Hay sawa tumeelewa alaf mtu unajenga kabanda ka kuku room tatu na sebule na kutembelea i.s.t unajiona we ndo mwambaaaaa acheni zarau Dunia ya mungu hiii
@methodluoga84833 күн бұрын
Umejuaj😅😅😅😅
@Juli-ep9dn3 күн бұрын
Mtu chake
@faridhamad36783 күн бұрын
Ila Husna umejua kunichekesha Wallahi 😂😂😂😂
@GodfreyHaiki-gp6ry3 күн бұрын
Mbona unataka kumsema DC mwijaku
@Iddy-pg8kj3 күн бұрын
Acha makasiriko
@haryanyawu6402 күн бұрын
Nemependa tu hapo kwenye kodi na huduma za afya bure kwa wote kajitahidi atilist kutojijali mwenyewe na familia yake🤩😍😍
@iddikibwana91853 күн бұрын
Mwisho wa siku hazikwi navyo kweli munguu ni mkubwa
@godfreypaul2513 күн бұрын
Tafuta hela hayo ni mawazo ya maskini
@jonathanmsofu88193 күн бұрын
Tafuta hela ndugu😂
@StephanoMoses3 күн бұрын
Saka pesa mzee. Acha asira za kimasikini
@StephanoMoses3 күн бұрын
Tafuta fedha
@rajansharky33863 күн бұрын
Huzikwi navyo ila hakikisha vinapita kwako, hata Mfalme Sulaiman alikuwa Tajiri sanaa Tafuta hela Umaskini haupendezi
@salma-fc4xc3 күн бұрын
Mashallah mashallah akika MUNGU kakupa vya duniani mfalme hassan inshallah navya akhera akupe kwakujali wananchi wako.
@shamlimah56823 күн бұрын
He was born to have that's good alhamdulilah may Allah protect u from evil eye who don't want to see others happy.
@Johndestar4703 күн бұрын
Daah! htr Saana huyo Jamaa ana Fedha nyingi balaaa,,, Billionaire wa htr sn 🔥🔥🔥🔥🔥
@hamadsuleiman51772 күн бұрын
Yaani nilisoma huko hadi raha...Nchi raia wanaenjoy balaaaa....Na nikisiwa kidogo tu
@KatabaroCleophace3 күн бұрын
Jina kurisikira tu lihishe ni GB 4 apo maerezo bado na utajiri bado yaani yeye kira kitu kirefu ❤❤
@georgedaniel49623 күн бұрын
😂😂😂😂
@eggysulle79883 күн бұрын
😂😂😂
@nichoojr.67473 күн бұрын
Mfalme Suleman Alisema Yote NI ubatil Maana tutaacha Ila Hapo kwenye Matibabu Bure Kwa kila mwananchu wake .. Mungu na amzidishie
@injiliplus2 күн бұрын
Kumbe kuna watu wanafurahia maisha hapa duniani, ila magufuri angeweza pengine
@naqiahmad263 күн бұрын
hii inamaanisha dunia ni jinsi gani ni tajiri, umaskini haupo duniani, ila unaletwa na baadhi ya watu kulimbikiza utajiri wa mungu kwao tu. dunia isingekuwa na ykatili, ulimbikizaji wa mali hivyo kama huu na mfano wake, na kusingekuwepo na vita vya kielimu, basi dunia yote ingekuwa salama bila umasikini, tungeishi kama bani Israel kwa utajiri mbubwa alioutoa mungu kwa viumbe wake hapa duniani
@manasekisunga74073 күн бұрын
Mmmmmmhhh halo ni noma kweli kweli ni hatari na nusu
@user-rp4wi2if7v4 сағат бұрын
Duh!!! nihatar san🎉
@Sidrasidra6363 күн бұрын
Afadhali huu ana jirimbikizia mali na hawasahau wananchi wake
@aishawhite11073 күн бұрын
Hakika wanaishi Bure
@G-JMK693 күн бұрын
Yes
@jamilaathumani54813 күн бұрын
Mashalah mashalah mashalah..mungu akubaliki na akujalie kila la heri apa dunian na kesho inshallah..akupe mwisho mwema..nakikubwa usikufuru na usiwe na kibri
@pilindauka24922 күн бұрын
Kusaidia wananchi huduma za jamii Bure, hili ni jambo kubwa saaaana, acha tu Mungu amzidishie Mali kadri atakavyojaaliwa.
