Рет қаралды 161
Moja kati ya masuala yanayo vutra watu kwenye maonyeshe ya 47 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es salaam ni uwepo wa banda la taasisi ya utafiti wa kilimo Tanzania (TARI) ambao wamekuja kwenye maonyesho haya wakiwa na watafiti kutoka vituo vyote vya TARI nchinzima
moja ya kituo chenye mashiko kwa wadau wakiimo na sekta nzima ya sukari nchini ni kituo cha utafiti wa kilimo TARI kibaha, ambao wamekuwa wakitoa elimu kuhusu za tafiti za miwa nchini na aina za mbegu za miwa zilizo fanyiwa tafiti kituoni hapo