BILIONEA WA DUNIA, ANA NDEGE YA DHAHABU, MAGARI 1600, ROLLS ROYCE, LAMBORGHINI, JUMBA

  Рет қаралды 60,523

Millard Ayo

Millard Ayo

5 күн бұрын

Пікірлер: 203
@HusnaOmarry
@HusnaOmarry 3 күн бұрын
Hay sawa tumeelewa alaf mtu unajenga kabanda ka kuku room tatu na sebule na kutembelea i.s.t unajiona we ndo mwambaaaaa acheni zarau Dunia ya mungu hiii
@methodluoga8483
@methodluoga8483 3 күн бұрын
Umejuaj😅😅😅😅
@Juli-ep9dn
@Juli-ep9dn 3 күн бұрын
Mtu chake
@faridhamad3678
@faridhamad3678 3 күн бұрын
Ila Husna umejua kunichekesha Wallahi 😂😂😂😂
@GodfreyHaiki-gp6ry
@GodfreyHaiki-gp6ry 3 күн бұрын
Mbona unataka kumsema DC mwijaku
@Iddy-pg8kj
@Iddy-pg8kj 3 күн бұрын
Acha makasiriko
@haryanyawu640
@haryanyawu640 2 күн бұрын
Nemependa tu hapo kwenye kodi na huduma za afya bure kwa wote kajitahidi atilist kutojijali mwenyewe na familia yake🤩😍😍
@iddikibwana9185
@iddikibwana9185 3 күн бұрын
Mwisho wa siku hazikwi navyo kweli munguu ni mkubwa
@godfreypaul251
@godfreypaul251 3 күн бұрын
Tafuta hela hayo ni mawazo ya maskini
@jonathanmsofu8819
@jonathanmsofu8819 3 күн бұрын
Tafuta hela ndugu😂
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 күн бұрын
Saka pesa mzee. Acha asira za kimasikini
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 күн бұрын
Tafuta fedha
@rajansharky3386
@rajansharky3386 3 күн бұрын
Huzikwi navyo ila hakikisha vinapita kwako, hata Mfalme Sulaiman alikuwa Tajiri sanaa Tafuta hela Umaskini haupendezi
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 3 күн бұрын
Mashallah mashallah akika MUNGU kakupa vya duniani mfalme hassan inshallah navya akhera akupe kwakujali wananchi wako.
@shamlimah5682
@shamlimah5682 3 күн бұрын
He was born to have that's good alhamdulilah may Allah protect u from evil eye who don't want to see others happy.
@Johndestar470
@Johndestar470 3 күн бұрын
Daah! htr Saana huyo Jamaa ana Fedha nyingi balaaa,,, Billionaire wa htr sn 🔥🔥🔥🔥🔥
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 2 күн бұрын
Yaani nilisoma huko hadi raha...Nchi raia wanaenjoy balaaaa....Na nikisiwa kidogo tu
@KatabaroCleophace
@KatabaroCleophace 3 күн бұрын
Jina kurisikira tu lihishe ni GB 4 apo maerezo bado na utajiri bado yaani yeye kira kitu kirefu ❤❤
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 3 күн бұрын
😂😂😂😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 3 күн бұрын
😂😂😂
@nichoojr.6747
@nichoojr.6747 3 күн бұрын
Mfalme Suleman Alisema Yote NI ubatil Maana tutaacha Ila Hapo kwenye Matibabu Bure Kwa kila mwananchu wake .. Mungu na amzidishie
@injiliplus
@injiliplus 2 күн бұрын
Kumbe kuna watu wanafurahia maisha hapa duniani, ila magufuri angeweza pengine
@naqiahmad26
@naqiahmad26 3 күн бұрын
hii inamaanisha dunia ni jinsi gani ni tajiri, umaskini haupo duniani, ila unaletwa na baadhi ya watu kulimbikiza utajiri wa mungu kwao tu. dunia isingekuwa na ykatili, ulimbikizaji wa mali hivyo kama huu na mfano wake, na kusingekuwepo na vita vya kielimu, basi dunia yote ingekuwa salama bila umasikini, tungeishi kama bani Israel kwa utajiri mbubwa alioutoa mungu kwa viumbe wake hapa duniani
@manasekisunga7407
@manasekisunga7407 3 күн бұрын
Mmmmmmhhh halo ni noma kweli kweli ni hatari na nusu
@user-rp4wi2if7v
@user-rp4wi2if7v 4 сағат бұрын
Duh!!! nihatar san🎉
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 3 күн бұрын
Afadhali huu ana jirimbikizia mali na hawasahau wananchi wake
@aishawhite1107
@aishawhite1107 3 күн бұрын
Hakika wanaishi Bure
@G-JMK69
@G-JMK69 3 күн бұрын
Yes
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 күн бұрын
Mashalah mashalah mashalah..mungu akubaliki na akujalie kila la heri apa dunian na kesho inshallah..akupe mwisho mwema..nakikubwa usikufuru na usiwe na kibri
@pilindauka2492
@pilindauka2492 2 күн бұрын
Kusaidia wananchi huduma za jamii Bure, hili ni jambo kubwa saaaana, acha tu Mungu amzidishie Mali kadri atakavyojaaliwa.
