Ndacha influenced me to become Christian in 2019 after listening to his debate for long time. I'm from marsabit
@beyondsavanna60287 ай бұрын
La ilaha ila Jehovah
@dannyosolo27527 ай бұрын
Mfuate Yesu
@hassangalgallo84967 ай бұрын
@@dannyosolo2752 kabisa siwezi rudi nyuma
@alexandermulilison58447 ай бұрын
Happy to hear that.
@sirpleasureb7 ай бұрын
karibu kwa njia ya haki john 14:6.
@dannyosolo27527 ай бұрын
Yesu ndiye Bwana wa mataifa yote na viumbe vyote ulimwenguni....FOLLOW JESUS❤
@alphalungele15187 ай бұрын
Namu sikilia Sulle huruma sana asije akafanywa kama Mazinge
@erickangima9707 ай бұрын
Ndacha barikiwa sana. YESU ndiye njia ya ukweli na uzima. Hata Waislamu wanamungoja
@rehemafredrick77947 ай бұрын
God bless you Ndacha
@isaacklazaro37807 ай бұрын
Karbu sana Ndacha kwa Maranyingine Tanzania mjada huu si wakukosa ndg
@rehemawekesa7 ай бұрын
Naomba Paulo Hassan awe msomaji yuko vzr sanaa
@muvurwanezaanitha7427 ай бұрын
Mungu mpe nguvu mtumishi wako Ndaca Roho Wa Bwana Akuvike nguvu na hekima yahali ya ju kwajina La Bwana Wetu Yesu Kristo Amen❤
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Amen!
@waltergekone38797 ай бұрын
Amen
@japhetndoro65337 ай бұрын
Sasaka mwenyewe akimwona ndacha anamwogopa hakika mtumishi ndacha barikiwa sana
@duncanmwangi16057 ай бұрын
Mungu naoba,utulide tufukiche hiyo siku na Amani , kieleweke
@hamisijuma32767 ай бұрын
Mdahalo mufanye JumPili na jumatatu jioni Tafadhali
@ernestcharles42887 ай бұрын
Asije akakimbia tena uyo dr sule kama mwanzo ndacha mmoja ni sawa na masheikh wanne na hawawez
@patrickmucha29687 ай бұрын
Ndacha tunakuombea nakatika jina la yesu wewe ni mshidi
@feisalhamoud86377 ай бұрын
Allahuakbar dohh Ndacha Ujipange sana na Uongo 😂
@SirikwaMollel-kj9zu7 ай бұрын
Sule wwe ni km myahudi na dacha ni yesu kristo kwa hiyo kupiga huwezi ni kutapatapa tu maan njia ya kweli ya mungu ni moja.
@saimonsimiyu8407 ай бұрын
Tunangoja sana tena sana,mwalimu ndacha tunakuombea sana mungu akupe hekima na imani yake ili uakilishe wakiristo kwote ulimwenguni mwenyezi mungu akulinde jamani
@IdiiMusiwa7 ай бұрын
😢😢
@Nolithajack127 ай бұрын
Ndacha ❤we love you so much
@byamasumakali21397 ай бұрын
Mwalimu Ndacha Mungu akupe roho wake akuongoze kwainjili iyo kubwa
@Mejaclub7 ай бұрын
Mwalimu Ndacha woyeeeee💪💪naona ukibatiza dr Sule
@richardnganya23117 ай бұрын
Kuna kuduta katika fikra na hilo ni nje ya uwezo wa binadamu katika suala zima la Karama. Tumaini Moja na Imani Moja kwa Mungu Mmoja.
@fauwilliam67807 ай бұрын
nilikuaga mkristo jina ila kupitia mafundisho ya ndacha nimekua mkristo kamili ninaejielewa naomba Mungu amuongoze Mwalimu ndacha aweze kuwafungua wengi
@Penninahgm7 ай бұрын
Hata mimi mpendwa nilikuwa masabato jina ila sai nashukuru kabisa Mungu ambariki sana na ampee hekima ipitayo hekima zote za ulimwengu huu
@rashidgona18087 ай бұрын
Mbona aliweka siku mbili peke yake at least angeweka wiki tukaona mbio zao wote wawili,, mwalimu ndacha tuko pamoja na Mungu akuongoze kila hatua unayoichukua katika Imani 🙏🙏🙏🙏
@saimonsimiyu8407 ай бұрын
Huyu Dr sule muoga,eti siku mbili2,nisawa wacha tu tuone vile atatetea uislamu kwa hizo mada mbili kivumbi ataonyeshwa
@alexandermulilison58447 ай бұрын
Na achague mjandala Bora....sisi wasabato hawasherekei chrisimasi
@francismukuha8727 ай бұрын
Hapo sawa...ni tayari kuwa mujahideen kama Kuna hoja ..tunasubiri Kwa hamu ,,,Yesu Asifiwe,,,***
@jaffoburu32757 ай бұрын
May God lead His people in truth
@samlomnyaki57497 ай бұрын
Hapo sawa kabisaa lazima kieleweke..