@luisojr34802 күн бұрын
Hongereni Nasikia hata raia wake wanaishi poa sana
@gloriamichael79352 күн бұрын
Uzuri wake anafanya watu wake wasilipe kodi hospital bure mhuuuu ❤
@mohamedaley56323 күн бұрын
Vyote ataviacha juu ya ardhi... atakua chakula ya funza labda afe shahid
@GoodDeeds-Jesus3 күн бұрын
Utajiri anatoa Mungu.
@jonathanmsofu88193 күн бұрын
Acha kelele....tafuta helaa😂
@StephanoMoses3 күн бұрын
Tafuta ela uachane na chuki za kimasikin
@starjay30523 күн бұрын
acha kelele tafuta ela
@kituapeter3 күн бұрын
Ataviacha lakin anaenjoy huko kwingine tunako enda hatupajui kukoje... Tupambanie maisha mazur hata Mungu hapendezwi na umaskini, asiyefanya kaz bac na asile
@JELSONMAUKIКүн бұрын
Millard bana hii story ndo umeijua siku hz.hachana na hyu kuna hyo mwingine yuko Santasa ni mara 2 ya hyo na Elon musk. Hatq Elon musk alishawai kumtaja. Ni shida sana . 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Hata alishawai kusema anataka 🌎 cup ya 2030 hata host yeye na viwanja vya uko santasa atajenga yeye na serikali hisiingilie. Watu wana ela jamani. 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@user-de2rg9kk7u2 күн бұрын
NDIO MAANA AKAITWA MFALME lazima Awe Bilionear 👑💪
@greenwellnsyukwe47293 күн бұрын
Hizo zote ni Mbwembwe za Duniani, Mwakyoma umesahau kutujulisha ni Makanisa mangapi amejenga na Misikiti, au amewekeza km yule tajiri wa siku ile hadi Godouni zote zilijaa na akatamani kujenga zingine na akamsahau Mungu, na akamtangazia ubabe kuwa ww ni mjinga nataka Roho yako, tutafakarini sana haya maisha.
@rayisadesigns26463 күн бұрын
Kuwekeza kwa kuwajali wananchi wake inatosha...
@StephanoMoses3 күн бұрын
Tafuta pesa
@salma-fc4xc3 күн бұрын
Sasa unauliza misikiti Brunei 🇧🇳 kweli?😂😂asilimia kubwa ya wanancho ni waislam misikiti ipo yakutosha icho kisiwa kwa akili ndogo tu mfalme hassan yeye ni mwislam hawezi kuwa hajajenga misikiti nchini kwake
@frankhoffa83562 күн бұрын
Hapo penyewe unawaza namna ya kuishi vizuri halafu unamsanifu aliyefanikiwa, kweli we punga
@trecygohy7847Күн бұрын
Kuna 102 Misikiti, 5 Surau and 11 balai ibadat ("worship halls").
@hallin95612 күн бұрын
I'm proud to be Muslim, izo mali zote ni anasa ya dunia na ni dhambi maana hautazikwa nazo, fuata mafundisho ya dini uitafute pepo uishi maisha mazuri yampendezayo Allah izi mali utaziacha
@emmadora78482 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ChristineElias-bn4dw2 күн бұрын
Mwambie bas anipee nami japo hata kaa 50 million nijenge kwa kulala 😢😢 wengine wako na maisha dunian
@vibetz99913 күн бұрын
Mshkaji wangu Sana huyu
@hellennehemia92692 күн бұрын
😅
@JackobKyaro-zi7uj2 күн бұрын
Mbavu sina😅
@mms9158Күн бұрын
Atupe nasie tusokua nazo mashaalla Alla kamjalia hlf anathamin raia ndomana kapewa zawadi kwa wingi wacha mchezo 😂Alla kampenda 🙏
@kutailass66713 күн бұрын
Maa sha Allah, maisha kabla ya kifo❤
@jumaothman94493 күн бұрын
Alhamdulillah Allah kunijaalia kuwa masikini anipe siha njema nizidishe kumuabudu yeye mola mlezi wa viumbe vyote. Allah turuzuku sisi waja wako utajiri usio kwisha katika akhera yetu.