@luisojr3480
@luisojr3480 2 күн бұрын
Hongereni Nasikia hata raia wake wanaishi poa sana
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 күн бұрын
Uzuri wake anafanya watu wake wasilipe kodi hospital bure mhuuuu ❤
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 3 күн бұрын
Vyote ataviacha juu ya ardhi... atakua chakula ya funza labda afe shahid
@GoodDeeds-Jesus
@GoodDeeds-Jesus 3 күн бұрын
Utajiri anatoa Mungu.
@jonathanmsofu8819
@jonathanmsofu8819 3 күн бұрын
Acha kelele....tafuta helaa😂
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 күн бұрын
Tafuta ela uachane na chuki za kimasikin
@starjay3052
@starjay3052 3 күн бұрын
acha kelele tafuta ela
@kituapeter
@kituapeter 3 күн бұрын
Ataviacha lakin anaenjoy huko kwingine tunako enda hatupajui kukoje... Tupambanie maisha mazur hata Mungu hapendezwi na umaskini, asiyefanya kaz bac na asile
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI Күн бұрын
Millard bana hii story ndo umeijua siku hz.hachana na hyu kuna hyo mwingine yuko Santasa ni mara 2 ya hyo na Elon musk. Hatq Elon musk alishawai kumtaja. Ni shida sana . 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Hata alishawai kusema anataka 🌎 cup ya 2030 hata host yeye na viwanja vya uko santasa atajenga yeye na serikali hisiingilie. Watu wana ela jamani. 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 2 күн бұрын
NDIO MAANA AKAITWA MFALME lazima Awe Bilionear 👑💪
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 3 күн бұрын
Hizo zote ni Mbwembwe za Duniani, Mwakyoma umesahau kutujulisha ni Makanisa mangapi amejenga na Misikiti, au amewekeza km yule tajiri wa siku ile hadi Godouni zote zilijaa na akatamani kujenga zingine na akamsahau Mungu, na akamtangazia ubabe kuwa ww ni mjinga nataka Roho yako, tutafakarini sana haya maisha.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 күн бұрын
Kuwekeza kwa kuwajali wananchi wake inatosha...
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 күн бұрын
Tafuta pesa
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 3 күн бұрын
Sasa unauliza misikiti Brunei 🇧🇳 kweli?😂😂asilimia kubwa ya wanancho ni waislam misikiti ipo yakutosha icho kisiwa kwa akili ndogo tu mfalme hassan yeye ni mwislam hawezi kuwa hajajenga misikiti nchini kwake
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 2 күн бұрын
Hapo penyewe unawaza namna ya kuishi vizuri halafu unamsanifu aliyefanikiwa, kweli we punga
@trecygohy7847
@trecygohy7847 Күн бұрын
Kuna 102 Misikiti, 5 Surau and 11 balai ibadat ("worship halls").
@hallin9561
@hallin9561 2 күн бұрын
I'm proud to be Muslim, izo mali zote ni anasa ya dunia na ni dhambi maana hautazikwa nazo, fuata mafundisho ya dini uitafute pepo uishi maisha mazuri yampendezayo Allah izi mali utaziacha
@emmadora7848
@emmadora7848 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw 2 күн бұрын
Mwambie bas anipee nami japo hata kaa 50 million nijenge kwa kulala 😢😢 wengine wako na maisha dunian
@vibetz9991
@vibetz9991 3 күн бұрын
Mshkaji wangu Sana huyu
@hellennehemia9269
@hellennehemia9269 2 күн бұрын
😅
@JackobKyaro-zi7uj
@JackobKyaro-zi7uj 2 күн бұрын
Mbavu sina😅
@mms9158
@mms9158 Күн бұрын
Atupe nasie tusokua nazo mashaalla Alla kamjalia hlf anathamin raia ndomana kapewa zawadi kwa wingi wacha mchezo 😂Alla kampenda 🙏
@kutailass6671
@kutailass6671 3 күн бұрын
Maa sha Allah, maisha kabla ya kifo❤
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 күн бұрын
Alhamdulillah Allah kunijaalia kuwa masikini anipe siha njema nizidishe kumuabudu yeye mola mlezi wa viumbe vyote. Allah turuzuku sisi waja wako utajiri usio kwisha katika akhera yetu.