@richardnganya23117 ай бұрын
Patachimbika !! Kuna Haki na Kweli !! Kuna jamaa aluwahi kuandika kitabu.. aliitwa Sulman Rushidie..
@mimbamimbz39907 ай бұрын
Dacha kiboko yao ulimwenguni.....YESU NDIYE NJIA
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Amen 🙏
@EzekielMwamba7 ай бұрын
Tuendelee kuomba Mungu atujalie hiyo siku.
@fkkmedia7 ай бұрын
Nabii Eliya na manabii wa uongo kieleweke sasa
@sirpleasureb7 ай бұрын
ndacha mungu na akulinde salama.
@Inkubutembo77797 ай бұрын
Tunaenda kujizolea waislam waje kwenye kweli.
@EzekielMwamba7 ай бұрын
Maoni yangu tujiandae mwalimu Ndacha akae Tanzania 🇹🇿 hata mwenzi moja afanye mikutano ndio wengi wajiunge na matengenezo.
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Kweli kabisa
@dicksonkoech95287 ай бұрын
Basi msiwe wachoyo wa kutoa
@ferixbromela7 ай бұрын
Kweli kabisa aisee
@josephmusagasa55667 ай бұрын
Dr Sule hawezi hoja za Ndacha kwani Ndacha kaiva vilivyo, Biblia kitabu cha Mungu cha kweli na chenye uzima na ndiyo musfaka wa kufika mbinguni na kuurithi uzima wa milele
@waltergekone38797 ай бұрын
Dr.sulle anaogopa juu hana kitu anaeza sema wiki nzima bali ako na ya siku mbili pekee
@artskillschegewakibiru46337 ай бұрын
Ndacha all the way"
@jimpaserics93597 ай бұрын
Mkitoka Tanzania mkutano uwekwe Kenya pia.Yaani away and home
@afandechanel15077 ай бұрын
Suley alisema yuko tayari ku garamia show nzima sasa ina kuaje tu lipie ukumbi!!! ???
@alisiakeyz15087 ай бұрын
Waiting
@fabienkwizera8047 ай бұрын
Tunaomba Paulo hassan msomaji wa ndacha awepo Asanteni
@ernestcharles42887 ай бұрын
Yah paulo yule yupo vzur
@rehemawekesa7 ай бұрын
Naomba Paulo Hassan awe msomaji yuko vzr sanaa
@AidanBosco7 ай бұрын
Sure kajichanganya
@user-wc7xg1ve9l7 ай бұрын
Itakuwa wapi
@ngugimundia63067 ай бұрын
Wekeni mkutano uwanjani watu wengi wasikilize...
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Wahislamu wamekwepa ndugu yangu
@justintabu72917 ай бұрын
Siku mbili ni kidogo sana
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Wahislamu wamekataa kuweka wiki.
@lucykamangu50307 ай бұрын
Siku mbili ni chache sana
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
JINA LA BWANA LISIFIWEEEEE.
@AlieMdogo-oi6il7 ай бұрын
Jaman mbona mnaweka kwenye ukumbi kwanini msiweke kwenye uwanja wa waz kila mtu aingie
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Wahislamu ndowamesababishaaaa
@mamalaozphilemonmtawali.84677 ай бұрын
Tunawasubiri.
@user-iz8pn7jb4r7 ай бұрын
Wanting
@bensonmunene51507 ай бұрын
Dr.Sule kuweka siku mbili ni uoga,aongezee siku kieleweke
@delickmarco39457 ай бұрын
Yani ndacha hakika kwanza Hadi Sasa tunakuombea naamn ww najopo lako lote sk hiyo Bwana atakua nanyi barikiweni kuanzia Sasa.
@justine-27077 ай бұрын
Hapo ni mbali sana na iyo ni biashara mngeweka kw uwaja waja izo garama
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Waliosababisha hayo yote ni wahislamu ndugu yangu wala Usimlaumu mwalimu Ndacha.
@feisalhamoud86377 ай бұрын
Ukienda kuonana Na Doctor Sule Meza Panadoli mana Lazima uumwe na Homa ,umeingia Pabaya Ndacha nna Hamu ifike hio Tarehe 😂😂😂
@daudimichael73387 ай бұрын
Dr. Sule ni Dr. wa uganga wa kienyeji labda, maana hajui mambo mengi sana, anatafsiri mambo kama mtu hajasoma kabisa. Ndacha atamuaibisha kwa taarifa yako
@artskillschegewakibiru46337 ай бұрын
20,000 In ksh. Itakuwa ngapi ??