@jumaothman94492 күн бұрын
Mm nina wasiwasi na ww kuwa Allah humjuwi wala humsomi ili umjuwe ndio shida inaanza hapo. Na utajiri huo wakwake Allah asinijaalie kattuh katika Dunia.
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
Haya maneno ya kukata tamaa, pambana Bado umasikini utaondoka mbele yako,fanya kazi kwa bidii na juhudi huku akili ukiweka mbele na muombe sana mungu hakika utaondokana na umasikini na dhiki mbalimbali.
@jumaothman9449Күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj hahaha kaka haya sio maneno ya kukata tamaa, Bali dini yangu ya uisilamu inatukataza kuomba utajiri na sio kupambana ili ukawa tajiri. Na ukiomba huo utajiri, ufuatanishe na kumuomba Allah akujaliye utajiri wenye kheri na ww.
@GeorgeAkasha-zx2rjКүн бұрын
@@jumaothman9449 Ni kweli mkuu ila hapa duniani maisha tunayoishi angalau jitahid kipato kiwepo aisee muombe sana mungu akupe angalau kipato maana daah
@jumaothman9449Күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj tunapambana tujisijekufikia level ya kuwa fukara. Maisha ni tafu sana ila tunapambana nayo ili tumalizie Dunia yetu vizuri na kupata kula ya halali na sio ya kuzulumu
@Irenes_Kitchen3 күн бұрын
Mbona hajaenda uturuki atengeneze masikio😂 na pesa zake, mnafaa kumludia mungu😢
@kdloon20303 күн бұрын
Na utajiri wote huo,mke akibana miguu chumbani lazma jamaa asahau kua ni mfalme!Wanawake mungu ana waona😮
@Badvoice7073 күн бұрын
Hata na sisi mama atatutolea kodi soon
@betinvestment32043 күн бұрын
Inawezekana tu ata sisi kidogo kidogo kwani si mwendo wa kuwekeza nakuzisimamia vizury japo mwanzo ndyo kugumu hasa tukija apa bongo dah mmmh serikali itataka kodi yake km mfanya biashara bora kufanya biashara kuwekeza kwenye ambayo serikali haipati ata ziro shs.
@luisojr34802 күн бұрын
Kuna mwana familia wao Aliewahi kucheza timu ya Leicester City alitakiwa kulipwa hela nyingi kipindi anacheza
@kingsweetbert3 күн бұрын
Kuna watu tunawaza tupajete hela 😢 then kuna mwingine anawaza apeleke wapi hela maana haina kazi 😢😢
@sarahweston27082 күн бұрын
Ana wake 550,,watoto 790,,na wajukuu 358,,vitukuu 122
@Kimeii883 күн бұрын
Ahhh yaan apo mondi anamiliki rolly royce moja anatamba mjini mwenzake anamiliki rolly royce 600 ahhh kunawatu wanaelea
@innocentjoseph8053 күн бұрын
Anayo ndo maana umemtaja angekuwa hana ungemtaja Nani mavi ww?
@jacklinesivitie74622 күн бұрын
Nimempenda sii mbinafisi afya bure,elimu na hakuna kulipa Kodi
@Gody3602 күн бұрын
Mmmh hatari
@user-de2rg9kk7u2 күн бұрын
Aisee Kuna WATU Wanajua Kuwekeza Aisee 😂😂😂🙌🙌
@ernestgeorge841210 сағат бұрын
Kama haujahesabu majina ya huyu sultan nikwambie tu mwamba anamajina 20 cash😂
@greenwellnsyukwe47293 күн бұрын
Asante Mtangazaji, yote yanapita.
