күн бұрын
Nchi hii imefika kubaya
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 күн бұрын
Uo ni wizi kama wizi Mwingine pumbavu zao madeni gani wakati kila mwezi unakatwa kulanina zao 😢
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Күн бұрын
Ndo mkate elfu3 kufatilia kwenyewe hamuwezi kazi kukata tu ela watu wameunga umeme direct mwaka wa3 eti hayajui au mnajua ela mnakozitolea umeme wa elfu10 ni unit19? Na hapo umepanga kweli umasikini mbaya
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 2 күн бұрын
Daa atuna ra kuogea ira inauma basi tu kwakuwa nimezariwa tanzania bas😂😂😂
@allymaulid9391
@allymaulid9391 Күн бұрын
Ni wizi tu amna lolote hapo
@mlelwatv5831
@mlelwatv5831 Күн бұрын
Mbona mnakata 2 000😢😢😢
@festomassawe9539
@festomassawe9539 Күн бұрын
Ata mm nimekatwa 2000
@AmonMeshack
@AmonMeshack Күн бұрын
Kama vipi wazme umm wao tutumie vumuli vya kuni 😡😡
@MtumishiNgowi
@MtumishiNgowi Күн бұрын
Ujinga mtupu
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,5 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 113 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 41 МЛН
PUTIN na XI JINPING wakutana Kazakhstan kwenye mkutano huu!
5:39
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 2,3 М.
BMG TV: TANESCO kufanya maboresho ya mfumo wa Luku
5:27
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 325
Внутренняя часть бензовозов 😯
0:50
ОМЕГА шортс
Рет қаралды 2 МЛН
The Sidi Rex Boots🔥 #motorcycle #racing #shorts
0:14
Goedhart Motoren
Рет қаралды 14 МЛН
Kad se neko ispred tebe ubaci i zauzme parking mesto 😀
0:21
AutoRS Test
Рет қаралды 16 МЛН