@jumaothman9449
@jumaothman9449 2 күн бұрын
Mm nina wasiwasi na ww kuwa Allah humjuwi wala humsomi ili umjuwe ndio shida inaanza hapo. Na utajiri huo wakwake Allah asinijaalie kattuh katika Dunia.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 күн бұрын
Haya maneno ya kukata tamaa, pambana Bado umasikini utaondoka mbele yako,fanya kazi kwa bidii na juhudi huku akili ukiweka mbele na muombe sana mungu hakika utaondokana na umasikini na dhiki mbalimbali.
@jumaothman9449
@jumaothman9449 Күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj hahaha kaka haya sio maneno ya kukata tamaa, Bali dini yangu ya uisilamu inatukataza kuomba utajiri na sio kupambana ili ukawa tajiri. Na ukiomba huo utajiri, ufuatanishe na kumuomba Allah akujaliye utajiri wenye kheri na ww.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Күн бұрын
@@jumaothman9449 Ni kweli mkuu ila hapa duniani maisha tunayoishi angalau jitahid kipato kiwepo aisee muombe sana mungu akupe angalau kipato maana daah
@jumaothman9449
@jumaothman9449 Күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj tunapambana tujisijekufikia level ya kuwa fukara. Maisha ni tafu sana ila tunapambana nayo ili tumalizie Dunia yetu vizuri na kupata kula ya halali na sio ya kuzulumu
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen 3 күн бұрын
Mbona hajaenda uturuki atengeneze masikio😂 na pesa zake, mnafaa kumludia mungu😢
@kdloon2030
@kdloon2030 3 күн бұрын
Na utajiri wote huo,mke akibana miguu chumbani lazma jamaa asahau kua ni mfalme!Wanawake mungu ana waona😮
@Badvoice707
@Badvoice707 3 күн бұрын
Hata na sisi mama atatutolea kodi soon
@betinvestment3204
@betinvestment3204 3 күн бұрын
Inawezekana tu ata sisi kidogo kidogo kwani si mwendo wa kuwekeza nakuzisimamia vizury japo mwanzo ndyo kugumu hasa tukija apa bongo dah mmmh serikali itataka kodi yake km mfanya biashara bora kufanya biashara kuwekeza kwenye ambayo serikali haipati ata ziro shs.
@luisojr3480
@luisojr3480 2 күн бұрын
Kuna mwana familia wao Aliewahi kucheza timu ya Leicester City alitakiwa kulipwa hela nyingi kipindi anacheza
@kingsweetbert
@kingsweetbert 3 күн бұрын
Kuna watu tunawaza tupajete hela 😢 then kuna mwingine anawaza apeleke wapi hela maana haina kazi 😢😢
@sarahweston2708
@sarahweston2708 2 күн бұрын
Ana wake 550,,watoto 790,,na wajukuu 358,,vitukuu 122
@Kimeii88
@Kimeii88 3 күн бұрын
Ahhh yaan apo mondi anamiliki rolly royce moja anatamba mjini mwenzake anamiliki rolly royce 600 ahhh kunawatu wanaelea
@innocentjoseph805
@innocentjoseph805 3 күн бұрын
Anayo ndo maana umemtaja angekuwa hana ungemtaja Nani mavi ww?
@jacklinesivitie7462
@jacklinesivitie7462 2 күн бұрын
Nimempenda sii mbinafisi afya bure,elimu na hakuna kulipa Kodi
@Gody360
@Gody360 2 күн бұрын
Mmmh hatari
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 2 күн бұрын
Aisee Kuna WATU Wanajua Kuwekeza Aisee 😂😂😂🙌🙌
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 10 сағат бұрын
Kama haujahesabu majina ya huyu sultan nikwambie tu mwamba anamajina 20 cash😂
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 3 күн бұрын
Asante Mtangazaji, yote yanapita.