@AlieMdogo-oi6il7 ай бұрын
Kweli ukiona mtu anarusha mate kujikweza atashushwa muda mchache
@karolmsaki98557 ай бұрын
Sh ngapi kiingilio?
@youngkiki.7 ай бұрын
Kama Sulle ako na qurani yake wakristo tunakazi lakini kama ni hii qurani ya Mohammed Sulle hatomboi hatambaki kuaibika mbele ya waislamu wote wanao mtegemea kama mwezake Mazinge.
@fabienkwizera8047 ай бұрын
Tunaomba msomaji wa Ndacha awe yule jamaa alie anza nae itapendeza sana
@salatielkandole7 ай бұрын
Paulo ndiye nahitaji tu, huwa anaboresha maandishi vizuri
@ngugimundia63067 ай бұрын
Hizo siku chache mno?....wakristo tunataka....siku 5....
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu
@mwoso7 ай бұрын
Ingekua siku 5-7 ili kieleweke!
@shaggyboy30857 ай бұрын
Hiyo nibiaashala sasa paka kadi acheni kabisa amepewa bule toeni bule
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Usiwaseme kwa Ubaya ila... mimi nilichoona tu shida ni kwamba " wameweka pesa nyingi sana kabisa,,,nahiyo ndo Inawezakuonesha hali ya utofauti sasa... mana watu wa online pia watachangiya...wangeweka hata elfu 5000.
@japhetndoro65337 ай бұрын
Sule hutaweza hoja za ndacha Kama mazinge ni profesa kisha alishindwa sembuse ww
@saitotisapiyo59977 ай бұрын
2 days 😂😂😂 sulle na unapinga kelele Hivi nkt.
@williamjamanda88927 ай бұрын
Huu mdahalo uwekewe siku Tano au sita hizo siku hazitoshi
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Yaani hazitoshi hata kidogo.. na yote imesababishwana kukwepa kwa mwalimuwa kihislamu.
@cuthbertsebastian96267 ай бұрын
kwanini mkutano usiwe open?
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Wahislamu ndowamesababisha.
@saitotisapiyo59977 ай бұрын
😂😂😂sulle kwisha kama mazinge alianza porojo wewe sasa utaanza nini.?
@daudimichael73387 ай бұрын
Uislam ulikuja zaidi ya miaka 600 baada ya Yesu kuondoka duniani, mambo yote yaliyoandikwa kwenye Quran yalishaandikwa kwenye Biblia zaidi ya miaka 600 kabla ya Uislam. Ni dhahiri kuwa Quran ilikopi kwenye Biblia mambo mengi, kupindua baadhi ya mambo na kuongeza machache mapya ya kutunga.
@williamjamanda88927 ай бұрын
Biblia na Quran kipi kitabu Cha Mungu ? Dr Sule apo vipi ?
@muvurwanezaanitha7427 ай бұрын
Bibiriya ndiyo sahii❤
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Tutajuwa siku hiyo... ila Katika kitabu cha biblia wameandika manabii wa ukweli na kitabu cha Quran nikitabu cha nabii wa Uwongo (Muhammad s.a.w.) kwa mhujibu wa imani yetuuu
@mwoso7 ай бұрын
Umeanza siasa mapema ? Tuliza boli! Ndacha ni mwamba.
@ngugimundia63067 ай бұрын
Wekeni uwanjani...mambo ya ukumbi.ni kichaka cha kujificha...na biashara ya sule...
@tuliaalimasi64047 ай бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu, weee Umepatiya.
@TITOtz7 ай бұрын
Kadi ya kusapoti ya nini tena? Dr.sule alisema gharama ni juu yake akikubari Ndacha .kwanini dr.sule anakwepa ahadi yake kwamba gharama zote ni juu yake.😄😄 Dr.sule ni muongo kama si muongo gharama na ziwe juu yake kwa sababu ali ahidi
@princeacama4017 ай бұрын
Hii itakuwa kali..sulle atagaragazwa peupe twakuaminia mwalimu wetu ndacha
@ernestcharles42887 ай бұрын
Asije akakimbia tena uyo dr sule kama mwanzo ndacha mmoja ni sawa na masheikh wanne na hawawez
@ernestcharles42887 ай бұрын
Asije akakimbia tena uyo dr sule kama mwanzo ndacha mmoja ni sawa na masheikh wanne na hawawez