Kwa kweli hii habari nzuri sana,lla baada ya kumtaja Mama nimefika nduki.
@maalimmadi60307 ай бұрын
Maashallaah😊
@lvanyDaniel_pw7kk7 ай бұрын
Mungu abaraki kazi ya mikono yako
@FaridiMohamed-dd4hr7 ай бұрын
Wengi kwenye comment naona wanaandika roho mbaya tu kama rahisi c mtengeneze za kwenu ckujui hunijui ila kaz nzur brother mungu akutangulie katika kazi yako
Safi sana ila nasisi huku Zanzibar tunajitaji jee, amejipangaje kuingiza Zanzibar
@BONGOINMOTION7 ай бұрын
Sema serikali usimsait pres directly
@medidaudi83357 ай бұрын
Kwa USA 🇺🇸 si kweli hakun mamb kam hayo. Labda huko china 🇨🇳
@TheDonn0075 ай бұрын
Bora hata na wewe umesema😂😂😂 maana hananikela kila akitaja akisema ziko marekani
@richytarimo46567 ай бұрын
sikasikia ujamuuliza Ina ac na hili joto la dar salam😊😂😂😂
@user-qe6xc4nm8u7 ай бұрын
Haya mungu atujalie maisha maref tutaona mengi Sana baada ya miaka kazaa
@kaliskaguzkalis44247 ай бұрын
Saafi sana mzee
@adoniemanuel9087 ай бұрын
Tanzania ndio wanaroho zamajaribio
@ezekiamgimbaofficial56947 ай бұрын
Juzi nimeziona kariakoo
@josephservicechannel27347 ай бұрын
Wambie tunazigitahitaji sana
@samtelah75786 ай бұрын
Jitihada za😀😀😀😀🙌🏿🙌🏿
@Stan-1037 ай бұрын
Huyu jamaa ni mhuni sana😂😂 hii gari inaitwa "BAJAJ AUTO RE60 " yeye kachukua bodykit za mchina za kma range, ndo anatuokota zipo Marekani
@frankezakayo44477 ай бұрын
ASA wewe nae mbona unafahamu yote hayo!!!
@shaqdizo76787 ай бұрын
😂😂😂😂 huku marekani hata sijawahi kuziona
@revmwakifwamba98127 ай бұрын
Sasa mtu kajitangaza Sasa wewe wivu unatoka wapi mbona husema kuwa unazijua mpaka mtu mwingine aseme hebu kaa kimya wewe mwenzako kathubutu
@jeffhard57737 ай бұрын
Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko nyuma Kuna watu sio shabiki wa Lissu na hamshabikii Mbowe Wala Samia na anaichukia siasa kabisaa kutokana magumashi ya Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid watu wamechoshwa siasa mbovu za Nchi hii.
@Stan-1037 ай бұрын
@@revmwakifwamba9812 Umesikiliza video nzima au unabwabwaja bure
@user-me6fr2oq8x7 ай бұрын
Ama kwl Tanzania tuko juu bajaji Kama range duuu Safi sanaa
@fidellujo83627 ай бұрын
Wazalishe zaidi na wizara husika zinazoingiliana na usafirishaji ikiwa na taasis zinaweza kuzinunua na kuzitawqnya nchini ku promote uzalishaji
@khalifasultan26777 ай бұрын
Mzee Umevaa Tshet Hio Umeletewa Na Mzamini Nini Uvae Unavyotangaza Bajaji Huo Upinde😹😹
@cantonaiddy60427 ай бұрын
😂😂😂😂
@vintagemusicgroup92367 ай бұрын
Ni kinaifanya isajiliwe kama ‘Motorcycle’?
@bongoreview17387 ай бұрын
Mawazo yangu ya kununua Range nimeairisha bora ninunue TESLA Yani Range na Bajaji zifanane 😂
@hamisishabani88647 ай бұрын
😂😂😂
@uhurujan22447 ай бұрын
Ukienda kununua nistue twende😊
@mawazochaula3642Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@hancymachibbula43557 ай бұрын
Nilipenda kusikiliza lakini niliposikia tu anashukuru mama kwa jitihada zake ikabidi nitoke nduki
@Stan-1037 ай бұрын
Marekani haiwezi kuwa na vitu kma hvo, hvyo tunatengenezewa Africa
@RoseMayige-gn9qb7 ай бұрын
Hakuna USA hata nchi za Ulaya, zitakua huko China na nchi zingine za Asia na Africa.