@stevensteve7519
@stevensteve7519 3 күн бұрын
Nizaidi ya mfalme Suleiman kwa magari sijui ana wake wangapi mana siyo vizuri utajiri wote huo kuula na kamke kamoja tuu na watoto pengine wawili
@jonasmatalamoto547
@jonasmatalamoto547 3 сағат бұрын
Uyu boya akifaa silii
@samirahemedy3526
@samirahemedy3526 3 күн бұрын
Sawa kwenye nichi yake akuna masikini sindio
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 2 күн бұрын
Mimi naamini Jp angekuwepo atasisi kwa miaka mingine ijayo tusingelipa Kodi maana tunakila kitu
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 2 күн бұрын
Ebu nipeni namba ya huyo tajiri kuna jambo nataka kuzungumza nae huendaa akaninunulia ata harrier jaman
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 7 сағат бұрын
Maa shaa Allah
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 күн бұрын
Alie nacho ,Mungu humuongezea ,huo ni urithi wa kifalme unaendelea vizazi hadi vizazi ,kwani Mungu alishawapa.04.07.24.
@vero57
@vero57 3 күн бұрын
Jina lenyewe lina jaa ukurasa, safi sana babu na mimi tajiri pia
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 7 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 2 күн бұрын
KWANI BRUNEI Wana Mfumo GANI Wa UONGOZI?? Mbona Sultan Ndio Huyo Huyo Waziri Mkuu ??
@Johndestar470
@Johndestar470 3 күн бұрын
Kwahiyo na Yeye yupo kwenye Orodha ya Fobes au?
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 3 күн бұрын
Duuu jamaa kaweza nimesomanae aisee
@edishaa3108
@edishaa3108 3 күн бұрын
IST zipo ngapi😅
@meflorlionel7497
@meflorlionel7497 7 сағат бұрын
Mwizi wameteketeza mali za inchi
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op 2 күн бұрын
Nimefurai nchi yake matibabu bule
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 4 сағат бұрын
Nimemkubali
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 2 күн бұрын
Kabla hujamaliza kutaja jina tayari nishasahau ulikoanzia kutaja
@richkaja3317
@richkaja3317 2 күн бұрын
Anaigoja pepo wamzike na mali zake zotee
@abouamazing3406
@abouamazing3406 3 күн бұрын
🔥🔥🔥
@jonijoogabriel3728
@jonijoogabriel3728 2 күн бұрын
Mamae hilo Jina tuu nimepigwa na butwaa hebu rudia tena anaitwa nani vile
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 2 күн бұрын
Jina hujui kulisoma mjomba...Hujui kiarabu mpuuzi😂😂😂
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 3 күн бұрын
Magufuri angetufikisha nusu ya safari lkn hatuwez kumpangia Mungu
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 3 күн бұрын
Sasa mbona Max Ndio mnsema Yupo juuu kumbe pesa yake ni ya madafu dhuuuu kweli Dunia mwamba Ana mwamba wake ilaa mjomba kafinga kazi
@belitomanuel6240
@belitomanuel6240 3 күн бұрын
Yeah of course the guy is Rich 🤑 more than trump and Biden
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 4 сағат бұрын
Hii zuri
@aminashayo9263
@aminashayo9263 2 күн бұрын
Mhh ila atakua hjamfikia Mfalme Suleiman
@WazirBoy-fe5ew
@WazirBoy-fe5ew 3 күн бұрын
Daah sema kuna watu wana neema hatari, yaani huyu jamaa hata bakhresa atafute pesa miaka 1000 hampati huyu mamaa
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 3 күн бұрын
Mabilionea wengine sio wa kuwasimulia jamani..ni aibu....sasa mtu ana hela hajui aziweke wapi unamsimulia nini
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 2 күн бұрын
Utajiri wote huo bado hajamfikiaaaaa burnaboy, davido na diamond platinum
@jacksonmallya9369
@jacksonmallya9369 3 күн бұрын
Sas c mengn anayasahau ayo magari😂😂
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 3 күн бұрын
Duuuh huyu jamaa anahistoria ndefu
@husseinremmy5762
@husseinremmy5762 3 күн бұрын
Brunei iyo adi Prof jay aliimba
@sadahamad6158
@sadahamad6158 3 күн бұрын
Kuna watu wanaishi halafu kuna sisi tunaishia yote kwa yote alhamdhulillah wacha nikaze kibwebwe nitafute hela 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 3 күн бұрын
Mmmm yani jina Kama essay😂😂😂mmeshaona siri ya utajiri la kwanza jina liwe refu ka nusu page ivi yani ka unaandika barua ya kiofisi😅😅😅😅😅
@sky-wz5zi
@sky-wz5zi 3 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@deodatusdeusdelity1928
@deodatusdeusdelity1928 2 күн бұрын
Atengeneze na kinyesi chake kiwe cha dhaabu 😂
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 күн бұрын
Duh anavyeo vyote muhm
@erickagwe8841
@erickagwe8841 3 күн бұрын
Hata uwe na vyumba 1600 utalala kitanda kimoja tu!!!