@stevensteve75193 күн бұрын
Nizaidi ya mfalme Suleiman kwa magari sijui ana wake wangapi mana siyo vizuri utajiri wote huo kuula na kamke kamoja tuu na watoto pengine wawili
@jonasmatalamoto5473 сағат бұрын
Uyu boya akifaa silii
@samirahemedy35263 күн бұрын
Sawa kwenye nichi yake akuna masikini sindio
@stanleyfocas82502 күн бұрын
Mimi naamini Jp angekuwepo atasisi kwa miaka mingine ijayo tusingelipa Kodi maana tunakila kitu
@user-sb7lz9xp4v2 күн бұрын
Ebu nipeni namba ya huyo tajiri kuna jambo nataka kuzungumza nae huendaa akaninunulia ata harrier jaman
@khadijanjama87217 сағат бұрын
Maa shaa Allah
@mariamfritsi49433 күн бұрын
Alie nacho ,Mungu humuongezea ,huo ni urithi wa kifalme unaendelea vizazi hadi vizazi ,kwani Mungu alishawapa.04.07.24.
@vero573 күн бұрын
Jina lenyewe lina jaa ukurasa, safi sana babu na mimi tajiri pia
@khadijanjama87217 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@user-de2rg9kk7u2 күн бұрын
KWANI BRUNEI Wana Mfumo GANI Wa UONGOZI?? Mbona Sultan Ndio Huyo Huyo Waziri Mkuu ??
@Johndestar4703 күн бұрын
Kwahiyo na Yeye yupo kwenye Orodha ya Fobes au?
@jumapiliissa48353 күн бұрын
Duuu jamaa kaweza nimesomanae aisee
@edishaa31083 күн бұрын
IST zipo ngapi😅
@meflorlionel74977 сағат бұрын
Mwizi wameteketeza mali za inchi
@DeoKimbe-gt4op2 күн бұрын
Nimefurai nchi yake matibabu bule
@hamidamussa-sy4fm4 сағат бұрын
Nimemkubali
@frankhoffa83562 күн бұрын
Kabla hujamaliza kutaja jina tayari nishasahau ulikoanzia kutaja
@richkaja33172 күн бұрын
Anaigoja pepo wamzike na mali zake zotee
@abouamazing34063 күн бұрын
🔥🔥🔥
@jonijoogabriel37282 күн бұрын
Mamae hilo Jina tuu nimepigwa na butwaa hebu rudia tena anaitwa nani vile
@hamadsuleiman51772 күн бұрын
Jina hujui kulisoma mjomba...Hujui kiarabu mpuuzi😂😂😂
@charlesboniphace22493 күн бұрын
Magufuri angetufikisha nusu ya safari lkn hatuwez kumpangia Mungu
@walinaziontime73003 күн бұрын
Sasa mbona Max Ndio mnsema Yupo juuu kumbe pesa yake ni ya madafu dhuuuu kweli Dunia mwamba Ana mwamba wake ilaa mjomba kafinga kazi
@belitomanuel62403 күн бұрын
Yeah of course the guy is Rich 🤑 more than trump and Biden
@hamidamussa-sy4fm4 сағат бұрын
Hii zuri
@aminashayo92632 күн бұрын
Mhh ila atakua hjamfikia Mfalme Suleiman
@WazirBoy-fe5ew3 күн бұрын
Daah sema kuna watu wana neema hatari, yaani huyu jamaa hata bakhresa atafute pesa miaka 1000 hampati huyu mamaa
@user-hi8le2vb7z3 күн бұрын
Mabilionea wengine sio wa kuwasimulia jamani..ni aibu....sasa mtu ana hela hajui aziweke wapi unamsimulia nini
@FredrickMatiku-xf2uk2 күн бұрын
Utajiri wote huo bado hajamfikiaaaaa burnaboy, davido na diamond platinum
@jacksonmallya93693 күн бұрын
Sas c mengn anayasahau ayo magari😂😂
@fxmeddy95673 күн бұрын
Duuuh huyu jamaa anahistoria ndefu
@husseinremmy57623 күн бұрын
Brunei iyo adi Prof jay aliimba
@sadahamad61583 күн бұрын
Kuna watu wanaishi halafu kuna sisi tunaishia yote kwa yote alhamdhulillah wacha nikaze kibwebwe nitafute hela 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw3 күн бұрын
Mmmm yani jina Kama essay😂😂😂mmeshaona siri ya utajiri la kwanza jina liwe refu ka nusu page ivi yani ka unaandika barua ya kiofisi😅😅😅😅😅
@sky-wz5zi3 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@deodatusdeusdelity19282 күн бұрын
Atengeneze na kinyesi chake kiwe cha dhaabu 😂
@husseinkonz51922 күн бұрын
Duh anavyeo vyote muhm
@erickagwe88413 күн бұрын
Hata uwe na vyumba 1600 utalala kitanda kimoja tu!!!