@ikouwasi76447 ай бұрын
We umetembea marekani yote
@jasonwatz74577 ай бұрын
Marekani wako focused kwenye vehicles za umeme. Si kwamba wanashindwa ila focus ya uchumi wao haiko huko
@Stan-1037 ай бұрын
@@ikouwasi7644 Kasome vehicle import regulations au (VIR) ya US ndo utajua namaanisha nn, mfano marekani kuna sheria kwamba kila vehicle itakayotumika iwe na safety standard ya atleast 3 star according to NHTSA
@Stan-1037 ай бұрын
@@jasonwatz7457 Ni kweli lakini huo ni mpango wa miaka ya mbele kwamba kufikia 2050 kila vehicle iwe electric, lakn mpka leo petrol cars bado wanatengeneza, hio bajaji nimekataa kwamba haiwezi kwenda marekani kwasababu ya rating ya safety standard kwenye umiriki wa gari hio sheria imetolewa na NTHSA
@user-vp6ol3kq6g6 ай бұрын
Sijaipenda
@vintagemusicgroup92367 ай бұрын
A motorcycle (motorbike, bike, or, if three-wheeled, a trike) is a two or three-wheeled motor vehicle steered by a handlebar from a saddle-style seat. Kwanini inapewa usahili wa ‘MC’ (Motorcycle) wakati hilo ni gari?
@cleophacephelician67397 ай бұрын
Haya ni nagari sema, wanafanya uhuni kuyaita bajaji ili kukwepa ushuru mkubwa bandarini.
@sumatanjunior2317 ай бұрын
Yaaani tuna nchi ya ajabu sana.
@denisnchimbi7 ай бұрын
Nzuri sana hizo very low cost, zitanunuliwa nyingi sana hapa Tanzania
@hamisishabani88647 ай бұрын
Nimekuja kusoma comments wale wanaokataa marekani hakuna ivi vidudu tuko pamoja
@anthonybeti-sh6cb7 ай бұрын
🤣🤣🤣
@user-gx2vl9wx7e5 ай бұрын
bajaji Iko vizuli sana tunaletewa changamoto mafundi
@chibudangote01267 ай бұрын
@snash tz fanya preview
@adozenaziz83627 ай бұрын
mhhh wahuni sio watu zila zatatu zimeua kinoma nazinaendelea sasa hii nawabongo tukibeba namkaa kutoka ndalambo bado vichwa kwamwaka dah😢inakilo ngap kuipa speed yote hiyo
@abdallahlugendo32213 ай бұрын
Zipungue bei kidogo
@TheDonn0075 ай бұрын
Hakuna kitu kama hicho marekani Hapo umetudanganya
@dstaroficial7 ай бұрын
Hiyo ni gar kwann utuambie bajaje tupe kigezo
@user-kc4ou9km2j7 ай бұрын
Mbn husemi kuwa unaweza safir umbali gan tusije nunua kwa ajili ya safar za vijijin kwetu
@iddiramadhan7907 ай бұрын
Vipi ina air-condition?
@user-pp5tu6nz9k6 ай бұрын
Kenya ilikuja walioiita v8 lakini ilikua matairi matatu hakuvuma sana sizioni sasa nafikili watu hawakununua coz ziliuzwa ghali
@darajalakidatukilomgi23627 ай бұрын
Sheria iwe Kali kwenye ufundishaji na upatikanaji wa leseni kabla hawajaanza kutuua barabarani
@user-ez3ub7hk3y6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Bakari_motors77 ай бұрын
Big Boss Itambo
@michaelsylvestre84757 ай бұрын
Huyu jamaa kavaa rain bow🌈 simuelewi 🤭
@Abuu26457 ай бұрын
Huon mawingu ya mvuaa😅
@hassanluhwago39787 ай бұрын
Huyu jamaa si mkweli kwanza Bei IPO juu tofauti sana mara mbili ya bei halisi ok ndo Bongo😅
@kamole37 ай бұрын
Mungo huyu jamaa, hakuna kitu kama hii marekani.