@jumaothman9449
@jumaothman9449 Күн бұрын
Jamaa yupo vyema sana, dollar 6000/minute = Tsh. 3,000,000 kwa dakika! Yani mm natafuta Sasa mtaji wa Tsh. 5,000,000 nianze biashara ya kuingiza angalaiu 2,000,000 kwa mwezi. Hahahahaha. Allah mzidishie kipato chake na mjaalie kupitia malizake isiwe sababu ya kutokuabudu ww
@barakarajabu9751
@barakarajabu9751 2 күн бұрын
Nme mpa pongez kubwa xan kwa kodi na afya hapo ametisha
@margaretjoseph6501
@margaretjoseph6501 3 күн бұрын
Nyongeza kodi ya majengo kwenye Luku
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 күн бұрын
Haya ndo maisha sasa
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 күн бұрын
Bil 18 na mil 720 Kwa siku jamaaa anapiga Hela ,,,kwenye mazish yake kaburi la dhahabu tupu
@Nancykwango
@Nancykwango Күн бұрын
Anaitwa bulkier siyo bolkay
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 2 күн бұрын
Mmmh mm ninashida na Dola 10 tu
@MbalasaJRMwakabalile
@MbalasaJRMwakabalile 3 күн бұрын
Ila kufa ni pale pale na udongo unamuusu2
@alexshauri4899
@alexshauri4899 3 күн бұрын
Fikra na Maneno ya sisi maskini hayo,kwani kuna ambaye hajuwi kuwa atakufa au tutakufa wote.
@MbalasaJRMwakabalile
@MbalasaJRMwakabalile 3 күн бұрын
@@alexshauri4899 sawa maskini mwenzanguu
@MZIWANDAWAJOY
@MZIWANDAWAJOY 2 күн бұрын
​@@alexshauri4899Roho ya .....kwanini??!!😮
@HusseinChai
@HusseinChai 3 күн бұрын
Pazur na inchi ndogo
@rosesilio-og4iw
@rosesilio-og4iw 3 күн бұрын
Me mjomba wangu kabisa huyu🤣
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 3 күн бұрын
uzuri akifa anaenda na boxer Moja kiunoni na atalazwa 5/6
@stephenmmbago4975
@stephenmmbago4975 3 күн бұрын
Jamaa anaishi bhana
@lusajoOmary
@lusajoOmary 2 күн бұрын
Bas Elon ana pesa Aiseeeh
@vero57
@vero57 3 күн бұрын
Kwahivyo ni ana vyeo vya watu 8, of course ata kua na pesa za watu 12
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 күн бұрын
Msiisahau crown media
@athumanmkilindi6215
@athumanmkilindi6215 3 күн бұрын
Nitajri mpaka wa majinaa😅😅😅
@ZiyandaMhlana
@ZiyandaMhlana 3 күн бұрын
This big boss in world
@benancejohn1198
@benancejohn1198 2 күн бұрын
Mbona watu kama hawa huwa hatuwasikii wala kuwaona kwenye majarida ya Forbes 🤔
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 күн бұрын
Changamoto ni kwamba biashara zao nyingi au Mitaji yao mingi imebond zaidi na serikali na hapo ndo shida inakuwa changamoto kuwaweka.
@mr_ogc6233
@mr_ogc6233 3 күн бұрын
He makes 48.3 million usd a year
@Nufaila442
@Nufaila442 3 күн бұрын
Uzuri atawaachia watoto wake nao waviendeleze kwa maana amevikuta yeye akaongeza
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 3 күн бұрын
Samia si uende huko ijue ufanyaje na umualike
@bongohood2169
@bongohood2169 3 күн бұрын
Kumbe inawezekana kutolipa kodi
@princehalawa_official7980
@princehalawa_official7980 3 күн бұрын
Huyo ni BOLKIAH sio BOLKAI
@digaragebo8500
@digaragebo8500 2 күн бұрын
Ana mzidi elon ?
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 10 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 170 #shorts
00:27
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
18:43
Ndaro Tz
Рет қаралды 113 М.
TAZAMA MAAJABU YA GARI YA DIAMOND ROYCE ROLLS
8:30
Mbengo Tv
Рет қаралды 87 М.
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 10 МЛН