@jumaothman9449Күн бұрын
Jamaa yupo vyema sana, dollar 6000/minute = Tsh. 3,000,000 kwa dakika! Yani mm natafuta Sasa mtaji wa Tsh. 5,000,000 nianze biashara ya kuingiza angalaiu 2,000,000 kwa mwezi. Hahahahaha. Allah mzidishie kipato chake na mjaalie kupitia malizake isiwe sababu ya kutokuabudu ww
@barakarajabu97512 күн бұрын
Nme mpa pongez kubwa xan kwa kodi na afya hapo ametisha
@margaretjoseph65013 күн бұрын
Nyongeza kodi ya majengo kwenye Luku
@tztanzania22623 күн бұрын
Haya ndo maisha sasa
@florianhenry71983 күн бұрын
Bil 18 na mil 720 Kwa siku jamaaa anapiga Hela ,,,kwenye mazish yake kaburi la dhahabu tupu
@NancykwangoКүн бұрын
Anaitwa bulkier siyo bolkay
@winifridakasibu29002 күн бұрын
Mmmh mm ninashida na Dola 10 tu
@MbalasaJRMwakabalile3 күн бұрын
Ila kufa ni pale pale na udongo unamuusu2
@alexshauri48993 күн бұрын
Fikra na Maneno ya sisi maskini hayo,kwani kuna ambaye hajuwi kuwa atakufa au tutakufa wote.
@MbalasaJRMwakabalile3 күн бұрын
@@alexshauri4899 sawa maskini mwenzanguu
@MZIWANDAWAJOY2 күн бұрын
@@alexshauri4899Roho ya .....kwanini??!!😮
@HusseinChai3 күн бұрын
Pazur na inchi ndogo
@rosesilio-og4iw3 күн бұрын
Me mjomba wangu kabisa huyu🤣
@gilbertshirima26843 күн бұрын
uzuri akifa anaenda na boxer Moja kiunoni na atalazwa 5/6
@stephenmmbago49753 күн бұрын
Jamaa anaishi bhana
@lusajoOmary2 күн бұрын
Bas Elon ana pesa Aiseeeh
@vero573 күн бұрын
Kwahivyo ni ana vyeo vya watu 8, of course ata kua na pesa za watu 12
@Brunotarimo103 күн бұрын
Msiisahau crown media
@athumanmkilindi62153 күн бұрын
Nitajri mpaka wa majinaa😅😅😅
@ZiyandaMhlana3 күн бұрын
This big boss in world
@benancejohn11982 күн бұрын
Mbona watu kama hawa huwa hatuwasikii wala kuwaona kwenye majarida ya Forbes 🤔
@GeorgeAkasha-zx2rj2 күн бұрын
Changamoto ni kwamba biashara zao nyingi au Mitaji yao mingi imebond zaidi na serikali na hapo ndo shida inakuwa changamoto kuwaweka.
@mr_ogc62333 күн бұрын
He makes 48.3 million usd a year
@Nufaila4423 күн бұрын
Uzuri atawaachia watoto wake nao waviendeleze kwa maana amevikuta yeye akaongeza