@mkutanopaul47737 ай бұрын
Mie niko Marekani na Hakuna kauchafu kama hako. Japo niko Marekani vijijini lakini hapa hazipo. Nimetembea miji mikubwa Kuna scooters sio bajaji. Polaris Slingshot ndio bajaji pekee hapa
@omarjuma29377 ай бұрын
@@mkutanopaul4773hbr kaka naomba namba yako kuna jambo tuongeee
@wilfredmlaki8227 ай бұрын
Mpumbavu sana huyu! Hakuna uchafu kama huo america
@ZANZICTSOLUTIONS27 ай бұрын
Mbona mnalalamika sana kuna mtaa Tanzania unautwa Marekani jamani 😂😂😂
@nikodemmwahangila33347 ай бұрын
Mama Mungu akubaliki umewafrahisha wafanya biashara Tanzania wanaraha Tanzania saaafi mama samia hoye
@aubreykasoyaga16657 ай бұрын
Marekani hakuna Takataka kama hiyo
@TheDonn0075 ай бұрын
Kabisa 😂😂😂
@Zenny897 ай бұрын
We tukome wamarekani!!! Hatuna upuuzi Kama huo huku🤣
@IgnasOlgwanae-jz9fg4 ай бұрын
Bajaj ipo vizuri issue ni bei swa na y gari😅
@BoiSlee6 ай бұрын
"Usalama ni mkubwa sana kwasababu inatairi nne." 😂😂 Kwa mantiki ya huyu jamaa, kwahiyo Eicher ni salama sana kuliko Tesla Truck. (4:05)
@kisrahcogar85387 ай бұрын
Aache upumbavu huyo America hawatumii hzo v2, hajielew huyo ndo mana kavaa t-shirt ya upinde 😂
@GoldenchipsChips7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@bongoreview17387 ай бұрын
😂😂😂
@user-th5xz1fg5t7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@rehaniabeta4 ай бұрын
Mama Samia hapo kaingia VP
@aloycesteven59987 ай бұрын
Mbona kavaa flana Ina rangi za kuumiza macho
@rukiaiddyyahaya95067 ай бұрын
Tanzania sihami
@user-bx3kl4hn6j7 ай бұрын
Wawekeze waje kutuletea ushoga maanawabongo mkitajiwa marecan km mmtajiwa pepo
@yudadaniel48676 ай бұрын
hv nyie range mnaijua au mnaisikia?
@ZuenaRamadhani7 ай бұрын
Ishakua gali tayar msituchoshe
@barnabamdachi89097 ай бұрын
Na bado kinazimika kwa kuishiwa mafuta
@user-lq7kv7sx3t7 ай бұрын
Hio nguo vipi hizo rangi za, reimbow nineshituka au ndio kakuletea muwekezaji 😂😂😂
@shafiismaily92237 ай бұрын
Wachina balaaa😂
@kamgishaisaya47637 ай бұрын
Ziko poa, bali wanatakiwa kushusha bei zake nasi tuta nunua
@randomtube30023 ай бұрын
Ndoto yangu ya kumiliki Range Rover imetimia mgenistua mapema kabla Ex wangu hajajua nikamlipue nayo 😂😂😂😂😂
@gladysmsele42917 ай бұрын
Jamani madam President naomba ninunulie kama hii nateseka sana siwezi kutembea miguu jmn nisaidie birth mate wako
@moidasilwamba57127 ай бұрын
Sawa nitakununulia
@sumatraveler19577 ай бұрын
MAREKANI HUKU AMNAGA BAJAJI MZEE .
@user-co2ei4uy2y7 ай бұрын
Millard ayo naomba Mimi Niko Zambia naitaji moja
@FredrickKinyua-bh1hs2 ай бұрын
Pesa ngapi ya kenya.nahitaji kununua hiyo gari
@vincentmokenye44657 ай бұрын
Naona nikimiliki range
@fasanitztiri53717 ай бұрын
Safi ila mngeongeza ibebe angarau watu 6 milioni 13 nyingi
@cantonaiddy60427 ай бұрын
Hizi co Bajaji ni gari, Bajaj ni Tajiri 3
@herrwin.7 ай бұрын
huba na ma indrive , zimeingiiwa,, wale wenye ist lazima waziuze tuu
@GwankoTv7 ай бұрын
hii ni bana matumizi.
@tanzaniacarschannel69757 ай бұрын
Kuhusu gari hii kutumika marekani si kweli..this is not legal car to be used in America.. also for 200cc engine to consume 1lt per 28km that is so inefficient engine.. probably a small gas gazzler
@issakwisamwasanjobe5417 ай бұрын
Furahieni wawekezaji Toka nje lini wtz mil60 watengeneza magari ni aibu wtz hatujui kutengeneza hata yebo tunatengenezewa na wawekezaji
@htx18737 ай бұрын
MAREKANI HAKUBA BAJAJ 😬😬 Hii PIA ISINGERUHUSIWA KUUZWA MAREKANI. Hizi hazitoruhusiswa USA ports .
@victorronald14497 ай бұрын
Hiyo ni gari tu
@nelsonnyamle7 ай бұрын
Ulaji wa mafuta
@hamzamuhammad84737 ай бұрын
What part of America uses this thing city and state please?? we don’t use unsafe equipments over here Acha kudanganya watu
@anthonybeti-sh6cb7 ай бұрын
🤣🤣🤣
@thadeyngingo15047 ай бұрын
Hiyo ni gari usituletee mbwembwe bhan
@BenLeeBl6 ай бұрын
Sifa zikizidi ni ufala....katumia hela yake kuagiza bajaji ushuru kalipia then anamshukur raisi.......afu acha kudanganya watu usa hakuna hizo takataka
@luqmanndagula2457 ай бұрын
Kwanini hizi dili za kutengeza bajaji msimpe masoud kipanya (kp)😂😂😂
@Tajiri2227 ай бұрын
Acheni Uhongo, Marekani ya wapi utazipata hizo wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂
@sumatanjunior2317 ай бұрын
Eti Marekani hahaha watu waongo. Marekani hakuna Bajaj bana cause DOT hawajaruhusu hio kitu.
@prince.eric_msemwa97327 ай бұрын
Hapo mambo ya mvua utawala 😅
@barikilangoy47377 ай бұрын
Hizi ni gari muache maneno mengi
@user-up6ee2jx4j7 ай бұрын
Hiyo t, shirt ya huyu jamaa
@CharlesLeoMgaya7 ай бұрын
Anamtaja Mama kila mda utadhani ndo amemsaidia kuimport😂😂😂😂 si normal busness hii jamani. Sasa na anaenunua ndege atamtaja Mama mara ngapi???
@user-gx2mh1xs4e7 ай бұрын
Kwahiyo Range Rover kwisha habari
@jeffhard57737 ай бұрын
Usafiri uko vizuri ila tatizo hayo mapicha uliyo bandika huko ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi Zaid kuna watu sio shabiki wa Lissu Mbowe Wala Samia wamechoshwa na siasa mbovu za Nchi hii ushauri wangu kwako ondoa ushabiki na ukeleketwa ili ufanye kazi.
@cosmasdaud7 ай бұрын
Huyu mwamba ni mbunifu, asihusishe china sasa
@user-be4wt9ng2u7 ай бұрын
Tanunua ikishuka ml 8
@Kukuvillagepoultrysolutions7 ай бұрын
Je ina AC?
@jumaakalama47197 ай бұрын
Mbona wananivuruga kwan hiz bajaji au gari?
@josephstephen20477 ай бұрын
bajagari
@salumjabir8136 ай бұрын
Mama katoka wap sasa....uchawa wakikuda huo
@kisokatvonline37047 ай бұрын
Kagar kafamilia hako
@isacknyaga1047 ай бұрын
Mm hapana bajaji ni bajaji tu
@SamweliMwalyungu-du5ln7 ай бұрын
Ss tuna weka na mizigo juu
@user-iv7st2ku5r7 ай бұрын
Huyo anaeojiwa mbona kavaa flana inabendera ya mashoga😮😮😮
@desolz38097 ай бұрын
😂😂😂😂
@ashrafurwegoshora42277 ай бұрын
Hii bongo hata siiyelewi,masoud katengeneza gari aijulikani ilipo,hii takataka inapigwa promo